BIASHARA SABA 7 UNAZOWEZA FANYA UKIWA NA MTAJI MDOGO UKAPATA FAIDA KUBWA NA CHIEF GODLOVE

Sdílet
Vložit

Komentáře • 806

  • @justinepaul2851
    @justinepaul2851 Před 10 měsíci +186

    Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?

  • @AnnaMkenga-iu9db
    @AnnaMkenga-iu9db Před 7 měsíci +15

    Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo

  • @mussaabdulmalick2048
    @mussaabdulmalick2048 Před 10 měsíci +15

    Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...

  • @baysadam235
    @baysadam235 Před rokem +16

    Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍

  • @user-zs1cq5cy6p
    @user-zs1cq5cy6p Před 10 měsíci +31

    Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san

  • @jastinekyando9044
    @jastinekyando9044 Před 9 měsíci +9

    shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏

  • @moisebwanamoye1484
    @moisebwanamoye1484 Před rokem +38

    matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu

    • @user-dr7jn4op8g
      @user-dr7jn4op8g Před rokem

      Kweli juice inafaida nakubali

    • @user-dr7jn4op8g
      @user-dr7jn4op8g Před rokem +1

      Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake

    • @aishakassim75
      @aishakassim75 Před 10 měsíci

      ​@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia

  • @hishammudhihiri5555
    @hishammudhihiri5555 Před 9 měsíci +43

    Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba

  • @GraceGodson-fk3tu
    @GraceGodson-fk3tu Před 8 měsíci +4

    Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...

  • @ramamavumba6187
    @ramamavumba6187 Před 8 měsíci +1

    Ukosahihi kaka shukran kwakuamsha mawazomapya ktk watuambao huzani nilazima upatemtaji mkubwa dah ahsante kaka

  • @hastatz
    @hastatz Před rokem +11

    Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊

    • @abelaidan
      @abelaidan Před 10 měsíci

      Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa

  • @user-oh7ls4cz5l
    @user-oh7ls4cz5l Před 4 měsíci +4

    Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene

  • @BGHaule
    @BGHaule Před 10 měsíci +14

    Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous

  • @user-sm7ct8lv5l
    @user-sm7ct8lv5l Před 10 měsíci +6

    Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother

    • @evanslikono8634
      @evanslikono8634 Před 10 měsíci

      Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯

  • @IsmailMsemwa-cz2pe
    @IsmailMsemwa-cz2pe Před 10 měsíci +4

    Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik

  • @aureliakisaka8894
    @aureliakisaka8894 Před 4 měsíci +3

    asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤

  • @andrearaphael3728
    @andrearaphael3728 Před 10 měsíci +5

    Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉

  • @alihassansorikushey1414
    @alihassansorikushey1414 Před 9 měsíci +3

    Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee

  • @FredyNdimla-uv6dx
    @FredyNdimla-uv6dx Před 10 měsíci +1

    Asante kwa kunifungua brother

  • @mr_shark3587
    @mr_shark3587 Před 10 měsíci +10

    Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪

    • @ukweliunauma4570
      @ukweliunauma4570 Před 9 měsíci

      Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo

  • @mkalitalkshow
    @mkalitalkshow Před 10 měsíci +3

    Nice advice brother

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 9 měsíci +2

    Gentle man ña nusu. God bless you more

  • @user-ub2zv5oi8k
    @user-ub2zv5oi8k Před 9 měsíci +3

    Yeah that is very good advice

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 Před rokem +55

    Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE

  • @josephmtavilalo5087
    @josephmtavilalo5087 Před 3 měsíci +5

    Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉

  • @consolatamedard6593
    @consolatamedard6593 Před 11 měsíci +10

    Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu

  • @magesajoseph
    @magesajoseph Před 10 měsíci +2

    Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu

  • @Dullah08Sportswear
    @Dullah08Sportswear Před 10 měsíci +7

    Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja).
    Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.

  • @Mosses8
    @Mosses8 Před 10 měsíci +2

    kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro

  • @Ntomolapagu255
    @Ntomolapagu255 Před 10 měsíci +6

    Asantee kwa darasa 🙏

  • @nanceaidan6622
    @nanceaidan6622 Před 9 měsíci +11

    Blessings bro🎉🎉🎉❤

  • @mtinkoITservices
    @mtinkoITservices Před 9 měsíci +4

    Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪

  • @arnoldopindi4452
    @arnoldopindi4452 Před rokem +6

    Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu

    • @nashajr5491
      @nashajr5491 Před rokem +1

      Oya kamanda Kenya vip biashala uko

  • @SmartZacky360Tallent
    @SmartZacky360Tallent Před 5 měsíci +1

    Appriciate cn bro you have open my brain👍👍

  • @EzekiaMwaibambe-yu6uk
    @EzekiaMwaibambe-yu6uk Před 7 měsíci +1

    Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik

  • @user-jx9ni2fm5g
    @user-jx9ni2fm5g Před 4 měsíci +1

    Asante kwakutufungua macho bro

  • @user-pg2mv9wd2x
    @user-pg2mv9wd2x Před 4 měsíci +2

    Big mind, big up bro and God bless

  • @GodbetterIbrahimu
    @GodbetterIbrahimu Před 3 měsíci +1

    Thankx bro...

  • @strawberryrachii12-xh5bq
    @strawberryrachii12-xh5bq Před 9 měsíci +5

    Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝

  • @FedrickOden-lk5pb
    @FedrickOden-lk5pb Před rokem +5

    Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Před 10 měsíci +1

    Umeeleweka bro asante ubarikiwe

  • @user-yy2qm5ne3d
    @user-yy2qm5ne3d Před 5 měsíci +2

    Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi

  • @NeemaGodwin-ql5gm
    @NeemaGodwin-ql5gm Před měsícem +1

    Asante sana kaka umetisha

  • @user-pc9ol8jh2s
    @user-pc9ol8jh2s Před 6 měsíci

    Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli

  • @comorolodgechamanzisaku6341
    @comorolodgechamanzisaku6341 Před 5 měsíci

    Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa.
    Rgds BDKOMBA

    • @magrethmbaga1089
      @magrethmbaga1089 Před 4 měsíci

      Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.

  • @AbdulMpendu-xj8nd
    @AbdulMpendu-xj8nd Před rokem +6

    Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa

  • @SaidaTulinge-hr2su
    @SaidaTulinge-hr2su Před 5 měsíci +1

    Asante bro napenda san kufanikiwa

  • @veronicaelias791
    @veronicaelias791 Před 2 měsíci +1

    Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri

  • @user-yr4cf7wj4g
    @user-yr4cf7wj4g Před 10 měsíci +3

    Umetisha sana kaka ❤❤❤

  • @dausonmethod618
    @dausonmethod618 Před 6 měsíci +1

    Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako

  • @user-tg4wt8yh6h
    @user-tg4wt8yh6h Před 5 měsíci +1

    Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela

  • @olarivolarivp2702
    @olarivolarivp2702 Před 10 měsíci +2

    Brother uko vizuri atabiashara ya bekery

  • @jafaryNyato
    @jafaryNyato Před 6 měsíci +1

    Ahsant.bladha umenipa moyo.ngoja nikomae.na kazi.❤🎉

  • @Nourdeintv2030
    @Nourdeintv2030 Před 4 měsíci +1

    Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu

  • @deniseliya348
    @deniseliya348 Před rokem +9

    Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi

  • @user-re4pe8st9f
    @user-re4pe8st9f Před 8 měsíci +1

    Thanks bro im from Congo Drc

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 Před 7 měsíci +6

    Congratulations ❤❤❤❤

  • @JacksonDomisian
    @JacksonDomisian Před 9 měsíci +1

    Asante buraza kwaushauri

  • @yahayamasanja1849
    @yahayamasanja1849 Před 5 měsíci +1

    Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate

  • @florianmzagila2136
    @florianmzagila2136 Před 9 měsíci +4

    Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.

  • @elikanasamwel
    @elikanasamwel Před 9 měsíci +4

    Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000

  • @arafatmakarani9764
    @arafatmakarani9764 Před 11 měsíci +5

    Appliciate....really meaning of influencer, sio mtu anajiita influencer na hana mindset za namna hii broooh

    • @DivaKulwa-gg1uy
      @DivaKulwa-gg1uy Před 10 měsíci

      Namefurai na nimependa Sana uxhauri wako ningepende kujua Zaid nmeng na meng naxhukulu kwa kutupa moyo sis watu went Hali ya chini asente Sana brother

  • @paulinewamboikamaukamau-mp2ze
    @paulinewamboikamaukamau-mp2ze Před 5 měsíci +1

    Asante kwa ushauri mzuri

  • @user-xn9kf3kp2g
    @user-xn9kf3kp2g Před 4 měsíci +1

    Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki

  • @user-cd2gn3ot9r
    @user-cd2gn3ot9r Před 8 měsíci +1

    Asante San kaka unazid kutupa nguvu

  • @user-vv4wy1ih4r
    @user-vv4wy1ih4r Před 9 měsíci +2

    Barikiwa sana kaka dah umeniamsha

  • @MosesGilya
    @MosesGilya Před 7 měsíci +3

    asante sana kaka kwa kujifungua ubongo

  • @user-jo2qh5oq8p
    @user-jo2qh5oq8p Před 6 měsíci +2

    Mungu akupe maisha endelevu

  • @user-mm9hf9if7f
    @user-mm9hf9if7f Před 10 měsíci +4

    Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DaressalaamTv-rb2io
    @DaressalaamTv-rb2io Před 9 měsíci +1

    Asante sana

  • @waleggaestrongboy
    @waleggaestrongboy Před 3 měsíci +2

    Ahsanten Bro❤

  • @user-ni9bo9dl6f
    @user-ni9bo9dl6f Před 8 měsíci +2

    ❤❤much love chief

  • @user-sr6wl4nv6e
    @user-sr6wl4nv6e Před 11 měsíci +5

    Bro m ni mkenya lakini napenda mafunzo zako❤

    • @kalistusmhando3846
      @kalistusmhando3846 Před 10 měsíci

      Uelewa wako mkubwa bro,, biashara nyengine ni ya saloon ya kike piah inalipa na Ina faida

  • @SasaNgunila-fl9ms
    @SasaNgunila-fl9ms Před 10 měsíci +2

    Mungu akubariki sana kaka

  • @user-pm5ie6pl4q
    @user-pm5ie6pl4q Před 5 měsíci +1

    Asante kaka kwaushauli

  • @user-ke2he9ni3u
    @user-ke2he9ni3u Před 9 měsíci +1

    Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER

  • @MarthaDonald-wb4ll
    @MarthaDonald-wb4ll Před 2 měsíci

    Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana

  • @user-qd7sl4vu1e
    @user-qd7sl4vu1e Před 5 měsíci +2

    Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂

  • @FadhilJuma-xz5sr
    @FadhilJuma-xz5sr Před 4 měsíci +2

    Shukran bro

  • @neemamollel840
    @neemamollel840 Před 3 měsíci +1

    Mimi nilikuwa nimeanza biashara ya genge kwa udogo sana nilikuwa nachanga nyanya na watu sokoni lakini kwa sasa kwa siku nafunga mzigo wa milioni1 kila siku nimejenga nina viwanja kadhaaa kwa hiyo kinachotakiwa na kufanya kazi kwa ubunifu zaidi

  • @user-be3nf4ov6c
    @user-be3nf4ov6c Před 4 měsíci +2

    Fantastic ideas

  • @user-ib8tj7uq1v
    @user-ib8tj7uq1v Před 5 měsíci +2

    Shukrani kaka

  • @user-ez8ds8ng9y
    @user-ez8ds8ng9y Před rokem +4

    Umetisha xana kaka

  • @marwamarwa6836
    @marwamarwa6836 Před 9 měsíci +6

    Naona kila mtu anatoa ushuhuda na mmi nisibaki ,,
    Nilianza na million mbili mwaka 2019 sasa hiv sina hata mia mungu mkubwa 😊😊😊😊

  • @mohdhamad5521
    @mohdhamad5521 Před 9 měsíci +1

    Good Idea bro🎉🎉❤

  • @savagemedia5718
    @savagemedia5718 Před 9 měsíci +4

    Biashara ya FOREX... Ndo biashara ambayo unaweza kuanza na mtaji mdogo na ujapata faida kubwa.. ila kikubwa uvumilivu(patience) na discipline

  • @patriciomanuelmwadi525
    @patriciomanuelmwadi525 Před 10 měsíci +3

    Thanks🔥

  • @samsonmaketa8835
    @samsonmaketa8835 Před 10 měsíci +2

    Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo

  • @user-gk1om1lx4t
    @user-gk1om1lx4t Před 3 měsíci +1

    Asante kwa kitushauri

  • @user-ik2qn7xp9k
    @user-ik2qn7xp9k Před 5 měsíci

    ❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you

  • @user-wz6cn9ze2c
    @user-wz6cn9ze2c Před 5 měsíci

    Bro nmekuelew vzr ngoj tufanyie kazi

  • @user-ci3gp5ny8b
    @user-ci3gp5ny8b Před 5 měsíci +1

    Tnx bro

  • @veronicaluvanda2880
    @veronicaluvanda2880 Před 10 měsíci +5

    Ubarikiwe sana

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Před rokem +4

    Nakubali❤🙏🇹🇿

  • @BlackMamba-qs1uz
    @BlackMamba-qs1uz Před 10 měsíci +5

    Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝

  • @morogoromedia
    @morogoromedia Před rokem +6

    Safy kka mkubwa tunakuelewa sanaa

  • @user-to9yi4wh7b
    @user-to9yi4wh7b Před rokem +7

    Nimekuelewa chifu mi nafanya chips na mke wangu anapka wali naugali aisi nikweli ila bado nipate hela nibireshe uwe mgahawa pawe navyakula vyote

    • @user-to9yi4wh7b
      @user-to9yi4wh7b Před rokem +1

      Lakini kuna sehem nimeona unaongea na mzee anaitwa tamba mumejibishana maneno mengi je nami nawezaje kujiunga natass

    • @jabilmusa7569
      @jabilmusa7569 Před rokem

      Umetisha Sana chief
      Ila kuna biashara ya kununua pikipiki used zinalipa mzee baba ni hatariiii

  • @aishanasri7561
    @aishanasri7561 Před 10 měsíci +1

    Asante kaka

  • @eliasmsindo6043
    @eliasmsindo6043 Před 9 měsíci +2

    Fact brother,,,,,,!

  • @user-hb8eg4lp6x
    @user-hb8eg4lp6x Před rokem +5

    Leo hujalopoka umeongea point sana