Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Shukurani sana kwa somo
Kweli doctor christ yani kuanzia sasa lazima operation chunguza mamkwe ifanyike 😅😅
Kwel kabisa
Ukweli semwe ❤❤❤
😅😅😅 duh. Kikaangoni it was necessary
Habari doctor mimi ni mwanamke ziwa linaniwasha naomba nisaidie shida inaweza kuwa nini?
Doctor mimi nimekosa mke kwenye u mkasa
Wewe Chris,kama sio mm kumuongoza hata nyumba ya kulala tusingekuwa nayo !
Huyo ndiye aliyeshindwa kukusimamia! Ndiyo maana akashindwa hata kuwa na nyumba mpaka wewe ukamsimamia ndiyo nyumba ikajengwa
Mwanamke anarudisha mara mbili ya unachompa.hakuna mwanamke mkorofi akionyeshwa thaman na upendo.mbona mnataka utii pasipo upendo??
Wanawake hawaridhiki pesa mbele kuliko kingine,sasa upendo gani kwa anayejali pesa kwanza?
Wamaume nao wanachepuka sana jaman kuna mda hawajali wake zao hawana mda na wake zao matumizi shida heshima itatoka wapi? Umtii ktk manyanyaso hawajui nafasi zao ndo maana wanadharaulika.
Wanawake nao hawaolewi wengi kwa sasa ßbabu ni wafisadi kwa wanaume,wajeuri.Hata wanawake wanadharauliwa ndiyo maana wengi SK Hz hawaolewi
Nataka semina yote napateje semina hii
Tazama sehemu ya pili hapa Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Maukiczcams.com/video/8HtiiJXIPvI/video.html
Hata maandiko yanasema ishini kwa akili na wanawake,wewe ishi kindezi unywe chai kwa mruzi.
hii video nataman hubby aione ..hajiwezi kwa kila kitu..acha nimuongoze tu aise🚮
😂😂
Shukurani sana kwa somo
Kweli doctor christ yani kuanzia sasa lazima operation chunguza mamkwe ifanyike 😅😅
Kwel kabisa
Ukweli semwe ❤❤❤
😅😅😅 duh. Kikaangoni it was necessary
Habari doctor mimi ni mwanamke ziwa linaniwasha naomba nisaidie shida inaweza kuwa nini?
Doctor mimi nimekosa mke kwenye u mkasa
Wewe Chris,kama sio mm kumuongoza hata nyumba ya kulala tusingekuwa nayo !
Huyo ndiye aliyeshindwa kukusimamia! Ndiyo maana akashindwa hata kuwa na nyumba mpaka wewe ukamsimamia ndiyo nyumba ikajengwa
Mwanamke anarudisha mara mbili ya unachompa.hakuna mwanamke mkorofi akionyeshwa thaman na upendo.mbona mnataka utii pasipo upendo??
Wanawake hawaridhiki pesa mbele kuliko kingine,sasa upendo gani kwa anayejali pesa kwanza?
Wamaume nao wanachepuka sana jaman kuna mda hawajali wake zao hawana mda na wake zao matumizi shida heshima itatoka wapi? Umtii ktk manyanyaso hawajui nafasi zao ndo maana wanadharaulika.
Wanawake nao hawaolewi wengi kwa sasa ßbabu ni wafisadi kwa wanaume,wajeuri.Hata wanawake wanadharauliwa ndiyo maana wengi SK Hz hawaolewi
Nataka semina yote napateje semina hii
Tazama sehemu ya pili hapa
Ishi na Wanawake kwa akili - Dr Chris Mauki
czcams.com/video/8HtiiJXIPvI/video.html
Hata maandiko yanasema ishini kwa akili na wanawake,wewe ishi kindezi unywe chai kwa mruzi.
hii video nataman hubby aione ..hajiwezi kwa kila kitu..acha nimuongoze tu aise🚮
😂😂