Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sanađ
Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu
Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe, Mimi nitafata ushauri wako. Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu. Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako. Mungu akulinde.
Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.
pĂŽle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .
Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza đąna matokeo nayaona
Hujambo kaka?" Mimi naitwa Wanje kutoka Kenya na hua nafatilia masomo Yako sana nashukuru Yana nisaidia. Lakini naomba unisaidie kama naweza kupataje vitabu vya elimu ya mafanikio...
From burundian ipo siku ntaletaga ushuhuda kwa kitu kikubwa ulichobadilisha kweny maisha yangu taingia tanzania sababu yako asante kwa kunibadiaha
Tutaenda pamoja
Wewe ni mwalimu wangu mkubwa sanaa katika maisha yangu ,,
Brother Joel,kupitia elimu yako na vitabu in just 3months nimweza kununuwa pikipiki yakutembelea thank so much,God bless you brother NANAUKA
Mungu akubariki uwa napata elimu kutoka kwako
Elimu kubha sana hii bado tunakuitaji
asante uncle uwa nasikiliza mafunzo yako kila siku na MUNGU akubaliki
MUNGU akubaliki sana kaka Joel nanauka
đą Haya Mafunzo Ndio Yanayo Faa Mashuleni Asante Sana Mwalimu đ NAOMBA NAMBA ZAKE MWENYE ANAZO #KENYA
so powerful brother
Kila point yako inanipa matokea asante sana mr Joel balikiwa sana hakika wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye uaminifu wa hari ya juu sana.
Mungu azidi kukupa uhai,mwl Joel
Mungu akupe maisha marefu, umenibadilisha sana
Power message âïžđđâïžâïž
Nakufatilia sana kiongoz ww ni mwalim
Kilichopungua kwangu ni uhusiano mzur na watu
May God bless you Mr Joel
Unastahili Sana bro! Mungu akulinde Sana!
Be blessed bro
kwenye maisha saizi tunahitaji personal development education University tunapat living certificate itusaidie kuishi
Mungu akupe maisha marefu brother.tuendeLe kupata mafunzo
Shukrani đđ Ndugu Nanauka nguvu ndio mzingi na subira đïž
Mhhhhh mbona ni Mimi kabisaaaa hapa nazungumziwa kabisa, đ
Najifunza vitu vingi saana kutoka kwako Kaka Joel Nanauka đđ€đ
Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sanađ
Mungu akubariki
Umeniondolea hofu katika maisha yangu nakukubali sana
Mungu akutunze
kubariki mnooo
Life changing speech â€â€
Kaka Joel Mm ninaomba
Unisaidie Kutimiza Malengo
Yangu Mimi niwe ninawajibika
Kwako Katika Malengo yangu.
Genious!!!!!
Asante baba kuna siku nitatoa ushuhuda wangu,
Sababu ya mafundisho yako.
Mungu akulinde usaidie wengi ufahamu.
Nilikuwa na tabia ya kutumia pesa vbaya lkn toka nilipoanza kufatilia miaka mitatu nyuma nimebadilika kusema ukweli.. Mungu akubariki kaka joel
Mungu n mwema
Asante kaka Joel nanauka nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka Mungu akujalie maisha marefu
Very powerful speech.đ„đ„
Thanks brother for your teaching
You are so creative. From today my life will not be the same. Barikiwa
Asante sana broo umenisidia sana kujitambua nini nataka kwenye maisha yangu
Mawazo makubwa xana bro
Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu
I learnt a lot through your speech .your talented bro! God bless you .heal 'em
Umenivisha somewhere, be blessed
Nakubali sana we mwamba natumia kanuni zako katika maisha,yapo ninayoyaishi na mengine Bado...ila hatua ni kubwa
Asante sana kaka Joel kwa kutufundisha
Unatufungua akili shukran sana
Nashukuru sana kaka leo kuna kitu umenifunua
Aisee Kuna kitu kikubwa nimekitoa kwako toka nimeanza kukusikiliza nimeona tofauti kubwa
Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe,
Mimi nitafata ushauri wako.
Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu.
Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako.
Mungu akulinde.
I feel so blessed
Natamani nisave hii speech
Asante bro ingawa unaweza kuamua Hali zikagoma kuhusu muda hapo ni sawa huwezikutimiza Marengo yako kwa mda unaotaka nashukuru kwa elimu
Asante sana Joel nikianzaga kukufatilia napata mabadiliko makubwa sana.
Amazing kaka joel naendelea kijifunza kila leo Mungu Akubariki
Godbless you
BWANA akusaidie sana mtumishi
Asante sana kaka umechangia kubadilisha namna ya ufikiri wetu you are so speacial and change maker
Hilo somo linanihusu mimi kabsa
Asante sanaaa nataman kuja kwenye masomo yako live siku moja
Yaan Huwa nakata tamaa lkn sas umenipa kujiamini
Powerful teachings! Continuation please!! My mentor, Kaka Joel be blessed đđ
â€â€â€â€
Amen kaka nimekuelewa sana
Nakukubali sana kaka Joel
It's good
Shukran mkuu, mungu akuhifadh na kupe kheir nyingi. Sisemi sana ila nimekuelewa.
asante brother kwa elimu hakika tunanufaika
Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.
Asante sana
Hakika Joel umenitoa mbali
Safi Sana,elimu nzuri
pĂŽle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .
I'm here from fix you!!
Tunakuelewa!
Blessed
Umenipa nguvu kaka.
apo njo kaka umeni gusa na ju tiya kumbe
Nikwel kwenye maisha
Ubarikiwe mtumishi
kaka Nanauka nakukubali sana
Bro nakufatilia saaan â€â€â€â€
Bro mungu amekuumba Kwa ajili ya kuwasaidia watu yaani Kwa mtu yeyote akifuata mafunzo Yako atafika mbali sana.mungu akupe miaka mia
asante kaka mungu akubariki
I really learned alot of things from u .
Umenifungua akil yanguuuu
Asante kaka angu
Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza đąna matokeo nayaona
đđżđđżđđż
â€â€â€â€
Asante kwa elimu hii
Naahukuru sanaaa
Barikiwa kaka
Shukuran
Kweli ndg anguu
đȘ
Hujambo kaka?" Mimi naitwa Wanje kutoka Kenya na hua nafatilia masomo Yako sana nashukuru Yana nisaidia. Lakini naomba unisaidie kama naweza kupataje vitabu vya elimu ya mafanikio...
Oui
Tumesubir sana hiyo training namna ya kuamua kinachotakiwa
Nakukubali Sana umenibadilishia maisha
Bro wewe ni hatar
ââ
punguza matangazo
Am waiting a new skills
ninahitaji vitabu kaka, napataje
Maisha yang yamebadilika toka nianze nianze kukusikiliza
Nashukuru sana kusikia hivyo