MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..
Vložit
- čas přidán 14. 05. 2022
- MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..
Mbunge Wa Buchosa Eric Shigongo May 14 amezungumza na wanafunzi wa chuo cha biashara (CBE) campas ya Dodoma.
Akizungumza na wanafunzi hao Shigongo amewaeleza kuwa kama wanataka kutumiza ndoto zao wachague marafiki wema maana yeye wakati anatafuta maisha aliwai kushindwa kufikia malengo kwa sababu akuchagua marafiki bora.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Ninamshukuru Santa Mungu kukuumba mheshimiwa Shigongo kwani maneno Yako yamenitia moto na ninaamini kupitia maneno Yako BWANA atanifikisha Mahalia pa kuwatia moto wengine nilikuea nimekata tamaa.Mungu akupe maisha marefu zaidi
Asante sana, japo bungeni hawakuelewi but nondo zako zinanikomboa always
Safi sana Eric kwa kuelimisha vijana.
Nice brother
Eric your very bright na unaiona future na kwel indeep kutoka moyon unazungumzaa,,, nataman kufanikiwa kama ilivyo kwako na MUNGU ATUSAIDIE VIJANA NA WATANZANIA WENZANGU. UBARIKIWE SANA KIONGOZI
Our country, our home, our brothers and sisters, our Loved ones.
🔥🔥🔥🔥
Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.🙏🙏🙏🔥🔥🔥
Wewe ni mbunge sio motivation speker ,, fanya kazi yako ya ubunge jomba
Unajua kabla ya ubunge alikua anafanya nini? Punguza kuropoka
@@seraphiamligo8143 nikijua itanisadia nini limbukeni ww
Punguza kuropoka mwanaume.. Wanaume wenzio hawatanui midomo hivyo,au namna gani wewe
Your brain does not work properly
Hee
🔥🔥🔥🔥