MTANZANIA ALIYEKUWA WA MWISHO DARASANI ATOA MTAJI WA MILIONI 10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 10. 2019

Komentáře • 168

  • @yonalaizer581
    @yonalaizer581 Před 4 lety +54

    Usizime mshumaa wa mwezako coz haitafanya wa kwako kuangaza zaidi 💪💪💪

    • @damianlugendo9161
      @damianlugendo9161 Před 4 lety +1

      Dahl kwel bro manual education ilikushinda ikabidi uende Auto then ukashinda n bd unatushangaza weus

    • @kalitupu753
      @kalitupu753 Před 4 lety +1

      hakika nimeelewa sana hii

    • @boazysanga6320
      @boazysanga6320 Před 4 lety

      Yah!!!

  • @jordanmashaka50
    @jordanmashaka50 Před 4 lety +29

    Stanford ni miongoni mwa vyuo bora kabisa duniani....kama wamekuita ukafundishe hapo kwao, basi bro wewe una kipawa. Hongera sana Benjamin.

    • @roccoaxton4045
      @roccoaxton4045 Před 2 lety

      I dont mean to be so off topic but does someone know of a tool to log back into an instagram account?
      I was stupid forgot the password. I would appreciate any tricks you can give me

  • @ShaibuRAlly
    @ShaibuRAlly Před 4 lety +10

    Story yako imejaa ujumbe wa matumaini kwa watu wote wanaoelewa maana ya maisha, pia imejaa ujumbe wa kuufanyia kazi kama Taifa kuhusu Mapokeo ya elimu yetu Tanzania , Tunaamini zaidi matokeo ya mtihani, 1 hali hii inawaacha na kuwakosa vijana wenye uwezo tu mzuri wanazurura mitaani hadi wanachakaa kisa .... walifeli mtihani wa Mwisho wa kuhitimu elimu zao.... Bado kwenye elimu tunahitaji kubadilika na wenye uwezo wa kuwekeza watazame fursa hizi hususani shule za ufundi ili Tanzania inufaike na uwingi wa watu wake ....

  • @evelyinipaja1202
    @evelyinipaja1202 Před 4 lety +26

    Mungu mwenye Enzi, mlinde na kuendelea kumbariki huyu kijana.

  • @athumanmussa1060
    @athumanmussa1060 Před 4 lety +23

    Nimejifunza mengi kuliko umri wng, naamini nitafikia malengo yng 🙏🙏hongera kaka Benjamin

  • @sashaaishajamani1979
    @sashaaishajamani1979 Před 4 lety +19

    Maisha nisafari hutakiwi kukata tamaa big up sana brother

  • @danielmbalwa9307
    @danielmbalwa9307 Před 4 lety +27

    Hakika Mungu ana njia zake za kumuwezesha mtuu kufikiaa malengoo yakoo!!

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz Před 5 měsíci

    NALA. Unatusaidia sana kutuma pesa from UK.
    Hii story yako ni inanihusu mimi zaidi.
    I hope after 10 years i will be back to see this comment and believe that this interview has inspired me. GOD IS GOOD.😊

  • @uwongotv796
    @uwongotv796 Před 4 lety +33

    If you are #millardAyo fan finya like apo 👍

  • @mkwastarofficial4300
    @mkwastarofficial4300 Před 4 lety +26

    Like apa kama unamkubali Millard apa

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 Před 4 lety +8

    Huwa najifunza Mengi sana kutoka kwako kaka Benjamin .Mungu aendelee kukuongoza

  • @floraclemence2081
    @floraclemence2081 Před 4 lety +15

    Nilikuwa sijawai isikia lkn inaonekana ni kitu kizuri milard na benja andaa vipindi vingi zaidi ili wengi waijue

  • @bulaloalindamtobesyaofficial

    Uyu kijana amenifuraisha sana, ana mawazo mazuri sana. Vijana kama hawa ndo wanafaa kuwa role models kwa wengine.. safi sana

  • @amanye
    @amanye Před 4 lety +6

    Bro u are speaking my story..
    Second chances are true.

  • @marykaijage2659
    @marykaijage2659 Před 2 měsíci

    I wish i had met you 30 yrs ago keep it up, you are wonderful.

  • @shamimuabubakari3508
    @shamimuabubakari3508 Před 4 lety +4

    Nakupenda sana we kaka vile unajua kuongea nakufanya vijana wasikate tamaa bali mungu akubarik zaid ufike mbali zaid ya hapa

  • @bulaloalindamtobesyaofficial

    Safi sana. Nimeipenda hii, nimejifunza kitu aisee ...

  • @glorytweve7992
    @glorytweve7992 Před 4 lety +2

    Wewe ni genius Mungu aendelee kukupigania Mr Benjamin 💪🏾♥️

  • @farajisureman9925
    @farajisureman9925 Před 4 lety +8

    Kweli hii ya "we dogo usinifundishe kazi niko hapa kwa miaka kadhaa" inaumiza sana na iko sana maofisini. Na ukipiga zaidi utaskia unatafuta kiki n.k. Hatua hizi zinahamasisha. Kwa utaratibu wa sasa wa Mh. JPM kwa kukusanya maduhuri ya serikali nahisi dogo anatufaa sana hapa

  • @bebiwayda2447
    @bebiwayda2447 Před 4 lety +1

    Hongera Millard, benji ni noma, kufundisha wazungu sio rahisi.

  • @maridadi8
    @maridadi8 Před 4 lety +6

    Ila naomba tu kuongezea kwamba Benja nimependa the fact that umerudi Tanzania na umetujengea heshima Tanzania. Una moyo sana. Wengi hawarudi.

  • @sumaiyabakary2692
    @sumaiyabakary2692 Před 4 lety +1

    halaf wavulana weupe wasaf wanajua kutamba xhulen ameongea ukwel mtupu
    I luv his innovation 💥💥💥 tz to the world

  • @sharifamussa6131
    @sharifamussa6131 Před 4 lety +4

    Hongera sana, Mungu aendelee kukuonyesha njia zaidi ili tuendele kujifunza na kuthubutu kupitia mawazo na ushauri wako.Barikiwa sana.

  • @elinahdaudi8195
    @elinahdaudi8195 Před 4 lety +8

    Huwa nakufuatilia toka day one kwa kweli kuna mafunzo makubwa sana ndani ya Maongezi yako.

  • @Heal-with-Dodo
    @Heal-with-Dodo Před 4 lety +4

    He is really inspiring 🙏🙏🙏

  • @snronline2206
    @snronline2206 Před 4 lety +1

    Benja unadhibitisha ule msemo usemao nabii hakubaliki kwao to me your the best bro

  • @emmanueljuma7823
    @emmanueljuma7823 Před 4 lety +15

    Akili nyingi 🙌🏾

  • @bahatikigimbi425
    @bahatikigimbi425 Před 2 lety +1

    Hongera kwakujua sababu zakufeli miaka kumi iliopta,kuvimba ubitozi ulikukosti.wanafunzi eshimianeni mashuleni msvimbe kwakipato cha wazaz wenu mashamba yatawahusu

  • @emmanuelmtega5852
    @emmanuelmtega5852 Před 4 lety +3

    Hongera sana kaka na pongezi kwa kutokua mchoyo wa maendereo.

  • @mozeszengo7096
    @mozeszengo7096 Před 4 lety +2

    Ama kweli mwanadamu hawez kuzuia riziki ya mtu bali anaweza kuichelewesha2,, congratulations Bro,,well done🙏🙏

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 Před 4 lety +5

    Good!!nidhamu ni kila kitu ktk maisha

  • @queenofjungle1655
    @queenofjungle1655 Před 4 lety +1

    Wow u knw am in love with ur determination benjamin we love ur inspiration

  • @ImaniNyondo-uu2fi
    @ImaniNyondo-uu2fi Před 3 měsíci

    Oya we uyu mwamba yupo vizuli guyz kama unamkubali tia like apo

  • @amribudi7870
    @amribudi7870 Před 4 lety +17

    Nimejiunga na nala app ni bonge la app, huyu mtoto ni balaa nawaomba wote mjiunge na hiyo app yaani inaeleweka na ni rahisi kuitumia na ipo kama tunavyotaka kiafrika zaidi,

  • @polloz77
    @polloz77 Před 4 lety +9

    ndo taabu nyingi nchi za kiafrika
    i hope magufuli hameona hili watu kama hawa wasaidiwe hili na sisi tuwe tunaongoza technology hii
    kuna baadhi ya viongozi wanamungusha ktk maswali haya

  • @gaspargiddson5060
    @gaspargiddson5060 Před 2 lety +1

    Great idea

  • @kelvinmakiadi3667
    @kelvinmakiadi3667 Před 4 lety +5

    Mimekubali sana mr

  • @salumpaul2068
    @salumpaul2068 Před 4 lety +5

    respect brother

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +3

    Mmh kk nampenda sanaaaa mpk naumwa

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma1878 Před 4 lety +1

    Milard napenda Sana clip zako zinatutia matumaini vijana

  • @gwakisamwakilema
    @gwakisamwakilema Před 4 lety +1

    Congratulations
    Well noted...!

  • @jicholafursa7058
    @jicholafursa7058 Před 4 lety +3

    safi benj

  • @patrickmadiwa3845
    @patrickmadiwa3845 Před 4 lety +4

    dah kama ni kweli hakika historia yako ni inanisisimua

  • @alisonngaila9827
    @alisonngaila9827 Před 4 lety +8

    Huyu jamaa huwa namuelewa San kwakwel

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 4 lety +9

    Nidhamu 📌

  • @lutundujafau6020
    @lutundujafau6020 Před 4 lety +2

    Sasa wew endelea kusoma kujiamn kuwa ndio utafanikiwa kimaisha,,na kadri unavyozidi kuendelea kusoma unapishana na utajiri,,,soma kidogo then zama kwenye kutafta maisha,,,🙏🙏🙏🙏🙏

    • @shangwekamando2599
      @shangwekamando2599 Před 4 lety

      Huyu Sio Kama hakusoma alisoma na akafeli tena chuo nje ya nchi

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Před 4 lety +1

    M/mungu atujaalie nasisi atuongoze tufikie malengo yetu...

  • @rassimbaengswahili6191
    @rassimbaengswahili6191 Před 4 lety +5

    Very inspiring

  • @lamama.
    @lamama. Před 2 měsíci

    i love this guy

  • @hamismamba7668
    @hamismamba7668 Před 4 lety +8

    Kwanza nikupongeze Millard kwa interview hizi za mlolongo na huyu kijana Mzalendo sana anae ipenda sana nchi yake Huyu kijana ni lazima azingatiwe kama treasure ya nchi.Mwelekeo wa mafanikio ya nchi ktk karne hii ya 21 ni mapambano ya teknolojia na teknolojia ndio ufunguo wa kila kitu ktk mapambano hayo na ni vijana ndio wanajeshi wazuri wa mapambano hayo Rais wetu mpenda nchi hii na wanawanchi wake nashauri kwamba wakati umeshafika wa kumwita huyu kijana na kukaa nae umsikilize maeazo yake na ushauri wake ktk kuiweka nchi hii ktk nchi bingwa ktk uwanja huu au mapambano haya ya sayansi na teknolojia.Mm naamini hata nchi zingine zinatamani kwamba huyu kijana angekua ni raia wa nchi yao lkn kwa methali ya Kiswahili inayo sema kwamba:"MCHEZAKWAO HUTUNZWA" Kwa hiyo wakati umefika wa kumtunza huyu kijana ktk nchi yake anayo ipenda.

  • @yasinindimbo7153
    @yasinindimbo7153 Před 4 lety +12

    Tuunge mkono mzarende wa ukweli

  • @fabianmrope2463
    @fabianmrope2463 Před 2 lety +1

    Big up

  • @MadiniPoint
    @MadiniPoint Před 4 lety +6

    safi sana

  • @ramadhaniayubu6103
    @ramadhaniayubu6103 Před 4 lety +1

    nakubali sanaa bro

  • @joshuamsaki7734
    @joshuamsaki7734 Před 2 lety +1

    Kaka mirad heshima yako,huyo jamaa Yuko sawa,nikweli vijana wengi hawaja tulia ktk maamuzi na kazi zao

  • @asiawalls8148
    @asiawalls8148 Před 4 lety +7

    Great Innovation

  • @isakielmbasha178
    @isakielmbasha178 Před 4 lety +1

    Kaka ongera sana you have surprise us

  • @kulwar.sosovele4699
    @kulwar.sosovele4699 Před 4 lety +2

    Hongera dogo

  • @vicentmeshack3862
    @vicentmeshack3862 Před 4 lety +1

    big up brother

  • @drkaswalala
    @drkaswalala Před 4 lety +1

    We dogo usinifundishe Kazi nipo hapa Kwa miaka 20! Huku kujimwambafai😭😭.

  • @bulaloalindamtobesyaofficial

    Hili ni zari aisee, jamani very impressive... aminia

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Před 4 lety +2

    Hiyo ni hekima ya Mungu.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před 4 lety +1

    Hongera sana.

  • @agnettakamugisha4984
    @agnettakamugisha4984 Před 2 lety

    Hongera sana 👌🏾👏🏽👏🏽👏🏽❤️🖤🥰

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Před 4 lety +1

    congrats bro

  • @arthurmwakanyamale7651
    @arthurmwakanyamale7651 Před 4 lety +1

    aaaaaaaaaaaaaah hii interview nzuri sana

  • @muddymadenge9957
    @muddymadenge9957 Před 4 lety +1

    Hongera kaka

  • @FAFANUOMEDIA
    @FAFANUOMEDIA Před 4 lety +2

    Noted bro

  • @shabanjuma7102
    @shabanjuma7102 Před 4 lety +1

    hapo umetudanganya eti alikuwa wa mwisho darasani, ukweli watu wengi wakifanikiwa sana wanasema mara walikuwa wanakua wamwisho mara ameanza na mtaji wa elfu tatu, sema ulikua wa mwishoniila siowa mwisho, ila hongera sana kwa teknolojia uko vzr kaka

  • @BenjaminSimeon-uw3wt
    @BenjaminSimeon-uw3wt Před 2 měsíci

    Naomba namba ya simu ya ndugu Benjamin Ana mambo mazuri ya kujifunza kwake

  • @hermansililo4846
    @hermansililo4846 Před 2 lety +1

    Benjamin wewe ni shujaa wa Imani

  • @gastordominic410
    @gastordominic410 Před 4 lety +1

    Kuzima mshumaa wa mwenzako hakufanyi wako uangaze zaidi

  • @gwamakamwandiga6706
    @gwamakamwandiga6706 Před 4 lety +7

    Bro umebarikiwa Sana, xjajua wengine hizo akili tunapishana nazo wapi, any way mungu azidi kukubariki ndugu

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 Před 4 lety

    Umetisha mbaya

  • @vanessarodgers7773
    @vanessarodgers7773 Před 2 lety +1

    Naitaji mtu wa kunilipia ada

  • @godfreysangu8954
    @godfreysangu8954 Před 4 lety +4

    Millard wewe huwa unaandika vizuri kichwa cha habari na unahoji vizuri hata mtazamaji anafurahi kuangalia interview, ingekua vizuri zaidi interview wanazofanya vijana wako uwe unazipitia wewe mwenyewe na ukiona kuna shida rekebisha alafu upload

    • @nkwabishija890
      @nkwabishija890 Před 4 lety +1

      Godfrey Sangu sure uko sahihi

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety

      yup vijana wake wanazingua sana.baadhi ya post zao sio level ya millard ayo.

  • @maridadi8
    @maridadi8 Před 4 lety +1

    Haven of Peace academy? Familia yako ina pesa bwana. Hiyo shule gharama mno. Lea mwaka sh mil 21.. ndio maana ukatoka mzee. Sio kama sisi bwana.. ila lakini hongera sana kwa kujaribu tena

  • @ibrahimsheha215
    @ibrahimsheha215 Před 4 lety +1

    Weegodo usinifundishe kazi nipo a pa kwa myaka 22 inauma sana

  • @josephemanuel6910
    @josephemanuel6910 Před 4 lety +2

    Wanna wote wa pangani tujuane kwa like

  • @amribudi7870
    @amribudi7870 Před 4 lety +2

    Hapa kwetu ni siasa tu

  • @johnmollel7236
    @johnmollel7236 Před 4 lety +1

    Mdogo wangu nakukubali

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo Před 4 lety +1

    nasikia ngoma la geeva

  • @johnmollel7236
    @johnmollel7236 Před 4 lety +1

    Usihofu kuhusu Taifa lako Mungu yu pamoja

  • @agkimedicallaboratory
    @agkimedicallaboratory Před 4 lety +1

    Nimejifunza kitu kutoka kwako Benja.

  • @abrahammtegeta635
    @abrahammtegeta635 Před 4 lety +5

    Nakupongeza sana kijana kwa hatua uliyofikia

  • @rutheric1030
    @rutheric1030 Před 4 lety +1

    how about in Apple store Ben,

  • @hadiyaabdala4473
    @hadiyaabdala4473 Před 4 lety +2

    Ndg usikate tamaa serikali itakuona!!

  • @zubedakachwele8525
    @zubedakachwele8525 Před rokem +1

    Omg

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 Před 4 lety +1

    Alichoongea Benja ndiyo ugonjwa wa watu wasiotaka kujifunza kutoka kwa wengine. Watu wanajifanya wanajua kumbe hawajui chochote na kujifunza hawataki

  • @anodiwise1667
    @anodiwise1667 Před 4 lety +2

    Millardayo pigia kelele inshu ya paypal tuweze kupokea pesa online
    Paypal inatukwamisha sanaa tz

  • @waudo6003
    @waudo6003 Před 2 lety

    Yo bro🙌

  • @paulokilenga1116
    @paulokilenga1116 Před 4 lety +3

    Mbona ulifaulu aisee acha itani!

  • @michaelmgihilwa5428
    @michaelmgihilwa5428 Před 4 lety +2

    Kwanini viongozi mnamkwasha huyu mtu?Tz kuendelea ni ngumu

  • @malley041tv9
    @malley041tv9 Před 4 lety +3

    woyoooooo

  • @queensalema3084
    @queensalema3084 Před 4 lety +1

    Jaman Millard hayo maziwaa

  • @mcgabby
    @mcgabby Před 4 měsíci

    Kama tuna viongozi wanao msikia jamaa wafungue milango Kwa wengine coz Kuna a lot of billions Zina potea but it's not matter wale tu, ila vijana wenye ideas wangepewa fursa ya kuwekeza kwenye vipaja vyao ili kufikisha nchi mbali zaidi

  • @OmanOman-fu8xy
    @OmanOman-fu8xy Před 4 lety +2

    🤝🤝🤝

  • @youngvicent1047
    @youngvicent1047 Před 4 lety +2

    🙏🙏💯

  • @paskalkhamis5827
    @paskalkhamis5827 Před 4 lety +1

    Njoo na pwani bhna tunaitaj nguvu yenu waandash wa abar

  • @joviangeofrey7212
    @joviangeofrey7212 Před 4 lety +1

    kaka we ni nyota angavu kwenye kiza kinene. we endelea na unachoamini tunakukubali sana