VITU MUHIMU AMBAVYO HUTAKIWI KUVIPOTEZA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 08. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 65

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork Před 10 měsíci +28

    Somo zuri sana kaka. Shukrani and keep moving!!!

  • @frankmsangi
    @frankmsangi Před 10 měsíci +3

    Asante san broo Mungu akubariki sana somo zuri sana najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Broo Mungu akubariki sana.. nakufatilia kila siku❤️🔥🙏🔥🔥🔥

  • @erikalutevele8362
    @erikalutevele8362 Před 10 měsíci +2

    Neema ya Mungu ikutoshe umekuwa msaada sana kwangu najiamini mpaka najishangaa

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Před 10 měsíci +3

    Ubarikiwe sana kaka, binafsi kila somo lako linanijenga pakubwa mno, Mungu akutunze

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před 2 měsíci

    Somo zuri Sana coach Joel..,...shukurani🙏🙏

  • @issabakari1916
    @issabakari1916 Před 10 měsíci

    Dah we jamaa ubarikiwe tu

  • @ShabaniBukuru-vw4px
    @ShabaniBukuru-vw4px Před 4 měsíci

    Mungu akubaliki sana

  • @ISDORICHAVALA
    @ISDORICHAVALA Před 2 měsíci

    Sahihi sana teacher wangu umeeleweka

  • @mariamponera6386
    @mariamponera6386 Před 10 měsíci

    amiin

  • @user-cz1sz9uu6d
    @user-cz1sz9uu6d Před 8 měsíci

    hasa kabisa nigependa kupata vitabu vyako

  • @herongwikwi1021
    @herongwikwi1021 Před 10 měsíci +1

    💯

  • @user-ue1qu5cj8t
    @user-ue1qu5cj8t Před 4 měsíci

    Kitabu sh ngapi

  • @sadysalim9212
    @sadysalim9212 Před 10 měsíci +2

    Safi sana brother Joel Nanauka kwa elim kubwa unayotupatia mungu akubariki sana.

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Před 10 měsíci +1

    Maono
    Imani kwa MUNGU
    Marafik wanajitoa kwako
    Mmtu anakuamin uwezo wako🎉 thanks 👍 Bro

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 Před 5 měsíci

    Wao so nice

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 Před 10 měsíci +1

    Ni kweli kabisa kati ya kitu nacho chunga na kumuomba Mungu ni kutokupoteza imani kwake

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před 10 měsíci +1

    Asante na ongera Sana kwa SoMo,Ila kwa Sasa marafiki wa kweli awapo wengi tunakuwa nao kwa muda mfupi wanatubadilikia,

  • @hussenmohamed4649
    @hussenmohamed4649 Před 10 měsíci +1

    Nakubali sana mafunzo yako usinichoke kwa kukufatilia

  • @fundivigaetzchannel1899
    @fundivigaetzchannel1899 Před 10 měsíci

    Ahsante sana ubarikiwe zaidi ulivyo sasa Ahsante sana ♥️♥️♥️♥️🥂 by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi

  • @Musaibrahimu
    @Musaibrahimu Před 10 měsíci

    .SOMO NZURI SANA KAKA ONGERA SANA BROO NIMEFURAHI SANA.
    NA NINAPATA VITU VINGI SANA KWAKO.🎉🎉🎉

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb Před 10 měsíci +1

    Ahsante kaka Joel 🙏

  • @neemalessian9508
    @neemalessian9508 Před 10 měsíci +1

    Kaka Joel tunaomba English Sub....
    Be blessed abundantly 🙏🏾

  • @husnahassan3344
    @husnahassan3344 Před 8 měsíci

    Asante sana bro japo hatuonani ila moyoni upo na siwezi kukupoteza najifunza mengi kutoka kwako Mungu akubariki sana🙏

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 5 měsíci

    Shukran

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 10 měsíci +1

    Kazi kazi

  • @nehemiahndalawa6720
    @nehemiahndalawa6720 Před 10 měsíci

    Amen
    May our Almighty living Father bless you abundantly 🙏

  • @user-wk5do3ss8o
    @user-wk5do3ss8o Před 10 měsíci +1

    Kweli kabisa....nasubiri Mambo mazuri

  • @sigfredngereza7987
    @sigfredngereza7987 Před 9 měsíci

    Barkiwe sana kaka Joel

  • @ummkolthumkoalthum3271
    @ummkolthumkoalthum3271 Před 10 měsíci

    💟

  • @salimiddy1704
    @salimiddy1704 Před 10 měsíci

    Nimekuelewa sana ,

  • @omaralikombo8368
    @omaralikombo8368 Před 7 měsíci

    Kitabu cha timiza malengo yako nakitaka vipi nitakipata

  • @gracesilayo7670
    @gracesilayo7670 Před 10 měsíci

    Mbona kila napotaman kifanya jambo moyo unasita Kaka Joel nahitaji msaada 😌

  • @African511
    @African511 Před 10 měsíci

    Aiseee me napenda nikuite Prof Nanauka.

  • @lenardelinazi7086
    @lenardelinazi7086 Před 10 měsíci

    Somo nzur

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo Před 10 měsíci

    Yajayo yanafurahisha asante sana mwalimu 🎉

  • @danchibomnyama5461
    @danchibomnyama5461 Před 10 měsíci

    Asante sana kaka Joel nanauka kwa elimu unayotupa

  • @shabanlusan6890
    @shabanlusan6890 Před 4 měsíci

    hapo kwenye marafiki sijakuelewa kabisa

  • @yomamausafi1137
    @yomamausafi1137 Před 10 měsíci

    MUNGU akubrk san

  • @josepherlaurent6925
    @josepherlaurent6925 Před 10 měsíci

    Asante sana zidi kubarikiwa

  • @JosmanJoshua-pr2vi
    @JosmanJoshua-pr2vi Před 10 měsíci

    Asante sana kaka napenda niwe na hicho kitabu nipo Mwanza

  • @samwelishilabhi6005
    @samwelishilabhi6005 Před 10 měsíci

    2:22

  • @Usawa_phonetech
    @Usawa_phonetech Před 10 měsíci

    Niko na challenge

  • @abdiabdi8513
    @abdiabdi8513 Před 10 měsíci

    Nice work

  • @user-ml6ro6lo6o
    @user-ml6ro6lo6o Před 10 měsíci

    Ubarikiwe kaka

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 10 měsíci

    😢😢Ahsante sana

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Před 10 měsíci

    Shukrani🎉

  • @LopenySaitabau
    @LopenySaitabau Před 10 měsíci

    Thanks brother

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Před 10 měsíci

    Thank you so much kaka, be blessed 🙌

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 10 měsíci

    Asante sana

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Před 10 měsíci

    Thank you kaka

  • @asmahozza8468
    @asmahozza8468 Před 10 měsíci

    Thanks

  • @mwajumabinwa604
    @mwajumabinwa604 Před 10 měsíci

    ❤❤❤❤❤

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 10 měsíci

    Asante sana somo zuri

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 10 měsíci

    Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.

  • @abdiabdi8513
    @abdiabdi8513 Před 10 měsíci

    🎉

  • @user-je9lf6ny6d
    @user-je9lf6ny6d Před 10 měsíci

    Braza Jo,nitajuaje nimeitwa kufanya Nini!?

  • @aggy_cakeandbites
    @aggy_cakeandbites Před 10 měsíci

    Ubarikiwe kwa somo zuri kaka.
    Kitabu cha timiza malengo yako ni sh ngapi?

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 Před 10 měsíci

    🇧🇮🇧🇮

  • @gabrielbyamungu3168
    @gabrielbyamungu3168 Před 10 měsíci

    good work

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Před 10 měsíci

    Kitabu hicho shilling ngapi?

  • @elishajackson4551
    @elishajackson4551 Před 10 měsíci +2

    Sorry Kaka hiki kitabu Cha timiza malengo yako ni Bei gani na naweza kuja kununua wapi Mimi nipo madale dsm

    • @isikesamike
      @isikesamike Před 10 měsíci +2

      Ukifika stand ya daladala ya Mnazimmoja huwezi kikosa. Pia Mwenge kwa wauza vitabu - hope ni around Tsh 15k - 20k.

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 10 měsíci +3

      15,000/- Wasiliana na namba ya Bookshop 0762 31 21 71 utakipata