MCHEKESHAJI TABU AFUNGUKA ALIMUACHIA MUME NYUMBA NA MALI WALIPOACHANA, ASEMA CHANZO UGOMVI NA RIYAMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 148

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 Před měsícem +3

    Me sikawaida yangu kuchukua viponsongo tabu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před měsícem +6

    Hongera dada tabu m/mungu akuepushe na kila husda❤

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před měsícem +7

    Watoto wamekulia mboga saba mjuane hapa😂😂😂😂

  • @esterMahenge
    @esterMahenge Před měsícem +3

    😂😂😂😂😂😂ila tabu khaa nimechekaaa mweeee

  • @Official83640
    @Official83640 Před měsícem +20

    Mtoto wa Kiislam unaacha kutubu umri umeenda bd unazitafuta dhambi umri huo yaani bado unatafuta eneo la ufungue bar Astaghafilullah

    • @user-hh7df4mq1j
      @user-hh7df4mq1j Před měsícem +9

      Ila nanyie watu washindwe kutafuta hela ndo nyie mnakufa umasikini kila kitu dhambi

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem +13

      @@user-hh7df4mq1j Pombe haramu acha nife masikini lkn siwezi fanya hiyo biashara

    • @user-hh7df4mq1j
      @user-hh7df4mq1j Před měsícem

      @@Official83640 Sawa malaika wa mbinguni

    • @charlestobby6031
      @charlestobby6031 Před měsícem

      ​@@Official83640pombe dhambi kuzini aaah😂😂😂

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Před měsícem

      ​@@Official83640Achana nalo Kafili hilo halijui lisemalo

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Před 9 hodinami

    Nimesikiliza interview zote Tabu na Riyama
    Sijui nani muongo kati yao

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 Před měsícem +3

    Mbona uongeaji umebadilika 😹😹😹 uyu kweli tabu badilisha kwanza jina shoga angu uwenda ukawa sawa. Maana naona kama dishi limeyumba😹

    • @Aisha-qd2rg
      @Aisha-qd2rg Před měsícem +1

      Huyu c comedia ndio maan anabadilika badilika 😂😂😂

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +2

    KUMBE ANAONGEAGA KIPEMBA AFU MMAKONDE😊...BONGO MI SIHAMI....NA AJENGEWE SANAMU LAKE❤

    • @Official83640
      @Official83640 Před měsícem

      Mndengereko huyo Mtwara wazazi wake wamehamia tu sawa na Muha kuhamia Dar na kuzaliana ndy alivyo Tabu

    • @user-ur8cq1ye3b
      @user-ur8cq1ye3b Před měsícem

      Sio mmakonde uyu

  • @WinWilly4162
    @WinWilly4162 Před měsícem +10

    Sura yake imekaa kitoto toto sana hadi raha❤

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 Před měsícem +2

    dada hongera sana, 😂😂😂😂

  • @khadija2113
    @khadija2113 Před měsícem

    😂PENDA SANA DADA TABU❤❤❤

  • @HappynessJose
    @HappynessJose Před měsícem +3

    Taabu umeaza kujiharibu sura me weusi wako nakupenda acha kujibandirisha dear

  • @daylight1707
    @daylight1707 Před měsícem +1

    😂😂😂 sasa tabu wewe miaka 50 wewe si mshangazi n bibi 😂😂

  • @user-jb7gw8vv5s
    @user-jb7gw8vv5s Před měsícem +1

    Nakupenda dadaangu

  • @Tatu-rr9ms
    @Tatu-rr9ms Před měsícem +2

    Ila tabu minampendaga 😂mzee waviposongo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂mbona viposongo😮😮😮ila jamani.
    Mara medium imepoa😂😂
    Wenye kuhudumia naomba kujua nini huwapelekea uko😮ni uhaba?ni mapenzi?ni kutokujiamini kama unaweza pendwa bila kumtunza mwanaume ama ni nini?
    Nauliza kwa wema nijifunze kitu hapa,

  • @elishaluhwago6940
    @elishaluhwago6940 Před měsícem +7

    bro vidox, kazi nzuri sana...... nashauri kutumia mic mbili, huo mkono, kuuhamisha hamisha.. kuna namna... mic zingekua mbili kwenye interview, ingekua vzr sana..... hii iApply na kwenye interview zingine pia

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před měsícem +2

    Ila Rihama itakuwa ana shida waru wengi wamemuunga mkono Tabu!!!

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před měsícem +1

    Hahaha eti kumchapa kizungu 😅😅😅😅

  • @Aisha-qd2rg
    @Aisha-qd2rg Před měsícem +4

    Tabu umeongea ukweli kabisa,,watu wsnaosema sana bismillah nyingi au ambao wanasali sana huwa wanaroho mbya choyo, na mambo mengi Sana yule dada anaonekana ni mtu asiependa mwingine afanikiwe au hapendi uwe juu yake ,,, na lingine hapendi uwe ba urafiki nae wawez mchukulia bwana maan yeye anakokwenda anaenda na bwana wake so mambo hayo yote yanasababisha asiwe karibu na watu akiamni mwawez mchukulia kiposongo wake so tabu achana nae fanya mambo yako kama ujumbe kashaupata ukiitwa kwenye interview nyingn kataa

  • @mamakeyoungcadry
    @mamakeyoungcadry Před měsícem +3

    Siyo ulisi mndengereko mwenzangu jaje? Ni (Urithi)

  • @RisasiRisasi-uj8fk
    @RisasiRisasi-uj8fk Před 27 dny

    Tabu upo vizuri,mfano wa kuigwa

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 Před měsícem +1

    Kutoka vibenteni Hadi viposongo😂😂😂😂😂😂😂

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před měsícem +7

    Tabu acha pombe sauti inakuwa mbaya

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 Před měsícem +1

    Naona li li zimetaradadi😂😂😂😂 yaani ni mwenndo wa li li liiii

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před měsícem

    Duu mtihani anajisifiakabisa anafanya biashalaya baa naanatakakufunguaingine Baa dr. Mtihani

  • @gloriaaugustino8031
    @gloriaaugustino8031 Před měsícem +1

    Tunduru ni Ruvuma sio Mtwara😅

  • @greenberry254
    @greenberry254 Před měsícem +1

    Kumbe ni mweusi 😂😂😂😂😂

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Před měsícem +1

    Kuongea sana2 ila kuoga, aaahh!!😂

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před měsícem +3

    Riyama usmjibu huyu. Please

  • @annkim2690
    @annkim2690 Před měsícem +2

    Wewe ni mjanja na watu wamtwara unawajua vizuri ungemfanyia madharau ungelogwa hata hio Dar hawangekujua

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 Před měsícem

    Hongera Sana tafuta pesa

  • @sabrinaali9750
    @sabrinaali9750 Před měsícem +2

    Kumbe huyu ana roho mbaya sikutegemea kumsema mwenziwe vibaya kwenye interview. Yeye alipoongea hakukutaja jina. Wamakondo bwana roho zao ....

    • @user-df6ui9ro8s
      @user-df6ui9ro8s Před měsícem

      Kwaiy kosa la mmoj unatukan kabila za wat vip ww ukitukaniw utapend me sio mmakonde ila aipendez kosa la mmoj uweke kabila zim

    • @sabrinaali9750
      @sabrinaali9750 Před měsícem

      @@user-df6ui9ro8s sorry for that

  • @chantalmulasi5663
    @chantalmulasi5663 Před měsícem +2

    Walio sikia yule Demu tujuane 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-jh5px2xl8u
    @user-jh5px2xl8u Před měsícem

    Kwel kabisa tabu anaga kawiada ya kuongea ongea ukiona mtu wa namna iyo ad leo anaongea bas ameamua

  • @FatimBalushi
    @FatimBalushi Před měsícem

    Ni kweli mmakonde mwenzangu hii dunia ukiwa mkweli unaonekana muongo ila wamakonde kusamehe ndo kawaida yetu mm pia nimesamehe mbona sasa npo oman natafuta life aman ndo kila kitu pesa inatafutwa nikirudi nitakutafuta my dear kwenye wema na wabaya wapo

  • @Nick16697
    @Nick16697 Před měsícem +1

    Kapinda nne nayeye 😅😅

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 Před měsícem

    Mamaa kundambanda❤❤❤❤

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před 4 dny

    Viposongo kumbe vijana wadogo

  • @DarKopo
    @DarKopo Před měsícem

    Mkubwa fulan nimepoq😅😅😅😅

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před měsícem +1

    Yuko very high 😂

  • @salimjumaa8180
    @salimjumaa8180 Před měsícem +4

    Kumbe wamakonde bc ni tabia zao cz ata hermonize alimuachia kajala na akampa range 1 & 2.😂.

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Před měsícem +2

    😂😂 au amekunywa ?

  • @user-jb7gw8vv5s
    @user-jb7gw8vv5s Před měsícem +1

    Tabu unachosema upon sahihi hakuna mtu anapenda mafanikio

  • @faridaissa2588
    @faridaissa2588 Před měsícem +2

    Uko live sana nakubal

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před měsícem

    Tabu unamatatizo unataka umaarufu kupitia mwenzio,sasa wewe ndo waonekana taahira,mwenzio katulia,toka riyama amepata kazi crown umemuandama sana! Mpumzishe basi mwenzio please

  • @user-pi6lb6nx3m
    @user-pi6lb6nx3m Před měsícem +2

    Sema Tabu hanaga habari na mtu kama Riyama alianza yanini amkalie kimya sio kwer kila mtu aishi maisha yake Riyama aache choyo.

  • @ManuniEunice
    @ManuniEunice Před měsícem +1

    Ukweli tabu ni mzuri rihama waja roho chafu

    • @Niget-us1np
      @Niget-us1np Před měsícem

      Tufanye riham anaroho mbaya ushawhi sikia anasem sehemu Maan tabu ajaza jana wala juzi kumsema Riama lkn Riyam ajawahi kujibu chochote sas ubaya wariym upi km yeye Ni mwema angemfwata yeye wakayaongea kwnn kweny mitandao

  • @nujakaluhende9428
    @nujakaluhende9428 Před měsícem

    Hapo ndio mjifunze Mwanamke akiwa na pesa…….mhhhhhh

  • @daimajohn747
    @daimajohn747 Před 17 dny

    Ila wakusini mmmmmh

  • @user-bx6rf6nv4x
    @user-bx6rf6nv4x Před měsícem +11

    Huyu apelekwe hospital

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem

      Naona hivyo anazo dalili, hospital inamuhusu huyu😂😂😂

  • @joharimloge4088
    @joharimloge4088 Před 29 dny

    Viposongo oyeeee😅😅

  • @rosemsafiri7568
    @rosemsafiri7568 Před měsícem +1

    Huyu hana nidhamu sijawahi muelewa ansongea ongea tu domo la ugwaku

  • @zainabuathumani283
    @zainabuathumani283 Před měsícem

    Huyu alikuwa amelewa au?

  • @fatmazullu4933
    @fatmazullu4933 Před měsícem

    Vido unapasuka chalii angu! Nakupenda sana ila punguza mwili kdg😊

  • @ARABIMAARUFU
    @ARABIMAARUFU Před měsícem +1

    ❤❤❤❤

  • @annkim2690
    @annkim2690 Před měsícem

    Tabu umekaa mdogo leo mbona

  • @user-be8lm2bo7g
    @user-be8lm2bo7g Před měsícem

    Basi muache kama anaroho mbaya ya nini kumzungumzia kila siku

  • @lettysalala2504
    @lettysalala2504 Před měsícem

    😂😂 ila bongo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před měsícem

    AlexGitaa😂😂😂😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem

    Hiyo ni kikiiii ya pikipikiiiiii

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani883 Před 28 dny

    Tatu unatabu

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem

    Kikiiiiiiiiii hiyoooooo

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před měsícem

    Kumbe mtt wa kishua see tabu

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem

    Kikiiii hiyooo

  • @OmaryHabibu-gs7ld
    @OmaryHabibu-gs7ld Před měsícem

    Sio mkande huyu mndengeleko sema baba yake amenda mtwara kikazi

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem

    Au upo bwiii

  • @RoseDaudy
    @RoseDaudy Před měsícem +3

    Acha nicheke et kawaida yangu kuwa na viposongo😂

  • @mariamisack_hardcore2010
    @mariamisack_hardcore2010 Před měsícem

    Vido piga tizi..kakitambi kamekubali😜😜

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před měsícem +2

    Mbona leo unazungumza kimjini mjini tabu😅😅😅

    • @Nashoora8
      @Nashoora8 Před měsícem

      amekua mau zinde

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Před měsícem

      Yasn reoooo reboot sio.leoo😅😅😅

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem

      Aongea kama Mose iyobo jamani tabu inakuwa tabu kweli 😂😂

  • @zenasalum2231
    @zenasalum2231 Před měsícem +3

    Sauti imekuparama Kwa mipombe

  • @Mwanah-cg3ie
    @Mwanah-cg3ie Před měsícem

    Mmmh

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Před měsícem

    Amuachie nyumba ?
    Ya uwongo mtupu

  • @gloriaaugustino8031
    @gloriaaugustino8031 Před měsícem

    Kwanini umuache jmn mnnn

  • @ameenaameena422
    @ameenaameena422 Před měsícem

    Miaka 50 ushike mimba😂 hiyo hua nibaht ty mayai yamenyauka😅😅

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo Před 4 dny

    😂😂😂😂

  • @NeemaMartin-om1cz
    @NeemaMartin-om1cz Před měsícem

    Vido fanya mazoez upunguze mwili

  • @MonicaKaskaz
    @MonicaKaskaz Před měsícem

    Muongo huyo

  • @OmAn-we8ly
    @OmAn-we8ly Před měsícem

    Uwiiiii😂😂😂

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem

    Anatafuta kikiiii ya pikipikiiii

    • @joycemfuru4752
      @joycemfuru4752 Před měsícem

      comment yako tu ni ya peke yako wivu umekujaa

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před měsícem

    Rangi ya inst na huku tofauti

  • @user-ui2br5di3d
    @user-ui2br5di3d Před měsícem

    Ila weee vido mpaka utaje nachingwea umesikia kijijini?uwewahi kufika?acha hizo pls nachi sio kijijini 😅😅

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon72 Před měsícem

    Vido kanona shavu 😊

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před měsícem

    Tabu usijipunguze thamani na heshima yako uluoijenga kwa washabiki zako'kwa kumsema vibaya mwenzio, muachie Mungu inatosha sasa, kama kusema tumeshasikia, usipunguze ridhki zako, mbona yeye hakusemi wewe kwa ubaya mitandaoni?

  • @sephoniahittu3542
    @sephoniahittu3542 Před měsícem

    Mhhhhh

  • @happymaimu4330
    @happymaimu4330 Před měsícem

    😂😂😂

  • @hamisihussein9851
    @hamisihussein9851 Před měsícem

    Viposongo

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ramamasenda6637
    @ramamasenda6637 Před měsícem

    Tabu wewe Malaya tu ucimtafute rihama bure wewe ni Malaya unauzuri gani mweu wewe

  • @ummuissa5883
    @ummuissa5883 Před měsícem

    Riyama ni dada mstaarabu na ustaarabu ni adabu na kunyamaza ni fimbo ya wajinga

  • @nasraswakala
    @nasraswakala Před měsícem

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Peterchila-un2lx
    @Peterchila-un2lx Před měsícem

    Anatafuta kikii

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před měsícem +1

    50 tabu hujafika yani wewe 40 ndo unakaribia.

  • @Sharifa_Fashion_21
    @Sharifa_Fashion_21 Před měsícem

    😂😂

  • @rutashobyanovath1116
    @rutashobyanovath1116 Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @aminachoga9266
    @aminachoga9266 Před měsícem

    😂😂😂

  • @VeronicaRugoyi
    @VeronicaRugoyi Před měsícem

    😂😂😂😂😂