AMUA UNACHOTAKA LEO - JOEL NANAUKA

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 23. 03. 2023
  • đŸ”„đŸ”„đŸ”„ Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co đŸ”„đŸ”„đŸ”„

Komentáƙe • 119

  • @mireillentunzwenimana4349
    @mireillentunzwenimana4349 Pƙed rokem +33

    From burundian ipo siku ntaletaga ushuhuda kwa kitu kikubwa ulichobadilisha kweny maisha yangu taingia tanzania sababu yako asante kwa kunibadiaha

  • @rosesesala9131
    @rosesesala9131 Pƙed 10 měsĂ­ci +5

    Wewe ni mwalimu wangu mkubwa sanaa katika maisha yangu ,,

  • @necciakodi
    @necciakodi Pƙed rokem +19

    Brother Joel,kupitia elimu yako na vitabu in just 3months nimweza kununuwa pikipiki yakutembelea thank so much,God bless you brother NANAUKA

  • @ediphonceedwin1482
    @ediphonceedwin1482 Pƙed 28 dny +1

    Mungu akubariki uwa napata elimu kutoka kwako

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Pƙed rokem +9

    Elimu kubha sana hii bado tunakuitaji

  • @HellenMazullah-yw6hv
    @HellenMazullah-yw6hv Pƙed 13 dny +1

    asante uncle uwa nasikiliza mafunzo yako kila siku na MUNGU akubaliki

  • @cornerbrezz1207-lc6rg
    @cornerbrezz1207-lc6rg Pƙed měsĂ­cem +1

    MUNGU akubaliki sana kaka Joel nanauka

  • @mtotompole1040
    @mtotompole1040 Pƙed 10 měsĂ­ci +3

    😱 Haya Mafunzo Ndio Yanayo Faa Mashuleni Asante Sana Mwalimu 🎉 NAOMBA NAMBA ZAKE MWENYE ANAZO #KENYA

  • @felixobare8135
    @felixobare8135 Pƙed rokem +8

    so powerful brother

  • @josephmichael9555
    @josephmichael9555 Pƙed rokem +6

    Kila point yako inanipa matokea asante sana mr Joel balikiwa sana hakika wewe ni mtumishi wa Mungu mwenye uaminifu wa hari ya juu sana.

  • @MasungaGahima-es5ei
    @MasungaGahima-es5ei Pƙed 6 dny

    Mungu azidi kukupa uhai,mwl Joel

  • @mwanaidiamanzi914
    @mwanaidiamanzi914 Pƙed 10 měsĂ­ci +2

    Mungu akupe maisha marefu, umenibadilisha sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed rokem +4

    Power message âœïžđŸ“đŸ“âœïžâœŒïž

  • @AdelaLolinga
    @AdelaLolinga Pƙed 8 dny

    Nakufatilia sana kiongoz ww ni mwalim

  • @lwangakajembula8085
    @lwangakajembula8085 Pƙed rokem +2

    Kilichopungua kwangu ni uhusiano mzur na watu

  • @DavidKanaya-oq4mx
    @DavidKanaya-oq4mx Pƙed 5 dny

    May God bless you Mr Joel

  • @amosnshija
    @amosnshija Pƙed 7 měsĂ­ci +1

    Unastahili Sana bro! Mungu akulinde Sana!

  • @abdulymussa3008
    @abdulymussa3008 Pƙed rokem +5

    Be blessed bro
    kwenye maisha saizi tunahitaji personal development education University tunapat living certificate itusaidie kuishi

  • @amanigeorge9886
    @amanigeorge9886 Pƙed rokem +5

    Mungu akupe maisha marefu brother.tuendeLe kupata mafunzo

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Pƙed rokem +3

    Shukrani 📚📚 Ndugu Nanauka nguvu ndio mzingi na subira đŸŽ™ïž

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Pƙed 8 měsĂ­ci +1

    Mhhhhh mbona ni Mimi kabisaaaa hapa nazungumziwa kabisa, 😭

  • @geofreykangaho1149
    @geofreykangaho1149 Pƙed rokem +2

    Najifunza vitu vingi saana kutoka kwako Kaka Joel Nanauka đŸ‘đŸ€đŸ™

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Pƙed 3 měsĂ­ci

    Naendelea kukufatilia....kaka....sai...naona kuna kitu nimeanza kujifunza....naona.. maisha yangu yatanza kubadilika... kupitia wewe.....barikiwa....sana🙏

  • @Selemanially-xz8ly
    @Selemanially-xz8ly Pƙed měsĂ­cem

    Mungu akubariki

  • @veronikacleophas5702
    @veronikacleophas5702 Pƙed rokem +2

    Umeniondolea hofu katika maisha yangu nakukubali sana

  • @happypaulo7954
    @happypaulo7954 Pƙed 21 dnem

    Mungu akutunze

  • @194summer
    @194summer Pƙed měsĂ­cem

    kubariki mnooo

  • @mangasinikusaya8157
    @mangasinikusaya8157 Pƙed rokem +5

    Life changing speech ❀❀

  • @user-qt2yl9tl4f
    @user-qt2yl9tl4f Pƙed rokem +1

    Kaka Joel Mm ninaomba
    Unisaidie Kutimiza Malengo
    Yangu Mimi niwe ninawajibika
    Kwako Katika Malengo yangu.

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Pƙed rokem +3

    Genious!!!!!

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Asante baba kuna siku nitatoa ushuhuda wangu,
    Sababu ya mafundisho yako.
    Mungu akulinde usaidie wengi ufahamu.

  • @salamahamadisudi1912
    @salamahamadisudi1912 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Nilikuwa na tabia ya kutumia pesa vbaya lkn toka nilipoanza kufatilia miaka mitatu nyuma nimebadilika kusema ukweli.. Mungu akubariki kaka joel

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Pƙed rokem +1

    Mungu n mwema

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Pƙed rokem +1

    Asante kaka Joel nanauka nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka Mungu akujalie maisha marefu

  • @missmfinanga3000
    @missmfinanga3000 Pƙed 8 měsĂ­ci +1

    Very powerful speech.đŸ”„đŸ”„

  • @fadhilikiyungi1741
    @fadhilikiyungi1741 Pƙed rokem +2

    Thanks brother for your teaching

  • @dicksonkarithi5637
    @dicksonkarithi5637 Pƙed rokem +1

    You are so creative. From today my life will not be the same. Barikiwa

  • @jumaahassan4707
    @jumaahassan4707 Pƙed rokem +1

    Asante sana broo umenisidia sana kujitambua nini nataka kwenye maisha yangu

  • @Simondeus360
    @Simondeus360 Pƙed rokem +2

    Mawazo makubwa xana bro

  • @solomonnzebele-nz3is
    @solomonnzebele-nz3is Pƙed rokem +1

    Asant sanaaaa kaka Joel namshukulu Mungu kwa kukufanya uzaliwe Tanzania ili tuweze kupata mafanikio kupitia ww. Thanks so much umefanyika baraka sana ktk maisha yangu

  • @davidonlinetv1468
    @davidonlinetv1468 Pƙed 8 měsĂ­ci +1

    I learnt a lot through your speech .your talented bro! God bless you .heal 'em

  • @angelmollel2002
    @angelmollel2002 Pƙed rokem +1

    Umenivisha somewhere, be blessed

  • @wilsontungu3524
    @wilsontungu3524 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Nakubali sana we mwamba natumia kanuni zako katika maisha,yapo ninayoyaishi na mengine Bado...ila hatua ni kubwa

  • @SarahNsajigwa-up8sv
    @SarahNsajigwa-up8sv Pƙed rokem +1

    Asante sana kaka Joel kwa kutufundisha

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Pƙed 3 měsĂ­ci

    Unatufungua akili shukran sana

  • @ishengomabashweka9592
    @ishengomabashweka9592 Pƙed rokem +1

    Nashukuru sana kaka leo kuna kitu umenifunua

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn Pƙed 3 měsĂ­ci

    Aisee Kuna kitu kikubwa nimekitoa kwako toka nimeanza kukusikiliza nimeona tofauti kubwa

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Ushauri wako ni mzuri sana kaka,asante ubarikiwe,
    Mimi nitafata ushauri wako.
    Mwakani nitakutafuta nikiwa nimeanza biashara yangu.
    Nitaomba ushauri zaidi kutoka kwako.
    Mungu akulinde.

  • @oscarj....5979
    @oscarj....5979 Pƙed rokem +3

    I feel so blessed

  • @andrew0502
    @andrew0502 Pƙed 4 měsĂ­ci

    Natamani nisave hii speech

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Pƙed rokem

    Asante bro ingawa unaweza kuamua Hali zikagoma kuhusu muda hapo ni sawa huwezikutimiza Marengo yako kwa mda unaotaka nashukuru kwa elimu

  • @FELISTERPETER-jf9jv
    @FELISTERPETER-jf9jv Pƙed rokem

    Asante sana Joel nikianzaga kukufatilia napata mabadiliko makubwa sana.

  • @ruwaidamabrouk1797
    @ruwaidamabrouk1797 Pƙed rokem

    Amazing kaka joel naendelea kijifunza kila leo Mungu Akubariki

  • @michaelyona9573
    @michaelyona9573 Pƙed rokem +2

    Godbless you

  • @user-ex7qz6uo1y
    @user-ex7qz6uo1y Pƙed 4 měsĂ­ci

    BWANA akusaidie sana mtumishi

  • @anodimdindikasi4823
    @anodimdindikasi4823 Pƙed 10 měsĂ­ci

    Asante sana kaka umechangia kubadilisha namna ya ufikiri wetu you are so speacial and change maker

  • @SizzoSela29-sh8nz
    @SizzoSela29-sh8nz Pƙed 5 měsĂ­ci

    Hilo somo linanihusu mimi kabsa

  • @user-so1sr4hl9e
    @user-so1sr4hl9e Pƙed 8 měsĂ­ci

    Asante sanaaa nataman kuja kwenye masomo yako live siku moja

  • @AdelaLolinga
    @AdelaLolinga Pƙed 8 dny

    Yaan Huwa nakata tamaa lkn sas umenipa kujiamini

  • @jacklinentabo2380
    @jacklinentabo2380 Pƙed rokem +8

    Powerful teachings! Continuation please!! My mentor, Kaka Joel be blessed 🙏🙏

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Pƙed rokem +1

    Amen kaka nimekuelewa sana

  • @saidirajabu3475
    @saidirajabu3475 Pƙed rokem +1

    Nakukubali sana kaka Joel

  • @amosnshija
    @amosnshija Pƙed 7 měsĂ­ci

    It's good

  • @ismailgumbo289
    @ismailgumbo289 Pƙed rokem

    Shukran mkuu, mungu akuhifadh na kupe kheir nyingi. Sisemi sana ila nimekuelewa.

  • @yahyasirlim4928
    @yahyasirlim4928 Pƙed rokem

    asante brother kwa elimu hakika tunanufaika

  • @HussainOmar-ub5hi
    @HussainOmar-ub5hi Pƙed rokem

    Asante sana,mm ni mmoja wapo naumli miaka 40 najutia mambo mengi sana sikuyafanya na sasa cn hata biashara nilio simama nayo ndo nashituka sasa uml umekwenda, nahitaji vitabu vyako nisome itanipa nguvu.

  • @user-pd7zf3tc9q
    @user-pd7zf3tc9q Pƙed 3 měsĂ­ci

    Asante sana

  • @mwitakihani686
    @mwitakihani686 Pƙed 8 měsĂ­ci

    Hakika Joel umenitoa mbali

  • @user-jr4fe9pv5s
    @user-jr4fe9pv5s Pƙed 8 měsĂ­ci

    Safi Sana,elimu nzuri

  • @Francoiskasangala-gc8vx
    @Francoiskasangala-gc8vx Pƙed rokem

    pĂŽle Sana Kaka sasa n'a penda ni ulize kwenye kazi. ngambo ya familia ya mke ao familia ya mume ni wapi ambapo tuta wa weka kwenye ma kampuni zetu. ? kwa sa baba kuna utata apokweli. asante .

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Pƙed rokem

    I'm here from fix you!!

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Pƙed 11 měsĂ­ci

    Tunakuelewa!

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 Pƙed rokem +1

    Blessed

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Pƙed rokem +1

    Umenipa nguvu kaka.

  • @user-hd4tg3wt1u
    @user-hd4tg3wt1u Pƙed rokem +1

    apo njo kaka umeni gusa na ju tiya kumbe

  • @janviervenasi
    @janviervenasi Pƙed rokem

    Nikwel kwenye maisha

  • @songolomeshake6206
    @songolomeshake6206 Pƙed rokem

    Ubarikiwe mtumishi

  • @ramakatonyongo1389
    @ramakatonyongo1389 Pƙed rokem

    kaka Nanauka nakukubali sana

  • @user-ln9px2vh6r
    @user-ln9px2vh6r Pƙed 8 měsĂ­ci

    Bro nakufatilia saaan ❀❀❀❀

  • @joharisaid4394
    @joharisaid4394 Pƙed rokem

    Bro mungu amekuumba Kwa ajili ya kuwasaidia watu yaani Kwa mtu yeyote akifuata mafunzo Yako atafika mbali sana.mungu akupe miaka mia

  • @zawadigasper9544
    @zawadigasper9544 Pƙed rokem

    asante kaka mungu akubariki

  • @solangesine1874
    @solangesine1874 Pƙed rokem +3

    I really learned alot of things from u .

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 Pƙed rokem

    Asante kaka angu

  • @user-qd4pn2ev7s
    @user-qd4pn2ev7s Pƙed 5 měsĂ­ci

    Kaka ulisema vitu ambavyo mtu anavisikiliza Kila Kila siku ndiyo humkaa na kumuathiri basi nishakuwa addicted na masomo yako yaani siwezi kushinda bila kukusikiliza 😱na matokeo nayaona

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Pƙed rokem +1

    🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @JacklineWiston-lf1zy
    @JacklineWiston-lf1zy Pƙed 7 měsĂ­ci

    ❀❀❀❀

  • @nathanmao159
    @nathanmao159 Pƙed rokem

    Asante kwa elimu hii

  • @dorotheakapufi
    @dorotheakapufi Pƙed rokem

    Barikiwa kaka

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Pƙed rokem

    Shukuran

  • @raymondngeze3461
    @raymondngeze3461 Pƙed rokem

    Kweli ndg anguu

  • @magrethdamiano6305
    @magrethdamiano6305 Pƙed 9 měsĂ­ci

    đŸ’Ș

  • @WanjeCharo-qp2ou
    @WanjeCharo-qp2ou Pƙed rokem

    Hujambo kaka?" Mimi naitwa Wanje kutoka Kenya na hua nafatilia masomo Yako sana nashukuru Yana nisaidia. Lakini naomba unisaidie kama naweza kupataje vitabu vya elimu ya mafanikio...

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Pƙed rokem

    Oui

  • @dorickmichael
    @dorickmichael Pƙed rokem +1

    Tumesubir sana hiyo training namna ya kuamua kinachotakiwa

  • @deoabel9948
    @deoabel9948 Pƙed rokem

    Bro wewe ni hatar

  • @denisamos6225
    @denisamos6225 Pƙed rokem +1

    ✊✊

  • @kaslali2039
    @kaslali2039 Pƙed rokem

    punguza matangazo

  • @mosesmargana431
    @mosesmargana431 Pƙed rokem

    Am waiting a new skills

  • @AbiggaAmos-fo1hw
    @AbiggaAmos-fo1hw Pƙed rokem

    ninahitaji vitabu kaka, napataje

  • @josephatjosephat7448
    @josephatjosephat7448 Pƙed rokem

    Maisha yang yamebadilika toka nianze nianze kukusikiliza