maasha Allah sadaka kubwa ya idea i like t
Asante mpnz watu wanachukulia easy vitu vidogo lakn bnafaida kubwa thanks kwa ushaurii
Congrants kwa video nzur sana, mm nlikuw naomb muongoz mzur wa biashar ya cace
Asante sana dada kwa ushauri wako
Hongera Sana na hasante. Mi nimevutiwa na biashara ya keki naomba viamba upishi rahisi nitakavyopata hiyo faida. Asante
Nimekupe bure, Mungu akubariki Dada.
Mungu akubariki sana dada nahitaji muongozo wa biashara ya juice na icrem
Yani wewe dada nakupendaga sana Sana jinsi unavotufundisha kupika hapa ushauri wako WA biashara Allah akuzidishie moyo huo huo dadangu kutuchanua sisi wanawake wenzako 🥰🥰❤️❤️nimepata kitu hapa aki Acha nifatilie hizo video za kupika keki na biscuit 🍪 nijifunze nianze biashara na mm 😊thanks alot dear❤️🙏🥰
Karibu sana dear,na shukran sana kunifuatilia..bila wewe mimi si kitu.
Nimefurahi sana kama umepata kitu dear..kipambambanie..Allah akufanikishie na atuzidishie sote.
That's great 👏👏👏 be blessed
Nilisema nitanunuwa, Brenda kwasababu napenda sana juis
Napenda biashara ya viatu na mikoba changamoto niwapi naweza kupata sehem ambayo wanauza jumla napenda Sana hyo biashara
Asante dad kwa darasa zuri naomb kjua bei ya blenda
Thanks for this video sis. So informative kama kawaida- really love your content❤️
Thanks dear,am really trying here😍😍😍if you know what i mean(am sure you do)lol
@@kekiplus1andonly i do. Ain't easy but it's worth it 😉.. keep doing your thing- you're an inspiration ❤️
Jana nimeangalia video yako ya ubuyu Jana iyo iyo nikafata mahitaji na kuanza kuandaa..unanitia moyo sana na biashara ya juice naitamani ila mtaa wetu mgumu nafikiria niendege kuuza kariakoo eh Mungu nisaidie
Ww uko wap tuungane yn tuchangie tutafute sehemu tuanze biashara Ila mm sijui kutengeneza juice natafuta anae jua kutengeneza juice vzr na matunda ya mchanganyiko awe mzoefu ambaye Yuko tyr anicheki Ila awe dar
Nipenda sana love it
Kweli Dada ahsante
Asante sana dadangu
Asante ssna🌹
MashaaAllah my dear 😘😘
Mashallha shukurani sana dd kwa kutujuza
Am from Kenya and nigekaa kujua jinsi ya kutegeneza juice na kupack and I will appreciate alot. Allah bless you always for your good heart of helping others with ideas.
Kweli kabisa dada
Mungu akubariki
MashaaAllah shukran sana mpenzi ila keki huku kwetu iko asilimia kubwa sana
Ooooh poleni sana,but still your population si ni kubwa pia?just focus on taste & customer care..wateja ni wengi sana...
Yes,apo kwa competition..which is why focus on taste n presentation+customer care
Ahsante sana
Shukran dadaa, naomba unielekeze unapatikana vp ili nije kujifunza baadhi ya vitu kwako
Jaman nifanyeje boss naitaji maharifa zaid
Vizur sana
Mashaallah
Asanteee
Thanks
Asante dada
Asantee
Asante
Asantee kpenzi naomba recipe ya ice cream
Nikawa nauza, na kachor zote wananunuwa mtoto wa mama mkubwa hodar Wa kuzipika sambusa nzur sana
Biashara ya vijola na visendo unatakiwa kuanza na mtaji wa shingp
Biashara za viatu na pochi jmni uku babati nilinunua mzgo wa lki tano duuu nakopesha watu wanatoa kwa kujiskia maana yangu ni hi biashara ya mkopo ni mbaya asee msijaribu yn pambana tu mtu upate ela kwa siku.nawapenda pia asante kwa somo
Asant sana kwa Darasa zuri Madame.🙏🙏🙏
Great comment,unaweza ongeza knowledge ukapata pesa baada ya kuuza juice zako subscribe me uwekeze
axnt Sana kwa mafndxho
Allah akuwekee 💟💟
Mahitaji ya kutengeneza juice in mini na mtaji in sh ngapi!asanteH
Nliwai kuuza juice matunda ya efu MBL nltumia sukar nusu nlkua napat faid 4 mpk efu tano kla cku
Asante dia! Hivyo vichupa huwa vinapatika kwenye maduka yapi?
Nipo dar
Ahsant sana
Jaman natamani kweli kufanya biashara hiyo lakini nimpate mtu mmuaminifu na nimuachie beshara hiyo na tukakubaliana malipo Mimi niendelee na kazi zingine
Dad hongera nimeipend video hii naomba ushaur mm najiandaa kwenda chuo cha kati hivi kwa mda huu unanishauli nifanye biashara gani
Una sh.ngapi??na unapatikana wapi??na una ujuzi wa mapishi Aina yoyote?
Mim sister ndan nina kias cha sh 47000 tuu na ninapatkana kigoma kibondo
Faida 1000 sukari umeme yaani ujipange
Asante kwa somo ! Sasa kama Sisi tunaohishi vijijini hivyo vihanzilishi tutavipata wapi ? N'a ungefundisha jinsi ya kuitengeneza keki pamoja n'a Biskuti, tafazali
Nikwelii Nashukuru sanaaaa kwa ushauli wako coz nilikuwa mtu wakuwaza nifanyeje ili niingize kipato at kidogo Nashukuru sanaaaa 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki mpenzi🤗
Mm naomba unisaidie kitu kimoja mm nimevutiwa kwakweli na maoni yako je kwa ss ambao tunamitaji midogo pengine nina laki mbili tu naweza kufanya biashara ipi
Pamoja sn sister
HV barafu huwa zinaaribika zikikaa kwenye fridge?
Elfu kumi ni nyingi sana
Asante sana kwa kutupa somo zuri sana kwa kweli rasilmali tunazo nyumbani zinakaa bure KM Jiko lenye oven, friji, chupa za maji nk tujitahidi kina mama kutumia maarifa haya watoto watafurahia lakini tutachangia matumizi na kina Baba watatuheshimu!!Mungu akubariki!
Ni kweli kabisa,Allah atutie nguvu na uthubutu wakinamama tufanye mambo makubwa.
Asante sana kwa mchango wako.
Biscuit pia Zinapendwa tulikuwa tunatengenezavga fild
Asante. Ni wapi nitapata mafunzo
Baby sirleem mm napenda juice na nahitaji kujuwa kutengeza juice tofauti
Asante kwa somo
Asant Sana naomba ushauri kwa Lita tano juice naweza weka matunda mangapi na nanasi ngapi na sukari kiasi ngapi, na je nilazima juice iwe nzito
Nenda kwenye channel yangu sasa kujionea video na muongozo mzima wa biashara ya juice
Maa sha ALLAH
Asante dada naomba recepies za biscuts nimependa Sana.
Ninazo videos nyingi sana za biskuti hapa ziangalie..ila km hazikufai
Endelea kufuatilia channel yangu kwa video zaidi
@@kekiplus1andonly dada mm Nina idear ya kuwa mpishi wa keki tatzo vifaa na pesa sina
@@norbertenock3154 anza hapo hapo ulipo dada,vitu huwa vinakuja badae...jiko la mkaa unalo au gesi,pika keki kwenye sufuria uza 500 kata vizuri usipate hasara,kidogo kidogo unatunza pesa unanunua vifaa kimoja kimoja,unapatikana wapi?
Kama parachichi na embu nzur au ya embe na pashen nzur
Umeme na sukari waambie pia faida elfu uipati
Asante dear me nafanya biashara ya online likn sina views weng nifanyeje ili nipate views wengi
Dada nataka kuanzia juice Nishapur Nina Brenda sina friji
Asa hyo biashara nguo ,mikoba inakuaje
Me nashida na vifungashio vya biscuits
Nimependa ila sijui kupika izo biskuti
NZUR kwel biscuit hizo
habar Dada samahan me naitaji kujua kutengeneza caker na biskut Ila Sina vifaa je inawezekana
Ndoyo,inawezekana..kwajili ya biashara keki itakuwa ngumu kidogo..ila km ni kula nyumbani inawezekana..
Biskiti vifaa sio lazima
Naomba namba yako p/s
Nilichopenda ni Biscuit.
Je mtaji wa.juice inaanza na.shilingi ngapi
Samahani dada naweza kupata no zako
Mimi chuo nilikuwa, bauzaga sambusa, za viazi walikuwa wanazipenda sana nisipoenda wana nipigia wote wakawa wananunuwa kwangu
Hongera sana,biashara ya chakula ni nzuri,sambusa za viazi wanafunzi wanapenda sana
Dada naomba no yako
Umenipa nguvu leo nimeanza kujifunza kupika cup cake za biashara Mungu nisaidie
Thank you my friend
Keki pia zinapendwa nalijuwa hilo tena izo ndogo watu walikuwa wanatengeneza Zaman tulikuwa tunanunuwa
Ahsante dada nimependa hii video na nataman sana kufanya biashara mojawapo kati ya hizi lkn huwa najiuliza mm bado mwanafunz wa chuo huwa napata changamoto ntawezaje kucontrol biashara yangu na namna vp nitauza....ushaur wako plz naomba maana nataman sana kuanza biashara nikiwa bado nipo chuo
Naomba namba mpenz
Nilitaka nijue kupika keki
Viatu pia wanapenda
Unaitwa nani dada kwa CZcams niku sach.
MWONGOZO WA BIASHARA YA JUICE BONYEZA LINK HII
czcams.com/video/96VzLabR4dM/video.html
Nisaidie number yako my ninashida na ww pls.