MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 05. 2022
  • MBUNGE SHIGONGO AELEZA MAKOSA ALIYOFANYA KWENYE UJANA, MARAFIKI WALIVYOMRUDISHA KWENYE UMASKINI..
    Mbunge Wa Buchosa Eric Shigongo May 14 amezungumza na wanafunzi wa chuo cha biashara (CBE) campas ya Dodoma.
    Akizungumza na wanafunzi hao Shigongo amewaeleza kuwa kama wanataka kutumiza ndoto zao wachague marafiki wema maana yeye wakati anatafuta maisha aliwai kushindwa kufikia malengo kwa sababu akuchagua marafiki bora.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 18

  • @mavumbiwawa-ws7jj
    @mavumbiwawa-ws7jj Před rokem +4

    Ninamshukuru Santa Mungu kukuumba mheshimiwa Shigongo kwani maneno Yako yamenitia moto na ninaamini kupitia maneno Yako BWANA atanifikisha Mahalia pa kuwatia moto wengine nilikuea nimekata tamaa.Mungu akupe maisha marefu zaidi

  • @kalengashoppingcenter1108

    Asante sana, japo bungeni hawakuelewi but nondo zako zinanikomboa always

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Před 2 lety +1

    Safi sana Eric kwa kuelimisha vijana.

  • @shigongojulius1494
    @shigongojulius1494 Před rokem +1

    Nice brother

  • @user-od9cf7lp9v
    @user-od9cf7lp9v Před 10 měsíci

    Eric your very bright na unaiona future na kwel indeep kutoka moyon unazungumzaa,,, nataman kufanikiwa kama ilivyo kwako na MUNGU ATUSAIDIE VIJANA NA WATANZANIA WENZANGU. UBARIKIWE SANA KIONGOZI

  • @SechySeche-hm6bd
    @SechySeche-hm6bd Před 20 dny

    Our country, our home, our brothers and sisters, our Loved ones.

  • @nasmahjustine6471
    @nasmahjustine6471 Před 2 lety

    🔥🔥🔥🔥

  • @JoyceNdunguru-lg1ug
    @JoyceNdunguru-lg1ug Před 10 dny

    Mungu akubariki sana kwa kazi nzuri.🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Před 2 lety +1

    Wewe ni mbunge sio motivation speker ,, fanya kazi yako ya ubunge jomba

  • @nasmahjustine6471
    @nasmahjustine6471 Před 2 lety

    🔥🔥🔥🔥