EPUKA HAYA KWENYE ENEO LA KAZI - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 129

  • @gracekissila4812
    @gracekissila4812 Před 11 měsíci +9

    Asante kwa mafundisho nimeipenda hiyo ya kuepuka kuchelewa huo ni ugonjwa kwangu yabidi nibadilike

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Před 11 měsíci +44

    Kweli kabisa ukiepuka kukaa na watu wambea utafika mbali sana, naendelea kujifunza mengi kupitia wewe nimevuka hatua Moja kwenda nyingine, na ninafanya kile ambacho Nina uwezo nacho, see you at the top my Mental

  • @masungaprimaryschool
    @masungaprimaryschool Před 10 měsíci +5

    Shukran Kwa madini unayoendelea kunipatia, be blessed

  • @nancydenis.9231
    @nancydenis.9231 Před 2 měsíci +2

    ❤asante Kwa somo

  • @KasubiJonathan
    @KasubiJonathan Před měsícem +1

    Nakubaoi Sana kaka mungu akulinde

  • @user-xh3wh9xo6h
    @user-xh3wh9xo6h Před 11 měsíci +5

    Nakukubali sana my bother ishi sana, Mungu akutunze ❤ see you at the top

  • @kulwajumanne5282
    @kulwajumanne5282 Před 11 měsíci +5

    kweli kabisa kiongozi nakukubari sana ww ni mwalimu wangu wa maisha

  • @user-ro4dc5ob1t
    @user-ro4dc5ob1t Před 11 měsíci +6

    Ubarikiwe kwa unachokifanya kaka joer

  • @saidsheha-wn4qw
    @saidsheha-wn4qw Před 10 měsíci +3

    Broo Joel we ni mtu na nusu ( it means we ni bingwa) Mungu akubariki sana .

  • @user-ks9lf1vu1q
    @user-ks9lf1vu1q Před 11 měsíci +5

    Kwel kabisa

  • @user-wu2ek2cm7w
    @user-wu2ek2cm7w Před 7 měsíci +1

    Mungu akubariki sanaaa

  • @saumumohammed5630
    @saumumohammed5630 Před 11 měsíci +3

    Nakupenda sana kaka najifunza mengi

  • @deusmpili772
    @deusmpili772 Před 9 měsíci +2

    Asante kaka umenifanya niwe wa tofauti

  • @mbogotelespholi797
    @mbogotelespholi797 Před 10 měsíci +3

    Daaaah??? Kaka joeli kwa kweli umefunza mengi saanaa kupitia video hii, Mungu anisaidie kwa jambo la mwisho, talikaziaa mpaka kieleweke kaka

  • @TheodoraRobert-lz5gr
    @TheodoraRobert-lz5gr Před 11 měsíci +4

    Hongera Sana mwalimu mzuri unazidi kunipanua kifikra

  • @rashidsaid1890
    @rashidsaid1890 Před 10 měsíci +3

    Master wa chakula cha ubongo

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 11 měsíci +3

    ❤❤❤❤❤Asante ubarikiwe😊😊🎉🎉🎉🎉

  • @abubakarishame2624
    @abubakarishame2624 Před 11 měsíci +4

    Shukran Mungu kubariki kwa elimu

  • @fatmamwiru7574
    @fatmamwiru7574 Před 11 měsíci +2

    Umeongea ukweli mengi yamenigusa,Nimejifunza vingi sana.Ubarikiwe Sanaa

  • @furahagwasa7312
    @furahagwasa7312 Před 11 měsíci +3

    Umenifanya tajiri mtoto

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 11 měsíci +9

    Be blessed my brother from another mother....

  • @Twistanboy05
    @Twistanboy05 Před 10 měsíci +1

    kweli kaka,,umeongea fact,,,wapo watu wa dizaini hiyo wengi sana wanao tuzunguka makazini either hii itakuwa ni moja ya fundisho muhimu mishani,,,see you broo

  • @RachelKamoga-ws9cx
    @RachelKamoga-ws9cx Před 11 měsíci +4

    God bless you brother 🙏

  • @user-xt4gg8lt4t
    @user-xt4gg8lt4t Před 10 měsíci +3

    Bro, kusema kweli unatoa madini sana asee, SALUTE kwa kuendelea kutupa elimu ya mtaani nimejifunza mengi kupitia video zako.

  • @ibrahimyoungtz4722
    @ibrahimyoungtz4722 Před 11 měsíci +3

    Asantee sana kwakutupa dalasa vitu vingi najifunza.👍✍️

  • @IssackMhandi-fp3dc
    @IssackMhandi-fp3dc Před 22 dny

    Ahsante sana kwa Elimu hii

  • @MussaIssaya-up1zu
    @MussaIssaya-up1zu Před měsícem

    Daaah! hapa na mm ni mmoja wao

  • @ingodwetrust.239
    @ingodwetrust.239 Před 10 měsíci +4

    Bro I did subscribe now you have good ideas keep it up from 🇺🇸

  • @marionflorian5999
    @marionflorian5999 Před 10 měsíci +16

    Short summary
    1. Usitoe ahadi usiyoweza kutimiza (kuwa over ambitious) hasa kama hauna uwezo wa kuifanya
    2. Kujifanya kuwa una mamlaka ambayo hauna. Zingatia mipaka yako.
    3. Focusing on minimum expectations, hufanyi jambo la ziada ofisini, epuka kufanya mambo kwa kawaida na kwa mazoea🙌🏾 exceptionality
    4. Kurudia makosa yale yale kila wakati sababu ni kupuuzia mambo na una kosa umakini.
    5. Usijiunge na wambea (gossip club) watu wanaodiscuss watu wengine🙌🏾 waepuke sanaa.
    6. Epuka kuchelewa kazini hii inakufanya uonekane hauko serious, maana watu wana attach muda na seriousness yako.
    - kuchelewa kuingia ofisini
    - kuchelewa vikao
    - kuchelewa kusubmit kazi, lazima ufuatiliwe
    Asante Joel🙏🏾

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 11 měsíci +3

    Barikiwa sana my brother Joel ❤

  • @user-es3fb8tv2q
    @user-es3fb8tv2q Před 6 měsíci +1

    Fact brother

  • @JamesTiamazyMpoke
    @JamesTiamazyMpoke Před 11 měsíci +6

    Kaka Joel Nanauka hujambo msomaji na mwalimu wangu wa maisha kwa hakika hizi mistari yanaweza kunyooshea njia kwa mahali ambapo kimepinduka asante sana

    • @JamesTiamazyMpoke
      @JamesTiamazyMpoke Před 11 měsíci

      Kaka Joel Nanauka nipe namba yako ya Whatsapp nipo Kenya Nairobi maanake zile ninazo sikupati vizuri

  • @bundalathomasyohana-yu3ld
    @bundalathomasyohana-yu3ld Před 5 měsíci +1

    Kaka Joel nimejifunza mengi sana kupitia maelekezo Yako nimeyafuata nimeona kitu Asante

  • @floramkumbi3257
    @floramkumbi3257 Před 10 měsíci +4

    Kwenye biashara kuna mtu ni kama hakutaka nifungue biashara eneo hili au ni wivu kuona napiga hatua basi anapenda kunifumbia mafumbo na kunipandia chuki kwa wafanyabiashara wengine ila mie nafanya kama sielewi chochote na kutojali na kukaa naye mbali naendelea na shughuli zangu kama kawaida. Asante kwa somo najifunza zaidi

  • @mkalimkali640
    @mkalimkali640 Před 11 měsíci +4

    Asante kiongozi

  • @teacher_dory
    @teacher_dory Před 11 měsíci +2

    Asante Kaka Joel , mimi nimejifunza kitu kikubwa sana

  • @BikeyBarber
    @BikeyBarber Před 3 měsíci +1

    Great

  • @user-ki5oj6cl3y
    @user-ki5oj6cl3y Před 11 měsíci +3

    Real broo Godbless you.

  • @bennygwasa4563
    @bennygwasa4563 Před 11 měsíci +2

    Asante sana mwl nimepata kitu cha kurekebisha

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Před 9 měsíci +1

    Ujumbe mzuri sana

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke6907 Před 11 měsíci +5

    Asante sana

  • @pulcheriamayombo5780
    @pulcheriamayombo5780 Před 9 měsíci +1

    Asante kwakweli nachelewa kazini mila siku umenisaidia.

  • @user-ze9mn4nh9i
    @user-ze9mn4nh9i Před 2 měsíci

    asante kwa somo zuri

  • @perpetuajambia9021
    @perpetuajambia9021 Před 5 měsíci

    Hongera sana kwa elimu hii.
    Mungu akubariki

  • @mzeezidane4060
    @mzeezidane4060 Před 9 měsíci +1

    Nashukuru sana kazi njema kbx

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco1430 Před 11 měsíci +1

    More thanks

  • @user-jd5hd4ox5d
    @user-jd5hd4ox5d Před 3 měsíci

    Shukran nmejifunza

  • @clarasabutoke6907
    @clarasabutoke6907 Před 11 měsíci +2

    Waiting

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 Před 8 měsíci

    Asante Sana Kaka Joel.
    Points zote zimenigusa. Ninazifanyia Kazi.

  • @joycefuraha6403
    @joycefuraha6403 Před 3 měsíci

    Asante sana Kaka Joel

  • @user-uh3he6lr4m
    @user-uh3he6lr4m Před 9 měsíci

    Yaaan My brother kinachoniferisha nikutoa ahadi ambzo sitoweza kuzifanya

  • @nicholasmuuria
    @nicholasmuuria Před 11 měsíci +3

    Mwalim asate

  • @user-pd8yq7ph8n
    @user-pd8yq7ph8n Před 10 měsíci +1

    Hakika unajua Bro na umenifunza Mengi sana kupitia kipindi chako....

  • @nadiaseif
    @nadiaseif Před 6 měsíci

    Shukran sanaa coach🙏nasumbuliwa na kosa la kuchelewa na naelekea kuacha tabia hiy

  • @Mahmoudsivah2019
    @Mahmoudsivah2019 Před 11 měsíci +3

    Ahsante 🎉

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 10 měsíci

    Remain blessed❤

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo Před 3 měsíci

    Asante sana mtumishi wa Mungu nabadilika kuanzia Leo nimepoteza sana mda 🙏🙏🙏

  • @user-ld3nh3mq2i
    @user-ld3nh3mq2i Před 11 měsíci +4

    Shukran mwalim

  • @user-jc8ow9gm5e
    @user-jc8ow9gm5e Před 6 měsíci

    Nakukubali kaka Joel umenibadilisha San Na kujipa ujasiri kwa kitu chchte ninachoona kwang n sahihi

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma9328 Před 11 měsíci +4

    Shukrani sana

  • @neemamsaki1111
    @neemamsaki1111 Před 4 měsíci +2

    Mimi ni mtumiaji mbaya wa mda siendi kwa wakati 😢😢…. Si mlalizaji wa jambo😢…narudia makosa yaani nabadilika kwanzia leo

  • @HaniyaKisingo
    @HaniyaKisingo Před 11 měsíci +7

    Barikiwa wewe ni mwalimu mzuri sana 🎉

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas1986 Před 11 měsíci +1

    Asante kaka Nanauka

  • @franciskimaro8028
    @franciskimaro8028 Před 11 měsíci +3

    kweli kak

  • @richardvalson4313
    @richardvalson4313 Před 11 měsíci +4

    Asante kwa Elimu nzuri unayo tuelimisha🙏

  • @davidawet3214
    @davidawet3214 Před 11 měsíci +3

    Kuchelewa

  • @AllyJohn-cp8lw
    @AllyJohn-cp8lw Před měsícem +1

    naomba vitabu kaka

  • @jdm1459
    @jdm1459 Před 11 měsíci +2

    Asante Sana

  • @paulouma3958
    @paulouma3958 Před 11 měsíci +2

    Nikueli atamimi Niko na iyo shida yaku chelewa

  • @jenithandone3333
    @jenithandone3333 Před 11 měsíci +2

    Well said

  • @johnjosiah5694
    @johnjosiah5694 Před 10 měsíci +1

    Barikiwa kaka

  • @JosephEzekiel-tb5re
    @JosephEzekiel-tb5re Před 9 měsíci +1

    Kaka mungu akutunze sana

  • @AmisiHassaniTygo
    @AmisiHassaniTygo Před 11 měsíci +1

    See you st the top

  • @user-uo4ug1ym2e
    @user-uo4ug1ym2e Před 3 měsíci

    Asante 🎉

  • @ismailsalum6958
    @ismailsalum6958 Před 10 měsíci +1

    thank you

  • @DoriceDaniel-ct4co
    @DoriceDaniel-ct4co Před 10 měsíci +3

    Nikweli naona ilinikositi Sana Ila baada yakukaa mbali nikaepusha mengi

  • @saumuyahaya8959
    @saumuyahaya8959 Před 10 měsíci +2

    Mm nakushuru 2

  • @elizabethmtei8454
    @elizabethmtei8454 Před 11 měsíci +1

    somo at a right time am glady to know you

    • @theodoraaloys878
      @theodoraaloys878 Před 10 měsíci +1

      Hongeera sana kaka uko vizuri.huwa ninapenda mafundisho yako.Mungu akubariki saaana.

  • @davidfrancis8582
    @davidfrancis8582 Před 4 měsíci

    Thanks

  • @SembaEronje
    @SembaEronje Před 6 měsíci +2

    👏👏

  • @user-hr7wl4vg9h
    @user-hr7wl4vg9h Před 11 měsíci +1

    saihii kaka

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 11 měsíci +2

    Sahihi

  • @Patrick-rf6ro
    @Patrick-rf6ro Před 10 měsíci +1

    Asante

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Před 11 měsíci +2

    Exellent wa hivyo wako wengi sana.

  • @JRICHARD-qb8wy
    @JRICHARD-qb8wy Před 3 měsíci

    Kaka umenifundisha kitu na nitakitendea kazi ubalikiwe kaka🙏🏿🙏🏿

  • @user-vx1ji2fm7f
    @user-vx1ji2fm7f Před 5 měsíci

    Du kwakweli mungu akupe nguvu kwa ajili ya kutufundisha, ila mimi niko moçambique nilikuwa naomba namba yako ya wtsp ili nikuulize mambo mengine, obrigado Joel .

  • @naomimollel2292
    @naomimollel2292 Před měsícem

    Kweli kabisa

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Před 2 měsíci +1

    🙏🙏🙏

  • @emmanuelmashaka1769
    @emmanuelmashaka1769 Před 11 měsíci +6

    🙏

  • @EdwardLaizer-zg5to
    @EdwardLaizer-zg5to Před 9 měsíci

    Brother unatufungua kwa asilimia kubwa sanaa,kwa wanao kufutilia watafanikiwa kwa asilimia kubwa sanaa

  • @user-je5wy4bi4d
    @user-je5wy4bi4d Před 10 měsíci +2

    Kaka sio tattoo extraordinary shida unaangalia na sehemu ya kujitoa na kujiongezaa maana utakuta unabebeshwa mizigo mingi na walama ambazo za kazi ulizo jitoleaa alafu wengine ni wanyonyaji tuu hautopata fidia yoyote ya kujitoa kwako

    • @hildakayun6445
      @hildakayun6445 Před měsícem

      Reward ya pesa inakuja kutokana na kitu kizur ulichofanya

  • @masilastahona7010
    @masilastahona7010 Před 11 měsíci +2

    💯💯

  • @timothydav1639
    @timothydav1639 Před 10 měsíci +2

    Dood

  • @juliusjohnii7823
    @juliusjohnii7823 Před 11 měsíci +2

    Asante sana mkuu

  • @user-jx7nr7ll3x
    @user-jx7nr7ll3x Před 5 dny

    ❤❤❤❤❤

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 11 měsíci +2

    Hee kumbe ni Mchungaji huyu Joel Nanauka sijui??aise

  • @jenithandyetabula3805
    @jenithandyetabula3805 Před 10 měsíci +1

    👏👏👏👏👍

  • @monicakauky8914
    @monicakauky8914 Před 24 dny

    Kuepuka,gossip club.

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 Před 14 dny

    Hakika

  • @AllyBwinyo102
    @AllyBwinyo102 Před 3 měsíci

    Kitu ninachotakiwa kukiepuka na kuacha kuchelewesha kazi