Video není dostupné.
Omlouváme se.

PART 2 ZAIYLISSA AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE NA DULLAH MAKABILA MIEZI MIWILI NA WIKI MBILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 10. 2023
  • Zaiylissah muigizaji anayefanya vizuri katika tamthilia ya Jua Kali kwa mara ya kwanza ameongea kila kitu kilichotoka katika Ndoa yake na Msanii Dullah Makabila mpaka kufikia kuvunjika!
    Tazama Part 2 hapa, Part 1 na 3 zipo hapa
    SUBSCRIBE, LIKE, SHARE

Komentáře • 159

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 9 měsíci +11

    Inaonyesha dula anaongozwa Sana na hisia Yan anaongozwa na mihemko,,,inabidi dula akatibiwe na mambo yake yakihasira..inaonekana dula akipenda anapenda sanaaaa kwaiyo anakuwa na wivu na anaendeshwa na hisia kwaiyo anashindwa kujizuia

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 Před 6 měsíci +2

    Hawa wanawake wamechagua maisha yakutembea na wanaume tofauti tofauti ,hawamjui ni hatari ktk ulimwengu wa roho ,kwa tamaa za umaarufu wa kidunia

  • @InnocentCherryDumplings-rg1tj
    @InnocentCherryDumplings-rg1tj Před 6 měsíci +3

    Nampenda uyu dada

  • @user-kw3xw3kv8f
    @user-kw3xw3kv8f Před 6 měsíci

    Pole sanaaa hayo ulopitiya Mimi piya niliishi ivo kwaaliyekuwa mume wangu umeniacha nikumbuke mnoooooo

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před 9 měsíci +40

    Sijui kwanini watu wengi hawaoni huyu dada ni mkweli

    • @Official83640
      @Official83640 Před 9 měsíci +4

      Mkweli lkn apunguze pupa za mahusiano we huwezi kuachana na mwanaume ghafla ukaanze na mwanaume mwengine na unaona kabisa km huyu Dullah hakumtaka amuoe na ndy kalazimishwa kupost na kucomment maana yupo na Dullah bado anawasiliana na Mingo na ndy 7bu Mingo alitoa ile nyimbo alishajua km ndoa hakuna itavunjika muda c mrefu huyu anapenda mateso mwenyewe haiwezekani kila mwanaume ampige

    • @lillylaurent7449
      @lillylaurent7449 Před 6 měsíci

      😂😂

  • @BarbaraPatience-qt9cc
    @BarbaraPatience-qt9cc Před 6 měsíci +4

    Huyu mrembo ana hekma sana,na ni mpole sana!!!

  • @rachelmnyimwa4192
    @rachelmnyimwa4192 Před 9 měsíci +5

    Najivunia kuzaliwa tanga hivyo tuuuu❤❤❤❤

  • @Abbaskhashiat
    @Abbaskhashiat Před 4 měsíci

    Mashallah mungu akujalie

  • @josephmaka925
    @josephmaka925 Před 6 měsíci +1

    Zay akuwa really akumpenda dullard kbs

  • @eliachaula6542
    @eliachaula6542 Před 4 měsíci

    Kumbe poleeeeee mwaya

  • @wardaridhwankassim4774
    @wardaridhwankassim4774 Před 9 měsíci +2

    Alvyotajw Rj 🤣 hyo blushing ya huyo dada ss🥹❤️

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v Před 6 měsíci +1

    Huyu dada ni muungwana sana hawezi wanaume wasio waungwana.Ukitaka kumchukua kisela ndio ushamshindwa

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd Před 8 měsíci +1

    Zaylisaa ni mzurii aisee

  • @upendomsuya8961
    @upendomsuya8961 Před 9 měsíci +3

    Hapo kwenye RJ tutakaa 🤣🤣🤣🤣

  • @user-cj4cv3jo6p
    @user-cj4cv3jo6p Před 6 měsíci +1

    Hapo hujapendeza bana Bora ukiwa hujapaka nekap unapendeza sana❤

  • @maidamwaipopo9603
    @maidamwaipopo9603 Před 9 měsíci +7

    Chini peps juu fanta

    • @user-eg8ri1fy4h
      @user-eg8ri1fy4h Před 6 měsíci

      😂😂😂😂😅😅😅😅cjui umewaza nini 😁😁😁😅😅😅

  • @Prisca-sn3zd
    @Prisca-sn3zd Před 9 měsíci +9

    Jaman mwanaume anayepiga hashaurik hata kidogo nina muunga mkono kabisaa huyu dada

    • @hatibbaraka3956
      @hatibbaraka3956 Před 7 měsíci

      Na pia tabia mbaya sana kwa mwanamme kuwa mpigaji wa wanawake.
      Dula bado mshamba sana.

  • @fridakaria9904
    @fridakaria9904 Před 9 měsíci +15

    Bila makapu unapendeza zaidi

  • @user-mn8dw5of8l
    @user-mn8dw5of8l Před 6 měsíci

    amekomaa sana kweli uchaw upo😂😂

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i Před 7 měsíci +3

    Kumbe ndoa y mtandao demu alitaka umarufu tu ili atoke na ndio maana manara ana ndoa nyingi sababu wanataka wajulikane mitandaoni haibu

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh Před 9 měsíci +13

    Wamiaka 24 mbona uso umechoka kama wa miaka 50 au ndo make up next time usipake mimi nakuona rangi ya uso na wig zimefanana aliekupodoa atafika mbinguni akiwa amechoka😂😂

  • @ebanosafarikenya7390
    @ebanosafarikenya7390 Před 9 měsíci +3

    The way she answered about RJTHE DJ MEANS EVERYTHING 😂😂😂

  • @NasraNasa-mp7mf
    @NasraNasa-mp7mf Před 6 měsíci

    Mswahili sana dullah

  • @lisamandela9987
    @lisamandela9987 Před 6 měsíci

    Huyu dada n mstaarabu sana

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před 9 měsíci

    🔥🔥🔥

  • @katieabraham2013
    @katieabraham2013 Před 9 měsíci +3

    she is super cute

  • @iddykwangaya2794
    @iddykwangaya2794 Před 9 měsíci +3

    Napenda mwanamke nature by looks,,na sio mwanamke Atficial by looks!

    • @JacklineNamundengozi
      @JacklineNamundengozi Před 9 měsíci

      What do you mean? You are contradicting your self just use just use your local language Swahili.

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 Před 9 měsíci

      @@queenandchill91 kimewachoma Eeh,,,wanye mikorogo..Mijuso imekua mizito kama mibumunda vile nyooo!

    • @queenandchill91
      @queenandchill91 Před 9 měsíci

      @@iddykwangaya2794 Nimekurekebisha SPELLING ujifunze uandishi sahihi wa ya maneno ya (kiingereza) uliyotumia kuwasilisha ujumbe wako. Utayari wa kuedit au kupuuza ujifunzaji ni maamuzi yako. Hayo mengine unayosema ni FIKRA zako. Na jinsi ulivyopokea na kureply hoja isiyo ya msingi unaonyesha jinsi gani ulivyo MPUMBAVU NA MJINGA. Na uandishi wako inaonekana sio MWANAUME ni SHOGA mzoefu asiyejitambua. KEEP IT UP

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 Před 9 měsíci

      ​@@iddykwangaya2794😂kimewaramba wenye rangi za kubuni

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 Před 9 měsíci +1

      @@halimahbwelele694 yani wanatutia kinyaa sisi wanaume, ila basi tu

  • @shamsamohad4887
    @shamsamohad4887 Před 6 měsíci

    Dada angu mrudiane bs❤❤

  • @EvelineMasubo
    @EvelineMasubo Před 9 měsíci +6

    Bado miaka30😂😂

  • @jovinlawi2999
    @jovinlawi2999 Před 9 měsíci +3

    Mekap. Imekupanya umekuwa mbaya

  • @elizabethleonce1089
    @elizabethleonce1089 Před 9 měsíci

    Hahaa mambo ya mjini bana

  • @mwanaelmwinbe-pb5qv
    @mwanaelmwinbe-pb5qv Před 9 měsíci +5

    😂😂😂😂😂 dullah alifos mapenziii

    • @zena6203
      @zena6203 Před 9 měsíci

      😅😅😂😅😅😅😅😅😅😅

  • @magrethgeorge1368
    @magrethgeorge1368 Před 9 měsíci +1

    😍 mambo ni moto

  • @Prisca-sn3zd
    @Prisca-sn3zd Před 9 měsíci +3

    Sikushaur dada angu mwanaume anayepiga hata usimsamehe

  • @hajially4527
    @hajially4527 Před 6 měsíci

    Sasa wew mguu na uso toka lini vikafanana acha wivu

  • @kisakageorge7706
    @kisakageorge7706 Před 9 měsíci +4

    Huyu dada hakumpenda yule kaka

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 8 měsíci +2

    Kwahyo nikama alilazimishwa au ,,mbona wadada wamjini mnajikuta Sana ,,yaani mnajipa thaman Sana mpka mnapitiliza ,,,,😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 mbona wakawaida sana

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci +2

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

    • @joycekalago532
      @joycekalago532 Před 6 měsíci

      Hata mimi siwez kuish na manara kwa mdomo wake ule

  • @JacintaLyuki-ph6jf
    @JacintaLyuki-ph6jf Před 7 měsíci

    😊😊

  • @sharifabahar9905
    @sharifabahar9905 Před 9 měsíci +5

    😂😂😂😂😂wanawake walefu wembamba sijui wanatatizo gani

    • @deborahcharles4916
      @deborahcharles4916 Před 9 měsíci

      Jaman tupumzishe wanawake wRefu ongerea mtu mwenyew

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Před 9 měsíci

      @@deborahcharles4916 mbona unaonekana mfupi

    • @wozanawewoz979
      @wozanawewoz979 Před 9 měsíci

      😂 wanaringa

    • @deborahcharles4916
      @deborahcharles4916 Před 9 měsíci

      @@wozanawewoz979 kulinga ni mtu mwenyew tu faivany mke wa raivanny ni mfupi na analinga

    • @gulfomanbb2119
      @gulfomanbb2119 Před 8 měsíci

      Wechiz kwl😂😂😂😂😂kwaiyo umeona nn mpk useme ivo

  • @abdulabdallh9506
    @abdulabdallh9506 Před 9 měsíci +9

    Uyu dem ni malaya saana

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 Před 9 měsíci +1

    Acha kupapalikia ndoa tulia kwanza

  • @user-gr7ty6nz1l
    @user-gr7ty6nz1l Před 6 měsíci

    Ayo macho ya wote

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před 9 měsíci

    Weeee uuuuu weeeeee

  • @user-yu7uv6ws9h
    @user-yu7uv6ws9h Před 9 měsíci

    Duhh😂

  • @NextoEmanuel-hw7jq
    @NextoEmanuel-hw7jq Před 9 měsíci +1

    Hv mahari huwa inarudishwa😂😂😂😂

    • @zena6203
      @zena6203 Před 9 měsíci

      Yes kamaa Mimi tu nilimchoka mumewanguuuu akakata kunipa talaka nikampa mahari yake tukamalizanaaa imeisha iyo

    • @bimkubwaali5951
      @bimkubwaali5951 Před 9 měsíci

      Hii inaitwa nipunguzie adhabu naijua iyo nilimpa nikapata amani ya roho yangu

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 6 měsíci

    Hivi macho yangu? Miguu mieusi, USO mweupe no mtu mmoja huyo huyo au two in one.

  • @edinamathews7717
    @edinamathews7717 Před 9 měsíci +3

    Mbona miguu myeusi uso mweupe?

  • @user-gl2mr6uy7v
    @user-gl2mr6uy7v Před 9 měsíci +2

    Kipindi kijacho tunaomba utuleteye chino kid

  • @salha6596
    @salha6596 Před 9 měsíci +3

    🙄🙄🙄🙄

  • @zena6203
    @zena6203 Před 9 měsíci +2

    Mmmjjjh sura nyeupeeee migummmhhhhhh

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 6 měsíci

    Wanadamu wana haraka ya kusema bila kuchunguza pande zote

  • @footballmagichighlights
    @footballmagichighlights Před 8 měsíci +2

    LilOmmy Bro, Heshima yako. ''sipendi niongelee sana'' umemfungua hadi kafungua code zote 🤣🤣

  • @christinafrimin5615
    @christinafrimin5615 Před 9 měsíci +4

    Kweli huyu dada ni mkweli hadanganyi

  • @eagleeyes4449
    @eagleeyes4449 Před 6 měsíci

    Hili jamaa sio handishi bali ni dedective.

  • @emeldanicholaus6944
    @emeldanicholaus6944 Před 9 měsíci +3

    She is a wife material kabisaa jaman

  • @mwanamkuumohamed7344
    @mwanamkuumohamed7344 Před 6 měsíci

    But huyu dem yuakaa mpole

  • @jamohbabayaofamily4879
    @jamohbabayaofamily4879 Před 6 měsíci

    😂😂😂😂😂huyu anataka kuuza albino kizee

  • @khajisokoni3790
    @khajisokoni3790 Před 6 měsíci

    Shida yako moja zai lisaa we ni muuzaji kwa nini ulie kwa kupostiwa na mumeo

  • @jumasungula8510
    @jumasungula8510 Před 9 měsíci +2

    Yani kutajwa jina la mnyamwezi rj the dj macho kichwa vyote vimeongea

  • @salmasudi8901
    @salmasudi8901 Před 9 měsíci +13

    Naira anacho igiza kinafanan na maisha yake halisi kule ghost huku dulla yan maamuzi ya fasta 😂😂😂

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před 9 měsíci +2

    Dada mrefu kweli

  • @user-cj4cv3jo6p
    @user-cj4cv3jo6p Před 6 měsíci

    Naira achana na mecap haijakupendeza kabisa umekua mbayaa

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 Před 6 měsíci

    Lakomaa uso

  • @Neema-lh8pi
    @Neema-lh8pi Před 9 měsíci +1

    Huo mdomo umekua mbaya

  • @MimyLenge-gp2xe
    @MimyLenge-gp2xe Před 9 měsíci +2

    Iyo mecap apana dada

  • @Neema92
    @Neema92 Před 6 měsíci

    Mwanaume mwenye mkono wa kupiga hafai kabisa.

  • @user-my7oz7kw6p
    @user-my7oz7kw6p Před 9 měsíci

    Kiongoz tena ndiy mahan Unaenda dodoma

  • @juliennefitina6529
    @juliennefitina6529 Před 9 měsíci +1

    Apo uwongo njo mwingi sana

  • @lilybarongo8119
    @lilybarongo8119 Před 9 měsíci

    Kfp huyu hakumpenda dulla

  • @jumasungula8510
    @jumasungula8510 Před 9 měsíci +1

    We ulikuwa upendi

  • @veronicalufingo3513
    @veronicalufingo3513 Před 9 měsíci +3

    Kwahyo alipigwa bila sababu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 9 měsíci +2

      Jamaa nakaa ana wivu Sana mwanamme WA hivi siwezi ishi nae hata wiki moja

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Před 9 měsíci

      Nano neno hilo

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Před 9 měsíci +11

    Huyu demu jinsi anavyo ongea ni muongo nani gold digger

    • @sharifabahar9905
      @sharifabahar9905 Před 9 měsíci

      😂😂😂😂😂😂

    • @rehemaothman2475
      @rehemaothman2475 Před 9 měsíci

      😂😂😂😂😂Jamaniiii

    • @minzamariamcasmir189
      @minzamariamcasmir189 Před 9 měsíci

      Always the mem with no gold….smh🤦‍♀️

    • @user-bm2qw9yb5x
      @user-bm2qw9yb5x Před 9 měsíci +1

      Yuko kwenyekameraa tunamjua Sana jilani yetu Ila anahaiba yaupore

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 6 měsíci

      Eti gold digger hiyo gold iko wapi hapo hata shaba hakuna labda chuma tu. Dulla ni mshamba tu na ataendelea kuwa mshamba maisha yake yote.

  • @cptnbazil6121
    @cptnbazil6121 Před 6 měsíci

    Make up artist anafaa aache kazi maana kamtoa kituko

  • @mimahmimah1595
    @mimahmimah1595 Před 9 měsíci +5

    Sasa ushaolewa ushaachwa ushazaa ushakua na mingo ushaachwa ushaolewa na dullah ushaachwa na bado una 24yrs😢

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Před 9 měsíci

      Waongo hawa watu hawatak kuzeeka wakaitwa bibi

    • @yustersimon5104
      @yustersimon5104 Před 9 měsíci

      Kwa mkoa anaotokea kwa huo umri ni kawaida mabinti zao wanaolewa utotoni darasa la 7 tu kwisha anaposwa😢

    • @gulfomanbb2119
      @gulfomanbb2119 Před 8 měsíci

      Anatk mkoa gan

  • @bolelambunda6554
    @bolelambunda6554 Před 6 měsíci

    Uso umemparama

  • @user-yd3hz6hq6q
    @user-yd3hz6hq6q Před 6 měsíci

    ukifika mbinguni kinyama kishanyauka kwa kila ub*o kuingia kwenye k*m* yako

  • @SwaumuMussa-xp1zo
    @SwaumuMussa-xp1zo Před 9 měsíci +10

    Jamani mmeona nilichoona au?? Mbn km miguu na uso tofaut?

  • @kiya0910
    @kiya0910 Před 9 měsíci

    Ww dada acha kicheche tulia

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Před 6 měsíci

    Kichangu tu tumekutana ista pumbavu

  • @marygregory7566
    @marygregory7566 Před 6 měsíci

    UKIACHWA TENA NA MANARA DADA UTAKUWA UNAJIHARIBIA CV

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws Před 7 měsíci

    Yn linaonekana nijambaz kabis hili dada

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @user-fy9pw2zr8l
    @user-fy9pw2zr8l Před 9 měsíci +1

    acha kubicha weye ulikua na rj

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Před 7 měsíci

    HIVI DADA WEWE UNAMPENDA KWELI HAJJI? AU KUNAKITU UMESHAWISHIKA?
    KWANI ATA SIKUAMINI KAMA KWELI UÑAMPENDA WHITE