Huwezi Kufanikiwa Kifedha Bila Kuyajua Haya - Edmund Munyagi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 06. 2024

Komentáře • 21

  • @albertdhukuru7443
    @albertdhukuru7443 Před 27 dny +11

    Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 Před 19 dny +1

      Tanzania tunatumia lugha 2

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv Před 25 dny +4

    Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako

  • @AbuuSudais-wf6ns
    @AbuuSudais-wf6ns Před 21 dnem +2

    Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla

  • @EmanuelSimon-eh8mr
    @EmanuelSimon-eh8mr Před 22 dny +1

    Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha

  • @zackariamtunguja9435
    @zackariamtunguja9435 Před 26 dny +5

    Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000
    Now napambana kufuta madeni.

  • @BaruaniAllyally
    @BaruaniAllyally Před 18 dny

    Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika

  • @magrethpaul2207
    @magrethpaul2207 Před 14 dny

    Haya ndio mambo napenda

  • @EsterinePhilipo
    @EsterinePhilipo Před 20 dny +1

    Acha ushamba wa rugha

  • @busarafadhil2442
    @busarafadhil2442 Před 27 dny +1

    Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu

  • @benyavan5774
    @benyavan5774 Před 21 dnem +1

    Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua
    Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 26 dny +3

    Wa tz nani katuroga?
    Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂

  • @busarafadhil2442
    @busarafadhil2442 Před 27 dny +4

    Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige

  • @BaruaniAllyally
    @BaruaniAllyally Před 18 dny

    Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani

  • @Kanyawela
    @Kanyawela Před 22 dny

    Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe

  • @maicofidelix3549
    @maicofidelix3549 Před 24 dny

    Good 👍 brown

  • @user-wd4xl5cl4y
    @user-wd4xl5cl4y Před 7 dny

    Speak Swahili

  • @mwanziajoseck3904
    @mwanziajoseck3904 Před 27 dny +1

    🎉