Video není dostupné.
Omlouváme se.

WEKEZA KWENYE HATI FUNGANI ZA SERIKALI ZA MUDA MFUPI NA ZA MUDA MREFU - BY LAWRENCE MLAKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 01. 2021
  • Hati Fungani za serikali ni fursa nzuri sana ya uwekezaji kwa kila Mtanzania. Ni yema kupata ujuzi wa jinsi zinavyofanya kazi ili uweze kuwekeza kwa amani zaidi. Video hii inaelezea mambo yote ya msingi juu ya uwekezaji kwenye hati fungani za muda mfupi na muda mrefu kama zilivyoelezewa na mtaalam Lawrence Mlaki.

Komentáře • 44

  • @archchina4705
    @archchina4705 Před 2 lety +8

    Thanks a lot (you and the whole team behind) for sharing your knowledge with us. I hope more Tanzanians can wake up and start learning. God bless you all!

  • @mikaayo10
    @mikaayo10 Před rokem +1

    Tunaenda ngazi nyingine saaa ❤ asante sana

  • @imaniseba
    @imaniseba Před rokem +3

    God bless you...Very insightful knowledge

  • @onesmomwakaje2717
    @onesmomwakaje2717 Před 2 lety +2

    Ubarikiwe Mkuu, Elimu nzuri sana na imefafanunuliwa kitaalamu sana
    Be blessed

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 Před rokem +1

    kweli wewe ni mchumi, nimeelewa sana leo, kumbe Tanzania tuna wasomi aisee.

  • @jacquelineshoo7859
    @jacquelineshoo7859 Před 3 lety +3

    Asante sana mwalimu...somo zuri sana

  • @bonifaceidindil792
    @bonifaceidindil792 Před rokem +1

    Ahsante sana kwa Elimu hii.

  • @Thonythomas
    @Thonythomas Před rokem +1

    Information ni kitu cha muhimu sana mkuu

  • @creykulumula10
    @creykulumula10 Před 2 lety +2

    Very insightful and great session.

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 2 lety +1

    Nice

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu1466 Před 8 měsíci

    Asante sana nimehamsika Inshaallah namie nitenda kuwekeza huko❤❤❤

  • @idrisaramadhan8274
    @idrisaramadhan8274 Před 3 lety +4

    Tunaomba Mawasiliano yako. 🤗

  • @athumanirugami4230
    @athumanirugami4230 Před 2 lety +1

    Ahsante brother

    • @moseskizondo5888
      @moseskizondo5888 Před rokem

      Mwalimu nilikuwa na swali moja umesema kwamba unapokuwa umenunua bond kwa bei ya punguza kwa maana ya chini ya 100% na baada ya mataokeo ya huo mnada ikawa waliopata ni wale wa at per na premium peke je ile pesa yako iliyoweka itarudshwa au ndo itakuwa imepotea?

  • @sajuckdabrother4119
    @sajuckdabrother4119 Před měsícem

    That is the problems when it comes iterms of terminalogies

  • @gessanabuu2099
    @gessanabuu2099 Před rokem

    Huyu jamaa ni mkufunz mzur sana.
    Mim nauliza ukinunua bond Kwa 101% , bid anapataje faida?

  • @johwilly8723
    @johwilly8723 Před rokem +1

    naomba kuuliza, kwa mfano nimewekeza mwaka huu million 2, mwakan naweza kuongeza tena pesa kwenye ile million 2 ya mwanzo au mpaka niBID tena kwenye mnada mwingine?

  • @nataliamhina9583
    @nataliamhina9583 Před 3 lety +2

    Asante kwa elimu🙏🙏

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety +2

      Karibu Natalia, Usisahau ku like, comment, subscribe na kushare na wengine.

  • @kelvinmsokwa6365
    @kelvinmsokwa6365 Před rokem

    Kwenye Bonds unaweza uka compound interest ? Usi withdraw au interest ni lazima uichukue?
    So far Great content and very informative . Bingo!

  • @Thatscene2024
    @Thatscene2024 Před rokem +2

    Sasa apo unapo mfananisha UTT na BONDS haipo sawa kumbuka UTT anampokea mteja mwenye Tsh 10000
    Nyie bonds ni 1M nakurndelea..kubgekuwa na option ya chini hata kama ya kufanania na treasure bills watu wangevutika. MAIN POINT WAAMBIE WATU WAJAZE MZIGO UTT WAKIWA NA MITAJI YA KUTOSHA WAJE DIRECT INTO BOND..

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 Před 3 lety

    Mkuu bado Sijaelewa.

  • @royalmirage2005
    @royalmirage2005 Před 2 lety +1

    Office zako zipo wapi

  • @godfrey279
    @godfrey279 Před 3 lety +3

    Je serikali ikisitisha Mambo ya bond itakuwaje?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety +2

      Then utawekeza kwenye fursa zingine. Lakini sio rahisi kwa Serikali kufanya hivyo maana inahitaji hizo pesa kuendesha miradi mbali mbali kwenye nchi.

  • @catherinemzurikwao3265
    @catherinemzurikwao3265 Před 2 lety +4

    Elimu nzuri kwa watanzania wenye nia ya kujua uwekezaji. Naomba kujua tafuatayo (1) kwa hiyo hizo bonds, nikitaka kununua at primary level ( mnada ukitangazwa) siruhusiwi kwenda ku- bid personally? Ni lazima nimtumie dalali? (Broker)? (2)Halafu pia, je kama nikimtumia dalali ni lazima nilipe hizo hela ninazo bid kwake kabla ya mnada, (as premium, at par au discount rate) kwa broker au ni mimi ndio naenda nazo mikononi, au inakuaje hapo? Na huyo dalali, ananicharge kiasi gani ili anihudumie? (Kuanzia process ya kubid mpaka kufunguliwa sijui account!!? ambayo ulisema hata bank yangu wanaweza kunisaidia?

  • @ramadhanshiganza4926
    @ramadhanshiganza4926 Před 3 lety

    Mkuu NAWEZA PATA VITABU VYAKE?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety

      Hana vitabu kwa sasa. Lakini ni kuangalia kwenye bookshops kama kuna vitabu vya Hati Fungani.

  • @edwardpeter8569
    @edwardpeter8569 Před 2 lety +1

    Ed naomba namba yako kaka

  • @godfrey279
    @godfrey279 Před 3 lety +2

    Ukiuza bond yako, utarudishiwa pesa yako yote?

    • @EdmundMunyagi
      @EdmundMunyagi  Před 3 lety

      Ndio unapata pesa yako uliyoweka. Kama una Bond ya 100m na kipindi chako kikiisha unapata pesa yako kama ilivyo.

    • @imtiazvisram8800
      @imtiazvisram8800 Před 2 lety

      Amekuuliza uki uza bond. May be after 3 years. Labda una hitaji hela je utapata principal amount ?

    • @BIDIIKATUMAINI
      @BIDIIKATUMAINI Před 23 dny

      Ndyo​@@imtiazvisram8800

  • @joycejames6709
    @joycejames6709 Před 3 lety

    Tressury bills zina tax?