NDANI ya JUMBA la MABILIONI ALILOJIZAWADIA MREMBO LILIAN -LINA CHUMBA cha IBADA-SAUNA CHINI ya ARDHI
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- NDANI ya JUMBA la MABILIONI ALILOJIZAWADIA MREMBO LILIAN - LINA CHUMBA cha IBADA -SAUNA CHINI ya ARDHI...
#MPAKAHOME #MPAKAHOME #MPAKAHOME #MPAKAHOME
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mkopo wa pesa au nn jaman
Hata mimi nilisema siku ya kujenga nyumba ya ndoto yangu chumba cha maombi lazima.
Hongera mwanamke mwezetuy mpambanaji mwezetuy na sisi tutafika tuy
Dada Lilian hongera sana tena sana mm mwenyew nimepeenda sana nyumba yako,uko vizur sana mwanamke kusimam hivi ni vizur Sana
Hongera Sana dada Lillian nami napenda nijenge nyumba ya ndoto yangu. Nipe maelekekezo na mbinu ulizotumia. Mungu akubariki Sana akuinue zaidi na familia yako. I connect from Norway ❤😊
Hongera sana my dada Lilian, na mimi nikifika umri wako nitakuwa na nyumba zaidi ya hii
In Jesus name
Kitu nakitamani hapa duniani ni kumiliki nyumba yangu nzuri hongera sana dada
MashaAllah, hongera sana Da lilian umeweza ❤️ nyumba nzuri quality
Mdogo wangu Lilly Mungu akubariki sana. Nimejifunza mengi kutoka kwako. Nimekupenda sana Mdogo wangu. Natamani kukutana na wewe.ubarikiwe na Bwana Yesu Yesu.
Hongera sana.
UMEWEZA AFU UMEWEZA TENA.
God bless&protect 🙏🙏
Sijui dada alianza lini mipango yake bt am very inspired na milioni moja yangu kwa account miaka 10 mbele takuwa na milioni ngap na itafaa kufanya nn😅😅😅😅😅❤❤❤❤
IPO siku na mm nitakua na kwangu hongera dada umeweza ❤
Kudos lilian wish ningekuwa karibu nikuibie ramani ya nyumba I like it watching from Kenya umeweza mummie
Hongera sana mwanangu, Mungu akubariki sana. You have inspired me. BIG UP PRINCESS WE LOVE YOU AND APPRECIATE YOU.
Lili mm nakuombea mungu akujarie maisha marefu na mm naomba mungu niwe kama ww naitwa staford mnyenyekevu sana
Hongera sana dogo....
Mimi naamini eneo ambalo unatakiwa uliboreshe kwa kadri uwezavyo ni nyumbani kwako maana huko ndio kunakupa maana na sababu ya kuishi. . Na kwa hili umejitendea haki big up 😘
IPO siku na mim ntakuwa tajir eeh mungu nisaidie
Mashaallah 🎉
Congole dada Lily,,,Tz ndiyo Inch pekee yakuvunjana mioyo,,,hatupendi jifunza ,,,bt heshima yako
Dada ni nakupogeza mweyezi mungu akujaliye katika malengoyako ogera sana tena sana
Hongera sana ,Da lily Nimemuelewa sana natamani anishauri jambo,
Lili hongera sana mdogo wangu, with God everything is possible🎉
Mashallaah dada hongera sana
ukiona mtu kafanikiwa na kakuzidi usimchukie, kuwa nae karibu kwa kujifunza iwe maisha au dini, Mubarikiwe wote kwa kutenga muda wenu ili tupate elimu
MashaAllah MashaAllah
Umeweza Mungu akusimamie nasi inshaAllah inshaAllah
Hongera sana Ubarikiwe
Nmependa deco ya mbao❤❤❤hongera dadadaangu.ila MUNGU NDO KILA KITU
Mungu ambariki huyu dada sana, anafanikiwa pia kutokana na roho yake nzurii
Hongera kubwa sanaaaa mungu akuzidishie zaid ya hapo hongeraaaaa mno
❤❤❤ kudos,I type this blessing
Mashaallah hongera
Hongera dada liliy jamsn all God knows mpka ulipo fika
wow so amazing,,, nimependa sana umeweka room for prayer,, umetumia akili sana nimeipenda sana hii
Hongera sana mwanang lilian nyumba ninzuri sana. Pongez zake mama aliekuzaa
Na miee naomba mungu nipate nijenge mjengo wangu inshaallah nipate pesa ya halali nijenge 🤲🤲🤲
Jamani Mungu atujalie na ss mwe
Congratulations dada
Congratulations 🎉
hongera
Da liliiii chukuaaa maua yakoool🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤
Nyumba nzuri sana, sema furniture zimekuwa nyingi zikakafanya nyumba kujaa , ikafanya kuwa Giza . Hongera sana
hongera dada
Mashallah
Hongeraaaaa sana unatu inspireeee sana
😭😭😭 one day yes
Hongera sanaaa beautful
Wao hongera sana lily those days tulikuita Masiao 🎉
Hongera Sana Lily
Hongera wajina 🎉❤❤
Hongera my dada
Ongera sanaaaa
Unyama sanaaa🙌
Aloo Hongera sana sana team July😊 Happy birthday inadvance my dear
Hongera sana age mate! Nipo njiani nakuja..
Congratulations ❤
Duu hongera dada mungu anipe nymba kama hii
Hongera sana na mimi siku nitawaletea yangu 😊 mtangazaji ❤
Nyei congratulations 🎉
Safiiiiiiii sanaa mdada
Hongera sana dada mpambanaji
Nyumba nzuri sana.
Hongera sana 😊
Aiseee hapo hela nying imetumika
Sana😂
Hongera sana Lilian mwanamke wa nguvu
Unaweza kuwa mushauri kwawengine
Safi sana chumba cha maombi, na chumba cha ofisi yako nimevipenda
Jamani pesa ilivyo ngumu mimi sina ela😢 sija jenga ata choo bado😂
❤❤❤❤ naomba milion 1 lilian 🥹
Hongera san dada lilian
Aisee huyu dada ame ni ita mini maskini kwa zaid ya aina 20😂😂
Hongera daa Mungu ndiyo tengemeo la kila kitu❤❤❤❤❤
safi sana sister 😂❤
Sina la kusema zaidi ya kusema hongera sana sana.
Hongera wa nyumbani sanya juu hoyeee me mwenyewe ni ndoto yang na nna uhakika Mungu ataniwezesha one day
Mwanamke nangai
Hongera sana
Hongera sana sana jirani gobs 🎉
Hongera mdada Mungu akubariki
Hongera sana lili nipe sir
Hongera Sana Manka wangu.
Big up,sana mdada,mapambano yaendelee mama
👏👏👏👏👏👏Bravo
she is a genius 🎉
ndugu zangu kweli tunapenda mafanikio makubwa ila ya huyu mama mafanikio yake ni ya pesa za masikini anao wakopesha kwa riba kubwa yakunyonya dam kwahiyo tusitamani vizuri vinavopatikana kwa haram riba haram tena riba za kama huyu mama zile zinazolaza njaa masikin waliokopa hi kausha dam tumuombe Mungu atujalie mafanikio zaid ya hayo ya halali nasio yakuumiza wenzetu Mungu tujalie mali zetu ziwe za halali in sha allah 🤲🤲🤲
Wewe are you sick.are you mental ill? Are you narcistic? Hao wanaokopeshwa kwa riba kubwa wanavyo sign mkataba wanakuwa hawajaambiwa wanarejeshaje sasa hao na huyu nani bogus hembu tuliza mshono tafuta pesa umaskini usikufanye uongee kama unaharisha mxiu ukiona riba kubwa usikope nenda kwenye riba ndogo wewe huwezi tumia judgement yako
Anaweza kuwa na afya ya akiri
@@tanzcanmediatv4473 sasa mimi nawewe nani bogas? ungekua na akili usungerukia comment ambayo huiwezi ,,, punguza utahira ndio urukie comment senye hekma kama hii pesa nazomiliki za halali na ndizo nazigawa kusaidia hao wanaokopa kwa hawa wakipeshaji kama huyu mama kuwalipia kodi wakat walikua na nyumba zao zimechukuliwa na hawa watoa mikopo tena million 7 anabebewa nyumba ya million 200 halafu wewe usie na huruma unajiita mwenye akili ambae huwezi kuona utajir wa huyu mama wa mikopo yakuumiza watu wanaokopa wanauza nyumba za watu wanagawana hela kundi zima wanajenga wao wenzao wanalala nje sasa hapa unajiita mwenye akili kweli ???
@@devothasimbi6495 kama mlivo wewe na yeye mna upungufu wa afya ya akili ndio narukia na comment za watu wengine hemu uliza serkal inapata kodi million ngapi kwa biashara zangu za halali ?
Keep it up dada
Hongera my sisterhondera❤❤❤
Hongera dad mungu azidi kukupigania naomba mungu namm maombi yangu na malengo yangu yatimieAmina ❤
Hongera mdada.Mungu mwema 10:25
Imelda kipenzi leo Kwa mara ya kwanza umefeli katika kuuliza maswali ya msingi.
❤❤❤❤hongera hongera cnaaaa ❤❤❤
Naomba hiyo ramani ya nyumba nimeipenda na mm nitajenga mungu mkubwa hongera ❤❤❤ cna cnaaaa❤❤❤
🎉❤
Hongera sana dada Lily
Dah sina cha kusema hongera sana kipenzi nimnyekevu sana dada nami ndoto yangu nipate mtaji wa milion kumi niweze kufanya biashara ili niweze kufika pale napptaka🙏
Anza na ulicho nacho mungu ataku saidia
Naic
❤❤
Da Lilian ni mpambanaji sana Mungu azidi kumwinua
Iwe kweli sasa kihalali maana hamchelewagi
Bichwa kubwa ila limejaa akili😂
😂😂😂😂😂
Dada Emelda mpaka umechoka mwenyewe 😂
Fanya mchezo nini maana jumba kubwa 😂
Akili