PESA , KUCHEPUKA NA MAWIFI SABABU ZA NDOA NYINGI KUVUNJIKA - CHRIS MAUKI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 15

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 Před měsícem +1

    Nampenda sana Mr. Mauki❤❤❤❤❤❤❤

  • @DosianaLulakuze-bv7fg

    Kabisa kabisa hapo ni shida

  • @mamii7935
    @mamii7935 Před 2 měsíci +1

    Shukran lavidavi

  • @zenasmjema4050
    @zenasmjema4050 Před 18 dny

    Ila kwenye Hilo swala la marafiki ni ujinga mume akiwa mjinga ndio basi Tena ndoa hakuna

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 Před 2 měsíci +2

    Mauki naomba uanze na Diva maana naona issue ya ndg,mawifi na wakwee amairudia sana huenda ilmfanya kitu.

  • @DativJoa
    @DativJoa Před 21 dnem

    mi mchaga ila tangu nkiwa mdogo sijawahi kutaka kuolewa na mchaga

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před měsícem +2

    Chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika ni wanandoa wenyewe, malezi, kwa ujumla ni changamoto, anzia kwa mwanamke mpaka mwanaume hivyo msihamishe makosa ya wanandoa. Kwa wanandugu. Mnazidi kuyakoroga tu,

    • @DativJoa
      @DativJoa Před 21 dnem +1

      uko sawa. wanandoa wakishikana wakawa wamoja, wifi ,mama mkwe nawenginevhata wawe wakorofi ,hawawezi kuvuruga ndoa.
      mwanandoa ndo anafungua mlamgo.

    • @hildamarua3112
      @hildamarua3112 Před 21 dnem

      ​@@DativJoakabisa

    • @hildamarua3112
      @hildamarua3112 Před 21 dnem

      Umenena vyema sana

  • @zayanazayana5518
    @zayanazayana5518 Před měsícem

    Vipi na bint akiolewa hataki family ya mume
    Wakija wazazi wa mume mke anakasirika, pengine mume alikuwa anawasaidia wazazi wake, lakini akifika mke anamkataza
    Semeni pande zote

    • @user-kb7zn8lm8m
      @user-kb7zn8lm8m Před měsícem

      Hapo wengi sio kuchukia ndug wa upande wa pili tatizo wanakuja na command zao na wanataka kukucomand hv umeolewa na wangap hii tatizo na kila unachofanya hata kiwe kizur ni kibaya tuu hii tatizo na hapo ukute mwanaume anaegemea ndug zake hii ratizo a wengi hawataki mkae nwanaume auluze mke ongea ndug ongea ajue shida nini atatue kwa uwaz mbele zao nafhan ingekuwa poa kwa wengi

    • @DativJoa
      @DativJoa Před 3 dny

      @@user-kb7zn8lm8m . Hakuna mke anaeolewa akiwa na chuki ya kuchukia nduguwa mume. tatizo wanaume wengi hawajui kuacha maisha ya zamani na ndugu zao ili waanze upya familia yao. wanataka kama walikua wanawasaidia waendrlee hivo hivo. . mume umeoa sasa ndugu zako wakiwa na shida wanatakiwa kumwambia mke wako . mke aje akuambie muone mtasaidiaje. kama ni pesa mkubaliane na mke kiasi halafu mpe mke awape. otherwise, hawataona thamani ya mke wako .watamdarau. na wakimfharau, mke atawachukia.

    • @DativJoa
      @DativJoa Před 3 dny

      @@zayanazayana5518 kuna wanaume vilaza mpaka wana saidia familia zao kwa siri. na hizo familia zinajua kabisa kijana wetu hutusaidia kwa siri mkewe asijue. sasa unafikiri mkeo akijua atafurahi? hapo ndo chuki huanza. zikianza sasa wanatafsiri eti hataki nisaidie kume mume alikosa akili . nandugu nao wasema mkewake mbaya hataki atusaidie ndo maana tuasaidiwa kwa siri. kuna wanaume vilaza mpaka wanawaambia ndugu zao eti mke wangu anawachukia. wanakua chanzo cha magomvi