ERIC SHIGONGO- "SHUGHULIKA NA UBONGO WAKO! SIRI ZA MAFANIKIO NI HIZI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 11. 2017
  • Subscribe / uwazi1
    Mkurugenzi wa Global Groups ambaye pia ni mhamasishahi wa kimataifa, Eric Shigongo anazungumza na waumini vijana wakiwemo wanavyuo kutoka Kanisa la TAG-VCCT Mbezi Beach jijini Dar es Salaam.
    Mbali na mambo mengine, Shigongo anazungumzia kuhusu umuhimu wa kuzijua siri za mafanikio na jinsi akili yako inavyoweza kusababisha mapinduzi makubwa katika maisha yako endapo ukiamua.
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
    Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya…
    / uwazi1
    / uwazi1
    / uwazi1
    WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
    FACEBOOK: / globalpublis. .
    TWITTER: / globalhabari
    INSTAGRAM: / globalpubli. .

Komentáře • 16

  • @athumanomary1438
    @athumanomary1438 Před 5 lety

    Asante san asante san kwa mafundisho yako kaw muongozo wako kwetu hakika mwenyez MUNGU azidi kukuongoza vyema herick shigongo

  • @lupogoaureus6683
    @lupogoaureus6683 Před 3 lety

    Nimebarikiwa ndug; nimepambana Sana ; nami na sems Asante MUNGU

  • @thelimitlessclass7909
    @thelimitlessclass7909 Před 6 lety +1

    i must be like you . Eric Shigongo...

    • @waihereenterprises7300
      @waihereenterprises7300 Před 6 lety

      Mimi nataka niwe zaid yako na mm ni miongon mwa watu waliojifunza kutoka kwako!!

  • @peterjanuary7567
    @peterjanuary7567 Před 3 lety

    Makini mno...👏

  • @evaristfabian6125
    @evaristfabian6125 Před 4 lety

    Thanx bro!

  • @swallahokororo1123
    @swallahokororo1123 Před 4 lety

    Thanks brother kwa elimu nzuri

    • @avilangston6170
      @avilangston6170 Před 2 lety

      i guess im asking randomly but does any of you know a tool to get back into an instagram account..?
      I stupidly forgot the login password. I love any assistance you can offer me!

  • @godfreykulwa2639
    @godfreykulwa2639 Před 5 lety

    eric shigongo naitaji sana sapoti yako niweze kuvuka daraja nililopo

  • @abedinegopaulo670
    @abedinegopaulo670 Před 3 lety

    Saana mheshimiwa on today a'm learning good matter which states that brain is a every thing ov human being or also brain it just lyike a engine which are process data

  • @modestalekule9287
    @modestalekule9287 Před 5 lety

    Eriki minapenda sana kazi zako ntakupataje?

  • @jigajrphil1344
    @jigajrphil1344 Před rokem

    😳

  • @filberthendry8519
    @filberthendry8519 Před 3 lety

    Ssa Kaka Shigongo kiingerza ulijifunza mwenyewe au ulfundishwa?

  • @omariramadhani1562
    @omariramadhani1562 Před 3 lety +1

    Bro tatizo kingereza,tambua unaongea Na watanzania

  • @stevenmwaisunga5090
    @stevenmwaisunga5090 Před 3 lety

    Kingreza kingi blaza punguza kdogo.