Mtanzania aeleza jinsi alivyopata kazi kwa Tajiri wa dunia Bill Gates
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2017
- Haikuwa rahisi kwa Mtanzania Benjamin Fernandes kupata nafasi ya kufanya kazi kwenye Kampuni ya tajiri wa kwanza duniani ameeleza changamoto alizokutana nazo na mpaka alipopata nafasi ya kuingia kufanya kazi Bill & Melinda Gates Foundation.
I appreciate this mAn with all his speech🇹🇿See you if God wishes
Tanzania kuna watu wana Uwezo shida ni Wenye jukukumu la kuwawezesha Vijana. Hongera sana Kijana Mwenzangu. Piga kazi mladi unajitambua Uraia wako. Nimekupenda sana Mdogo wangu Mr Benjamin Sanandas.
Kihanda Tv uraia kautabua je chimbuko la nchi yake wapi?
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe ZANZIBAR
Kihanda Tv Zanzibar! kuna nchi inaitwa Zanzibar!
Ok br thanks for give out a person like Benjamin Fernandez 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
You are a really good young man you have made Tanzania great and proud
Akili, ujasiri wa kutaka kuthubutu ndo umekufanya uwe hapo ulipo kijana. Keep it up.
THE SON OF APOSTLE FERNANDES AT AGAPE TELEVISION (ATN). GOOD WORK BROTHER, GOD BE WITH YOU.
Wooooooooooooooooowwww😍😍😍😍😍😍😍你真的太棒了。 Hongera
good man l like person like you masomo mema kaka pambana
kwenye fikra zangu nliwah kujiaminish kuw watu wa asili ya waarabu wanadharau kumbe sio. very smart bro hata wewe pia uko vzuri sana the way you talk kweli usimjaj mtu kwa kumwangalia
Erick Donald he is not an arab Hes is an indian blood
Thank you @Binti Rashid
Daaah aisee nazid kupata unique ways za kupata mafanikio kutokana na mahtaji yako, umeongea kitu na huna majivuno man
never Give up bro May God bless the work of your hands
hongera sana kijana pia huna maringo mungu akubariki sana akupe umri mrefu
God bless you gentlemen!!!!
Ww na boss wako munafanana sifazenu mungu akubarikisana
very smart bro. unaipenda nchi yko Tanzania
GAUDENCIA MWANJOBA Tanzania hatuna kizazi cha kiharabu wala kihindi . ni raia wa mabara ya eshia mwenye pasport ya Tanzania. ndio maana Zanzibar wanatusumbua waafrika waliwakaribisha ona wanavotusumbua. hata kiswahili cha.mkoa gani.
fuatilia vizuri uzaliwa wake ndio utajua ukweli
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe
Renalda Kamugisha Zeramula Kemilembe kweli kabisa ndugu yangu. ila unatuhamasisha vjana tusikate tamaaa
Kaza god bless you your ni kabila gan😅😂
hongera sana ndugu. kazi njema
Hongera sana
you are smart bro. hata maneno yako yako sawa
hongera sana Benjamin..unaipenda nchi yako sana.
kweli maisha nikuishi kwa upendo. ongera sana kaka
asante millad Ayo #lonkennyTZA thanks for the good questions
dah bro hongera sana and keep it up
Hongera sana kwa kupenda taifa lako.
ubarikiwe sana kijana
Huna hata msjivuno ubarikiwe
nice interview and it encourages me u don't have to give up till end
We sio mtanzania
Acha kujipendekeza
Nice boy.. Mashaallah
hongera sana
Hongera sanaa
Thank you ayo
vzr sana
Alright uko vema
LAKINI USOMI MMOJA TU HAJASOMA ISPOKUWA ANASOMA VITABU VYA DUNI LAKINI LABDA HAJASOMA KITABU KIMOJA TU KINACHOKUSANYA VITABU VYOTE DUNUANI IN SHAA ALLAH NAKITABU CHENYEWE KITAMFUNDISHA YEYE KUYAJUA YA HUKO AHERA NA DUNIANI SIHIVYO NI IN SHAA ALLAH VYOTE AVIFANYAVYO NI BURE HAVINA MAANA NA HAVITOMSAIDIA MWISHO WA MAISHA YAKE HAPA TUNAPITA TU TRANZIT BUT SHETANI TROBLE US ONLLY 👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺👺👺👺👺 MWAMBIE BIL GET UKIPATA NAFASI ALLAH SUBHANAWATA ALLAH WILL BLASS YOU MORE GOOD NED AND BIL GET IN SHA ALLAH😰😰😰❤️❤️❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🔥 NI QURAN QURAN QURAN
I got a point...
Huyuu mbongo kweli???? Wap amezaliwa
sasa huyu anaingilia wapi na wa tanzania? hebu wacheni shobo
ongera ndugu kwakuona mbali zidi ku motivates wengine
ماشاءالله
everything is possible under determination
Ni faraja kubwa kuona watu wenye mafanikio wanathamin utu kama ilivyo kwa Bill Gates na Benjamin frm Tz respect kwenu
congrats
good
Determination is evrythng
huyu kijana wetu ni mzaliwa wa mkoa gani?
Jasmin Asha Swali lako limekaa Kibaguzi. I dislike that Attitude.
Nilitaka kufahamu kama nimekosea naomba samahani niliuliza mkoa aliotokea tu sio ubaguzi na nimesema ni kijana wetu
Jasmin Asha Nimekuelewa 🆗 Pamoja sana.
Tanga
Ni wa tanga.. ila ni wagoa, walihamia tz miaka mingi. Kiswahili chake ni cha kusoma na kujifunza ila yuko na bidii sana
Alipewa kaz vile ni mwalab angekuwa mweus angetolewa na umbwa
Nipo oman naomba no za huyo kaka ila mm napatikan imo tu kwa no hii +255622259604 naombeni sana no yake pls
sasa huyu ni mwarabu koko au?
aisha elias Localmusic84 wewe fala tena mavi ya mwisho huyo jamaa ni mbongo kuliko wewe , wewe wa kuja kutoka congo or Rwanda ,
jamaa hazina sana huyo
Uoga wako umaskin wako, Vivohivo ujasili wako mafanikio yako. Point fanya unachoamini unaweza kukimudu. Utapata matokeo chanya
habari zenu wapendwa samahani mwenye namba ya kaka millard au yeye mwenyewe akiona txt yang anitafute pls 0713033953
samy samy wacha shobo ,utafutwe watafutiwani? kiherehere nayo!!
A alaykum Inshaallah nyote wazima , Samahan mwenye namba yahuyu kaka anipatie au yeye mwenyewe akiona text yangu anitafute kakika no 0774596192 From ZANZIBR ❤ shukran.
hongera sana