Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja). Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa. Rgds BDKOMBA
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
Mimi nilikuwa nimeanza biashara ya genge kwa udogo sana nilikuwa nachanga nyanya na watu sokoni lakini kwa sasa kwa siku nafunga mzigo wa milioni1 kila siku nimejenga nina viwanja kadhaaa kwa hiyo kinachotakiwa na kufanya kazi kwa ubunifu zaidi
Niliaza na mtaji wa sh 45000 ,mwaka elifu 2017 na mpaka Sasa namiliki zaid ya ml 14.8 ,,,niliaza na biashara ya kuuza vinywaji barabaran mpaka ikanipeleka mtaan kwenye furemu na kuaza kukomaa Hadi kununu pkpk 4 na kuoa hapa hapo na kiwanja na shamba mkoan yaan ,,mungu ni mkubwa ,,,big up chifu?
Biashara gan?
Ulifanya biashara gani??
Ushirikina ulitumika pia
Good job
Nimekupata sana kwenye kuku me mwenyewe nilianza na kuku mmoja sa iv nina kuku 200
Thanks brother..nimeanza na kuku wa kienyeji 8 natetea na jogoo 2 this year July but nimetotolesha vifaranga zaidi ya 200 kwa 3 months sasa nimeuza and nimeingiza pesa nzuri Iam happy.unachokiongea ni kweli.sasa this December niko na oda ya 120 chicks na tatari nimeweka kuku 10 wote wanalalia 15 eggs each na in 5 days wanatotoa.so unaongea ukweli bro.asante mnoo
@Anna Mkenga. Wafugia kuku wapi dada yangu.?
@@fredkangethe7497 nafugia Arusha
sorry nlikuwa naomba ufafanuz wa ufugaji kuku ili na mm nifanye please nipe ata namba yako
Dada
Nimekuelewa bro umetuambia ukweli mtupu nitafanyia kazi
Asante sanaa kaka ningependa siku moja tuonane mi naishi msasan nafanya biashara ya mayai kama unaenda kifanya shopping supermarket za shoppers angalia mayai yenye jina MSSAP ...
Kaka mtaji wa kuku ulianza na shi ngap
Nakupata vzuri bro cheaf From Moz🇲🇿🇲🇿👍
❤ good
Mungu akupe maisha marefu ni msaada mkubwa kwa taifa umetuamsha san
shukran kaka godlove nakufatilia san na nimejipa miaka mitano from now napenda unavyofanya🙏🙏
matuta vijana wanaochangia mawazo hayo ndio mapenzi kweli nakupenda sana mzee wangu
Kweli juice inafaida nakubali
Nimewahikufanya juice baada ya miezi 3 nilitoa Faida kubwa siseminikiasigani lkn siachi kufanya juice huwanapumzika tu lkn ndio biashara yngu kubwa nakama Niki fanya Leo wateja wanakuja kwasababu najuwa kutengeneza napia naifanya kwaumaridadi usafi. Kwanza biashara kma hizi zamajimaji. Kma juice mwezangu mtu Hali tu kama hawajamuwangalia mfanyaji usafi wake
@@user-dr7jn4op8guko wapi dear nataka kufanya hiyo kazi ila sijui pa kuanzia
Bro sasa huo ndio uwanaume...mwanaume sikupiga tantarira nyingi kma muimba taarabu..hizi ndo njia nzuri zakusaidia wenzio na wao waeze kujituma kwa bidii..Ubarikiwe mzee baba
Hongera kwa mada nzuri.
C'est vrai
Ahsantee my brother nilikua na ndoto ya kufuga kuku Ila nilikuwa nimekata tamaa Ila Leo umenipa moyo am going to start it...
Ukosahihi kaka shukran kwakuamsha mawazomapya ktk watuambao huzani nilazima upatemtaji mkubwa dah ahsante kaka
Biashara ya udalali wa vitu used kuna mtu ana shida na kitanda hana hela ya kununua kipya alf kuna mtu amechoka kitanda anataka kingine na anahitaji mtu wa kumpa hela kidogo hapa wew unakua kati kati yao unapiga chako kwa juu na hapa kwenye hii biashara kuna njia 2 za kuifanya moja unakua dalali kwa mnunuzi na muuzaji ya pili ni unanunua bei ya chini mteja anakuja unamuuzia wew😊
Hii ni bonge la biashara ndio naifanya kwa sasa
Aiseeee bro nakukubl sana we n genius aisee umenitoa kwenye Giza nene
Unatuchamba huku unatupa elimu,big up,mwanzo hata Mimi nilikuwa sikuelewi,ila now nimekumanya,dogo upo vizuri you are the geneous
Tafuta pesa mbwa nyinyi 🤣🤣🤣🤣
Kaka vp kashata italipa
Jamaa kanipa madini na kanifanya kujiona na Mimi naweza for sure Nilikuwa nampango wakufungua biashara ya cm nikawa naogopa ila kanipa nguvu sana huyu mwamba mzalendo respect brother
Mimi ni mkenye Niko Nairobi nafuraia mawaitha yako👍💯
Kaka www ni msaada Kwa jamii Asante xan mungu akubalik
asante bro nilikuwa nawaza cha kufanya❤
Daaaaaa ngoj nikupe maua yako Big point San Brother 🎉🎉
Shukran kaka kutufungua macho ubarikiwee
Asante kwa kunifungua brother
Mnajua Huyu Brother ni Geneas sana aise na Unajua Kuna wabongo wachache sana wenye kuwa naakili timamu Ndo watamuelewa huyu jamaa shida ya Cici wabongo Tunakubali anacho kifanya mwamba ila Bado. Wabishi sana 🤣 ila ukweli nikwamba anatisha sana sema Simba 👑👑👑Chief Mungu akuweke content zako Zina fanya vizuri sana 🔥💪
Acha kujidanganya mwenzio yuko katika chama hata akiuza mavi yanatoka freemason inachangia iyo
Nice advice brother
Gentle man ña nusu. God bless you more
Yeah that is very good advice
Nakumbuka nilianza na mtaji wa sh. Laki 7 katika biashara yangu lakini Kwa Sasa imekuwa na kufikia Mil.25 Kwa miaka miwili na mwaka ujao naanza hiyo ya ufugaji kuku sababu tangu kale naamini itanitoa kimaisha. Respect Chief GODLOVE
kwA biashara gan laki7 ad 25m kwa miaka mi2 kaka chacha
Oy wambura
Ni biashara gani mwenzangu
@@directorballo9598Yani na mm nimewaza kwasauti hapa
Natamani sana biashara sijuwi pakuanzia
Chief lila siku ninakueleza you are the best bro keep it up🎉🎉🎉🎉🎉
Yani wa Tz sisi hatuna Jema mtu anatueleza biashara za kufanya unaanza kulalama mtaji kwaiyo unataka akuletee mtaji hiyo Juice anayosema sizan kama inataka mtaji mkubwa Mim nilkuwa nacheza mchezo Wa kila siku 2000 lengo tu nipate Blenda na Friji Used nikapata na natengeneza juice mambo yanaenda punguzen kulalamika na kuwaambia watu wachawi niakili tu
Hili pia wazo langu hvi juice nzuri ni matunda Gani
Tz tunapenda kupewa vitu hatupendi kusugua akili .
Asante sana kaka endelea hivyo utukomboe ndugu
Mimi nawashauri kitu kimoja tu, kabla ya kufungua biashara yako jitahidi ujibrand (uwekeze kwenye wateja).
Mimi nimeanza biashara yangu huu ni mwezi wa tatu tu lakini kwa sasa biashara yangu inanipa faida kubwa kuliko mshahara nnaopata.
Unafanya biashara gani
Bro biashara gan iyo
me cjui ata nifanye biashara gn
🤜
kaka kazi zuri sana mimi nina haidia ya kufanya biashara ya kuuza chakula cha mifugo kama chakula cha kuku ila sina mtaji kaka iwezeshe nipo moshi kilimanjaro
Asantee kwa darasa 🙏
Blessings bro🎉🎉🎉❤
Hii ndio hisani kaka hakika umetujenga na tutafata . Maana wivu uliomzuri ni ule wa kuangalia njia walizotumia wenzako kuendelea utumie na wewe tunashukuru kwa elimu yako 💪💪
Oy chief godlove mm nipo Kenya na nimetaka kuanza biashara ya kuuza viatu na mavazi,je biashara hiyo Ina mtaji? Naomba jibu
Oya kamanda Kenya vip biashala uko
Appriciate cn bro you have open my brain👍👍
Asante kwa ushauri wako Mungu akubarik
Asante kwakutufungua macho bro
Big mind, big up bro and God bless
Thankx bro...
Umeona mbali sana chakula kinalipa sana aswa catering service hii pia haitaji mtaji mkubwa kikubwa ni ujuzi na kujua namna ya kukuza hiyo biashara hongera chief kwa hili🙌🙌🤝
Blz nakupata vzr kbx pande za mpegele hapa
Umeeleweka bro asante ubarikiwe
Big up brother kinacho tupa shida ni uoga wa kufanya kitu na hatuna uthubutu wa kujaribu Zaid tunaishia kuyawaza pasipo kutendea kazi
Asante sana kaka umetisha
Asante kaka ushauri wako mzuri Mimi ninauza juyce kiukweli matunda mazuri nayaona we we mkweli
Asante mtani kwa juhudi zako kupambana watu wasio kuelewa wenye chuki kama wale wa Ipinda. Nadhani wenye mitaji midogo watavuna kitu hapa.
Rgds BDKOMBA
Mm napenda biashara y a bakery. Sasa sijui napata wapi mafunzonilinnianze.
Umetisha cheaf katiyaizo urizozitaja biashara mbiri nazifikiria irabadokidogo najiwekasawa
Asante bro napenda san kufanikiwa
Asantee sana kaka kwa ushauli mzuri
Umetisha sana kaka ❤❤❤
Kaka uko vizuri sana ahsante kwa ushauli wako
Asante Kaka kwaushauli wako unatupa changamoto yakutafuta hela
Brother uko vizuri atabiashara ya bekery
Ahsant.bladha umenipa moyo.ngoja nikomae.na kazi.❤🎉
Brother hapo umetisha ahsante sana mkuu
Umeongea ukweli, Vijana tuamke tufanye kazi
Thanks bro im from Congo Drc
Congratulations ❤❤❤❤
Asante buraza kwaushauri
Nimeipenda hiyo bro.busara zako zinaonyesha kuwa kila mmoja apate
Daaah brother ahsante umenipa elimu kubwa sana ila mm sina hata mtaji je nafanyaje angalau nipate kamtaji kiasi ili niweze kuanzisha biashara.
Uza iyo sim upate mtaji
Biashara ingine ni ya kuuza mtumba,unaweza kununua suruali nzuri yenye bei ya tsh 5000 ukauza 12000 had 15000
Appliciate....really meaning of influencer, sio mtu anajiita influencer na hana mindset za namna hii broooh
Namefurai na nimependa Sana uxhauri wako ningepende kujua Zaid nmeng na meng naxhukulu kwa kutupa moyo sis watu went Hali ya chini asente Sana brother
Asante kwa ushauri mzuri
Ahsante kwasemina mazuri na mungu akubariki
Asante San kaka unazid kutupa nguvu
Barikiwa sana kaka dah umeniamsha
asante sana kaka kwa kujifungua ubongo
Mungu akupe maisha endelevu
Nimekuelewa sana kaka ngoja nikupe maua yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana
Ahsanten Bro❤
❤❤much love chief
Bro m ni mkenya lakini napenda mafunzo zako❤
Uelewa wako mkubwa bro,, biashara nyengine ni ya saloon ya kike piah inalipa na Ina faida
Mungu akubariki sana kaka
Asante kaka kwaushauli
Goodlove Naqba Sana Umefanya Saiv Money Naipambania Sana RESPECT BROTHER
Mimi napenda sana kufanya biashara ya kuuza juice ila bado sijafanikiwa kupata friji tu naomba sana mungu anisaidie nipate PESA ya friji.asnte bro upo vizuri sana
Nakubari bro betri kumbe halina chaji😂😂
Shukran bro
Mimi nilikuwa nimeanza biashara ya genge kwa udogo sana nilikuwa nachanga nyanya na watu sokoni lakini kwa sasa kwa siku nafunga mzigo wa milioni1 kila siku nimejenga nina viwanja kadhaaa kwa hiyo kinachotakiwa na kufanya kazi kwa ubunifu zaidi
Mmmmmh
Fantastic ideas
Shukrani kaka
Umetisha xana kaka
Naona kila mtu anatoa ushuhuda na mmi nisibaki ,,
Nilianza na million mbili mwaka 2019 sasa hiv sina hata mia mungu mkubwa 😊😊😊😊
😂😂😂 duh kweli ilikuwaje mbona maelezo mafupi jmn dah polee snaa
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂pole😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuh
Good Idea bro🎉🎉❤
Biashara ya FOREX... Ndo biashara ambayo unaweza kuanza na mtaji mdogo na ujapata faida kubwa.. ila kikubwa uvumilivu(patience) na discipline
Forex ni nn
Maswala ya kamali ni BIASHARA
🤣🤣🤣
Thanks🔥
Naisubir ep sod 2 nakupendaa Bure ndroo
Asante kwa kitushauri
❤kaka apo umesaidia vijana wengi sana kifikra god bless you
Bro nmekuelew vzr ngoj tufanyie kazi
Tnx bro
Ubarikiwe sana
Nakubali❤🙏🇹🇿
Kati ya siku unewongeya pweti ndo Sasa ,💝💝💝💝
Safy kka mkubwa tunakuelewa sanaa
Nimekuelewa chifu mi nafanya chips na mke wangu anapka wali naugali aisi nikweli ila bado nipate hela nibireshe uwe mgahawa pawe navyakula vyote
Lakini kuna sehem nimeona unaongea na mzee anaitwa tamba mumejibishana maneno mengi je nami nawezaje kujiunga natass
Umetisha Sana chief
Ila kuna biashara ya kununua pikipiki used zinalipa mzee baba ni hatariiii
Asante kaka
Fact brother,,,,,,!
Leo hujalopoka umeongea point sana
Akiamuaga huyu hahahahaha utajiona mbwa