NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 11. 2022
  • NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 240

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Před rokem +16

    Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man

  • @sichanaali7284
    @sichanaali7284 Před rokem +12

    Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před rokem +15

    Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před rokem +5

    Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖

  • @hamisahodari9229
    @hamisahodari9229 Před rokem +15

    Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fauziakitenge8061
    @fauziakitenge8061 Před rokem +13

    Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu

  • @joshuamkupi6893
    @joshuamkupi6893 Před rokem

    VUNJA BEI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU NIFFER🔥🔥
    czcams.com/video/9vhp4e5JrBY/video.html

  • @hawamfaume3171
    @hawamfaume3171 Před rokem +35

    Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 Před rokem +14

    Dada maringo huyu kwa kweli

  • @azinarashidi5204
    @azinarashidi5204 Před rokem +8

    Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰

  • @kingcopper_tz
    @kingcopper_tz Před rokem +14

    Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume
    Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa

  • @mrnobody-qg6ed
    @mrnobody-qg6ed Před rokem +2

    We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo

  • @rahimaaaaa5682
    @rahimaaaaa5682 Před rokem +2

    Nakupnda wedada❤❤❤

  • @nadanasser1020
    @nadanasser1020 Před rokem +3

    ❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada

  • @meryamreally2768
    @meryamreally2768 Před rokem +3

    Ok sawa ❤️

  • @joysarah
    @joysarah Před rokem +7

    Eti ana miaka 23😄😄🙌

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před rokem +4

    Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣

  • @hamzamoshi8275
    @hamzamoshi8275 Před rokem +6

    Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻‍♂️✔✔✔

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Před rokem +13

    Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪

  • @sadasaid4408
    @sadasaid4408 Před rokem +3

    Mashallah nifa uko vzr kuongea

  • @charlessalimu5875
    @charlessalimu5875 Před rokem +23

    Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania

  • @tausihasheem5169
    @tausihasheem5169 Před rokem +9

    Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 Před rokem +15

    Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau

  • @allanikaal6379
    @allanikaal6379 Před rokem +9

    I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo

    • @halimakanik8789
      @halimakanik8789 Před rokem

      Amefika25 vzur tuu

    • @yasinthaprosper4226
      @yasinthaprosper4226 Před 8 měsíci

      Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana

  • @loveneypoul9285
    @loveneypoul9285 Před rokem

    Nakupenda niffer🤩

  • @chuchudorice8531
    @chuchudorice8531 Před rokem +4

    Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa

  • @imranihussen5764
    @imranihussen5764 Před rokem +1

    Niffet nakupenda san❤

  • @daglaskiberenge106
    @daglaskiberenge106 Před rokem +3

    unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!

  • @deus8629
    @deus8629 Před rokem +2

    Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Před rokem +2

    Bichwaa ndio romantic name🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @issahpaul4510
    @issahpaul4510 Před rokem +18

    Huyu demu kalewa na umarufu

  • @furahayahaya8472
    @furahayahaya8472 Před rokem

    yan nakupenda mno sanaa beby niffa

  • @noelalubulilla6362
    @noelalubulilla6362 Před rokem

    Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha

  • @thekennedy2002
    @thekennedy2002 Před rokem +4

    Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview

  • @faridaabdallah7424
    @faridaabdallah7424 Před rokem

    Kwan mkisemaga mna date ndo kitatokea nini

  • @ashanguya843
    @ashanguya843 Před rokem +6

    Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki

    • @mimikimanga3126
      @mimikimanga3126 Před rokem +3

      Acha makasiriko weweeee

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem +2

      @@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..

  • @masika.zubeda.430
    @masika.zubeda.430 Před rokem +3

    She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣

  • @vestinambunda8837
    @vestinambunda8837 Před rokem +14

    Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno

  • @hassansammy1076
    @hassansammy1076 Před rokem

    Niatari kweli

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Před rokem +4

    Eti ongea kiswahili bhn😁

  • @preciouspeter2897
    @preciouspeter2897 Před rokem

    Mmmh

  • @rosenaafya9356
    @rosenaafya9356 Před rokem +3

    Nmependa mwishoni
    Saloon gani
    Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před rokem +1

    Ahahahahaaaa Ahahahahaaaa jmn mimi ni muhaya lakini sijafikia ayo majigambo aya

  • @selemanimchana3598
    @selemanimchana3598 Před rokem +2

    Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Před rokem +3

    Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před rokem +6

    Tutafut hela jaman salooon hoyeeee

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před rokem +4

    Umaarufu unamlevya na hilo Duka

  • @saimarmuhsin9578
    @saimarmuhsin9578 Před rokem

    Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 Před rokem

    Nice one

  • @canisiusjohnkayombo4996
    @canisiusjohnkayombo4996 Před 2 měsíci

    Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake

  • @divinebernard1047
    @divinebernard1047 Před rokem +1

    Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔

  • @swaumironlady3645
    @swaumironlady3645 Před rokem

    Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan

  • @sophiangaoga7451
    @sophiangaoga7451 Před rokem +3

    Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .

  • @reneeisaya733
    @reneeisaya733 Před rokem +19

    Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂

    • @theopistachialo6750
      @theopistachialo6750 Před rokem +1

      😅😅😅😅😂😂😂

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Před rokem

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @stewardmbena3737
      @stewardmbena3737 Před rokem +1

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr Před rokem +1

      Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa

    • @reneeisaya733
      @reneeisaya733 Před rokem +1

      @@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza

  • @safiyatheonlything7848

    Me napita tu maana comment za waja sina la kusema

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Před rokem +1

    Binti huyu ni anajitambuwa ni bichwa kweli❤️

  • @rehemalukali8326
    @rehemalukali8326 Před rokem +5

    Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata

  • @Gody360
    @Gody360 Před rokem +1

    MaKn

  • @bossjooh
    @bossjooh Před rokem +1

    Daaaah Mdada Mzuri Uyu ila amfikiii Wanguu🙅☕️🙅☕️

  • @eliasenyaleonard178
    @eliasenyaleonard178 Před rokem

    Et ongea kiswahili

  • @abedomar5183
    @abedomar5183 Před rokem +1

    Mademu wa bongo njaa Sana yani

  • @munnahbakari725
    @munnahbakari725 Před rokem +16

    Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..

  • @jacklinechuga2569
    @jacklinechuga2569 Před rokem +3

    Jomoniii nimekupenda bure niffer

  • @dianadenice3610
    @dianadenice3610 Před rokem

    Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅

  • @valeriaally6584
    @valeriaally6584 Před rokem

    huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka

  • @abasisudi1809
    @abasisudi1809 Před rokem +1

    Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi

  • @suzanmeela5542
    @suzanmeela5542 Před rokem

    Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake

  • @halimambarouk4612
    @halimambarouk4612 Před rokem

    Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri

  • @kingnicky2568
    @kingnicky2568 Před rokem

    Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 Před rokem

    Uyo wanadatevzr sana

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 Před rokem

    Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa

  • @fakiikibakola1300
    @fakiikibakola1300 Před rokem +6

    GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu

  • @hashimlowela294
    @hashimlowela294 Před rokem

    😄😄😄

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 Před rokem

    Ochu hajafkish 25

  • @noraazan9124
    @noraazan9124 Před rokem +1

    Wivu wa watu tu.Songa mbele

  • @carlitomsolla7287
    @carlitomsolla7287 Před rokem +1

    Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje

  • @nasseralhatmi1762
    @nasseralhatmi1762 Před rokem +2

    Duuuuuh hii balaa jamani toka lini pizza 🍕 ikauzwa KFC labda pizza ya kwake mwenyewe ndio anaiuza

    • @merisianantandu1327
      @merisianantandu1327 Před rokem

      😂😂😂anaona wote washamba hatujui KFC nini inauzwa

    • @vennyrichard2139
      @vennyrichard2139 Před rokem

      @@merisianantandu1327 hahàaa KFC sijawah ona pizza jmn

    • @nin6324
      @nin6324 Před rokem +1

      Nenda KFC Mikocheni pale kuna Pizza Hut and KFC

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Před rokem +1

      @@nin6324 nafikiri wewe umetoka hospitali ya mirembe angalia vizuri ulivyoandika pizza hut na kfc ni vitu viwili tofauti pizza hut haiuzwi KFC hata siku moja pumbavuuu wewe

    • @mariamyoyote8172
      @mariamyoyote8172 Před rokem

      @@merisianantandu1327kwanini wasiuze najiulizaga

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před rokem +1

    Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn

    • @paskalinapa6177
      @paskalinapa6177 Před rokem

      Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba

  • @SekelaJakson-ls7dd
    @SekelaJakson-ls7dd Před 8 měsíci

    Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢

  • @najuf8021
    @najuf8021 Před rokem +1

    Mimi nikajua anaakili

  • @sheilahhamid8510
    @sheilahhamid8510 Před rokem

    KFC Kuna pizza??

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Před rokem

    Bichwa🤣🤣🤣 nakupenda sana vile unajikubali

  • @zulehhasani6690
    @zulehhasani6690 Před rokem

    Et ongea kiswahili bwana 😂

  • @tabomusic3625
    @tabomusic3625 Před rokem

    Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae

  • @user-ce2uj8oi4h
    @user-ce2uj8oi4h Před 8 měsíci

    😅😅ety bichwa nimefrah

  • @Officialmrisho
    @Officialmrisho Před rokem

    Haaaa

  • @samwelipaschal6412
    @samwelipaschal6412 Před rokem +16

    Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika

  • @stamalamkulungwa8708
    @stamalamkulungwa8708 Před rokem

    Dada wawatu anapambana mwacheni jamani

  • @mayamu2150
    @mayamu2150 Před rokem

    Miaka 23 ya mbwa

  • @sameeraaljabry8703
    @sameeraaljabry8703 Před rokem

    kfc mkala pizza😂😂😂

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 Před rokem

    Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo

  • @YasiniHasani-og4hc
    @YasiniHasani-og4hc Před rokem

    Kwa uzur gani

  • @amenyemwansile6919
    @amenyemwansile6919 Před rokem

    Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha

  • @francisjuly5761
    @francisjuly5761 Před 11 měsíci

    Wacuba tushaelewaa😂

  • @paskalinapa6177
    @paskalinapa6177 Před rokem

    Hauna uzuri wowote😏😏😏😏 punguza mdomo, una ropokwa vibaya na mwisho wa siku hyoo Patrick Kanumba atakuacha tuu.

  • @fatimarita6490
    @fatimarita6490 Před rokem

    KFC za tz wanauza 🍕 pizza

  • @rinmo2124
    @rinmo2124 Před rokem

    Huyu dada mkorofi, kila siku anagombana na mtu. Amweke ndani kwajili amesema amepata ajali? Sasa hapo amevunja sheria gani?😂

  • @tinalikasi7585
    @tinalikasi7585 Před rokem

    We kila mtu rafiki yako

  • @greatest_of_africa
    @greatest_of_africa Před rokem +4

    😂😂😂kadangaji haka

  • @mizesuleiman1834
    @mizesuleiman1834 Před rokem

    Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi