1:Ushonaji na upunifu 2:Agiza vitu kutoka nje (cargo) 3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake) 4:kilimo biashara (mifugo) 5:kununua na kuuza kwa faida (trading) 6:beuty business (vipodozi) 7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
1:Ushonaji na upunifu
2:Agiza vitu kutoka nje (cargo)
3:home business (choma viazi,sambusa,chapati,cake)
4:kilimo biashara (mifugo)
5:kununua na kuuza kwa faida (trading)
6:beuty business (vipodozi)
7:real estate (nunua kiwanja jenga rentals)
Something so powerful I have heard today 🙌🙌
Ahsante sana......nitafika hatua hiyo ya Mume wangu kujivunia mimi.....Amina
Kaka Joel wewe ni zawadi ya pekee sana kwa kuvusha wengi,kuinua mioyo iliyokata tamaa na kufungua akili iliyochoka...hua nabarikiwa sana na machapisho yako,na ninaushuhuda wa mahali ulinijenga nikasimama tena. Barikiwa
Amina. Amina. Ubarikiwe mtu wa Mungu.
Asante Joel
👏👏👏👏👏😁😁😁Yan mpk Raha, shukran sana kaka acha nifanye kushare na wanawake wa nguvu
Amina mtumishi wa Mungu .
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Amina...Injili iliyonyooka
Wamama hallooo God bless you servant of the most high God
Amen ni mebarikiwa sn na ujumbe waleo
Asante mtu wa Mungu ubarikiwe wewe na uzao wako amen 🙏
God bless you nwalimu
Umesema vyema sana barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Asante Mungu
Mungu ni mwema kusikia hili neno
Mungu nipe neema ya kuchagua kitu sahii
Amina🎉
Ubarikiwe sana mchubgaji asante
Joel Mungu akubariki mafunzo yako ni mkombozi
Mungu akubariki saaaaana, Bado najichanga nikijipata nakupigia
🤔Katika watu wanaofanya mapinduzi na mageuzi ya kweli nchini Tanzania ni wewe na wale wote wenye kutoa elimu ya fedha na biashara. Hongera na kila hatua hakika unafanya mageuzi kwa watu🤝
thanks and god bless you
Hakika umenisaidia sana barikiwa sana mtumishi.
Heshima Yako Leo nimejifunza mengi
Amin...alhamdulillah nimo japo kidogo
Amina mtumish
BARIKIWA MNOO MTUMISHI JOEL NANAUKA NAKUELEWA SANA.ILA NAOMBA UWAFUNDISHE WABABA WASIWE NA INFERIORITY COMPLEX. WANAWAKE PIA TUSIWE NA JEURI HADI KUKANYAGA WABABA TUKIFANIKIWA.STAY BLESSED
Hongera mwalimu Mungu akupe siku Nyingi
Thank you 😊
Ubalikiwe sana kaka joel
Proverb 31🎉❤
Am blessed
Asantee Kaka Joel Nanauka
Mungu akubariki mtumishi
Asante kaka me at nikiwa nyumbani naweza kumsuka MTU na nikajipatia pesa
Asante baba ubarikiwe maana sasa
Asante sana
Amina
Nimependa hii mtumishi wa mungu ubalikiwe
Mungu amekutumia kunijibu😢 ubarikiwe kaka❤
Ahsante sana Mungu azid kukutunza
Barikiwa sana hakika 🙏🙏
Somo 🔥🔥🔥🔥🔥
Point MR JOEL
Wow i like itbarikiwa😊
Asante sana kaka
Asante sana,barikiwa sana
Dah sante sana bro umenigusa ktk biashala asante kwa kunihakikishia kile nilicho kua nawaza kukifanya❤
Amina na Mimi naamka jamani,mungu nisaidie
Asante!🙏
Exactly ❤❤
Ahsante Sana
Asante ushonaji na ubunifu ❤❤❤❤
Asante kwa maono mazuri
Shukuran❤
Wooow🙏🏽
Thenks sana,umesoma kitabu gani
Amen
God bless you my brother
Nipo nasubiri 😊🏆🥇
Barikiwa Sanaa❤❤
Barikiwa sana kaka joel
Ameni mtumishi
Barikiwa sanaaa
Barikiwa sana mwalimu
Aminaaa
Amen 🙏 Amen 🙏 Amen
Ubarikiwe sana jmn 🙏
Asantee sana kaka
Well said mtumishi🙏
Amen 🎉
Imenijenga sana 🙏🏽❤️
🙌🙌🙌🙌
Genius one ever 🙌
Ubarikiwe sanaa nimepata kitu
Well said NANAUKA
Mungu atubariki kwenye harakati zetu za utafutaji.
Ubarikiwe sana kijana
Ni kweli soma limeeleweka
Ubarikiwe
Asante
Good advise
Asante kaka
Asant ubarikiwe
Asante naenda kuwa mpya mchumgaji ubarikiwe niombee sana niweze simama tena maana maadui ni wengi eeee kwenye maisha yangu lkn kwa ujumbe wko huu barikiwa
Safi kaka nimejifunza kitu hapa
Mungu nipe wateja kwenye duka yangu
Hongera mwalimu; Juu ya taa inayowaka bila kuzimika, fuatilia yaani Fanya exegetical research. But all is fine!
Asante 🙏🏻❤️
Barikiwa mnoooo
True
Barikiwa sana brother
Hakika Mda Na MB. MH. Joeli Nanauka Nazo Tumia Kukufatilia Na Kusikiliza Video Zenye Ujumbe Wenye Kutu Jenga Hakika Kukufahamu Na Hata Vitabu Vyako Vyote%86 Ni Hazina Kubwa Kwa Mtu Ambaye Yupo Tayari Kubadilika Na Kuwa Mtu Wa Kitofauti Yani Kuishi Maisha Aliyo Kusudia Mungu Tuishi Au Mtu huyo Aishi Awe Vile Kama Ambavyo Mungu Amekusudia Katika Maisha Yetu Katika Maisha Yake
Barikiwa sana mtumishi, umenijibu maswali yangu leo
Safi sana mimi nimejifunza kitu katakana nipige hatua japo nafuga kuku wa mayai
Barikiwa sana
Amen Sema watu wa Mungu tuamke maana wacha Mungu tunamzalaulisha Mungu kana kwamba Mungu hawezi kubaliki kumbe hatujakaa mkao wa kupokea.
Hakika Tena wengi TUNALIA NJAA NJAA ata mionekano yetu wengi inamwaibiaha MUNGU Kwa NJAA , tumebweteka na kuridhika tu Kwa dini na KUKESHA kulia na KUOMBA makanisani na kusaka miujiza ,wakati BWANA ALISHAWEKA KILA KITU NDANI YETU ,TUAMKE
Hakika ubarikiwe
Mungu akubariki sana
Mwanamke ni mtu nanusu Mama zetu hakika madini makubwa hayo