NIFFER afichua Alichoambiwa na Mwanamke wa ALIKIBA baada ya kuongea nae kwenye simu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------

Komentáře • 65

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Před rokem +11

    NIFFER NI KICHWA SANA....MAASHAALLAH....Kila lak heri MAISHANI MWAKO.... Unajitambua sana..

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Před rokem +10

    MashaAllah mke wa Ali kiba mzuriii mwarabu rangi fresh mtoto mrembo sio huyu kama mvutu😂😂😂😂

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 3 měsíci

    Nimeipenda sana Mtangazaji alivo kua anamuuliza maswali kumbe tunawatangazaji Bomba kabisa kwambaliii namuona Salama Jabiri kwenye maswali

  • @MrHeritier239
    @MrHeritier239 Před rokem +2

    King's Alikiba for ever

  • @joycekasimbazi-pt3tq
    @joycekasimbazi-pt3tq Před rokem +1

    Nakupenda you are very intelligent congrats!!

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Před rokem +1

    Salama jabar upo rick now

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před rokem +12

    Nani amegundua kama dada mtangazaji ana sauti kama ya salama jarib

  • @user-sh7dp6uj8r
    @user-sh7dp6uj8r Před rokem +5

    Piga kazi mwaya mungu atakusadia

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 Před rokem +8

    Kuna kitu hamjuwi Aminaa wife wa Ally anapenda kumona mmewe akifanya kiki bt Ally hana hizo ndio maana anazifanya yeye

  • @BerthaMyale
    @BerthaMyale Před rokem +3

    Nampenda sana niffer Yuko vizur na ni mpambanaj

  • @solomonkitonka6904
    @solomonkitonka6904 Před rokem +4

    Duuuh,Yani akiambiwa kuhusu alikiba anachanganykiwa,

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +12

    Wewe niffer hivi akili zako ni sawa na amina mke wa Ally kiba , najilaumu sn amina kuolewa na kiba huyu dada alitakiwa aolewe na kiongozi frani wa inchi,

  • @munangamia2069
    @munangamia2069 Před rokem +5

    Akuna urafiki wa mume na mke ww dada sema ukweli

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před rokem +4

    Wewe mume wa mtu koma kuwa mbali hata ww hutokubali mumewo kuwa na shanging eti rafiki picha peke yke zinaonyesha

  • @user-sh7dp6uj8r
    @user-sh7dp6uj8r Před rokem +3

    Kwakweli unakubalika sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim9021 Před rokem +7

    Huyu demu anakili. Yani napenda Sana interview zake. Anakupa ukweli

  • @user-gp3le3vr1v
    @user-gp3le3vr1v Před rokem +1

    🥰♥️😘💕 Niffer wangu

  • @user-ul9tr3ql5k
    @user-ul9tr3ql5k Před 5 měsíci +1

  • @DinoDosSantosjorge-ql3ss

    NIFFER ni mzuri JAMANII

  • @swalhawerema57
    @swalhawerema57 Před rokem +2

    We mtangazaji ni mnafiki wew hayo ni maneno yako sio ya watu ...sijawah ona star wa kike akimuongelea niffer wew ni mchonganishi acha kusema watu kiazi wew

  • @greaterjustin2231
    @greaterjustin2231 Před rokem +8

    Kwa mbali sauti ya mtangazaji kama ya salama jabr

  • @aishaali9583
    @aishaali9583 Před rokem +1

    Atajuwa mwenyewe iyo ndio kazi yao mtu kama unajiamini mbona asikuoe fact you tena umukome amina wetu

  • @neemaalphonce109
    @neemaalphonce109 Před rokem +1

    Ata mobeto nae alikuwa anakataa atok na mond mwisho wasiku mtoto akawaumbua😁 ukwel wanaujua wao bhna

  • @zuhuraimran3659
    @zuhuraimran3659 Před rokem +1

    Yule ni mke sio mwanamke....... mwanamke ni niffer ndio hajaolewa lkn wa ally ni mke

  • @laliyamusasilwa-tw9zq
    @laliyamusasilwa-tw9zq Před rokem +1

    Malipo nihapahapa chini yajuwa 🙏🙏🙏

  • @umsulaiman7468
    @umsulaiman7468 Před rokem +2

    Wewe ndo sababu mjinga hovyo sura kama dum ww mume wa mtu sum

  • @jamilahabibu9299
    @jamilahabibu9299 Před rokem

    Simpendi mwanamke anaye jipa kipaumbele yy mwenyew chakua na m2 ambaye ht ajawai kusema hazarani kama nimtu wake🙌wanawake aibu sana kiba kuna sehem ipi mnioneshe aliyosema kamdet uyu mende?

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +2

    Huyo nifa kasomea wapi utangazaji au ndio kugaiyana kiurafiki

  • @fatmatraashidu8522
    @fatmatraashidu8522 Před 9 měsíci

    Huyu Dada Nampenda Lakini Kwanini Watu Wanamsema Vibaya!?!! 🤔

  • @fettyulomiamina9071
    @fettyulomiamina9071 Před rokem

    Natak aowe wote wawili maan mnachonga xan chongen viaz

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Před rokem +4

    Chombo ya ali kiba😂😂😂

  • @trishtrish2349
    @trishtrish2349 Před rokem +3

    Niffer hatukuzaliwa jana, eti wewe na Ali Kiba ni marafiki tu 😏

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před rokem +1

      Watanzania mnapenda ngono looo kwahiyo mtu asiongeeee na mtu anamtombaaaa heeee mwacheni akili za chini hizo washezi wakubwaaaa

    • @deboramartin8111
      @deboramartin8111 Před rokem

      Kwanyo mtu akiwa na mwanaume ni mpenzi loooooooooh

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +7

    Tatizo la niffer ana shobo za wazi wazi pozi Hana ,nihivyo tu lakini Kwa akili anazo na nimpambanaji

    • @muksinimbaruku1233
      @muksinimbaruku1233 Před rokem +1

      Huyu mfanyabiashara sio msanii, so wafanya biashara Shobo ni sehemu ya biashara mzee

  • @trillionthamani
    @trillionthamani Před rokem +1

    Moja ya sifa nnayoipenda ya huyu dada alisema anawivu sana, akipenda anamchunga sana mtu wake

  • @sabahsalim3306
    @sabahsalim3306 Před rokem

    Sauti ya mtangazajji nu salama jabiri

  • @AnetDaniel-vx2sd
    @AnetDaniel-vx2sd Před rokem

    Huyu anaemhoj ni ndugu wa salam

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +2

    Niffe nakupenda coz mpambanaji mno

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py Před rokem +2

    Kibaa kasha mzagamua mtuuu😂😂😂usituchoshe niffa unataka umalufuuu😅

  • @Saki930
    @Saki930 Před rokem

    Dah ila uyu mdada Sawa tu

  • @HarimahtheAnny
    @HarimahtheAnny Před rokem +4

    Sikupendi wewe mbwa umevunja ndowa yawatu ninao wapenda pumbav wewe kabisa 😏😏

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem +4

    Hata kama huna mausiano na Ali Kiba ila una shobo za kijinga jinga pi guza shobo u are forcing kiki na Ali Kiba u talk too much punguza