Tabia 10 Muhimu za Mafanikio

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2018
  • Jifunze tabia 10 za mafanikio katika somo hili muhimu:
    .
    Tuandikie kile ulichojifunza kwenye comments, gonga “LIKE” pamoja na “ku-share” link ya somo hili kwa wengine. Asante
    .
    KUWA MZUNGUMZAJI MAHIRI KWA KOZI HII:👇🏼
    Boresha uwezo wako sasa wa kuzungumza na utengeneze njia za kuingiza kipato zaidi. Nunua kozi ya “Speaking Skills Course”
    Kwa bei ya punguzo ya 20,000 TZS tu!
    👇🏼👇🏼
    Tuma neno “KOZI” au “COURSE” kwenye whatsapp: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    NUNUA VITABU:
    Nunua kitabu kitakacho kusaidia kukua na kujiongezea thamani.
    Kupata orodha ya vitabu tuma neno: “KITABU” au “VITABU”
    kwa WhatsApp namba: 0759-19-10-76
    Au bonyeza hapa: wa.me/255759191076
    .
    KOZI YA CZcams CHANNEL MASTERY (BURE):
    Ichukue hapa: / @youtubepesa255
    .
    JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP (BURE):
    Ingia moja kwa moja kwa kubonyeza Link hii:
    chat.whatsapp.com/JxOUqZBdf35...
    .
    WASILIANA NA EZDEN JUMANNE
    Media Personnel & An Entrepreneur
    Instagram: / ezdenjumanne
    Twitter: / ezdenjumanne
    Facebook: / ezdenjumanne
    WhatsApp: wa.me/255759191076
    .
    SUBSCRIBE Kwenye channel zetu nyingine:
    .
    HAMASA YA LEO👇🏽
    / hamasayaleo
    .
    VOICE-OVER CHANNEL👇🏽
    / ezden_voiceover
    .
    KWA MATANGAZO NA BIASHARA:
    - Kuweka tangazo lako kwenye channel hii.
    - Unahitaji Voice-over (English & Swahili).
    - Kutengenezewa tangazo zuri la video na sauti
    Tuwasiliane:
    CALLS: (+255) 759 191 076
    WHATSAPP: wa.me/255759191076
    EMAIL: ezdenjumanne@gmail.com
    .
    .
    Mafanikio, Malengo, Kujitambua, Nidhamu, Kujiamini, Ubunifu, Uwezo, Uongozi, Mipango, Kuhamasisha, Kujiboresha, Ukuaji binafsi, Ushawishi, Uhusiano, Afya ya akili, Afya ya kimwili, Ustadi wa maisha, Falsafa ya maisha, Mafanikio ya kifedha, Biashara, Ujasiriamali, Uwekezaji, Elimu mtandaoni, Mafunzo, Kocha wa maisha, Mzungumzaji wa motisha, kitabu, vitabu, Kiswahili, Tanzania, Ezden Jumanne, Success Path Network, pesa, chaneli ya elimu, mwalimu wa mafanikio, njia za mafanikio, utajiri,
    .
    #Tabia #Za #Mafanikio

Komentáře • 906

  • @macmillankumwenda5171
    @macmillankumwenda5171 Před 3 lety +13

    I'm a man of confession first time when I came across your videos I tend to ignore them but today I made a decision to watch them I'm very inspired with your contents. Thank you for sharing such educative information may God bless you and keep on touching many souls

  • @martinantidius1719
    @martinantidius1719 Před 4 lety +131

    Waliomuelewa bro ..gonga likes za kutosha

  • @petromsanga9127
    @petromsanga9127 Před 4 lety +8

    Asante kwa somo lako ijapo Mimi ni mzee wa miaka 70 kesho naanza kufuatilia NIMELIELEWA nimelipenda.

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 4 lety +6

    Mazungumzo y leo yamenipa moyo wa kuanzisha biashara mpya Shukran jazaa yako kwa Allah

  • @ibrahimushirima3026
    @ibrahimushirima3026 Před 4 lety +3

    Nikweli kabisa bother

  • @bestwesternpluszanzibar1192

    keep going

  • @zamanjohn4612
    @zamanjohn4612 Před 4 lety +3

    Kuna vitu umenigusa sana asante sana kaka mungu akupe umri mrefu furaha na afya utuelimishe zaidi

  • @ramadhan122
    @ramadhan122 Před 4 lety +3

    Mwenyezi Mungu akubariki Ahsantee sana

  • @jacksonmchau8324
    @jacksonmchau8324 Před 5 lety +9

    braza upo vzur, aah nimechelewa kukufahamu but ukopoa sana braza nimependa mambo yako
    nitaifuatilia hii sanaah sanaah

  • @laylatsamiry4915
    @laylatsamiry4915 Před 4 lety +5

    I love u broo mungu akuzidishiw

  • @halvingsehere9939
    @halvingsehere9939 Před 4 lety +6

    y I'm so late to gat u broooo.... uuuuuh iv change change a lot ov tings in to ma lyfe through this channel...... bug up broder ....I appriciat each and everything from ur factl SMS..... 100%

  • @salemale6830
    @salemale6830 Před 4 lety +2

    Dahh brother azden god bless nakuelewa sanaa

  • @omarshamte8459
    @omarshamte8459 Před 8 měsíci +2

    Hongera sana kwa taaluma nzuri sana.
    Napenda kuchangia zaidi katika hili la kusaidia wengine
    Katika Quran takatifu Allah anasema kwamba "chochte mtakacho kitoa katika njia ya kheri basi Allah atakupa mbadala wake" katika kanuni ya uisilamu kupitia kwa hadithi za bwana mtume kiwango kidogo kabisa anacho kipata mtu anayetoa kwa misaada ya kheri ni Moja kwa kumi na inaweza kufikia hata Moja kwa mia saba kulingana na nia na ikhlasi ya mtowaji. Katika Que an takatifu Allah mtukufu anasema kwamba: "mfano wa wale wanaotoa mali zao katika njia ya Allah ni mfano wa tembe Moja ya nafaka iliyootesha mashuke saba, Kila shuke moja likatoa tembe mia Moja za nafaka na Allah humuogrza amtakae -. Kutokana nia na ikhlasi yake - na Allah ni mwenye wasaa mkubwa zaidi na ni mjuzi sana.
    Kiufupi Mimi tangu kusoma maandiko haya na mengine ya mfano wake nimeifuata sana kanuni ya kutoa na kusaidia, na mafanikio makubwa sana nimekuwa nikiyapata Kila uchao.

  • @charlesmahongo392
    @charlesmahongo392 Před 5 lety +7

    Asante Edzen kwa kutukumbusha mambo muhimu sana katika kuyafikia mafanikio.
    Mungu azidi kukubariki sana ili uzidi kutuelimisha zaidi na zaidi.

  • @khalifawapili1799
    @khalifawapili1799 Před 5 lety +4

    daaah Broo umanifungua ubango mzee big up kaka

  • @abdulazizismail7047
    @abdulazizismail7047 Před 4 lety +2

    Very nice work Allah help you for All thing good

  • @madamfatmamsindi2059
    @madamfatmamsindi2059 Před 5 lety +10

    Ezden, you are Excellent, I think I like you naomba uwe menthor wangu

  • @mussasongoma9521
    @mussasongoma9521 Před 5 lety +6

    Dah nimekuelewa sana baba...yaan nahisi kuwa katika dunia nyingine...Asante Ezden

  • @deusjohn1107
    @deusjohn1107 Před 3 lety +1

    Sawa bro nimekuelewa sana zaidi ya sana asante kwa somo nzuri nimejifunza mengi sana kwanye hii tabia 10 za watu waliofanikiwa

  • @phadhilihussein8937
    @phadhilihussein8937 Před 4 lety +1

    Good sana brother nakuku bari sana kitambo sanaa nakufatilia

  • @teclaludovic1920
    @teclaludovic1920 Před 5 lety +5

    Kaka azden somo nzuri sana nitafanyi kazi barikiwa ukipata kitu kingine kizuri tujuze tuelimike zaidi.

  • @jeremiahjames6736
    @jeremiahjames6736 Před 4 lety +6

    I wanna say big up brother EZDEN JUMANNE you tell us a truth moment and teach me many thing am sure your the one for this category. And I just care for those moments you taught us. God bless yo

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana Před 4 lety +2

    Ni fikra nzuri sana kwa kweli na kama mtu unazitekeleza lazima maisha yako yabadilike tu.
    Thanks bro. Stay blessed.

  • @yusuphkengele9781
    @yusuphkengele9781 Před 4 lety +2

    Big up sana broo

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před 4 lety +3

    Upo vizur Sana nami nimejifunza mengi Sana ambayo sikuyajua naamini Kwa kupitia hiki kipindi cha somo lako nitafanya vyema Zaid insha'Allah Kwa uwezo wa Allah balikiwa Sana kaka Allah akupe umri Zaid uzid kutujuza mengi Amin ya'allab

  • @sospetermagobo2445
    @sospetermagobo2445 Před 4 lety +4

    Nimekupata vizuri kuhusu tabia kumi za mafanikio ila sijaona maombi katika tabia hizo kumi ni lazima ushukuru Mungu kwa hatua unayosonga mbele Big up songa mbele..!!!

    • @fatumaabdallah-ui7pj
      @fatumaabdallah-ui7pj Před 8 měsíci

      Maombi ni lazima kwa mwanadam hata asiposema.tumeumbwa kwaajili ya kuabudu

  • @derickjames4154
    @derickjames4154 Před 5 lety +2

    Vizuri broo inapendeza

  • @bownventure8122
    @bownventure8122 Před 5 lety +4

    Wazo zuri kwa kuwa kuwatia watu moyo ila ufupishe utangulizi na mlio wa kinanda uwe chini ili tupate kisikia yale ya msingi zaidi japo si mbay ukiutoa.big up sana bro.Ezden

  • @KelvinHMoras
    @KelvinHMoras Před 5 lety +19

    aisee bro kila ulichosema n ukwl kbx thnk bro 👏👏👏

  • @chalamilalicky7335
    @chalamilalicky7335 Před 5 měsíci +2

    This is very great, Ezden. God bless you more n more.

  • @jamiiyetutvonline8068
    @jamiiyetutvonline8068 Před 9 měsíci +1

    Vizuri sana hi vidéos yako nizuri sana kila anae yisikiliza nakuzingatia maneno haya nakufuatisha hizi posté zako vizuri lazima ufanikiwe tuu

  • @modesthenrykitange2397
    @modesthenrykitange2397 Před 5 lety +43

    Habari kaka Ezden, asante sana kwa mafunzo yako mazuri. Naomba upate muda uongelee Topic Hii; NAMNA YA KUJIAMINI (HOW TO BE CONFIDENT)
    ASANTE.

  • @mafinamaizez2514
    @mafinamaizez2514 Před 5 lety +23

    shukrani sana my dear kwa elimu unayoitoa

  • @issaabdi9129
    @issaabdi9129 Před 4 lety +2

    Bro. i salute you unaongoea kwa kutoka moyoni i may God bless you.

  • @nasrakiango7261
    @nasrakiango7261 Před 4 lety +2

    Nimeipenda inafundisha maisha, Allah akuweke utujuze zaidi.Inshaallah

  • @Mike-yg7pb
    @Mike-yg7pb Před 5 lety +13

    I appreciate you my brother, its very clearer and comprehensible

  • @shaabanmbalamula5066
    @shaabanmbalamula5066 Před 4 lety +7

    a very good message and content. Nashauri uboreshe jinsi ya kupresent maana usela mwingi (thugs).I am sure your smart. I HAVE SUBSCRIBED

  • @annahcallixte1321
    @annahcallixte1321 Před 5 lety +2

    That's nice bro yaani kwa upande wangu nimejifunza kitu kikubwa sana Mungu akubariki big up

  • @erickmkwera2784
    @erickmkwera2784 Před 4 lety +1

    Safi broo

  • @neemangaga6948
    @neemangaga6948 Před 4 lety +3

    Be blessed bro...nakuelewa

  • @mariamkasekwa6601
    @mariamkasekwa6601 Před 4 lety +3

    Allah akulipe kwa hili

  • @ahmedashirukaya886
    @ahmedashirukaya886 Před 4 lety +1

    Shukurani kubwa zaidi Kaka Allah azidi kuinuwa kipaji cenu nakuwafungulia mlango ya kheri na barqa

  • @chrissmalloy9
    @chrissmalloy9 Před 5 lety +1

    Pamoja vro

  • @ceomeja670
    @ceomeja670 Před 5 lety +7

    Unaongea ni kweli 💯for real thanks 🙏

  • @marykahabi2599
    @marykahabi2599 Před 4 lety +7

    Hi ezden thax so much for these inspirational speech.have got a lot to learn be bleesed

  • @egbertleonce5577
    @egbertleonce5577 Před 4 lety +1

    Brother uko vizuri Sana zidi fanya hivo usipo lipwa hapa utalipwa mbinguni

  • @saeedabdillah7179
    @saeedabdillah7179 Před 4 lety +2

    Big up bro nakukubal San ur world changer

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 5 lety +7

    Daaaahhh!!, Bro, Bro Umenipa Mwanga mkubwa sanaaaaa,.. I should love you Bro

  • @sharonnaliaga719
    @sharonnaliaga719 Před 2 lety +3

    Kazi nzuri sana kaka Naipenda elimu yako. Elimu yko inaguza watu wengi sana haswa sisi wanarika👏👍

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 2 lety

      Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!

  • @kariukikush2483
    @kariukikush2483 Před 2 měsíci +1

    Nine learn sana. Ndio mara yangu ya kwanza hapa.Asante.

  • @mussakaembi5706
    @mussakaembi5706 Před 4 lety +1

    asante kaka mungu akubaliki unatusaidia ata tuliokuwa hatujui kama nini tunakosea katka maisha yetu naamin naenda kufanikiwa

  • @kimutattoo4067
    @kimutattoo4067 Před 4 lety +8

    I don't know why I'm late to get you daghhhhhhhhhh you just inspired me100% thank's a lot 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Před 3 lety +10

    Thank you, I was in a point where I had to listen to this. God Bless you.

  • @nyamvulajollo5201
    @nyamvulajollo5201 Před 5 lety +2

    Kaka Allah akuzidishie hekima ulionayo nabusara unaongea kiusitarabu naunaeleweka MashaAllah tabarakallah

  • @kaijagenovatus5235
    @kaijagenovatus5235 Před 2 lety +1

    Vipindi vyako ni vizuri vinaelimisha.
    2.Jitahidi kutumia maneno ya kiswahili zaidi
    3.poiti yako ya 10 ni sawia na mawazo ya mwandishi wa kitabu Cha How to get whatever you want. Lakini ni sambamba na mantiki ya sadaka.
    Yote kwa yote ni ubunifu mzuri na kazi ni nzuri, ongeza utulivu.

  • @orastomgaya1415
    @orastomgaya1415 Před 5 lety +10

    UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU
    NIMEFURASANA NA MAFUNDISHO YAKO HASA KUSAIDIA WENGINE.

  • @jafarighuli696
    @jafarighuli696 Před 4 lety +1

    Good presentation👍👍👍

  • @eliamugini6160
    @eliamugini6160 Před 4 lety +2

    Nimepata kitu.hongera sana

  • @ayoubgwanko3306
    @ayoubgwanko3306 Před 5 lety +19

    Aiseee much respect bro, coz vijana tulio wengi hatukua na idei hio, blesed~

  • @salehaman2228
    @salehaman2228 Před 5 lety +5

    Blogs kama hizi mimi nazipenda sana zinanipa muamko kiasi kazi nzuri

  • @mrgiftjonathan8703
    @mrgiftjonathan8703 Před 4 lety +2

    Namshukuru Mungu katika Kristo Yesu aliye nikutanisha na wewe kipitia masomo yako haya hapa. Nileo tu ndo nimekuona na nimeona kiu zaidi kukufuatilia na umeongea mambo mengi ambayo yamegusa ukweli mwingi niliokwisha kuusikia na kuambiwa binafsi.
    Zidi kubarikiwa na kuzidi kuwa baraka kwa wengine

  • @athumaniyusuph3097
    @athumaniyusuph3097 Před 4 lety +2

    Thanks bro nimejufunza kitu god bleess you

  • @hajisaid2252
    @hajisaid2252 Před 5 lety +7

    Kaka nashukulu sana kwa elimu yako najuta aya kwa nn sijakujuwa mapema

  • @mosesdaniel600
    @mosesdaniel600 Před 5 lety +16

    safi sana brother ubarikiwe kwa fact zako by Dash combo

  • @emmanueldkulwa1824
    @emmanueldkulwa1824 Před 4 lety +2

    Hakika bro Edzen we siyo MTU wa blaa blaa, ni content tu kila unapojitokeza!!!
    Nakuelewa sana, na unanitoa upofu mwingi sana katika maisha!

  • @user-eg2ku6qq4x
    @user-eg2ku6qq4x Před 3 měsíci +1

    Asantee kwa ushauri Mungu akujalie afya njema na moyo wakujitolea zaidi kusaidia wengine kupitia maarifa Yako

  • @abdulrahmanbelle3742
    @abdulrahmanbelle3742 Před 5 lety +5

    Shukran bro ALLAH bless you

  • @wilfredidangat768
    @wilfredidangat768 Před 4 lety +10

    big up broo. you deserve it and keep it up as well.

  • @boaznyudula4301
    @boaznyudula4301 Před 4 lety +1

    Noted!

  • @johmeryvitalisi6834
    @johmeryvitalisi6834 Před 3 lety +1

    Good. Tangu mwaka. Jana mwaka huu ndo ni mecoment lakini nimefanikiwa sana kwa harakati zako.broo!

  • @samwelmbowe9855
    @samwelmbowe9855 Před 4 lety +4

    Good job broo

  • @doreenpantalina8420
    @doreenpantalina8420 Před 5 lety +13

    Thanks for teaching us yhu make ma life different when am listening yhur view be blessed💪💪

    • @zakiaiddykundya6609
      @zakiaiddykundya6609 Před 5 lety

      minaomba upunguze sound recording yako maanasautiyako inakuachin yaredio inakuwajuu, inakuwa hatukusikii

    • @sifanicholas5454
      @sifanicholas5454 Před 5 lety

      Napenda kusoma vitabu tofauti ila vingi vinakuwa vya kingereza

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 Před 4 lety +1

    Shukran bro,

  • @kingally7816
    @kingally7816 Před 4 lety +1

    Nakukubali Sana Kaka good idea.
    By King Ally from mahembe kigoma.

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 5 lety +8

    MashaAllah uko vizuri na MMungu azidi kukuinua Amiin

  • @robertmatonya1851
    @robertmatonya1851 Před 5 lety +27

    nashukuru sana kwa elimu yako japo mimi kazi yangu ni ulinzi sasa sijui swala la kupumzika mapema na kuamka mapema inanipa shida kidogo

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety

      Karibu utazame video yangu Mpya, click hapa czcams.com/video/1FZql56s-io/video.html pia Usiache kuniambia mawazo yako kwenye comments. Like and share. Pia ungependa topic gani niongelee. Asante

    • @shabanigess6703
      @shabanigess6703 Před 4 lety

      Kweli

    • @aminaali7939
      @aminaali7939 Před 3 lety +1

      Waooooo nice bro

  • @birdofpry3897
    @birdofpry3897 Před 5 lety +1

    Nimefaidika kwa uwepo wako...shukran zaid

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 Před 3 lety +2

    Background music ina interrupt mindset kukusikiliza vizuri, but you really doing or speaking good points

  • @cosmasandati1896
    @cosmasandati1896 Před 5 lety +14

    your massege is so helpful that makes me improve my motion change to my success.

  • @othmanally2132
    @othmanally2132 Před 4 lety +3

    Nimekuelewa kwenye kuhairisha mambo thanks 😊
    From mbagala

  • @irakozejclaude6264
    @irakozejclaude6264 Před 3 lety +2

    kiukweli Kitabo siwezi kukisoma Mimi ni muvivu tena najijuwa.ila kila ninaposikiliza maneno unoyosema huwa na jiona kumaliza kitabo kikubwa tena kizuri yanisichoki kujifunza na kujuwa bro Mungu akupe umri mrefu

  • @HusnaAthumani-yf8mc
    @HusnaAthumani-yf8mc Před měsícem +1

    zidii kutuongezeaa maarifaa brooo❤

  • @aishaelias3867
    @aishaelias3867 Před 4 lety +3

    Background music its realy annoying.. toa sauti ya instrumental background tafadhali

  • @esternzumbi1888
    @esternzumbi1888 Před 5 lety +10

    Thanks brother Mungu akubariki zaidi

  • @simonlukumai4149
    @simonlukumai4149 Před 5 lety +2

    Hongera sana, semina ni nzuri sana with good arrangement of points, i note a strong point of helping others, means if you want to receiving new ideas use the first one to helping others

  • @olaismokolo695
    @olaismokolo695 Před 7 měsíci +1

    So Good so Blessed brother,safi sana

  • @tobiasbeda2022
    @tobiasbeda2022 Před 5 lety +13

    Nakubaliana na nawe. Asante kwa maneno na ushauri mzuri sana

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 5 lety

      Karibu utazame video yangu mpya. Usiache kuniambia mawazo yako kwenye comments. Like and share. Pia ungependa topic gani niongelee. Asante
      czcams.com/video/1FZql56s-io/video.html

  • @royalmirage2005
    @royalmirage2005 Před 5 lety +13

    Ezden-upo sawa thank you for knowledge

  • @Yoursister1000
    @Yoursister1000 Před 3 lety +1

    Background song iko kubwa sanaa bro nice lecture too

  • @amemeabdulrazak1397
    @amemeabdulrazak1397 Před 4 lety +1

    Asalam Alykum naomba utufundishe vp tuwe n nguvu za kuweka fedha. Mola akulipe kheri Amiin

  • @keshenimoshi9113
    @keshenimoshi9113 Před 5 lety +13

    Thank you so much brother, nimejifunza Mengi sana. Stay blessed bro.

  • @paschalsamsagala9739
    @paschalsamsagala9739 Před 5 lety +4

    Asante sana bro!nakufuatilia sana na nayaona mabadiliko,ubarikiwe sana!

  • @georgekihiyo2080
    @georgekihiyo2080 Před 5 lety +1

    Hongera sana bro

  • @magedadi8882
    @magedadi8882 Před 5 lety +1

    asante sana umenipa ubunifu sana napenda sna kucheki vedeo zako

  • @isaackashaga3278
    @isaackashaga3278 Před 4 lety +12

    Edzen brutha i got nothing to add or decrease bruh but just wanna thank you for ur advice and help to me and my lifestyle from now on I'll going trying to change and face a new lifestyle and without forgetting to share this to my friends and family...!!!
    Thank you so Bro
    And much appreciate of what u doin bro...!!!

    • @successpathnetwork
      @successpathnetwork  Před 4 lety +1

      You're welcome brother Isaac. The difference happens when we apply the knowledge we've acquired, so best of luck my brother.

  • @nakirykaniki248
    @nakirykaniki248 Před 5 lety +7

    asante ingest juhudi

  • @ovidiokibuga1086
    @ovidiokibuga1086 Před 4 lety +1

    Good brother, umesema ukweli katika mafanikio binafsi

  • @JchrisMgandila
    @JchrisMgandila Před 2 měsíci +1

    Yeah nimekuelewa sana chief..🙏🙏🙏🙏

  • @edwardmalima7860
    @edwardmalima7860 Před 5 lety +20

    sure kusoma vitabu ni safi sana pia kutokata tamaa ni nzuri. kitabu kama the impossible is possible na imitation is limitation cha john mason viko poa.

  • @meddiehhammieh3977
    @meddiehhammieh3977 Před 5 lety +1

    Assalaamu Alaykuum nimeanza kukufatilia hivi karibuni na huwa na andika kila point usemayo na naanza fanyia kazi kwa sasa nimekuwa inspired sana na hadi meamua kudownload vitabu viwili poor daddy rich daddy na how to win friends and influence people muda huu.
    nitashughulikia kila ulisemalo kwa sasa bro ezzie must respect to you