Video není dostupné.
Omlouváme se.
Hii Ndio Sababu ya Mtanzania Kukataa Milioni 420 Marekani na Kuja Kuishi Tanzania
Vložit
- čas přidán 26. 10. 2017
- All the African Music. Hottest SHOWS... Experience Africa
100.5 Ni Redio ya Burudani Nchini Tanzania, Inayoongoza kwa kukupatia Habari za Burudani pamoja na Matukio yote yanayotokea ndani na nje ya Tanzania. #KiafrikaZaidi.
Follow us on twitter / timesfmtz and on instagram / timesfmtz
Kwa Yesu kuna raha sana sana. Yesu will Never fail you NEVERRRR. Aise hongera sana Benjamin.
Inspiration for my young boy. Thanks for the story
Mash Allah ❤hongra❤
Daaaahh wew jamaaa wew ulikua mkorofi Sana aseh Tena nakumbuka mim na wew day one tulipigana atar mbezi iyo but congratulations bhna rafki yang
Mungu wetu akuwezeshe kwa kazi utafanya tanzania
Everything is possible💪God is good all the time🙏🏼🙌❤❤❤❤❤
Congrats Fernandez
umenifurahisha sana kaka.
Kaka nimekupenda buree
Du hakika yote yanawezekana kwake
Good
Mwaka 1902 kweli huyu jamaa anasema kweli
Glory to God
Yupo sawa kabisa kukataa hiyo 420 wakati hapa mining
kunawazungu wanalipwa dola elfu 45 kwa mwezi halafu hata phd hawana.
MUNGU ni mkuu mno na AKILI zake hazichunguziki kamwe
Habari ya kazi mimi ninaitwa honorati mayunga ni mwenyekiti wa NGO inayoitwa HOMELIFE SPORTS.makao yake makuu ni Mwanza..ninafanyakazi TBL mwanza..ninaomba Email ya mgeni wetu apo studio ninaomba kuipata kama itawezekana kwa Email yangu...homelifesports@gmail.com