Video není dostupné.
Omlouváme se.

USO KWA USO VUNJABEI NA KIJANA MTANZANIA WA KWANZA KUBUNI NJIA HII YA UTAJIRI/ WAFUNGUKA MAZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 06. 2021
  • #FredVunjaBei #JeffDennis

Komentáře • 50

  • @franklwakatarevideos
    @franklwakatarevideos Před 3 lety +2

    Outstanding speeches Jeff & Fred 👏👏👏👏. Keep moving

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 Před rokem +1

    Fred ni kijana mwenzetu mwenye Akili Sana Mungu akubariki brother

  • @SHommymusic1
    @SHommymusic1 Před 3 lety +2

    Jeff bezos sio tajiri namba 1 tena. Mwaka huu 2021 yupo tajiri mpya namba 1 anaitwa Bernard Arnault.

  • @iamnat.e
    @iamnat.e Před 3 lety +1

    Mad respect to Jeff✊🏽

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Před 3 lety +1

    Big up vijana mufanye kazi msilalamike hakuna kazipo trading ipo kila siku pata elimu wekizeni hapo 360 habari mjini

  • @kenansyprian6954
    @kenansyprian6954 Před 3 lety

    Daaaah asante sana kaka. Mungu awabariki kwa kweliii 🔥🔥🔥🔥🔥#VISION 20250🔥🔥🔥🔥

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 3 lety +1

    Ok wekeni system then tujue namna yakuwatafuta

  • @rashidmgaza5847
    @rashidmgaza5847 Před 2 lety

    ujawai kukosea sir jeff nakubali unachokifanya

  • @gregorymnyika991
    @gregorymnyika991 Před 2 lety

    This man🙌🙌

  • @emmanuelkiwise7217
    @emmanuelkiwise7217 Před 3 lety +3

    Sio rahc kiasi icho am repeating again it's not simple like that

    • @amanistephano5208
      @amanistephano5208 Před 3 lety

      Mbona hakuna ugumu wowote mzee. Kikubwa ni elimu kama unakurupukia forex bila kua na elimu nayo utalia sana

    • @stewartkiboga7352
      @stewartkiboga7352 Před 2 lety

      @@amanistephano5208 can you be my mentor plz am 17 years old

    • @mjumbemwanda9666
      @mjumbemwanda9666 Před měsícem

      Umekua sasa? 😂😂​@@stewartkiboga7352

    • @ericfelician7996
      @ericfelician7996 Před měsícem

      Nyie ndo wachawi wa kukatisha tamaa, Majitu kama huyu usiwahi yashirikisha hata mpango wako

  • @nby17
    @nby17 Před 3 lety +1

    Daah system imeingia bongo!!

    • @mosessanga7534
      @mosessanga7534 Před 3 lety

      Fraud pesa haiji kirahisi.. huyu jamaa amefanikiwa kumdanganya vunjabei..

  • @saidyemanuel8924
    @saidyemanuel8924 Před 3 lety +1

    Kampuni iko wapi, jina lake, jinsi ya kuwapata

  • @abraham329
    @abraham329 Před rokem +1

    Hio kampuni imeishia wapi???

  • @emmakifimbo1244
    @emmakifimbo1244 Před rokem +1

    Usikulupuke kijana biashara Ina sili kubwa Sana mtaangukia pua

  • @NimuFx
    @NimuFx Před rokem

    He is an Fx Trader i guess japo sijasikiliza video yote!

  • @davieabsonvlog2656
    @davieabsonvlog2656 Před rokem

    Hii project iliishia wap?

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 3 lety +2

    kama vile rahisi,munataka kuwauwa watu ..

  • @nzeyimanasadiki6531
    @nzeyimanasadiki6531 Před rokem

    Aje naweza kuwasiliana na Jeff? Please nielekezeni

  • @fredyrhoida7838
    @fredyrhoida7838 Před 2 lety

    kaka Jeff anatisha hana roho mbaya

  • @ibrahimmwendo7379
    @ibrahimmwendo7379 Před 3 lety +2

    Vijana ndio muda huu sasa mtu akisingizia tena ajira hakuna inabidi akapimwe akili

  • @abdallaali10
    @abdallaali10 Před 2 lety

    Hana mpango wowte huyo jamaa

  • @kessikahawamango4114
    @kessikahawamango4114 Před 2 lety

    Hivi vitu vyenu munavileta kuwapiga watu Kama walivyo pigwa kwenye Masterlife

  • @valentinenemes845
    @valentinenemes845 Před 2 lety +1

    It's not that meen,, you need to study much and more demo account.its a shit and it's a gold at the same time.. play safe and don't be dragged .

  • @malmavoice8989
    @malmavoice8989 Před 3 lety +1

    Mwinjaku Jau

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před rokem

    Imefikia wap hii

  • @allanmtuwa7471
    @allanmtuwa7471 Před 3 lety

    Forex trading

  • @tonyvany2121
    @tonyvany2121 Před 3 lety +1

    tunampata vip au office zao zipo wap

  • @__thereal_unclechibo_7953

    🥱🥱TMT IYO

  • @junkie92
    @junkie92 Před 2 lety

    Woooooo...Correct your self. The Billionaire in the World is Elon Musk...
    I live in USA....try not to lie

  • @stephanokimbei
    @stephanokimbei Před rokem

    UKITAKA UPIGWE JARIBU UONE HII HAINA TOFAUTI NA QNET AMBAYO IMELIZA WATU WENGI SANA DUNIANI

  • @bonifacelyimo7835
    @bonifacelyimo7835 Před rokem

    Sir jeff hamna mtu hapo, manipulator sana