Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.
Somo zuri sana kaka. Shukrani and keep moving!!!
Asante san broo Mungu akubariki sana somo zuri sana najifunza vitu vingi sana kupitia wewe Broo Mungu akubariki sana.. nakufatilia kila siku❤️🔥🙏🔥🔥🔥
Neema ya Mungu ikutoshe umekuwa msaada sana kwangu najiamini mpaka najishangaa
Ubarikiwe sana kaka, binafsi kila somo lako linanijenga pakubwa mno, Mungu akutunze
Somo zuri Sana coach Joel..,...shukurani🙏🙏
Dah we jamaa ubarikiwe tu
Mungu akubaliki sana
Sahihi sana teacher wangu umeeleweka
amiin
hasa kabisa nigependa kupata vitabu vyako
💯
Kitabu sh ngapi
Safi sana brother Joel Nanauka kwa elim kubwa unayotupatia mungu akubariki sana.
Maono
Imani kwa MUNGU
Marafik wanajitoa kwako
Mmtu anakuamin uwezo wako🎉 thanks 👍 Bro
Wao so nice
Ni kweli kabisa kati ya kitu nacho chunga na kumuomba Mungu ni kutokupoteza imani kwake
Asante na ongera Sana kwa SoMo,Ila kwa Sasa marafiki wa kweli awapo wengi tunakuwa nao kwa muda mfupi wanatubadilikia,
Nakubali sana mafunzo yako usinichoke kwa kukufatilia
Ahsante sana ubarikiwe zaidi ulivyo sasa Ahsante sana ♥️♥️♥️♥️🥂 by ERADIUS OSCAR from Mwanza nyegezi
.SOMO NZURI SANA KAKA ONGERA SANA BROO NIMEFURAHI SANA.
NA NINAPATA VITU VINGI SANA KWAKO.🎉🎉🎉
Ahsante kaka Joel 🙏
Kaka Joel tunaomba English Sub....
Be blessed abundantly 🙏🏾
Asante sana bro japo hatuonani ila moyoni upo na siwezi kukupoteza najifunza mengi kutoka kwako Mungu akubariki sana🙏
Shukran
Kazi kazi
Amen
May our Almighty living Father bless you abundantly 🙏
Kweli kabisa....nasubiri Mambo mazuri
Barkiwe sana kaka Joel
💟
Nimekuelewa sana ,
Kitabu cha timiza malengo yako nakitaka vipi nitakipata
Mbona kila napotaman kifanya jambo moyo unasita Kaka Joel nahitaji msaada 😌
Aiseee me napenda nikuite Prof Nanauka.
Somo nzur
Yajayo yanafurahisha asante sana mwalimu 🎉
Asante sana kaka Joel nanauka kwa elimu unayotupa
hapo kwenye marafiki sijakuelewa kabisa
MUNGU akubrk san
Asante sana zidi kubarikiwa
Asante sana kaka napenda niwe na hicho kitabu nipo Mwanza
2:22
Niko na challenge
Nice work
Ubarikiwe kaka
😢😢Ahsante sana
Shukrani🎉
Thanks brother
Thank you so much kaka, be blessed 🙌
Asante sana
Thank you kaka
Thanks
❤❤❤❤❤
Asante sana somo zuri
Ipo sawa
Yaani hapo nimependa Kitabu cha TIMIZA MALENGO YAKO kipo pembeni.....nashauri watanzania wanaopenda kutimiza/kufanikisha mipango/malengo yao wakisome hicho kitabu hawatajutia! Binafsi nimesoma vitabu vya waandishi wengi lkn nakiri Kitabu hiki ni cha aina yake; Kinaweza kubadilisha mitazamo yako yote ya kushindwa na kuamini ktk kuwezekana, kitafanya ujiamini, ujitambue, kitakupa njia/mbinu ya kuendea changamoto yako yoyote ya kimaisha, utatambua kwamba mafanikio yako ni wajibu wako kivitendo na utaacha kulalamikia watu/ndugu/serikali kwa ufupi ni Kitabu kinachofumbua ubongo wa mtu ktk kujitambua lkn pia kuweza kukabiliana na vikwazo/changamoto mbalimbali za maisha kwa uwezo wa Mungu.
🎉
Braza Jo,nitajuaje nimeitwa kufanya Nini!?
Ubarikiwe kwa somo zuri kaka.
Kitabu cha timiza malengo yako ni sh ngapi?
🇧🇮🇧🇮
good work
Thank you! Cheers!
Kitabu hicho shilling ngapi?
Sorry Kaka hiki kitabu Cha timiza malengo yako ni Bei gani na naweza kuja kununua wapi Mimi nipo madale dsm
Ukifika stand ya daladala ya Mnazimmoja huwezi kikosa. Pia Mwenge kwa wauza vitabu - hope ni around Tsh 15k - 20k.
15,000/- Wasiliana na namba ya Bookshop 0762 31 21 71 utakipata