![Hamasika Tv](/img/default-banner.jpg)
- 193
- 2 071 993
Hamasika Tv
Tanzania
Registrace 25. 03. 2019
Be inspired
Be the Change
Be the Change
Siri ya Kufanikiwa Ipo Katika Kujifunza Kila Siku Ukiacha Kujifunza Umeanza Kufa - Eric Shigongo
Siri ya Kufanikiwa Ipo Katika Kujifunza Kila Siku Ukiacha Kujifunza Umeanza Kufa - Eric Shigongo
zhlédnutí: 5 045
Video
Kama Una SIfa Hizi 5 Wewe ni Kiongozi Bora wa Kuzaliwa - James Mwang’amba
zhlédnutí 1,3KPřed 16 hodinami
Kama Una SIfa Hizi 5 Wewe ni Kiongozi Bora wa Kuzaliwa - James Mwang’amba
Aina ya Marafiki Ambao Unatakiwa Uwabadilishe ili Ufanikiwe Kwenye Maisha - Eric Shigongo
zhlédnutí 1,9KPřed 19 hodinami
Aina ya Marafiki Ambao Unatakiwa Uwabadilishe ili Ufanikiwe Kwenye Maisha - Eric Shigongo
Siri ya Ushindi ni Kujinenea Mambo Mema _ James Mwang’amba
zhlédnutí 879Před 21 hodinou
Siri ya Ushindi ni Kujinenea Mambo Mema _ James Mwang’amba
Jinsi ya Kuondoa Hofu Kwenye Maisha Yako na Kufanikiwa - Eric Shigongo
zhlédnutí 15KPřed dnem
Jinsi ya Kuondoa Hofu Kwenye Maisha Yako na Kufanikiwa - Eric Shigongo
Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hutakiwi Kuyafanya Kamwe Kwa Mwanamke
zhlédnutí 512Před dnem
Mambo 10 Ambayo Mwanaume Hutakiwi Kuyafanya Kamwe Kwa Mwanamke
Siri ya Utajiri ni Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Mapato - Eric Shigongo
zhlédnutí 18KPřed dnem
Siri ya Utajiri ni Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Mapato - Eric Shigongo
Eric Shigongo Asimulia Historia ya Mafanikio Yake "Nilifeli la Saba, Nimetoka Familia Masikini"
zhlédnutí 2,2KPřed 14 dny
Historia ya Maisha ya Eric Shingongo "Nilifeli Shule, Nimezaliwa Katika Familia Maskini"
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
zhlédnutí 5KPřed 14 dny
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
Tumia Kanuni Hii Katika Kuwekeza Kama Unataka Kufanikiwa - Edmund Munyagi
zhlédnutí 2,7KPřed 21 dnem
Tumia Kanuni Hii Katika Kuwekeza Kama Unataka Kufanikiwa - Edmund Munyagi
Mambo ya Kuzingatia Unapofanya Maandalizi ya Kufanikiwa katika Maisha - James Mwang'amba
zhlédnutí 3,5KPřed 21 dnem
Mambo ya Kuzingatia Unapofanya Maandalizi ya Kufanikiwa katika Maisha - James Mwang'amba
Ukishindwa Kumsimamia Vizuri Mwanamke Atakusimamia Yeye - Dr Chris Mauki
zhlédnutí 5KPřed 21 dnem
Ukishindwa Kumsimamia Vizuri Mwanamke Atakusimamia Yeye - Dr Chris Mauki
Namna ya Kutambua Uwezo Wako wa ndani na Kuishi Kusudi Lako - Luvanda
zhlédnutí 1,1KPřed 21 dnem
Namna ya Kutambua Uwezo Wako wa ndani na Kuishi Kusudi Lako - Luvanda
Jinsi ya Kutengeneza Maudhui Yanayovutia Watu Mtandaoni na Kukupa Pesa - Shamsi Ramadhani
zhlédnutí 705Před 21 dnem
Jinsi ya Kutengeneza Maudhui Yanayovutia Watu Mtandaoni na Kukupa Pesa - Shamsi Ramadhani
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
zhlédnutí 16KPřed 21 dnem
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
Ongeza Thamani Yako Pesa Zitakufata Zenyewe - Anthony Luvanda
zhlédnutí 2,3KPřed 21 dnem
Ongeza Thamani Yako Pesa Zitakufata Zenyewe - Anthony Luvanda
Mbinu 4 za Kutumia Kulipa Madeni Unayodaiwa na kuwa Huru - Edmund Munyagi
zhlédnutí 2,2KPřed 28 dny
Mbinu 4 za Kutumia Kulipa Madeni Unayodaiwa na kuwa Huru - Edmund Munyagi
Jinsi ya Kutafuta Mentor Sahihi Atakayekusaidia Kutimiza Ndoto Zako - Joram Nkumbi
zhlédnutí 1,6KPřed 28 dny
Jinsi ya Kutafuta Mentor Sahihi Atakayekusaidia Kutimiza Ndoto Zako - Joram Nkumbi
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
zhlédnutí 16KPřed měsícem
Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi
Aina 2 za Biashara Unazoweza Kufanya na Kupata Faida na Mafanikio Makubwa - Kelvin Kibenje
zhlédnutí 2,3KPřed měsícem
Aina 2 za Biashara Unazoweza Kufanya na Kupata Faida na Mafanikio Makubwa - Kelvin Kibenje
Kwa Nini Biashara Nyingi Zinafeli? Fanya Haya ili Kufanikiwa Kibiashara - Joel Nnauka
zhlédnutí 5KPřed měsícem
Kwa Nini Biashara Nyingi Zinafeli? Fanya Haya ili Kufanikiwa Kibiashara - Joel Nnauka
“Nilifilisika na Kuanza Upya” Wolper Asimulia Jinsi Alivyofeli na Kufanikiwa Kwenye Biashara
zhlédnutí 20KPřed měsícem
“Nilifilisika na Kuanza Upya” Wolper Asimulia Jinsi Alivyofeli na Kufanikiwa Kwenye Biashara
Usifanye Makosa haya kama Unafanya Biashara Mtandaoni - Shamsi Ramadhan
zhlédnutí 566Před měsícem
Usifanye Makosa haya kama Unafanya Biashara Mtandaoni - Shamsi Ramadhan
Mbinu 2 za Kutumia Kumpata Mtu Unayetamani Kukutana Nae Akusaidie Kufanikiwa - Joel Nanauka
zhlédnutí 11KPřed měsícem
Mbinu 2 za Kutumia Kumpata Mtu Unayetamani Kukutana Nae Akusaidie Kufanikiwa - Joel Nanauka
Sheria 5 Muhimu kwa Mwanaume Ambazo Unapaswa Kuzitumia Ili Ufanikiwe - Dr Chris Mauki
zhlédnutí 3,5KPřed měsícem
Sheria 5 Muhimu kwa Mwanaume Ambazo Unapaswa Kuzitumia Ili Ufanikiwe - Dr Chris Mauki
Kanuni 3 za Fedha zitakazokupa Mafanikio Ukizitumia - Joel Nanauka
zhlédnutí 22KPřed měsícem
Kanuni 3 za Fedha zitakazokupa Mafanikio Ukizitumia - Joel Nanauka
Kwa Nini Kila Unachofanya Ama Kukianzisha Kinafeli Sababu Kubwa Hii Hapa- Dr Chris Mauki
zhlédnutí 4,3KPřed měsícem
Kwa Nini Kila Unachofanya Ama Kukianzisha Kinafeli Sababu Kubwa Hii Hapa- Dr Chris Mauki
Tabia 4 Zinazosababisha Watu Wengi Wasifanikiwe katika Maisha - Joel Nanauka
zhlédnutí 33KPřed měsícem
Tabia 4 Zinazosababisha Watu Wengi Wasifanikiwe katika Maisha - Joel Nanauka
Sababu 3 Za Watu Wengi Kushindwa Kutimiza Malengo Yao - Joel Nanauka
zhlédnutí 24KPřed měsícem
Sababu 3 Za Watu Wengi Kushindwa Kutimiza Malengo Yao - Joel Nanauka
DAKIKA 12 ZA LEONARDO AKIWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB BANK UTACHEKA!!
zhlédnutí 299Před měsícem
DAKIKA 12 ZA LEONARDO AKIWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB BANK UTACHEKA!!
Amen Amen
Hv kwa madini haya ni kweli shigongo ni darasa la 7 au mnatudanganya tu
Cjui mnamuelewa mwalimu?😅acha kuuliza chakula kwa mama ntilie😅
Tulikutana Lamadi,( sereñgeti) tuliongea mengi,plz nisaidie no yako
Amen
Hapo Ndo ushasema unaenda kijijini kumbe mchizi Uko kwenye pipa unaenda Dubai afu pipa limedondoka 😮kazi italipia mazishi na kiinua mgongo ulichoacha?
Mafunzo mazurii
Jambo kwa wote Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.
Joram I haven't been lucky enough to follow you for a long time, but you have something very important and I think you are one of the politicians we need in Africa if you are willing to enter the leadership of the drug dealers so that we can get out. On the slavery of various things Africans because the limit we have to think has made us slaves I am Emily an African kid nikiwa kama kijana mdogo
Naxhukul xan mung akubaliki 🙏🤲
Dadaaa duuu
Thanks for sharing
Thanks for watching!
Nondo tuu
Mafunzo mazuri kabisa haya🎉
Hapo kwny mawasiliano duuh 😢
Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele
😊
Thank you Mr Erick
namshkuru Mungu kwa ujumbe huu
amina mtumishi wa mungu vision is light of forward
Kweli kabisaa kaka
Dini haruhusu kutegemea qadar
🙏
Good inspiration Mr eric
Jinsi ya kusolve matatizo kwenye mahusiano1.Kubali kwamba mnatofautiana (mtazamo,haiba 2.jifunze kuwasiliana vzr sikiliza vzr, zungumza vile unataka mambo yawe be a confident speaker 3.jielewe ,jifahamu,jiulize maswali ability to understand ur self 4.huwezi kua perfect wakt wote 5.jifunze na ukubali kurekebishwa 6.be humble accept
Sasa njia gani ya kusoma ili kuelewana sio kukariri😮
Shigongo I want to met you
Punguza kingereza wengine niwaswail kaka
Nmekuelewa sana sana
Ni kweli kaka,
Tumutafute mungu sana, wakati wa kukuinua ukifika, maharifa atakupa mwenyewe, kikubwa nibaraka.
Mwalm wa masuala ya uchumi uko vzr saaana mkuu
Kiukwel umenigusa sana dr ❤❤
Ndio.lafiki
🔥🔥🔥
Husimuache,jusimdhalilishe,husimdhiaki siku ukifanikiwa ukaanxa kupata mlichochuma wote.Ahsamte kws elimu nzuri kufanya kazi mbalimbali utafanikiwa.
❤ kweri waoga WOTE mateso
Aky ni kweli
Mh shigongo umeniamsha vizuri mno,kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana
Some zuri ila wengi tunapenda kiswahili
Amina nitaanzisha muda siyo mrefu kwa jina la yesu
Sijawai kujuta kufatilia na kusoma vitabu vyako since I was 17 years age till now🤗 you are blessed na umeeleweka mnoo🎉🎉🎉🎉
Mweshimiwa shigogo nime kuerewa sana ntafanyia kazii
Safiii sana kaka Eric. Somo la ubosi,heshima.
😂😂😂 hapo kwenye Umbea umepiga kwenye Mshono...kuna watu wanapenda umbea
Na mimi nataka nije huko maana ninahasira ya utajiri kweli kweli😂😂
Kweli baba
Shukuran San I have understood
Umeeleweka sana.Bravo.
Baba tafadhali naweza kkuona ukanisaidia tafadhali?