Mtanzania Benjamin alivyonyoa Nywele Marekani alafu mfukoni pesa haitoshi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Benjamin Fernandes ni Mtanzania ambaye kila mmoja anaefahamu historia yake anafurahia jinsi alivyofanikiwa hivi karibuni mpaka akafanikiwa kupata kazi kwenye kampuni ya tajiri wa dunia Bill Gates.
    Kwenye hii video Benjamin anatupa sehemu ya historia yake na jinsi alivyokua anafeli Darasani lakini pia anaelezea jinsi alivyofika Marekani na alichokutana nacho.

Komentáře • 43

  • @telesphorebideberi4298
    @telesphorebideberi4298 Před 7 lety +3

    God is good Benjamin. God has lifted you high and WILL do more to you. Amen

  • @shohamuwokovuhalisi.2648
    @shohamuwokovuhalisi.2648 Před 7 lety +10

    I like his story. .everything is possible if you believe in GOD and yourself. Amen

  • @Jackiedaniel75
    @Jackiedaniel75 Před 5 lety +3

    huyu jamaa ni billionaire.. I'm inspired

  • @kato_tz
    @kato_tz Před 7 lety +3

    I am more inspired bro, hii imenionyesha hakuna ajuaye mwisho wake bali bidii na shauku yake ya kufika at the peak

  • @dioben7845
    @dioben7845 Před 7 lety +3

    Asante bro nimejifunza kujiahamin thanks

  • @gangmember1575
    @gangmember1575 Před 7 lety +7

    America kitu kingne xio bongo dola kule

  • @tkvlogs3969
    @tkvlogs3969 Před 7 lety +6

    kwenye hilo la njia ya kufundisha tunatakiwa tujifunze sana watanzania , tusikariri kwa ajili ya mitihani bali kuelewa na walimu wanatakiwa kuwapa nafasi wanafunzi ya kueleza maoni yao ili kujenga confidence .

  • @rhodamoraa3166
    @rhodamoraa3166 Před 7 lety +3

    gud interview learnt alot

  • @sankofa2231
    @sankofa2231 Před 7 lety +2

    Vizuri umerudi kusaidia kujenga nchi. Wenzako tumerudi Bongo miaka mingi iliyopita, tumeacha kazi sehemu kubwa kubwa tuu in Wall street, Gov institutions, na Pharmaceutical companies. Wengine na Phd zao tumewaacha huko...

  • @happychipanyanga2021
    @happychipanyanga2021 Před 7 lety +1

    thanks brother umenifunza Ku yote yanawezekana km ukiamua

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 Před 7 lety +3

    wow nice bro

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 Před 5 lety +1

    "I need to be the head and not a tail" kama unaamini unaweza like tue pamoja

  • @danielromario5183
    @danielromario5183 Před 7 lety +5

    the best motivation iv ever heard

  • @allyomary9318
    @allyomary9318 Před 7 lety +1

    keep it up fernandez

  • @geofreykaholwe2499
    @geofreykaholwe2499 Před 5 lety +1

    Huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja kutoka kwa huyu jamaa. Anasema kazaliwa Tanzania na kukulia Tanzania. Kwanini Kiswahili kinampiga chenga? By the way yuko vizuri sana. ANAJIELEWA.

    • @khadijajuma7142
      @khadijajuma7142 Před 5 lety

      Wahindi wengi tu Tz mbona hawajui kiswahili japo wamezaliwa na kukulia Tz mpk leo.Tena huyu anajitahidi sanaaa.
      Wenzetu hawa wamezaliwa Tz hata wazazi wao pia lakin mara nyingi wanatumia lugha za mababu na mabibi zao ,na kiiingereza tu japo ni Watanzania.
      Af mashule wanayoenda sio Kayumba,wanasoma shule ambazo wanafunzi wooote wanaongea kiingereza tu kwa mda mrefu,akienda nyumbani hivyo hivyo kiswahili sio sana.Unafikiri ataweza kuongea kama mswahili wa uswazi huko+ shuleni Kiswahili masaa yote unaingia hadi unatoka.Nyumbani ndo usiseme,kiswahili cha kila rangi unaongea.
      Hamuwezi kufanana bro

  • @fafi9092
    @fafi9092 Před 7 lety +6

    Kunabahaz yawatu wanaona marekan kama mbingun vile

    • @muddaththirhamoud1240
      @muddaththirhamoud1240 Před 7 lety +5

      Fafi 90 yah ni kweli but alipofika wewe hujafika sasa usimtilie kijicho mwenzio

    • @abdallahdataguy
      @abdallahdataguy Před 7 lety +3

      sio kijicho. ameongea point muhimu sana. Yaani waswahili wanaona kuishi marekani ni kama wameingia peponi. aibu sana hii

  • @sidiwizysidwzy533
    @sidiwizysidwzy533 Před 5 lety +1

    nice bro

  • @linagakii7151
    @linagakii7151 Před 7 lety +4

    Always don't judge 📖📖by it 📕📚

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    nic broo ,,, nimejifunza kitu

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 5 lety

    😂😂😂 kwenye duka la kukatia nywele, nmeipenda sana iyo...

  • @maryshirima3049
    @maryshirima3049 Před 7 lety +2

    sjui watu kama hawa tunawatumiaje ? altakiwa afanye formation ya dira ya taifa.....

  • @wachachemwenda2003
    @wachachemwenda2003 Před 7 lety +1

    nice

  • @ashurathomas482
    @ashurathomas482 Před 5 lety +1

    Lakini kiswahili chake mmmmh sijui inglish imemukaa sana 😅😅😅

  • @sakinandoile9439
    @sakinandoile9439 Před 7 lety

    👏👏👏👏

  • @ezekielmbise3723
    @ezekielmbise3723 Před 7 lety +1

    glory to god

  • @omarymrisho1674
    @omarymrisho1674 Před 7 lety +6

    mchawi pesa nazani ndo imekusaidia wewe

    • @abusalman5139
      @abusalman5139 Před 7 lety +1

      Asante

    • @kidahyarevocatus8203
      @kidahyarevocatus8203 Před 7 lety

      Omary Mrisho 😁😁😂😂

    • @ibrahimbalhawasel5458
      @ibrahimbalhawasel5458 Před 7 lety +1

      Omary Mrisho :SAWA KABISA DADA YAKE WALIKUWA ANAAKILI SANA SHULENI,AKAPATA KUZAWADIWA SCHOLARSHIP KWENDA SOMA OVERSEAS NA YEYE ALIKUWA MTUNDU SANA NA ALIKUA DAIMAN WA MWISHO LAKINI AKAVUTA SOCKS JUU AKASEMA MUNGU NISAIDIE NIWE WA KWANZA KABISA,MUNGU AKAMSAIDIA PIA AKAPATA SCHOLARSHIP KAMA VILE DADA YAKE. AKATOKEA WAKWANZA KATIKA WANAFUNZI WOTE MAREKANI ,NAMIMI LAZIMA NIPANDISHE SOCKS JUU KAMA YEYE,SORRY KAZI KUBWA HII NIMISAHAU SOCKS ZANGU ZA ZAMANI ZISIJE ZIKACHANIKA.

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 5 lety +1

    Jmn kaka ndg yng unapatikan wp mm nakutafuta nakuomba nitafute kwa no yng hii +255622259604 nipo imo tu kwa no hii kam unatumia WhatsApp nitumie tutafutane kimaisha kaka

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Před 4 lety

    2019

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před 5 lety

    watanzania tunaupendo sana na huruma

  • @joycejohn7754
    @joycejohn7754 Před 7 lety +3

    mwalimu wa kbongo ukiulza sana lazma uchukiwe elmu ya bongo bhana?

  • @beentertained537
    @beentertained537 Před 5 lety

    Naweza pata his contract

  • @matarasteven5715
    @matarasteven5715 Před 7 lety +3

    Huyu atakuwa mtoto wa Mtumishi wa Mungu Fernandis wa ATN. Hakika kumtumikia Mungu kunalipa hadi watoto wananyanyuliwa.

    • @JBB875
      @JBB875 Před 6 lety

      Matara Steven kabisa yan. Kumtumikia MUNGU kuna faida. yule Mchungaji venon Fernandez. Na mkewe ann fernandes wa television ya ATN.

    • @jacksonmkuye7739
      @jacksonmkuye7739 Před 6 lety

      Kwel kaka uyu ni mtoto wa venon fernandes

  • @jeremiahmwasapilicharlie2926

    marekani mambo ni magumu kweli

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 5 lety

      Ni Marshisi Maana wanakujenga katika uwezo wako wewe..Sio kukaririshwa kqma huKu na kama kukaririshwa ndio Elimu Rahisi sio nzuri hiyo. ila wanajiandaa Sio kujibu mitihani..Ukimaliza Chuo Kweli Ulichosoma Unauwezo wa Kukitetea Sisi huku hakuna hilo ni Kujibu ukimaliza hata Kozi uliyosomea ukiambiwa kuifanyia kazi hatuwezi..na Wengi huwa hatupendi kuongea na Presentation hatuzipendi.
      .Na huku huwa hatuangalii Uwezo wa mtu kwanza tunaangalia tu Marks hata kama Kichwani hizo A hazipo.Nineshaona kuna Watu Wana uwezo ila Marks zao za Kawaida Na Wanachukuliwa wale wanaonekana kuwa Marks zao za Juu Mwisho wa Siku wanashindwa wanakuja kwa Wale wenye za Kawaida..Kuna umuhimu wa Kuangalia Uwezo wa Mtu kwanza ndio Makaratasi Yaje..Hata kama nakaratasi yake hayajakaa vizuri sana Ila Uwezo uko Poa ni Bora sema hilo huku kufika Sio leo.
      Tuna complicate Sana hata pasipo takiwa
      Mtazamo Wangu tu.