Wahojaji tumieni professional skills yauhojaji.. Hoji kwa kumpa nafasi unaemhoji akujibu.... otherwise kipindi nikizuri but moderator wakike .mmmhhh ajinoe zaidi
We dad unapoteza point za msingi anazoanza kizitoa nanauka unauliza vijiswali vya kishenzi shenzi tu, adi umeniboa sijue presenters wengine hua wanasomea wapi aise
Good lesson But I still have question🤔🤔 Kwanini uhachane na marafiki zako kisa wewe ndie ulie bora zaidi kuliko wote eiza kifedha au kielimu then huende uhambatane na aliye bora zaidi yako ? Je,nisawa kutenda usicho penda kutendewa ? Maana mda huo umeachana na rafiki yako kisa yupo down (under level) ili ukaambatane na up level …!! Naomba ufafanuzi please ✍🏾
Broo hilo shwali NAOMBA nili jibu kwanza malafiki WASIO na malengo mda mwingi mtaongea na kushauliana na visivyo vya msingi ila siyo una achana nao daireck hapana ila mabadiliko Yana KUJA unapo amua KUWA na rafiki alie kuzidi kimaisha ukiwa na naye NAWEWE utatamanitu KUWA kama yeye ukiwa na LAFIKI tajili basi jandae KUWA kama yeye au zaidi
Uko vizuri kiongozi
Dada upo vzr sna mekuelewa
Dadaaa duuu
Umetisha
Points
Exactly 💯
Hongera kazi nzuri
Nakukubali sana mr Joel
Hi brother Joel nashukuru sana I wish to have like 15 minutes with you face to face .
Absolutely 💯
Uyu dada anaongea Sana sana
Uko vizur kaka
Ila Joel akuna kazi ngumu km kudelete mtu nifanyaje
nakubali san
Wahojaji tumieni professional skills yauhojaji.. Hoji kwa kumpa nafasi unaemhoji akujibu.... otherwise kipindi nikizuri but moderator wakike .mmmhhh ajinoe zaidi
We dad unapoteza point za msingi anazoanza kizitoa nanauka unauliza vijiswali vya kishenzi shenzi tu, adi umeniboa sijue presenters wengine hua wanasomea wapi aise
❤❤❤❤
Dada anachosha bwana
✍️💝🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙏🇨🇩
❤
Huyo dada anaboa
Dada punguza kiherehere basi
😂😂😂😂😂
Daah sasa mmemwita huyo mtaalamu wa nini simngemtumia huyo dada maana yeye anajua Kila kitu
Umenifungua Akili yangu🔓 thanks
Sasa nyie watangazaji mnapouliza maswali acheni mpate majibu wewe demu unaongea sana, kunamuda tunataka tupate majibu mnavuruga bana.
Good lesson
But I still have question🤔🤔
Kwanini uhachane na marafiki zako kisa wewe ndie ulie bora zaidi kuliko wote eiza kifedha au kielimu then huende uhambatane na aliye bora zaidi yako ?
Je,nisawa kutenda usicho penda kutendewa ? Maana mda huo umeachana na rafiki yako kisa yupo down (under level) ili ukaambatane na up level …!! Naomba ufafanuzi please ✍🏾
Swali zuri, lkn nahisi ni ndio kanuni ya kukufanya wewe ukue zaidi
Broo hilo shwali NAOMBA nili jibu kwanza malafiki WASIO na malengo mda mwingi mtaongea na kushauliana na visivyo vya msingi ila siyo una achana nao daireck hapana ila mabadiliko Yana KUJA unapo amua KUWA na rafiki alie kuzidi kimaisha ukiwa na naye NAWEWE utatamanitu KUWA kama yeye ukiwa na LAFIKI tajili basi jandae KUWA kama yeye au zaidi