MWANACHUO ALIYEKODI GHOROFA KARIAKOO, AFUNGUKA KUMILIKI MJENGO WA MIL. 370 DODOMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 93

  • @harrychuwa3180
    @harrychuwa3180 Před měsícem +8

    Very clever young man!!! Keep going. Risk taking is part of the equation. Obviously, 99% of investors are not risk takers. He’s a risk taker!!! The higher the risk, the higher the return.

  • @beatricemortensen8533
    @beatricemortensen8533 Před měsícem +6

    Mungu yuko mbele yko, sio nyuma, Mungu akai nyuma.Hongera.

    • @QWARIDAMassay
      @QWARIDAMassay Před měsícem

      Ameen..nafikiri yuko pa b de zote yaan mbele halafu nyuma

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +5

    hivi ndio vipindi vinavyoleta tija kwa vijana , Mwenyezi Mungu azid kumbark ndugu yetu, afanikiwe zaid na zaid , na Mwenyezi Mungu naomba unijalie na mimi niwe na uwezo na moyo wa kuelekeza watu fursa kama huyu kijana

  • @christinabuchuma6708
    @christinabuchuma6708 Před měsícem +6

    Hongera sana kijana, very impressive

  • @EllyLupagalo
    @EllyLupagalo Před 26 dny

    Hongera sana mshukuru Mungu umelelewa kwa maadili mazuri na ukayafata hukuifata dunia utafika mbali Mungu akutunze

  • @erickherman8224
    @erickherman8224 Před měsícem +2

    Hongera @basil.mswahili , wewe ni kioo chetuu 🙏🙏

  • @user-sw6uo6rv6j
    @user-sw6uo6rv6j Před měsícem +11

    Last born mwenzetu ktka ubora wake Allah azid kutubariki Inshallah

    • @tinomangi6487
      @tinomangi6487 Před měsícem

      Anatupanga huyu yaani anapangisha nyumba ya mtu ambae nae kapanga so Ile Kodi lazima ugawanyike 80% Kwa mwenye nyumba na 20% kwake

  • @imaf3st336
    @imaf3st336 Před 19 dny

    Akili kubwa
    God Bless

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před měsícem +2

    Mmmh MUNGU humuinua amtakae hongera sana umeweza kujiongeza

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +9

    Mmh boss umpe Milioni 10 akupe nyumba ya milioni 370 ...ngoja nifikrie vizuri huenda uwezo wangu kufikri upo chini sana

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 Před měsícem

      😂😂

    • @faidamwacha
      @faidamwacha Před měsícem +1

      😂😂😂 fanya kuthubutu
      Usije ukawa unatembea na fursa zetu bhana

    • @abdallahmmary8591
      @abdallahmmary8591 Před měsícem

      Ukiwa muanifu ma udhubutu utatoka napia uaminifu ni mtaji

    • @MM-pb7fw
      @MM-pb7fw Před měsícem

      acha mawazo mgando...kila kitu kinawezekana tu,kama jengo linauzwa M370 lakini amempa kwa riba ya 15M kwanini asipewe?...inategemeana aneyeuza anauza kwasababu gani,kama hana haraka anatoa tu kwa riba zaidi

    • @user-cz5oy1od5d
      @user-cz5oy1od5d Před měsícem

      Hiyo ndio tofauti kati ya wewe na yeye.

  • @tinomangi6487
    @tinomangi6487 Před měsícem +6

    Huyu kuna watu wanambeba aache kutupanga hakuna maisha rahisi kihivyo. Hata wenye nyumba hawawezi kupokea Kodi wakanunua nyumba 4 Kwa mwaka mmoja aseme Tu kuna ndugu yake ni mwizi serekalini anajificha kwenye mgongo wake

    • @utopolo543
      @utopolo543 Před měsícem +2

      take things positive. mtafute uongee naye physically.

    • @mboyipaul
      @mboyipaul Před měsícem

      Ni kweli au pengine aliuza Mali za nyumbani kwao...Kwa mwanafunzi sio rahisi hata kidogo kwanza Bado ni dogo san

  • @user-sg6ez3cf1f
    @user-sg6ez3cf1f Před měsícem +1

    🎉 all the best more ahead BO$$

  • @MagdalenaMakungu
    @MagdalenaMakungu Před měsícem +1

    Hongera sana kaka nimependa sana na mm niwe kama wewe

  • @gabrieljafu
    @gabrieljafu Před měsícem +1

    hongera sana brother

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 Před měsícem +3

    Usimsahau Mungu mdogo wangu

  • @user-rr6jg6qb1p
    @user-rr6jg6qb1p Před měsícem +5

    Ni kichaaa pekee2 anaeweza kuamini maneno ya uyu jamaa, mil 370 uanze na mil10 ,na anaemhoji nibwege kwelikweli

    • @Afriimovies
      @Afriimovies Před měsícem

      Inafikilisha sn yn.

    • @jafarinauma6798
      @jafarinauma6798 Před měsícem

      Hawa ndio baadae unakuja kusikia story nyingine tofauti kama yule influencer wa vijana na aliyekuwa anatukana vijana kumbe pesa zake ni vibao

    • @aminarajabu5795
      @aminarajabu5795 Před měsícem +1

      Inawezekana. Mfanyabiashara pekee ndo anaelewa hili. Ila kama huumizi kichwa utasema haiwezekani. Kaanza na mil 10 anakodisha wateja kwa vyumba 13 kila chumba miezi 6x13 kila mwezi, kwaivyo biashara hiyo inajilipa yenyewe, mtu kupokea mil 10 inawezekana maana shida zimetuzunguka na pesa haimpati kila mtu kwaiyo aliyeipata milion 10 ndo uyo dogo aliyetanguliza hiyo milion 10. INAWEZEKANA. Bado kariakoo anaingiza pesa inawezekana hata kutoa milion 10 kila mwezi.

  • @GabreilLukumay-bu4sx
    @GabreilLukumay-bu4sx Před měsícem

    Hongera sana 🎉 kijana mwenzangu 🎉🎉

  • @rizikimtui8992
    @rizikimtui8992 Před měsícem +1

    Content bora sana

  • @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM
    @YINDIMAKUCHICHANEL-DOM Před měsícem +3

    Kama kwel hongera

  • @pceodhc
    @pceodhc Před měsícem

    Hongera sana 👏🏾👏🏾

  • @NnalaNsangalufuMwangati
    @NnalaNsangalufuMwangati Před měsícem

    Hongera sana na Mungu azidi kukuinua zaidi

  • @user-zq7jb2ij4u
    @user-zq7jb2ij4u Před měsícem

    Mwanangu M-MUNGU azidi kukujaalia. Nitumie no zako inshaallah naona na mm utaweza kunisaidia au kunishauri.

  • @dr.peterofficial6390
    @dr.peterofficial6390 Před měsícem +1

    Big up sana kijana

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r Před měsícem +5

    Sio kweli uyo kuna mtu nyuma yake ila yy anatangaza

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina Před měsícem

    hongera sana damu yangu

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Před 17 dny

    Naomba ajira ya kufanya usafi nipo Dodoma nisaide kaka yangu

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 Před měsícem

    Hongera sana kijana

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Před měsícem +2

    😂😂😂 wanachuo kweli mna lewa na kubet mbona mwenzenu ana majengo

  • @joyceKingu
    @joyceKingu Před měsícem +3

    Hii biashara ya kawaida kabisa. Kwenye nchi za wenzetu wanaita "Rent to own. "

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 Před měsícem

    Mungu akubaliki

  • @margarethshirima5654
    @margarethshirima5654 Před měsícem

    Mungu hakika yuko mbele yako. Amekupa Néema ya uthubutu na utenda kazi bora

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před měsícem

    Bravo 🎉 IQ kubwa kibiashara

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga6687 Před měsícem +1

    Kwenye .afanikio Kuna ukurasa ambako huaga hakasomwi

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 Před měsícem

    💥💥💥

  • @gspofficial7977
    @gspofficial7977 Před měsícem

    Jamaaa awe raisi tu yupo vizuri

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 Před 13 dny

    Huyu boya asitudanganye kabisaaa kuna mtu nyuma yake mwenye pesa akamuwezesha

  • @user-hq5mo3dx7l
    @user-hq5mo3dx7l Před 28 dny

    Sasa anasoma nini maisha.ndio hayo

  • @erickherman8224
    @erickherman8224 Před měsícem +3

    🔥🔥🔥🔥🔥❤️

  • @dignachami7382
    @dignachami7382 Před měsícem +3

    Acha uongo ww ,unapaswa kushtakiwa kwa udanganyifu ,Wala hainiingii akilin

  • @bilid4128
    @bilid4128 Před měsícem +1

    Mmhhh

  • @stellatemu2458
    @stellatemu2458 Před měsícem

    .uko vzur k jana

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi Před měsícem

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @JohnAthanaz
    @JohnAthanaz Před měsícem

    Karibu mwanza

  • @salluhimuhammed862
    @salluhimuhammed862 Před měsícem

    Maelezo yko na vtu ulivo navo ni tofaut sna bro bdo hujaelez ukwel, wenye akili zao awawez kubali ili

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Před měsícem

    People should understand crystals clear
    Look
    Kwa nini ujishikize kwa mtu?
    Kwa nini usifanye usizalishe product Yako?
    Kwa nini u invest 50M Hadi mwaka unapata 70M ?
    Mawazo Yako ni manzuri ila yamechanganyikana na Uvivu fulani

  • @kendricgeorge603
    @kendricgeorge603 Před měsícem

    Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO

  • @Avith-lj2sp
    @Avith-lj2sp Před měsícem

    goooooood

  • @PrivatusHururu
    @PrivatusHururu Před měsícem

    Nimefurahi kusikia namna unavyo pambana ,ntakutafuta na mimi unaweza kunisaidia mawazo nikatokea hapo.

  • @geja8708
    @geja8708 Před měsícem

    Acheni kuzingua !

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem +3

    Nyie ndo mnatufany tuonekane sisi wengin ni wajinga, watu wanafany vitu wakiwa na watu nyuma yao ila nyie mnalat habar za uthubutu

    • @mochemba
      @mochemba Před měsícem

      Umeona ee, ndo yale mtu anakuja anakuambia alianza na elfu tano leo namiliki kampuni kubwa

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před měsícem

      @@mochemba yaan ni upuuzi mtupu, how mwanachuo apate pesa za kukod ghorofa kariakoo, ok tuseme anategemea kodi za wanaopanga hlo jengo, je pesa ya kuanzia aliipata wapi???

    • @neemakerefu4876
      @neemakerefu4876 Před měsícem +1

      Aangaliwe vizuri isije akawa anauza vifaa vya maabara YA chuo Kwa siri

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před měsícem

      @@neemakerefu4876 😂😂store keeper

  • @thomasponera6018
    @thomasponera6018 Před měsícem +1

    Professional liar 😢

  • @pascal2415
    @pascal2415 Před měsícem

    Ndio atembelee Alphard? Tapeli huyu

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před měsícem

    Mh

  • @Onge-shabani1994
    @Onge-shabani1994 Před měsícem

    Uyo dogo jina lake nani ? Instagram anaitwa kwa jina ngani Uyu dogo , naijati ku mawasiliano naye

  • @margarethshirima5654
    @margarethshirima5654 Před měsícem

    Mimi naomba kuwasiliana na wewe.

  • @JonaaJonaa-q6e
    @JonaaJonaa-q6e Před měsícem

    Uyu n maskin mwenzetu msiogope

  • @SirajiAbdalah
    @SirajiAbdalah Před měsícem

    Mbona umeajiri watu wachache sana,na mtaji ni mkubwa

  • @user-pq6wd1nj4d
    @user-pq6wd1nj4d Před měsícem

    Freemason huyo

    • @LordJesusChristlife
      @LordJesusChristlife Před měsícem

      Ubongo wako wasema hivyo

    • @jacklinembawala
      @jacklinembawala Před měsícem +1

      Tafuta Hela wew uache kuita wenzio freemason 😅

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 Před měsícem +1

      Kijana tafuta hela utakufa maskini

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Před měsícem

      Mshamba sana Wewe 370 nihela sasa kama unajituma?? Mshambaaaaa wewe kabisaaaa inawezekana hata laki 3 hujawahi kushika freemason alipe kidogo kidogo hovyo kabisaa

    • @joycehaule9717
      @joycehaule9717 Před měsícem

      Kajinga wewe...

  • @PhenixSwahiliGaming12112
    @PhenixSwahiliGaming12112 Před měsícem

    Ni hatariiii tazama na huyu jamaa
    czcams.com/video/P2j8nCoLi3E/video.htmlsi=VtvU4DnvYDP4COmU

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile4737 Před měsícem

    Hongera sana kijana

  • @kendricgeorge603
    @kendricgeorge603 Před měsícem

    Huyu mtu Ana pesa za ajabu ila sio kwamba ni freemason hapana, ni akili tu make katika safari ya mafanikio akili inahitajika 95% na pesa ni 5%, so huyu mtu wanamiliki kiwango kikubwa cha akili lakini pia Ana take risks. Katika umri wa 20 - 30 ni umri ambao mtu Ana zingatia kula na kuwa na afya njema. Pesa inayobaki yote ni kurisk tu katika maeneo tofauti tofauti since hana familia wala watu wanaomtegemea nyuma yake. So I wish nimpate namba yake to be honest. I can learn anything from him. BIG UP BRO