Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa.
Vložit
- čas přidán 22. 03. 2024
- Jinsi ya kujiandaa kuwa mjasiriamali kabla ya kuacha kuajiriwa. Kabla hujaamuwa kuacha kazi na kujiajiri kuna mambo muhimu ya kuzingatia ndipo ufanye maamuzi.Anthony Luvanda anashare experience yake na vitu vya kuzingatia ili ufanikiwe.
Yes I appreciate. Tunabarikiwa Asante sana.
Asant kaka Antony Luvanda
Jambo mweshimiwa samaani huku congo tunakufuwata vizuri hila ukishanganya kingereza hatuhelewi
Jamaa anabore sana. Kingereza cha nini sasa. Hajui kama anawakera sema hawana namna. Ni ushamba uliopitiliza kuongea lugha tofauti wakati team nzima inayokusiliza inajua lugha ya asili.
Nimejengeka sana.
Naomba weka hiyo iliyopita kuhusu BUDGET
Ili somo ni zuri kwa wanaojua rugha zote ila kwa wengine tu kiswahili hawaelewi badiri mfumo wa kufundisha
Tumia lugha moja kwa ufasaha.Kama ni kiingereza basi tumia kwa ufasaha.Kama ni Kiwahili basi kwa ufasaha.Chagua kwa kuzingatia aina ya watu unaowafundisha.
Afadhali umesema
Mimi ni mwalimu wa lugha tokea kenya na hapa nakuunga mkono asilimia mia...uwasilishaji unahitaji matumizi ya lugha moja...hapa anazengua tu kuwachachawiza watanzania mmuogope kwa kingereza chake...hapa kenya 🇰🇪 tunacheka tu!
Big time information
Tatizo kingereza Luvanda ila unafundisha vizuri sana jitahidi Kiswahili kiwe kingi
Upo sawa
Tunashukuru mnazidi kututoa ujinga
Nipenda hiyo sana nimejifunza kupitia hii asante sana
Mwalimu uko vizuri ila wengi naona hapa ni waswazi....am from kenya 🇰🇪 and your presentation is so articulate and on point though my brothers and sisters from Tanzanian 🇹🇿 are really struggling to comprehend the concept just use swahili....tumia lugha rahisi ya watanzania ili wanufaike zaidi hamna ubabe kwa kutumia lugha ya wakoloni..salam toka hapa kenya 🇰🇪.
Uko sawa akilini mwako? Unashauri mtu aongee kiswahili tu kwasababu naneno mengine anachanganya kingereza na nikweli ni lugha ya kikololono ila ni lugha ya kibiashara pia halipingiki hilo, je wewe mbona umwchanganya hapo kuongea kiswahili na kingereza kwa wakati mmoja? Je Kenya kuongea kingereza wao ni wazungu? Au bado ni watumwa? Maana wanatumia lugha ya mzungu
@@nassercurtis9579 elewa kingereza nilichokitumia si kwaajili ya mtu wakijijini...kama wewe hapa ni nazungumza na msomi mwenzangu.. sasa wewe tatizo elimu tu..naomba ujiongeze babu...sasa hata kiswahili chenyewe kina kupa tabu...angalia unavyo endeleza maneno vibaya..makosa mengi ya sarufi....nini maana ya kikololono....unamwchanganya....rudi shule ujue kuandika kisha utumie mitandao ya kijamii..
Mim nipo mwanzon2 kuangalia lakn kingereza sijui nimeona2 niachie njian Kwan kulilua watu hawaelew kiswahili umo Apo ndo umefeli brother jitahid ukiwa na waswahili ongea kiswahili ukiwa na wageni ongea lugha izo Sasa umo wote waswahili nimekwazika kwakwel
Very nice
Nakupata vilivyo MC Luvanda
Mada nzuri sana leo
Hii ni Moja mada nzuri sijapata Kuiona huku mjini CZcams
Good communicator..The English is on top
But why use English and your target audience only understand swahili this in kenya 🇰🇪 we count it as backwardness and insensitivity...
Masomo mazuri brother
Hii ndio shida ya watanzania wengi yaani somo unatoa tanzania lughaa ya ulaya pumbavu kbsaa
Antony upo vizuri lakini punguza kingereza maana tupo ambao hatukijui na tunahitaji kujifunza
somo nizuri sana , lakini najiuliza kwani kunaulazima gani kufundisha kwa kutumia lugha mbili kwa watu ambao unaweza kuongea nao kwa lugha yao? hivi ni lini waafrika tutaacha ulimbukeni wa lugha za watu ? kweli sai utumwa upo kichwani sio kama zamani.
Na kama kuna wasoelewa kiswahili je?
Maisha hayana usawa boss.mfano mzuri hata hao waliopo hapo wote hawalingani chochote umri rangi jinsia dini n.k..sasa kwanini utofati wa lugha tu ndio ukukwaze wakati kuna utofati kwenye kila kitu???
Exactly 💯
Umesema vyema kabisa. Kwa sababu siyo wote wamejariwa kujuwa lugha ya kingeleza lakini wana pesa na akili.
Kwanza mim sielewi kabisa
Chagua lugha moja ya kufundishia mkuu wengine hatujui kiingereza
Luvanda acha uzungu mwingi zungumza kiswahili chakwetu
Tunaosikiliza so wote tunaojua lugha za kigeni hapo Uhuru siuoni hapa ninapojufunza
Tumia lugha moja tuhicho unachokifanya sio uhuru.
Tusiojua kizungu hapa tunapata hasara
Ubora wa somo haupo kabisa,lugha ya kingereza kwa watanzania tena waswahili,wapi na wapi sasa🤦
Ugonile juve vahwawe
Tumia kiswahili jamani
Wuwomba imboimbo nonu hilume