Brother unazunguza vitu vya msingi sana ktk maisha naendelea kujifunza kutoka kwako me nimekuelewa nakama wenzangu mmemuelewa gonga like hapa kama zote
Busara sana aisee. Hamasa kama hizi zingalikuwa na watazamaji mamilioni, lakini waliofika ni wenye kubarikiwa na nasaha hii. Asante ndugu Joel. Mola na akizidishie mshawasha nguvu na tija kuiendeleza kazi nzuri hii
umenipa muonekano tofauti sana Asante. lakini nina swali, je nitajuaje kuwa huu ndio muda muafaka kufanya kitu flani? nitajuaje ninachofanya ni kitu sahihi? nafurahi kuna watu kama wewe na mimi na yule katika jamii yetu kwaajili ya kuhamasishana kwapamoja.
Naomba ushauli wako mimi naitaji kuendesha magar makubwa kama scania na bus ivo naomba kujua nawezaje kutimiza malengo yangu kupitia kaz ii kwasababu nataka kujua inalipa au ailipi yan he inasoko ivo naitaji unipeushauliwako
mi nko na miaka 18 ....july hii natarajia kwenda A level ...but am not interested in studies wat shall i do ......am interested in bussiness ...but my parents want me to study 😭😭😭😭😭
Brother unazunguza vitu vya msingi sana ktk maisha naendelea kujifunza kutoka kwako me nimekuelewa nakama wenzangu mmemuelewa gonga like hapa kama zote
P
Nakuelewa sana broo nipo nafuatilia speech zako kazi nzuri
Busara sana aisee. Hamasa kama hizi zingalikuwa na watazamaji mamilioni, lakini waliofika ni wenye kubarikiwa na nasaha hii. Asante ndugu Joel. Mola na akizidishie mshawasha nguvu na tija kuiendeleza kazi nzuri hii
Thanks brother nanauka for ur studies. Law of timing well understandable
Ahsante kwa mafundisho yako ngoja niyafanyie kazi
Maneno madhubuti kabisa...
Shukran sana
Safi sana....Kaka.....napenda..mafundisho yko😊😊😊😊😊
Omeongea point sanaa
saaafi saaana,ubarikiwe
Well said bro Nanauka
Napenda maneno yako na nayaamini sana pia yananifundiaha sana
Ni sawa kabisa nanauka
Thx bro Nina mengi ya kukuuliza nitakupataje
Uko vizur sanaa broo joel ,thanks for this
Ubarikiwe xana kaka joel
That's good.
Hongera kaka
Yaan nimebarikiwa kupata ujumbe huu
Mi nakupenda sana bhana najivuza vitu vingi mungu akuweke kaka
Marvelous speech
Nakuelewa Sana mkuu
Nakufatilia sana.kuna kitu najifunza na utanisaidia wakati ujao
Thank
Asante sana mungu awazidishie kher nyingi na baraka nyngi ktk kaz zako namaso yako nimazur
Thanks for you support Godbless broo nanauka
Pole na kazi Kaka naomba kupata mawasiliano yako
Makes us changing
Thanks for good work
Asante kaka umenifumbua macho kanuni ya 2 na ya 3 zinanpiga chenga
Asante sana
Aaah um
Kak nikwer kabisa uongop
Thanks kaka keep it up.
umenipa muonekano tofauti sana Asante. lakini nina swali, je nitajuaje kuwa huu ndio muda muafaka kufanya kitu flani? nitajuaje ninachofanya ni kitu sahihi?
nafurahi kuna watu kama wewe na mimi na yule katika jamii yetu kwaajili ya kuhamasishana kwapamoja.
Thanks kakaa nanauka
Well said nanauka
Be blessed
Mmmmh your righty for your speech
Tescher
Like it...congratulation
Pole na kazi nahitaji somo hili
💪🙏Ahsant
Barikiwa sana
Thanks saana
Nafurahishwa saaaaanasana na wewe, nakwakweli nilitakiwa kukupata mwaka wa 2012. Ningekuwa mbali sana.
Bright
Mungu akubariki kaka
Good job
Asntee bro, Keep it up!
Uko poa mno mada fupi maana kubwa kuliko muda uliotumia kutoa mada.nice
Kwakweli kk umeni saidia sana kwa mafundisho ya Kila video yako ninayo isikiliza inanipa kupiga hatua mpya Kila wakati asante sana na mungu akubariki
Safi
Ahsante kaka,nimepata kitu.
Thanks you brother 🤝
Asante mungu akubariki
Mahitaji unipatie mwongozo wa usimamizi wa miradi
Utajuaje kama unafny right thing at right time
Utajua kulinga na majibu na unacho fanya
Thanks is Enough, "See you at the Top"
Sawa
LAW OF TIMING! New concept learnt today! Asante Hamasika tv! ✊✊✊✊
Asante kwa. Somo.
Mchezaji aliweza kusimama at the right timing to score ni Fillipo Izaghi
Asante kaka
Salute
Naomba ushauli wako mimi naitaji kuendesha magar makubwa kama scania na bus ivo naomba kujua nawezaje kutimiza malengo yangu kupitia kaz ii kwasababu nataka kujua inalipa au ailipi yan he inasoko ivo naitaji unipeushauliwako
Exactly
Ongea kiswahili hatuelewi kingeresa
I follow you
Amen
ⁿⁱᶜᵉ
👏👏👏
Good sir
Kwani kumpita mtu darasani ndio kuwa na AKILI??? Kuwa na AKILI ni Jambo moja /Kufaulu darasani ni Jambo Jingine
Kweli kabisa
Hapo ulikosea kabisa
Thank bro for good speech of life
Saluti kwako mwamba
Kaka Joel nakuelew sana
❤
Good
Kaka Joel ntajuaje kama ninachofanya ni sahihi katika muda sahihi
Swali ni kwamba je! Nitajuaje kuwa ni wakati sahihi kunya kitu sahihi?
Apoo narudi rudia kukusikiliza maana Apo ni pagumu kdg akili itulie kdg kupata point.
Thanks
Nimependa masomo yako
Ni vipi utashinda maisha
Mimi umenisaidia
mi nko na miaka 18 ....july hii natarajia kwenda A level ...but am not interested in studies wat shall i do ......am interested in bussiness ...but my parents want me to study 😭😭😭😭😭
Fanya biashara kwenye mazingira uliyonayo sasa means mazingira ya shule(kama kuuza peni kama utakaa boarding school)nk
Fanya biashara kwenye mazingira uliyonayo sasa means mazingira ya shule(kama kuuza peni kama utakaa boarding school)nk
Nakuelewa Sana kaka
This Nanauka I know
Sawa nimekuelewa ila je ntajuaje kwamba huu ni wakati uliosahihi?
Bro nilicherewa kukufuatilia kwakweli
Mungu akupe miaka mingi ili tuvune mengi
🙏
kUJUA WAKATI WA KUTOKA NI MUHIM SANA
Pamoja
Mambo mengine yanahitaji hata utupie namba zako,,,maana tunateketea wengi,,,, nakupataje kakaangu Mimi nahisi unaniambia Mimi tu!!
Asante sana kaka mungu akubaliki na aendelee kukupa maalifa zaidi
wronge time and wrong action
Do right things at wrong time= resistant
wrong action at right time = mistake
Right things at right time.
Brother unaongea ukwer
Marvelous speech
Asante sana
Thanks
Asante sana
Kasanda Pascal bgp sana
good