Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 03. 2024
  • Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.

Komentáře • 43

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 Před měsícem +1

    Yes I appreciate. Tunabarikiwa Asante sana.

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před 3 měsíci +3

    Asant kaka Antony Luvanda

  • @KessiaHarerimana
    @KessiaHarerimana Před 2 měsíci +1

    Jambo mweshimiwa samaani huku congo tunakufuwata vizuri hila ukishanganya kingereza hatuhelewi

  • @eco-marktechnologylimited4033

    Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.

  • @pascalnsengiyumva4836
    @pascalnsengiyumva4836 Před 2 měsíci +1

    Nimejengeka sana.
    Naomba weka hiyo iliyopita kuhusu BUDGET

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 3 měsíci +2

    Ili somo ni zuri kwa wanaojua rugha zote ila kwa wengine tu kiswahili hawaelewi badiri mfumo wa kufundisha

  • @evaristosanga471
    @evaristosanga471 Před 3 měsíci +3

    Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.

    • @HaniyaKisingo
      @HaniyaKisingo Před 3 měsíci

      Afadhali umesema

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 2 měsíci +1

      Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!

  • @josephmigila267
    @josephmigila267 Před 3 měsíci +1

    Big time information

  • @helenamwema744
    @helenamwema744 Před 2 měsíci +1

    Tatizo kingereza Luvanda ila unafundisha vizuri sana jitahidi Kiswahili kiwe kingi

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před měsícem

    Upo sawa

  • @rajabkahindi3389
    @rajabkahindi3389 Před 3 měsíci +2

    Tunashukuru mnazidi kututoa ujinga

  • @steraswai3251
    @steraswai3251 Před měsícem

    Nipenda hiyo sana nimejifunza kupitia hii asante sana

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia6306 Před 2 měsíci +1

    Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před měsícem

      Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před měsícem

      @@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..

  • @EvalistoMwakalobo
    @EvalistoMwakalobo Před měsícem +1

    Mim nipo mwanzon2 kuangalia lakn kingereza sijui nimeona2 niachie njian Kwan kulilua watu hawaelew kiswahili umo Apo ndo umefeli brother jitahid ukiwa na waswahili ongea kiswahili ukiwa na wageni ongea lugha izo Sasa umo wote waswahili nimekwazika kwakwel

  • @thomasndabulike4735
    @thomasndabulike4735 Před měsícem

    Very nice

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ Před 3 měsíci +1

    Nakupata vilivyo MC Luvanda

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před měsícem

    Mada nzuri sana leo

  • @alextzatv
    @alextzatv Před 2 měsíci

    Hii ni Moja mada nzuri sijapata Kuiona huku mjini CZcams

  • @njungedennis8227
    @njungedennis8227 Před 2 měsíci

    Good communicator..The English is on top

    • @ngugimundia6306
      @ngugimundia6306 Před 2 měsíci +1

      But why use English and your target audience only understand swahili this in kenya 🇰🇪 we count it as backwardness and insensitivity...

  • @MarcoMchele-e7b
    @MarcoMchele-e7b Před 17 dny

    Masomo mazuri brother

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 Před 13 dny

    Hii ndio shida ya watanzania wengi yaani somo unatoa tanzania lughaa ya ulaya pumbavu kbsaa

  • @user-xw1ty7pb8h
    @user-xw1ty7pb8h Před 3 měsíci +3

    Antony upo vizuri lakini punguza kingereza maana tupo ambao hatukijui na tunahitaji kujifunza

  • @abdulrahmanhassan5998
    @abdulrahmanhassan5998 Před 3 měsíci +19

    somo nizuri sana , lakini najiuliza kwani kunaulazima gani kufundisha kwa kutumia lugha mbili kwa watu ambao unaweza kuongea nao kwa lugha yao? hivi ni lini waafrika tutaacha ulimbukeni wa lugha za watu ? kweli sai utumwa upo kichwani sio kama zamani.

    • @jacqueisaac8155
      @jacqueisaac8155 Před 2 měsíci +2

      Na kama kuna wasoelewa kiswahili je?

    • @jasminemumwi2401
      @jasminemumwi2401 Před 2 měsíci +2

      Maisha hayana usawa boss.mfano mzuri hata hao waliopo hapo wote hawalingani chochote umri rangi jinsia dini n.k..sasa kwanini utofati wa lugha tu ndio ukukwaze wakati kuna utofati kwenye kila kitu???

    • @alikomwandoto1258
      @alikomwandoto1258 Před měsícem

      Exactly 💯

    • @alexntahiraja2974
      @alexntahiraja2974 Před měsícem

      Umesema vyema kabisa. Kwa sababu siyo wote wamejariwa kujuwa lugha ya kingeleza lakini wana pesa na akili.

    • @hosianamshana
      @hosianamshana Před 17 dny +1

      Kwanza mim sielewi kabisa

  • @oseahmbembela-gi4du
    @oseahmbembela-gi4du Před 22 dny

    Chagua lugha moja ya kufundishia mkuu wengine hatujui kiingereza

  • @JulianaMchome
    @JulianaMchome Před 2 měsíci

    Luvanda acha uzungu mwingi zungumza kiswahili chakwetu

  • @HildaOscar
    @HildaOscar Před měsícem

    Tunaosikiliza so wote tunaojua lugha za kigeni hapo Uhuru siuoni hapa ninapojufunza

  • @AliFakimati-dk4mt
    @AliFakimati-dk4mt Před 19 dny

    Tumia lugha moja tuhicho unachokifanya sio uhuru.

  • @HildaOscar
    @HildaOscar Před měsícem

    Tusiojua kizungu hapa tunapata hasara

  • @neemalaurent9836
    @neemalaurent9836 Před 23 dny

    Ubora wa somo haupo kabisa,lugha ya kingereza kwa watanzania tena waswahili,wapi na wapi sasa🤦

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před měsícem

    Ugonile juve vahwawe

  • @user-vj2mg5ng1v
    @user-vj2mg5ng1v Před měsícem

    Tumia kiswahili jamani

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 Před měsícem

    Wuwomba imboimbo nonu hilume