Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental
kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo
Short summary 1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya 2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako. 3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality 4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini. 5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa. 6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako. - kuchelewa kuingia ofisini - kuchelewa vikao - kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe Asante Joel🙏🏾
Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana
Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi
Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .
Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako
Asante kwa mafundisho nimeipenda hiyo ya kuepuka kuchelewa huo ni ugonjwa kwangu yabidi nibadilike
Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental
Kaka una akili sna ww
🎉🎉
Shukran Kwa madini unayoendelea kunipatia, be blessed
❤asante Kwa somo
Nakubaoi Sana kaka mungu akulinde
Nakukubali sana my bother ishi sana, Mungu akutunze ❤ see you at the top
kweli kabisa kiongozi nakukubari sana ww ni mwalimu wangu wa maisha
Ubarikiwe kwa unachokifanya kaka joer
Broo Joel we ni mtu na nusu ( it means we ni bingwa) Mungu akubariki sana .
Kwel kabisa
Mungu akubariki sanaaa
Nakupenda sana kaka najifunza mengi
Asante kaka umenifanya niwe wa tofauti
Daaaah??? Kaka joeli kwa kweli umefunza mengi saanaa kupitia video hii, Mungu anisaidie kwa jambo la mwisho, talikaziaa mpaka kieleweke kaka
Hongera Sana mwalimu mzuri unazidi kunipanua kifikra
Master wa chakula cha ubongo
❤❤❤❤❤Asante ubarikiwe😊😊🎉🎉🎉🎉
Shukran Mungu kubariki kwa elimu
Umeongea ukweli mengi yamenigusa,Nimejifunza vingi sana.Ubarikiwe Sanaa
Umenifanya tajiri mtoto
Be blessed my brother from another mother....
kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo
God bless you brother 🙏
Bro, kusema kweli unatoa madini sana asee, SALUTE kwa kuendelea kutupa elimu ya mtaani nimejifunza mengi kupitia video zako.
Asantee sana kwakutupa dalasa vitu vingi najifunza.👍✍️
Ahsante sana kwa Elimu hii
Daaah! hapa na mm ni mmoja wao
Bro I did subscribe now you have good ideas keep it up from 🇺🇸
Short summary
1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya
2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako.
3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality
4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini.
5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa.
6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako.
- kuchelewa kuingia ofisini
- kuchelewa vikao
- kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe
Asante Joel🙏🏾
🙏🙏
asanten sana nazid kujifunza
Barikiwa
Barikiwa sana my brother Joel ❤
Fact brother
Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana
Kaka Joel Nanauka nipe namba yako ya Whatsapp nipo Kenya Nairobi maanake zile ninazo sikupati vizuri
Kaka Joel nimejifunza mengi sana kupitia maelekezo Yako nimeyafuata nimeona kitu Asante
Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi
Ongera kipenz name nalipitia ili kwaa sasa😢
Asante kiongozi
Asante Kaka Joel , mimi nimejifunza kitu kikubwa sana
Great
Real broo Godbless you.
Asante sana mwl nimepata kitu cha kurekebisha
Ujumbe mzuri sana
Asante sana
Asante kwakweli nachelewa kazini mila siku umenisaidia.
asante kwa somo zuri
Hongera sana kwa elimu hii.
Mungu akubariki
Nashukuru sana kazi njema kbx
More thanks
Shukran nmejifunza
Waiting
Asante Sana Kaka Joel.
Points zote zimenigusa. Ninazifanyia Kazi.
Asante sana Kaka Joel
Yaaan My brother kinachoniferisha nikutoa ahadi ambzo sitoweza kuzifanya
Mwalim asate
Hakika unajua Bro na umenifunza Mengi sana kupitia kipindi chako....
Shukran sanaa coach🙏nasumbuliwa na kosa la kuchelewa na naelekea kuacha tabia hiy
Ahsante 🎉
Remain blessed❤
Asante sana mtumishi wa Mungu nabadilika kuanzia Leo nimepoteza sana mda 🙏🙏🙏
Shukran mwalim
Nakukubali kaka Joel umenibadilisha San Na kujipa ujasiri kwa kitu chchte ninachoona kwang n sahihi
Shukrani sana
Mimi ni mtumiaji mbaya wa mda siendi kwa wakati 😢😢…. Si mlalizaji wa jambo😢…narudia makosa yaani nabadilika kwanzia leo
😂😂😂 pole
Barikiwa wewe ni mwalimu mzuri sana 🎉
Kaka ni kweli
Asante kaka Nanauka
kweli kak
Asante kwa Elimu nzuri unayo tuelimisha🙏
Kuchelewa
naomba vitabu kaka
Asante Sana
Nikueli atamimi Niko na iyo shida yaku chelewa
Well said
Barikiwa kaka
Kaka mungu akutunze sana
See you st the top
Asante 🎉
thank you
Nikweli naona ilinikositi Sana Ila baada yakukaa mbali nikaepusha mengi
Mm nakushuru 2
somo at a right time am glady to know you
Hongeera sana kaka uko vizuri.huwa ninapenda mafundisho yako.Mungu akubariki saaana.
Thanks
👏👏
saihii kaka
Sahihi
Asante
Exellent wa hivyo wako wengi sana.
Kaka umenifundisha kitu na nitakitendea kazi ubalikiwe kaka🙏🏿🙏🏿
Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .
Kweli kabisa
🙏🙏🙏
🙏
Brother unatufungua kwa asilimia kubwa sanaa,kwa wanao kufutilia watafanikiwa kwa asilimia kubwa sanaa
Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako
Reward ya pesa inakuja kutokana na kitu kizur ulichofanya
💯💯
Dood
Asante sana mkuu
❤❤❤❤❤
Hee kumbe ni Mchungaji huyu Joel Nanauka sijui??aise
👏👏👏👏👍
Kuepuka,gossip club.
Hakika
Kitu ninachotakiwa kukiepuka na kuacha kuchelewesha kazi