RUBANI MDOGO ALIYEANZISHA MAPENZI NA PICHA, “NIMETUMIA MILIONI 200 KUSOMA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 77

  • @cosmahansen9660
    @cosmahansen9660 Před měsícem +8

    Mwenyezi Mungu Akutangulie Captain Brian, so proud of you Baba.

  • @MtausiMtausi
    @MtausiMtausi Před měsícem +9

    Safi sana Brian, keep it up chief

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před měsícem +17

    Ukiwa unasikiliza watu wenye taaluma zao Safi saana hakuna mambo ya kupayuka payuka , shule Ni kitu kizuri Saaana

    • @noelmarapachi1808
      @noelmarapachi1808 Před měsícem +2

      Kweli kabisa, "debe tupu ndiyo hupiga kelele", anayejua hana mapepe, sababu mchakato alioupitia mpaka kujua siyo wa kitoto, umemnyoosha na umemnyenyekeza vya kutosha.

    • @AishaSaid-yg1ou
      @AishaSaid-yg1ou Před měsícem +2

      Mash Allah..Allah akujaalie wepesi...❤

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s Před měsícem

      😊😊😊

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Před měsícem +11

    Hongera kwa Rubani kupeperusha Air Tanzania. Pongezi pia kwa kuacha Vilevi kwa miaka 4 hata mimi na miaka 4 situmii vilevi. Maisha bila Vilevi ni matamu sana kwanza Pesa inakuwa mingi halafu unapata muda wa kujipangalia maisha

    • @menlandmutashobya8377
      @menlandmutashobya8377 Před měsícem +3

      Miaka minne baadae ya hapa nataka nirudi nitoe ushuhuda wa kuacha pombe

  • @vinenswilliam3534
    @vinenswilliam3534 Před měsícem +6

    Our very own Captain Brian, AWB

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před měsícem +9

    Hongera zako

  • @mp.MwaithesonScania11
    @mp.MwaithesonScania11 Před měsícem +4

    Good my brother, nami na ndoto kama hiyohiyo me mdogo wako kabisa

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug Před měsícem +2

    Hongera rubani❤❤❤nimependa interview

  • @datydon6676
    @datydon6676 Před měsícem +7

    Paschal
    Kwa hii Interview umefanya vizuri sana, Mtiririko wa Maswali yako umekaa vizuri kabisa.
    Hongera sana Kaka.

  • @happyobeid8930
    @happyobeid8930 Před měsícem +3

    Hongera sana

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer Před měsícem +2

    ❤❤❤ daaaaa mbona Handsome boy ivyo

  • @mohamedabdallah8321
    @mohamedabdallah8321 Před měsícem +5

    Jamaa ana point sana

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 Před měsícem +8

    I love this guy anajieleza vizuri Sana

  • @jeanmiruho4770
    @jeanmiruho4770 Před měsícem +4

    ❤🙏🙏👍

  • @NipaelMdachi
    @NipaelMdachi Před 29 dny +1

    Hongera kwako

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Před měsícem +8

    Una anza kuleta habar za kijinga tuu bila kujua kua hii chanel yako wanatazama watu wengi wenye heshima zao na tunaojitambua

  • @pceodhc
    @pceodhc Před měsícem +2

    Congratulations 👏🏾🎉

  • @NuruJara
    @NuruJara Před měsícem +4

    Your handsome guy 😅😊

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 Před měsícem +4

    Captions za kiboya hizi, kuharibia watu heshima zao 😡

  • @achibelatotolakijaka4687
    @achibelatotolakijaka4687 Před měsícem +1

    Mabruk much love from 🇰🇪

  • @mrmumeir9978
    @mrmumeir9978 Před měsícem +2

    Rubani Brayan,Nimeangalia vizuri mahojiano yako na mwandishi,kwa kweli kila ulicho kiongelea kina maana sana katika maisha ya mwanadam.Nafaham suala la kichapo wapo wengine wataku copy vibaya lakini usijali. kwa kweli umeongelea kuhusu kumchapa mtoto ili alelewe kosa lake hayo ni malezi ya mila na mila zinaleta maadili na elimu pia katika maisha.( kuna msemo unasema teke la mama halimumizi mwana)Mmungu azidi kukupa wepesi wa maisha na akufungulie yote mazuri yaliyo jifunga.Na Ayafunge yote mabaya juu yako na wengine pia.Story yako imenigusa mimi na familia yangu.Hongera sana

  • @Officialboysafi
    @Officialboysafi Před měsícem +2

    Bravo 👏🏽 captain 👨‍✈️🔥🔥🔥🔥🫡

  • @MathiasMusobi-ob9cn
    @MathiasMusobi-ob9cn Před měsícem +2

    Safi sana safi mno

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 Před měsícem +3

    Hongera sana ila mmefanana sana mama

  • @worldtechlab
    @worldtechlab Před měsícem +2

    Hahah huyu kaka 😂😂

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Před měsícem +9

    Nyie hamjamuelewa anasema ameanzq mapenz na picha yan anapenda kupiga picha sio hivyo mnavyofikilia nyie

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo Před měsícem +3

    No 1

  • @ramadhanichanafi4725
    @ramadhanichanafi4725 Před měsícem +1

    Sema Brain we ndio Pilo unaependa interviews mweeeeeeeee😅😅😅

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 Před měsícem +5

    Mapenzi na picha mmh badili wafanya kazi wanapotoka sana

    • @queenmichael5319
      @queenmichael5319 Před měsícem

      Mimi mwenyewe amenichanganya ikabidi nianze kuchunguza kivipi

    • @mohannadmohammed6631
      @mohannadmohammed6631 Před měsícem +1

      Baada ya kusikiliza interview mnakimbilia kucomment tu

  • @abc-en3em
    @abc-en3em Před měsícem +2

    Mzee mm financial Account ilinishinda alafu uniambie physics ni basics 😂😂😂

    • @mwasoprince3459
      @mwasoprince3459 Před 5 dny

      Hahaha, mambo ya Financial statement, income statement, ledger, cost of sales, 😂😂😂😂trial balance

  • @pillyseleman8090
    @pillyseleman8090 Před měsícem +3

    Milion 200 tuwaachie wenyewe

    • @Emanueli-vz6fd
      @Emanueli-vz6fd Před měsícem

      Kabisa kunaajila km kwenu hamna kitu basi utaziskia tu

  • @EmarionJeryco
    @EmarionJeryco Před měsícem

    Broooo ❤

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq Před měsícem

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +1

    Mapenzi na picha!🤔🤦🏿‍♀️

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před měsícem +2

    Watoto wa wakubwa nyie hizo ni pesa za vocccha tu

  • @anwaralhabsi1424
    @anwaralhabsi1424 Před měsícem +2

    Ninaye dada yangu awesoma urubani lakini KAZI mtihani, umefikia hatua ya kuanza kukodi kuendesha kufanya safari😂

    • @GeradiusGeras
      @GeradiusGeras Před měsícem

      Ametimiza masaa yanayotakiwa kupata kazi? Au ndo ana Fly time ya 10 hrs🤷‍♂️

  • @AmirJuma-p5j
    @AmirJuma-p5j Před měsícem

    Mnahoji watu wenye akili safi sana

  • @benjaminiisaya3428
    @benjaminiisaya3428 Před měsícem +1

    Ila hata wewe unaweza kuwa Rubani na DV 4 yako coz It’s just masomo tu kama ya kawaida

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před měsícem

    Hii fani wanasomaga watoto wa kishua

  • @worldtechlab
    @worldtechlab Před měsícem +2

    Kanitomba huyu kaka 🤣

    • @dmwaps
      @dmwaps Před měsícem

      Wtf😂😂😂

    • @worldtechlab
      @worldtechlab Před měsícem +2

      @@dmwaps ndiyo lol you think am joking ? 😅

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 Před měsícem +1

      unaona sifa mwenyewe

    • @worldtechlab
      @worldtechlab Před měsícem

      @@masalakulwa7601your funny

    • @worldtechlab
      @worldtechlab Před měsícem +2

      @@masalakulwa7601 Wewe ni nini unataka kunitomba wewe?

  • @Sharifa_Fashion_21
    @Sharifa_Fashion_21 Před měsícem

    Shikamoo kumbe mkubwa Kwangu

  • @user-ik3mt8if6e
    @user-ik3mt8if6e Před měsícem +1

    𝐻𝑜𝑛𝑔𝑒𝑟𝑎 𝑘𝑎𝑘𝑎

  • @Drive1day
    @Drive1day Před měsícem

    lakini pesa pia, maana si kombi kama hizo ni pesa

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Před měsícem +5

    Hicho kichwa cha habari hakiendani na interview hata km kutafuta view siyo sawa

  • @user-cq1lu1sb8s
    @user-cq1lu1sb8s Před měsícem +2

    duu nimekata tamaa

  • @hamadali5062
    @hamadali5062 Před měsícem

    Kwanini marubani wenye dini ya kiislamu wanakuwa hawapewi nafasi wakati wameisha maliza masaa Yao ya kurusha ndege ili waweza kurusha ndege kubwa

    • @user-fz1ph3cn4s
      @user-fz1ph3cn4s Před měsícem +2

      Una uhakika. Mi ninasafiri sana na ndege na waislam wako wengi tu. Two weeks ago nimetoka ZnZ to Dsm, Rubani na msaidixi wote walikuwa qaislam, fanya reseaech kwanza kabla ya kuandika.

  • @user-sx1xi4yb2z
    @user-sx1xi4yb2z Před měsícem +1

    Ayo umeanza kupoteza mwelekeo wako sasa

  • @EligiaMligo
    @EligiaMligo Před měsícem +2

    No 1