Nilianza Na Mtaji Wa Shilingi Elfu Arobaini | Niffer Atoa Siri Ya Kufanikiwa Bado Kijana Mdogo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024

Komentáře • 55

  • @gracefanuel2020
    @gracefanuel2020 Před rokem +9

    Hapo kwenye jisaidie na Mungu akusaidie labda miungu sio Mungu wa mbinguni.

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před rokem +4

    Yaaani huyu ni kusema ati ukizungukwa na watu wenye mafanikio umetoboa😂😂😂

  • @rahabumwakajoka6721
    @rahabumwakajoka6721 Před 4 měsíci

    Kutoa sio kazi ,kaz inakuja hivi unapambana kutoboa but unazungukwa na watu wa aina gani hivyo tujitahd mno kutofautisha 😢😢😢

  • @michaelmagembe6918
    @michaelmagembe6918 Před 10 dny

    Hapo Sawa kufanikiwa ni lazima

  • @selinajohn3552
    @selinajohn3552 Před 2 měsíci

    Yaan nakupenda nakufatilia acheni wivu maisha ni kuwa tayari sas wee UNATK kuomba t umekaa bila kuonyeshaa bidiii yatakuja yenyew

  • @kastoriraphaelmartin2628
    @kastoriraphaelmartin2628 Před měsícem

    Hongera

  • @jumambwambo
    @jumambwambo Před rokem +13

    Huyu ni danga la maana sana na hakika huyo anae mdanga amempatia sana eti aende china dubai kwa gharama zake hapana aisee

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před rokem +2

    Hii ni love story

  • @rashidbusoro6565
    @rashidbusoro6565 Před rokem +4

    Biggest Media est Africa huyo niffa sio mkweli

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Před rokem +4

    Uwongoooo!! Uwongoooo!!! Uwongoooo

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      Kwa ninii na ukitaka kupewa mungu hakupi barua hukupa bila kujua

  • @user-fm4xc4ck9r
    @user-fm4xc4ck9r Před 6 měsíci +1

    ❤❤

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Před 5 měsíci +1

    ❤❤❤❤

  • @JoyceKemilembe-ut4tt
    @JoyceKemilembe-ut4tt Před 5 měsíci +1

    Dada angu pambana ,no kumsikiliza mtu.

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068 Před 9 měsíci +1

  • @MarryDaudimtove
    @MarryDaudimtove Před 24 dny

    Nimependa sana dada Niffa story yako nataman niwe jasir kama wewe

  • @happyemanuel2070
    @happyemanuel2070 Před 2 měsíci

    Kuna jirani Angu alianza chapat kaja barafu saiv Ana kuku akija tajilika tunasubili tuseme mchawi inawezekana inategemea. Watu wanadanga nawafany mae.deleo

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 Před rokem +2

    Kwani amefanikiwa

  • @stn4873
    @stn4873 Před rokem +2

    Wewe ni muongo ila ni mzuri.

  • @AbdulRazak-wr3ld
    @AbdulRazak-wr3ld Před měsícem

    Miak 24niffer jmn mi21 hiv nawez jmn😅

  • @evelynensanga3330
    @evelynensanga3330 Před 2 měsíci

    Wa afrika tukiona mutu mwenye muri mudogo kafanikiwa tunachanganikiw yoooo wivu utawatesa 😂😂😂😂

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 Před rokem +1

    Et,Atamungu anasema namsaidia anaenisaidia😂😂😂😂Hiv wewe unaweza kumsaidia MUNGU kwer?? Kwanza andiko ganihilo?? Nyinyi ndomnafanya dadazetu waje mjini wakiamini mtaji kidogo watatoboa wakija wanaishia kudangatu nakubadiri tabia

  • @JacksonChacha-iv5ey
    @JacksonChacha-iv5ey Před 5 měsíci

    😂😂😂 nmecheka kw nguvu

  • @user-lu3fs2wf4h
    @user-lu3fs2wf4h Před 9 měsíci

    Tushajua mitaji unaitoa wap😂😂

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před rokem +8

    Mwamba Hilo duka ni la basha na ndio anakuweka mjini ipo siku itakuwa wazi tu ,wahuni tu ndio tunalielewa hili

  • @jacklinemolleli5238
    @jacklinemolleli5238 Před rokem +3

    Sio elf 50. Hamna biashara ya chin ya m1 ikakua itachukua muda sana

    • @nicethgabriel3319
      @nicethgabriel3319 Před rokem

      Muulize bharesa ameanza na karanga

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz Před rokem

      @@nicethgabriel3319 kwa mda upi

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před rokem

      @@nicethgabriel3319 ni enzi hizo na alikua kwa miaka 20 so mwaka 2 kama yy

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      Mbona watu wameanza na ubuyu tu usicheze na mungu akikuita akakwambia yako ni hii inatakiwa sababu tu na wengine wanaanza na milioni 100 na hawana kitu

    • @hidayatahir689
      @hidayatahir689 Před rokem

      N hao watangazaji walikua wamuuliz huo mtaji wa elf 40 alianz n biashara gn? Huyu kwel ni mtaftaj lkn ni muongo muongo, sifa nyingi, facial expressions yke t inaonesh km hayup real kiivo

  • @rizikibakari3598
    @rizikibakari3598 Před rokem +1

    Please naomba namba yako ya wathp Mie Niko Qatar

  • @maxmilianmexades6684
    @maxmilianmexades6684 Před rokem

    Muongo huyu kmmk msimuamini😁😂

  • @tatukatembo7564
    @tatukatembo7564 Před rokem +2

    Niffer punguza kuongea unzongea sana

  • @rashidisaidi8535
    @rashidisaidi8535 Před rokem +5

    Kuna mtu anasimamia show huna lolote

  • @modycombo7421
    @modycombo7421 Před rokem

    zakuambiwa

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +3

    Hapa niko na kibubu changu R,C,D,B. Siruhusiwi kukifungua hadi miaka mitatu ipite, ili nipate ten million, za kufanya biashara. Huyu alianza na elfu arobaini na ameshatoboa😢😢😢. Nyie kuna watu wana bahati🤔

    • @hidayatahir689
      @hidayatahir689 Před rokem +2

      Sio kwel hawa hua kun ukwel nyuma yke wanaficha biashara as km biashara Ina vitu ving , Ina faida , hasara , kuanguka, yaan mpk infk mda unakua n biashara kubwa unakua umeshapitia mengi , yaan wanapend kuaminish kua vit ni rahc lkn in real sio rahs , unawez hat kupt depression kw biashara sasa cjui kwann hua hawasemi ukwel n ndio maan watu wakisikia hv hujion km wao hawana bahat lkn wengn wana Bahati wameanz n elf 40 than moj kwa moj wamekua wakubw n hawa ndio wanopotoa jamii maan watu wapo kwa ajili y kujifunz kutok kwao lkn wanawaaminish upuuzi

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Před rokem

      @@hidayatahir689 💯👌

    • @kristinmpoli3586
      @kristinmpoli3586 Před 3 měsíci

      Pambana tu time will tell

    • @shakilamasoud2983
      @shakilamasoud2983 Před 3 měsíci

      @@kristinmpoli3586 insha Allah

  • @w_media_house
    @w_media_house Před rokem +2

    40 ipi aisee, miteni minne🤣🤣🙌

  • @jackezekia6068
    @jackezekia6068 Před 9 měsíci

    Huo mtaji wa milion2 tu kukua napo ujibane haswaaa

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Před rokem +1

    Ww ni mwongo niffer bana

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před rokem

    MUONGOOOOOO