NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
Vložit
- čas přidán 9. 11. 2022
- NIFFER AMUOMBA MSAMAHA VUNJABEI, PENZI LAKE NA PATRICK KANUMBA MAMBO NI 'HUYU HAPA HUYU.....'
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Hata akisemwa nakapenda tu. dada Niffer hongera yu found true love uko happy and proud of your Man
Weeeeeeh! nampenda huyu dada ❤❤❤yuko vizuri anajilewa nampendaaaaaah😍😍😍
Perfection ❤❤❤
Watu wanawivu sana jamani unamchukia hata usiemjua niugonjwa wa akiri kumchukia usiemjua. Nifff ochu wako na unampenda sana mfike mbali ❤️
Aaaa naona wengi wanaomsema bi dada wamepigwa hatua balaaa Yani MTU ukifanikiwa ukizingatia umri mdogo 🤣😂😂😂😂😂aloo niffer achana nao piga KAZ mwenyez mungu yu pamoja na wewe♥️💞♥️❤️❤️💖💖
Bila gigy wala uyu dem nilikuag cmjui jmn....🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kam mm ty
Mmmh niffer anajimaliza kwa huyo ochu
VUNJA BEI AFUNGUKA MAZITO KUHUSU NIFFER🔥🔥
czcams.com/video/9vhp4e5JrBY/video.html
Niffer n mzur kuongea anaweza yupo charming sema anauhaya mwingi
muache jmn muhaya mwenzangu
Hahaha NAMI Muhaya otyooooo hahahaha
Dada maringo huyu kwa kweli
Huyu bado mdogo🥰🥰love you Niffer M napenda unavyompenda Mungu🥰🥰
Niffer: mimi sina boyfriend nina mwanaume
Niffer baada ya dakika tano: boyfriend wangu mnyamwezi sanaaa
aise watu mko makini
Hhhhh mdomo koma hapo umensaidia ndg
We muhaya malaya sana wew I know u since kitambooo
Nakupnda wedada❤❤❤
❤️🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹 nakupenda saaana dada
Ok sawa ❤️
Eti ana miaka 23😄😄🙌
Kwani ni uongo?
Bila gigy nilikua sikujui hakii vile🤣🤣🤣
Niffer mzuri uyu dada uuuuuuwiiiiii💜💜💜💜💜💜💜💜🙆🏻♂️✔✔✔
wa kawaida sana mbona..uso mzitp
Macho yako mabovu tu😀
Hata asemwe vibaya me Niffer nampenda sana, hata Mimi pia napitia unayopitia mpenzi, napigwa vita kisa upambanaji wangu, usiogope Mungu yupo na wanaotuwazia mabaya ukiangalia tumewazid Kwa Kila kitu, ko wache wabwatuke ila Mungu yupo nasi💪
Siku zote ipo hivyo MPAMBANAJI lazima wakuongelee
🤣🤣🤣🤣
Na ukijipost wanasema unajidai unawaringishia😂😂😂😂
Upambani Katika kudanga ama?
Mashallah nifa uko vzr kuongea
Mara boyfriend mara mwanaume wangu, ni hatari na mademu wa Tanzania
Nimependa ulivyosema kitu cha kwanza n kumuamin Mungu🙏
Unaangaika tu fredy wala hana muda na wewe na ndoman hakujibu coz kakuzarau
Saaaaana
Kila interview lazima ajiongeleshe kuhus Fred mwenzie yupo kimya
I don't know why people catching feeling with this girl first of all ni mdogo inafaa mjue lazim atakuwa na immature nyingii kwa umri wake mambo ya kujickia n kitu cha kawaida ngojeni afike miaka 25 kwenda juu ndo muanze kumwambia aache maringo
Amefika25 vzur tuu
Umeona kaka ndy Ile barehe bado anayo utoto Yani. Akifka25 hatokuwa hvo Kwanza akili itachange.maringo yatapungua NAMI nilikuwa hvo si Mimi Tu Kila kijana
Nakupenda niffer🤩
Kwany kuwa kuwa na ex nikuwa ulikuwa umeolewa mxieeew huyu anajiona Nani kulikuwa wengi wanoma hata kina wema ila Leo wametulia punguza misifa
Niffet nakupenda san❤
unachanga'nya habari mwadada kama ulitoa kimpango wako mlielewana ss sio watoto wadogo ulikolea kisa mkwanja, habari tunayo!
Ipo siku huyo mwanaume unae msifia tutasikia story nyingine... tunza hii comment pls
Bichwaa ndio romantic name🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Huyu demu kalewa na umarufu
Mtazamo wako tu
yan nakupenda mno sanaa beby niffa
Hahahahaha sema niffer unampenda ochu ..ata ukimuongelea tu inaonyesha
Mchaga ww ni mnyamwezi nmekubali unajua interview
Kwan mkisemaga mna date ndo kitatokea nini
Wewe aueleweki mara wasema ausuki ayo manywele ulio nayo au auswali tena we mnafiki aueleweki
Acha makasiriko weweeee
@@mimikimanga3126 kwakweli, anataka aeleweke ili iwaje sasa,..
She is 23 daah kumbaaa nikoo 12😂🤣🤣🤣
Tutunze interview🤣 Maan Nana dolly ni pisiii kweliii na akabagwaa🤣🤣🤣 Itakuwa ww sura nzitoo ivoooo punguzaaa mihemkoooo dada weka na akibaaa ya maneno
Sem wat mna wiv
Nana hajawahi kudate na ochu ww....ni washkaji tuuh maana wanaigiza series moja ya pazia
@@dayanandama8873 Kaa hapo hapo🤣
Niatari kweli
Eti ongea kiswahili bhn😁
Mmmh
Nmependa mwishoni
Saloon gani
Et needvaa aaaha Sijui😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ahahahahaaaa Ahahahahaaaa jmn mimi ni muhaya lakini sijafikia ayo majigambo aya
Huyu demi mshamba kweli, kweli mjuaji saaana! Mademu kama nyinyi ndio vile
Ila niffa anacheka vizuri kinoma af napenda mdada mwenye kaaibu flani iv kama uyo duh dogo Suma anafaid
Tutafut hela jaman salooon hoyeeee
Umaarufu unamlevya na hilo Duka
Mfyuuu ujinga tu mwanume si akuoe mnafanya uzinifu kisha manaongea kwa proud kabisa khaa uchafu tu
Nice one
Mapenz konyo kweliiii kwaiyo kashaachana na patrick,sahivi niffer kafunga ndoa na mwingine,kwel kila mtu nawakati wake
Kwanza apo kwa urembo atukome!!uyu dada mbaya ilaanajiona sijuwi Rihanna 🤔🤔
Mnaanzaga sio yy mwsho wa siku mambo hadharan
Ila tukitaka ubuyu Zaid tumuone dada mange kimambi kuhusu huyu bibie .
Demu muongo huyu,kfc piza ya matako😂
😅😅😅😅😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa uongo wake nini? KFC 🍗 kula 🍕 umeona ni kitu kikubwa
@@NR-ll4sr 🤣🤣🤣kfc tangu lini kuna piza
Me napita tu maana comment za waja sina la kusema
Binti huyu ni anajitambuwa ni bichwa kweli❤️
Huy ndo inaonekana anampenda san mwanaume ila ataachwa muacho mmoja matata
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅😅jamani
Hahaha muacho
@@vickydan2869 😂😂😂
😂😂😂😂
MaKn
Daaaah Mdada Mzuri Uyu ila amfikiii Wanguu🙅☕️🙅☕️
Et ongea kiswahili
Mademu wa bongo njaa Sana yani
Kumbe Kfc wanauza na pizza siku hizi na watu hata hamsemi jamani..
😂😂😂
KFC Mikocheni Kuna Pizza Hut
@@nin6324 uwongo uwoo pizza hut iko kivyake kfc kinyake loh
🤣🤣kaupiga mwingi
😅😅
Jomoniii nimekupenda bure niffer
Hujui ata kudanganya mjinga wrw😅😅
huyo Ochu ndio kwanza anakua,bado ujana hajaumaliza,usijimalize dada ukadharau ulikotoka
Gud girl but mtii mungu wanadam Wana mengi
Yan kajing'ata akubali tuu ochu ni mwanaume wake ndo ndo hyo boyfriend wake
Unamuamini mungu kweli dada angu lkn ujistiri
Eti ukamweka ndan haya bwana ipo sku mtu atajichangnya ...ntanunua hio kesi hta amini
Uyo wanadatevzr sana
Mara ana mwanaume tena anageuka ana boyfriend au mm ndiye sijamuelewaaa
GIGI ashukuliwe mmi nilikua simjui hyu
Huy ndo amshukuru gig coz kajulikana 😂😂😂😂
Wewe kama mim😅
😄😄😄
Ochu hajafkish 25
Wivu wa watu tu.Songa mbele
Kwann kawa maarufu uyyu bongo bwana sasa anatak kusemaje
Duuuuuh hii balaa jamani toka lini pizza 🍕 ikauzwa KFC labda pizza ya kwake mwenyewe ndio anaiuza
😂😂😂anaona wote washamba hatujui KFC nini inauzwa
@@merisianantandu1327 hahàaa KFC sijawah ona pizza jmn
Nenda KFC Mikocheni pale kuna Pizza Hut and KFC
@@nin6324 nafikiri wewe umetoka hospitali ya mirembe angalia vizuri ulivyoandika pizza hut na kfc ni vitu viwili tofauti pizza hut haiuzwi KFC hata siku moja pumbavuuu wewe
@@merisianantandu1327kwanini wasiuze najiulizaga
Unampenda sana patrick cjajua nayy anakupenda hvhv alaf unapenda ukiulizwa kama unadate nae ila patrick cdhan kama anaweza kukuoa kwa ulivo ww ni muongeaji sana na sifa juu sory lkn
Yap ata mm siko sure kama anaeza olewa na Patrick Kanumba
Mmh zambi Yule kinyoz amekataliwa 😂😂kisa Hana salali😢
Mimi nikajua anaakili
KFC Kuna pizza??
Bichwa🤣🤣🤣 nakupenda sana vile unajikubali
Et ongea kiswahili bwana 😂
Babu hakuna kitu kitafanya amani iwepo kwenye mapenzi zaidi ya kipara yaani kipara kinaanza vingine baadae
😅😅ety bichwa nimefrah
Haaaa
Aka kadada Kazuri wivu tuache jaman sema ndo ivo wengine atunaga neema mm huyu akiwa rafik tu nalizika
Hakana uzuri...wowote usimpe sifa zisizo zake
Kazur afu mpambanaj
Dada wawatu anapambana mwacheni jamani
Miaka 23 ya mbwa
kfc mkala pizza😂😂😂
Mmmmh majirani hawezi kuongea uongo
Kwa uzur gani
Mshamba wee muombe msamaha gigy money kwa kumtukana bila sababu za msingi wewe umemwonea gigy wewe ningekuwa mimi ningekunyooosha
Wacuba tushaelewaa😂
Hauna uzuri wowote😏😏😏😏 punguza mdomo, una ropokwa vibaya na mwisho wa siku hyoo Patrick Kanumba atakuacha tuu.
KFC za tz wanauza 🍕 pizza
Huyu dada mkorofi, kila siku anagombana na mtu. Amweke ndani kwajili amesema amepata ajali? Sasa hapo amevunja sheria gani?😂
We kila mtu rafiki yako
😂😂😂kadangaji haka
Na ww kadangeeee kwani kunasiku alikuita mkamshikiee mguu
Sawa ulikua ushuke uongee nao uombe radhi