Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000 Now napambana kufuta madeni.
Chagua lugha ya kutumia kama ni kiswahili tu tumia kiswahili tu na kama ni English tumia English tu katika sentesi usipoelewa neno moja inaweka ikakutoa kwenye kuelewa sentesi nzima na unajua Tanzania wengine English haipandi sana kivile...
Tanzania tunatumia lugha 2
Ukitumia Kingereza tunaomba ufasiri. Tunabarikiwa sana na masomo yako
Kaka angalia sana Hilo swala LA lugha, kiswahili ni bora Sana Kwa jumla
Kwani bro ww ni Muingerezaa? Somo zuri sana tatizo unachanganya lugha
Nimeweza kusave 8000/day kutoka kutumia gari na kutumia public transport.. 5000/day kwa kutumia wifi.. 13,000/day *30 =390,000
Now napambana kufuta madeni.
Hongera una uthubutu sana.. Mimi kusave ndo ugonjwa wangu nazidi kupambana nao😂
Hongera sanaaa
Hongera sana kwa hatua hiyo
Niku shauri tu Mada iyoiyo irudie Tena kwakiswahili tu umepika chakula kizuri Sana ila kama chunvi haikuskika
Haya ndio mambo napenda
Acha ushamba wa rugha
Wengine hawakurleei hapo unatuchanganyatuu
Kwani hadi muchangaye kuswali na English ndiyo tujue unajua
Tumien lugha ya taifa we unadhani una sikiliza na wangapi
Wa tz nani katuroga?
Si tujifunze english maana ndio lugha ya ulimwengu jamani tuache kulalama😂
Unachanganya lugha kama unaongea kiswahili ongea kiswahilitu na ikiwa English ongea English tu usiige
Sasa boss mbona kiingereza kingi Sana iyo ni kiswaili cha marekani
Ukiongea kingereza bas tafsiri ya kiswahili ili wote tuelewe
Good 👍 brown
Speak Swahili
🎉