⚫️

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 05. 2020
  • ⚫️#LIVE: HIZI NDIZO TABIA ZA WEWE KUFANIKIWA, SHUGHULIKA NAZO | SHIGONGO DARASA
    Ni katika kipindi cha Darasa na Mtangazaji Lucas Masungwa pamoja na Mkurugenzi wa Global Group Erick Shigongo akizungumzia namna ambavyo mtu anatakiwa Pambana ili kubadili tabia inayoweza kumkwamisha kuelekea mafanikio yake na kuwafanya watu wakuamini
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 33

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před 3 dny +1

    Asante kwa kipindi. Nimesoma vitabu vyako, the president love my wife. Wife alikuwa Ana kifafa. Na nilivutiwa na kitabu nikampa aliyekuwa na kifafa, anakula dawa hadi leo ni mhasibu Ana watoto 3 lkn mmoja wao Ana kifafa ilishangaza Familia hadi Muda huu. Nisaidie Mh shigongo. Barikiwa.

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE Před 21 dnem +2

    ❤nimefurahi kuku tana na huyu father Eric mazingila niliyo pitia yamefanana na yangu wakati utoto wangu nimejua habari ya Eric kwenye kitabu cha umasikini hadi MAFANIKIO kazi nzuri sana uandishi wa TOFAUTI

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 4 lety +4

    Kipindi kizuri, kwakweli hata mimi nimejifunza kitu hasa hapo katika matumizi ktk vitu muhimu tu,asante sana Eric shigongo we l❤ you.

  • @user-of1bd5vg9j
    @user-of1bd5vg9j Před 2 dny

    Allah Akulipe mie niko oman

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 Před 4 lety +4

    Shigongo nakukubali sana kaka asante sana kaka na ubarikiwe sana kaka

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 Před 7 dny

    Nimempenda sana Kwa madundisho yake dah amazing sana

  • @user-lu8ny2gu7t
    @user-lu8ny2gu7t Před 13 dny

    Ubarikiwe sana kaka Shigongo

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 Před 7 dny

    Nzuri sana ubarikiwe sana

  • @richardsaston3285
    @richardsaston3285 Před 9 dny

    Amina, naanza sasa kuchukua hatua.

  • @katondaonlinetv9900
    @katondaonlinetv9900 Před rokem +1

    Nakufatilia sana kiongozi wangu Eric Shigongo.

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman Před 11 dny

    Napenda mafundisho yako

  • @davidkisale5215
    @davidkisale5215 Před 3 dny

    Perfect said

  • @user-vq3vh4jt3z
    @user-vq3vh4jt3z Před 9 měsíci

    Ahsante sana Mr.shigongo from grobal Tv

  • @mkamikimelo9268
    @mkamikimelo9268 Před 3 lety +1

    Nakuombea uzima Kaka,tuendelee kupata madini

  • @user-qu6bv7dm3c
    @user-qu6bv7dm3c Před 9 měsíci

    Asante kwa Elimu nzuri

  • @user-lz4mq3qo7x
    @user-lz4mq3qo7x Před 20 dny

    Nakukubali brother

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE Před 21 dnem +1

    Kuhusu tabia niliipenda tabia YANGU yakupenda kusoma wakati nipo na umri wa miaka 8 MALIFA na ujuzi niliwasumbua walezi na baba yangu

  • @mcchillo3145
    @mcchillo3145 Před 3 lety

    Nakukubali sana kaka shigongo

  • @samwelaloyce54
    @samwelaloyce54 Před 3 lety

    pamija san bwana shigongo nakukubali kiongozi

  • @goodluckrichard6476
    @goodluckrichard6476 Před 2 lety +1

    Kweli natamani sana nipunguze asira ila inanimate shida kuacha

  • @habeshaqameyu8555
    @habeshaqameyu8555 Před 4 lety +1

    Hongera kaka

  • @habeshaqameyu8555
    @habeshaqameyu8555 Před 4 lety +1

    Nimekuelewa xana

  • @erickpasence5837
    @erickpasence5837 Před 2 lety +1

    helo..this is erick patience...... napenda masomo ya erick shigongo....its my wishes to meet you Sir

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 Před 4 lety +1

    Kuanzia leo nitajitahidi nisikose kipindi chako

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE Před 21 dnem

    Vitabu urinyo vionesha vya Eric shigongo nime vipenda TAYARI nasoma VIZURI sana

  • @PetyJonas
    @PetyJonas Před 21 dnem

    Nilikuwa mlaji wa pemba ( udongi) nikawa nakula adi najichukia nimeamua kwa sku moja nikajizuia nikafunga adi sas yapata miez miwil hata nikijarb kula naisi kutapika nashukuru imenisaidia japo ni ngumu ila maamzi tu

  • @user-je9lf6ny6d
    @user-je9lf6ny6d Před 9 měsíci

    Nimekupata

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 Před 4 lety

    Hichi kipindi kipo kila au vp

  • @filberthendry8519
    @filberthendry8519 Před 3 lety +2

    Kwel Kaka Erick n ukwel mtupu na ambaye anakufuatilia akiamua anabadilika ukwel na kupata mafanikio

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman Před 11 dny

    Napenda mafundisho yako

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman Před 11 dny

    Napenda mafundisho yako