I dont mean to be so off topic but does someone know of a tool to log back into an instagram account? I was stupid forgot the password. I would appreciate any tricks you can give me
Story yako imejaa ujumbe wa matumaini kwa watu wote wanaoelewa maana ya maisha, pia imejaa ujumbe wa kuufanyia kazi kama Taifa kuhusu Mapokeo ya elimu yetu Tanzania , Tunaamini zaidi matokeo ya mtihani, 1 hali hii inawaacha na kuwakosa vijana wenye uwezo tu mzuri wanazurura mitaani hadi wanachakaa kisa .... walifeli mtihani wa Mwisho wa kuhitimu elimu zao.... Bado kwenye elimu tunahitaji kubadilika na wenye uwezo wa kuwekeza watazame fursa hizi hususani shule za ufundi ili Tanzania inufaike na uwingi wa watu wake ....
NALA. Unatusaidia sana kutuma pesa from UK. Hii story yako ni inanihusu mimi zaidi. I hope after 10 years i will be back to see this comment and believe that this interview has inspired me. GOD IS GOOD.😊
Kweli hii ya "we dogo usinifundishe kazi niko hapa kwa miaka kadhaa" inaumiza sana na iko sana maofisini. Na ukipiga zaidi utaskia unatafuta kiki n.k. Hatua hizi zinahamasisha. Kwa utaratibu wa sasa wa Mh. JPM kwa kukusanya maduhuri ya serikali nahisi dogo anatufaa sana hapa
Hongera kwakujua sababu zakufeli miaka kumi iliopta,kuvimba ubitozi ulikukosti.wanafunzi eshimianeni mashuleni msvimbe kwakipato cha wazaz wenu mashamba yatawahusu
Nimejiunga na nala app ni bonge la app, huyu mtoto ni balaa nawaomba wote mjiunge na hiyo app yaani inaeleweka na ni rahisi kuitumia na ipo kama tunavyotaka kiafrika zaidi,
ndo taabu nyingi nchi za kiafrika i hope magufuli hameona hili watu kama hawa wasaidiwe hili na sisi tuwe tunaongoza technology hii kuna baadhi ya viongozi wanamungusha ktk maswali haya
Sasa wew endelea kusoma kujiamn kuwa ndio utafanikiwa kimaisha,,na kadri unavyozidi kuendelea kusoma unapishana na utajiri,,,soma kidogo then zama kwenye kutafta maisha,,,🙏🙏🙏🙏🙏
Kwanza nikupongeze Millard kwa interview hizi za mlolongo na huyu kijana Mzalendo sana anae ipenda sana nchi yake Huyu kijana ni lazima azingatiwe kama treasure ya nchi.Mwelekeo wa mafanikio ya nchi ktk karne hii ya 21 ni mapambano ya teknolojia na teknolojia ndio ufunguo wa kila kitu ktk mapambano hayo na ni vijana ndio wanajeshi wazuri wa mapambano hayo Rais wetu mpenda nchi hii na wanawanchi wake nashauri kwamba wakati umeshafika wa kumwita huyu kijana na kukaa nae umsikilize maeazo yake na ushauri wake ktk kuiweka nchi hii ktk nchi bingwa ktk uwanja huu au mapambano haya ya sayansi na teknolojia.Mm naamini hata nchi zingine zinatamani kwamba huyu kijana angekua ni raia wa nchi yao lkn kwa methali ya Kiswahili inayo sema kwamba:"MCHEZAKWAO HUTUNZWA" Kwa hiyo wakati umefika wa kumtunza huyu kijana ktk nchi yake anayo ipenda.
hapo umetudanganya eti alikuwa wa mwisho darasani, ukweli watu wengi wakifanikiwa sana wanasema mara walikuwa wanakua wamwisho mara ameanza na mtaji wa elfu tatu, sema ulikua wa mwishoniila siowa mwisho, ila hongera sana kwa teknolojia uko vzr kaka
Millard wewe huwa unaandika vizuri kichwa cha habari na unahoji vizuri hata mtazamaji anafurahi kuangalia interview, ingekua vizuri zaidi interview wanazofanya vijana wako uwe unazipitia wewe mwenyewe na ukiona kuna shida rekebisha alafu upload
Haven of Peace academy? Familia yako ina pesa bwana. Hiyo shule gharama mno. Lea mwaka sh mil 21.. ndio maana ukatoka mzee. Sio kama sisi bwana.. ila lakini hongera sana kwa kujaribu tena
Kama tuna viongozi wanao msikia jamaa wafungue milango Kwa wengine coz Kuna a lot of billions Zina potea but it's not matter wale tu, ila vijana wenye ideas wangepewa fursa ya kuwekeza kwenye vipaja vyao ili kufikisha nchi mbali zaidi
Usizime mshumaa wa mwezako coz haitafanya wa kwako kuangaza zaidi 💪💪💪
Dahl kwel bro manual education ilikushinda ikabidi uende Auto then ukashinda n bd unatushangaza weus
hakika nimeelewa sana hii
Yah!!!
Stanford ni miongoni mwa vyuo bora kabisa duniani....kama wamekuita ukafundishe hapo kwao, basi bro wewe una kipawa. Hongera sana Benjamin.
I dont mean to be so off topic but does someone know of a tool to log back into an instagram account?
I was stupid forgot the password. I would appreciate any tricks you can give me
Story yako imejaa ujumbe wa matumaini kwa watu wote wanaoelewa maana ya maisha, pia imejaa ujumbe wa kuufanyia kazi kama Taifa kuhusu Mapokeo ya elimu yetu Tanzania , Tunaamini zaidi matokeo ya mtihani, 1 hali hii inawaacha na kuwakosa vijana wenye uwezo tu mzuri wanazurura mitaani hadi wanachakaa kisa .... walifeli mtihani wa Mwisho wa kuhitimu elimu zao.... Bado kwenye elimu tunahitaji kubadilika na wenye uwezo wa kuwekeza watazame fursa hizi hususani shule za ufundi ili Tanzania inufaike na uwingi wa watu wake ....
Mungu mwenye Enzi, mlinde na kuendelea kumbariki huyu kijana.
Amen
Nimejifunza mengi kuliko umri wng, naamini nitafikia malengo yng 🙏🙏hongera kaka Benjamin
Maisha nisafari hutakiwi kukata tamaa big up sana brother
Hakika Mungu ana njia zake za kumuwezesha mtuu kufikiaa malengoo yakoo!!
Kweli
NALA. Unatusaidia sana kutuma pesa from UK.
Hii story yako ni inanihusu mimi zaidi.
I hope after 10 years i will be back to see this comment and believe that this interview has inspired me. GOD IS GOOD.😊
If you are #millardAyo fan finya like apo 👍
Diamond Platnumz dew
Simba kacomment
#chibu
mh ni huyu huyu baba tiffa au??????????????
Like apa kama unamkubali Millard apa
Huwa najifunza Mengi sana kutoka kwako kaka Benjamin .Mungu aendelee kukuongoza
Nilikuwa sijawai isikia lkn inaonekana ni kitu kizuri milard na benja andaa vipindi vingi zaidi ili wengi waijue
Uyu kijana amenifuraisha sana, ana mawazo mazuri sana. Vijana kama hawa ndo wanafaa kuwa role models kwa wengine.. safi sana
Bro u are speaking my story..
Second chances are true.
I wish i had met you 30 yrs ago keep it up, you are wonderful.
Nakupenda sana we kaka vile unajua kuongea nakufanya vijana wasikate tamaa bali mungu akubarik zaid ufike mbali zaid ya hapa
Safi sana. Nimeipenda hii, nimejifunza kitu aisee ...
Wewe ni genius Mungu aendelee kukupigania Mr Benjamin 💪🏾♥️
Kweli hii ya "we dogo usinifundishe kazi niko hapa kwa miaka kadhaa" inaumiza sana na iko sana maofisini. Na ukipiga zaidi utaskia unatafuta kiki n.k. Hatua hizi zinahamasisha. Kwa utaratibu wa sasa wa Mh. JPM kwa kukusanya maduhuri ya serikali nahisi dogo anatufaa sana hapa
Hongera Millard, benji ni noma, kufundisha wazungu sio rahisi.
Ila naomba tu kuongezea kwamba Benja nimependa the fact that umerudi Tanzania na umetujengea heshima Tanzania. Una moyo sana. Wengi hawarudi.
Nala iyo unapataje kujiunga
halaf wavulana weupe wasaf wanajua kutamba xhulen ameongea ukwel mtupu
I luv his innovation 💥💥💥 tz to the world
Hongera sana, Mungu aendelee kukuonyesha njia zaidi ili tuendele kujifunza na kuthubutu kupitia mawazo na ushauri wako.Barikiwa sana.
Huwa nakufuatilia toka day one kwa kweli kuna mafunzo makubwa sana ndani ya Maongezi yako.
He is really inspiring 🙏🙏🙏
Benja unadhibitisha ule msemo usemao nabii hakubaliki kwao to me your the best bro
Akili nyingi 🙌🏾
Mashaallah
Hongera kwakujua sababu zakufeli miaka kumi iliopta,kuvimba ubitozi ulikukosti.wanafunzi eshimianeni mashuleni msvimbe kwakipato cha wazaz wenu mashamba yatawahusu
Hongera sana kaka na pongezi kwa kutokua mchoyo wa maendereo.
Ama kweli mwanadamu hawez kuzuia riziki ya mtu bali anaweza kuichelewesha2,, congratulations Bro,,well done🙏🙏
Good!!nidhamu ni kila kitu ktk maisha
Wow u knw am in love with ur determination benjamin we love ur inspiration
Oya we uyu mwamba yupo vizuli guyz kama unamkubali tia like apo
Nimejiunga na nala app ni bonge la app, huyu mtoto ni balaa nawaomba wote mjiunge na hiyo app yaani inaeleweka na ni rahisi kuitumia na ipo kama tunavyotaka kiafrika zaidi,
Hiyo nara kwamtu aliyopo nchini oman je anawezakutumiamtupesa kwanchi ya Tanzania 🇹🇿 ?
Ndugu na0mba nijuze kuhusu nala kama
Spelling zake zkoje
Nisaidie unaiandkaje ili kuidowlod
ndo taabu nyingi nchi za kiafrika
i hope magufuli hameona hili watu kama hawa wasaidiwe hili na sisi tuwe tunaongoza technology hii
kuna baadhi ya viongozi wanamungusha ktk maswali haya
Asaidiwe nini labda
Great idea
Mimekubali sana mr
respect brother
Mmh kk nampenda sanaaaa mpk naumwa
Milard napenda Sana clip zako zinatutia matumaini vijana
Congratulations
Well noted...!
safi benj
dah kama ni kweli hakika historia yako ni inanisisimua
Huyu jamaa huwa namuelewa San kwakwel
Nidhamu 📌
Sasa wew endelea kusoma kujiamn kuwa ndio utafanikiwa kimaisha,,na kadri unavyozidi kuendelea kusoma unapishana na utajiri,,,soma kidogo then zama kwenye kutafta maisha,,,🙏🙏🙏🙏🙏
Huyu Sio Kama hakusoma alisoma na akafeli tena chuo nje ya nchi
M/mungu atujaalie nasisi atuongoze tufikie malengo yetu...
Very inspiring
i love this guy
Kwanza nikupongeze Millard kwa interview hizi za mlolongo na huyu kijana Mzalendo sana anae ipenda sana nchi yake Huyu kijana ni lazima azingatiwe kama treasure ya nchi.Mwelekeo wa mafanikio ya nchi ktk karne hii ya 21 ni mapambano ya teknolojia na teknolojia ndio ufunguo wa kila kitu ktk mapambano hayo na ni vijana ndio wanajeshi wazuri wa mapambano hayo Rais wetu mpenda nchi hii na wanawanchi wake nashauri kwamba wakati umeshafika wa kumwita huyu kijana na kukaa nae umsikilize maeazo yake na ushauri wake ktk kuiweka nchi hii ktk nchi bingwa ktk uwanja huu au mapambano haya ya sayansi na teknolojia.Mm naamini hata nchi zingine zinatamani kwamba huyu kijana angekua ni raia wa nchi yao lkn kwa methali ya Kiswahili inayo sema kwamba:"MCHEZAKWAO HUTUNZWA" Kwa hiyo wakati umefika wa kumtunza huyu kijana ktk nchi yake anayo ipenda.
Hamis Mamba true fam
kumbuka Nabii hakubaliki kwao
Tuunge mkono mzarende wa ukweli
Big up
safi sana
nakubali sanaa bro
Kaka mirad heshima yako,huyo jamaa Yuko sawa,nikweli vijana wengi hawaja tulia ktk maamuzi na kazi zao
Great Innovation
asia walls sory innovation n nn
@@erickjulius8644 discovery
Kaka ongera sana you have surprise us
Hongera dogo
big up brother
We dogo usinifundishe Kazi nipo hapa Kwa miaka 20! Huku kujimwambafai😭😭.
Hili ni zari aisee, jamani very impressive... aminia
Hiyo ni hekima ya Mungu.
Hongera sana.
Hongera sana 👌🏾👏🏽👏🏽👏🏽❤️🖤🥰
congrats bro
aaaaaaaaaaaaaah hii interview nzuri sana
Hongera kaka
Noted bro
hapo umetudanganya eti alikuwa wa mwisho darasani, ukweli watu wengi wakifanikiwa sana wanasema mara walikuwa wanakua wamwisho mara ameanza na mtaji wa elfu tatu, sema ulikua wa mwishoniila siowa mwisho, ila hongera sana kwa teknolojia uko vzr kaka
Kwani we hujaona result yake????
Naomba namba ya simu ya ndugu Benjamin Ana mambo mazuri ya kujifunza kwake
Benjamin wewe ni shujaa wa Imani
Kuzima mshumaa wa mwenzako hakufanyi wako uangaze zaidi
Bro umebarikiwa Sana, xjajua wengine hizo akili tunapishana nazo wapi, any way mungu azidi kukubariki ndugu
Umetisha mbaya
Naitaji mtu wa kunilipia ada
Millard wewe huwa unaandika vizuri kichwa cha habari na unahoji vizuri hata mtazamaji anafurahi kuangalia interview, ingekua vizuri zaidi interview wanazofanya vijana wako uwe unazipitia wewe mwenyewe na ukiona kuna shida rekebisha alafu upload
Godfrey Sangu sure uko sahihi
yup vijana wake wanazingua sana.baadhi ya post zao sio level ya millard ayo.
Haven of Peace academy? Familia yako ina pesa bwana. Hiyo shule gharama mno. Lea mwaka sh mil 21.. ndio maana ukatoka mzee. Sio kama sisi bwana.. ila lakini hongera sana kwa kujaribu tena
Weegodo usinifundishe kazi nipo a pa kwa myaka 22 inauma sana
Wanna wote wa pangani tujuane kwa like
Hapa kwetu ni siasa tu
Mdogo wangu nakukubali
nasikia ngoma la geeva
Usihofu kuhusu Taifa lako Mungu yu pamoja
Nimejifunza kitu kutoka kwako Benja.
Nakupongeza sana kijana kwa hatua uliyofikia
how about in Apple store Ben,
Ndg usikate tamaa serikali itakuona!!
Omg
Alichoongea Benja ndiyo ugonjwa wa watu wasiotaka kujifunza kutoka kwa wengine. Watu wanajifanya wanajua kumbe hawajui chochote na kujifunza hawataki
Millardayo pigia kelele inshu ya paypal tuweze kupokea pesa online
Paypal inatukwamisha sanaa tz
Yo bro🙌
Mbona ulifaulu aisee acha itani!
Kwanini viongozi mnamkwasha huyu mtu?Tz kuendelea ni ngumu
woyoooooo
Jaman Millard hayo maziwaa
Kama tuna viongozi wanao msikia jamaa wafungue milango Kwa wengine coz Kuna a lot of billions Zina potea but it's not matter wale tu, ila vijana wenye ideas wangepewa fursa ya kuwekeza kwenye vipaja vyao ili kufikisha nchi mbali zaidi
🤝🤝🤝
🙏🙏💯
Njoo na pwani bhna tunaitaj nguvu yenu waandash wa abar
kaka we ni nyota angavu kwenye kiza kinene. we endelea na unachoamini tunakukubali sana