NIFFER afichua Alichoambiwa na Mwanamke wa ALIKIBA baada ya kuongea nae kwenye simu
Vložit
- čas přidán 29. 08. 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
NIFFER NI KICHWA SANA....MAASHAALLAH....Kila lak heri MAISHANI MWAKO.... Unajitambua sana..
Akili ya kuambiwa changanya na yako
MashaAllah mke wa Ali kiba mzuriii mwarabu rangi fresh mtoto mrembo sio huyu kama mvutu😂😂😂😂
😄😁😁vibaya ivo jamani wakilijua hilo vutu wanaompenda watakuchapa🤣🤣🤣🤣
Uarabu bongo..nyoi
Nimeipenda sana Mtangazaji alivo kua anamuuliza maswali kumbe tunawatangazaji Bomba kabisa kwambaliii namuona Salama Jabiri kwenye maswali
King's Alikiba for ever
Nakupenda you are very intelligent congrats!!
Salama jabar upo rick now
Nani amegundua kama dada mtangazaji ana sauti kama ya salama jarib
Kweli
Kweli bhana ❤
Jarib yupi
Salama Jabir sio jarib
Ni salama jarib ama ni salama jabir 😂😂😂
Piga kazi mwaya mungu atakusadia
Kuna kitu hamjuwi Aminaa wife wa Ally anapenda kumona mmewe akifanya kiki bt Ally hana hizo ndio maana anazifanya yeye
Nampenda sana niffer Yuko vizur na ni mpambanaj
Duuuh,Yani akiambiwa kuhusu alikiba anachanganykiwa,
Wewe niffer hivi akili zako ni sawa na amina mke wa Ally kiba , najilaumu sn amina kuolewa na kiba huyu dada alitakiwa aolewe na kiongozi frani wa inchi,
Akuna urafiki wa mume na mke ww dada sema ukweli
Wewe mume wa mtu koma kuwa mbali hata ww hutokubali mumewo kuwa na shanging eti rafiki picha peke yke zinaonyesha
Kwakweli unakubalika sana🎉🎉🎉🎉🎉
Huyu demu anakili. Yani napenda Sana interview zake. Anakupa ukweli
🥰♥️😘💕 Niffer wangu
❤
Love this
NIFFER ni mzuri JAMANII
We mtangazaji ni mnafiki wew hayo ni maneno yako sio ya watu ...sijawah ona star wa kike akimuongelea niffer wew ni mchonganishi acha kusema watu kiazi wew
Kwa mbali sauti ya mtangazaji kama ya salama jabr
Sio ata kwa mbali sana kama humuoni utajuwa tu jabir kabisaaa ki sauti
@@nizclemencelampslabiche2007 kabisa yaan
Kweli
Atajuwa mwenyewe iyo ndio kazi yao mtu kama unajiamini mbona asikuoe fact you tena umukome amina wetu
Jamani Jamani muacheni Niffer afanye kazi zake.
Ata mobeto nae alikuwa anakataa atok na mond mwisho wasiku mtoto akawaumbua😁 ukwel wanaujua wao bhna
Yule ni mke sio mwanamke....... mwanamke ni niffer ndio hajaolewa lkn wa ally ni mke
Malipo nihapahapa chini yajuwa 🙏🙏🙏
Wewe ndo sababu mjinga hovyo sura kama dum ww mume wa mtu sum
Simpendi mwanamke anaye jipa kipaumbele yy mwenyew chakua na m2 ambaye ht ajawai kusema hazarani kama nimtu wake🙌wanawake aibu sana kiba kuna sehem ipi mnioneshe aliyosema kamdet uyu mende?
Huyo nifa kasomea wapi utangazaji au ndio kugaiyana kiurafiki
Huyu Dada Nampenda Lakini Kwanini Watu Wanamsema Vibaya!?!! 🤔
Natak aowe wote wawili maan mnachonga xan chongen viaz
Chombo ya ali kiba😂😂😂
Niffer hatukuzaliwa jana, eti wewe na Ali Kiba ni marafiki tu 😏
Watanzania mnapenda ngono looo kwahiyo mtu asiongeeee na mtu anamtombaaaa heeee mwacheni akili za chini hizo washezi wakubwaaaa
Kwanyo mtu akiwa na mwanaume ni mpenzi loooooooooh
Tatizo la niffer ana shobo za wazi wazi pozi Hana ,nihivyo tu lakini Kwa akili anazo na nimpambanaji
Huyu mfanyabiashara sio msanii, so wafanya biashara Shobo ni sehemu ya biashara mzee
Moja ya sifa nnayoipenda ya huyu dada alisema anawivu sana, akipenda anamchunga sana mtu wake
Sauti ya mtangazajji nu salama jabiri
Huyu anaemhoj ni ndugu wa salam
Niffe nakupenda coz mpambanaji mno
Kibaa kasha mzagamua mtuuu😂😂😂usituchoshe niffa unataka umalufuuu😅
Dah ila uyu mdada Sawa tu
Sikupendi wewe mbwa umevunja ndowa yawatu ninao wapenda pumbav wewe kabisa 😏😏
Pole😂😂😂
@@anniemallagi 🤣🤣 pole ya nini
Ni mvunjifuu huyoo
Hata kama huna mausiano na Ali Kiba ila una shobo za kijinga jinga pi guza shobo u are forcing kiki na Ali Kiba u talk too much punguza
Mwache awe na shobo wewe hata alikiba kumgusa nguo tuuu ali ataichana kabisaa acheni wivu
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅
so tatizo lako ni lipi