Maisha Ya Zuchu Kabla Ya WCB : "Nilitaka Kuwa Mwanasheria" | SALAMA NA ZUCHU PART 1

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 10. 2022
  • #SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
    Kuna usemi mmoja unaenda kama hivi, kulea mimba si kazi ila kazi ni kulea mtoto, tafsiri yangu naamini mhenga hapo alikua anatuambia kazi pengine inaanza baada ya kupata kazi, tunaelewa jinsi gani ambavyo kupata kazi huwa ni kazi. Tena kazi yoyote, haijalishi kama ni ya upishi au ulinzi au ufundi au hata u daktari, mi nawajua madaktari kadhaa ambao nao pia wanapata shida kupata hizo kazi. Na baada ya kupata shida zote hizo wakati wa kutafuta kazi basi kazi halisi huanza pale unapoipata sasa hiyo kazi yenyewe.
    Kazi ya Zuchu ilianza kabla hajaipata hiyo kazi yenyewe na ilikua kazi haswa kuipata na Mama yake Bi Khadija Kopa ndo alikua kinara kwenye hiyo connection ambayo Binti yake alikua anaitaka ili aweze kuwa msanii wa Diamond, na hayo ndo yalikua maneno yake hasa, toka alivyorudi kutoka Nigeria kwenye mashindano ya kusaka vipaji na alikua hajielewi elewi kwa kiasi flani ni kitu gani alikua anataka kufanya na kama basi kutakua na la kufanya inabidi liwe kutoka WCB na sio sehemu nyengine yoyote na agulia nini kilitokea? WCB aliipata na kilichokua kinatakiwa baada ya hapo ni UVUMILIVU wa HALI YA JUU.
    Kwenye vitabu vyangu vyote Bi Zuhura Othman Soud ndo muandishi wangu BORA wa KIKE kuwahi kutokea katika kizazi chetu hiki cha Bongo Flava, na naweza sema hivyo wakati wowote iwe usiku au mchana, kipaji hicho ndicho kilichonifanya mimi nistaajabu sana na kutaka kuongea nae na kumuuliza yote yale ambayo nilikua nataka kumuuliza, ingawa humo humo nilikua nishajijibu kutoka kwenye historia ya familia atokayo ingawa hiyo haikutakiwa ndo iwe lazima, lazima mtoto wa Khadija Kopa na Othman Soud awe muandishi mzuri maana wazazi wake wamejaa vipaji tena na Baba yake ndo muandishi mkubwa wa nyimbo nyingi za Mama yake zilizowahi kuvuma.
    Kwa umri wake wakati mwengine hujiuliza kajuaje haya maneno yote, anajua maana yake hii? Kasikia wapi hili neno au pengine je huwa anamfikiria Mama yake (ambaye ndo kipenzi chake na ndo amemlea) wakati anaandika hii? Anaona aibu? Je huwa wanaongelea hayo mashairi wanapokua wawili tu? Mazungumzo huendaje?
    Sasa turudi kwenye kazi hiyo ya kuanza kuifanya baada ya kuipata sasa WCB, ukiachana na msoto mrefu alopitia, WCB wenyewe walikua waangalifu sana kwenye mipango ambayo ilikua ikiandaliwa kwaajili yake, yeye ndo msanii wa KWANZA wa KIKE kuwahi kutokea kwenye label kwahiyo ukichana na kipaji pia uwekezaji wa hali ya juu ulitakiwa ufanyike and boy they did that. Toka single yake ya kwanza mpaka wakati naandika hii Zuchu hakuwahi kuwa na kazi chafu, album yake ya kwanza alotoka nayo ya I am Zuchu ilikua na nyimbo 7 ambazo zote zilienda kufanya vizuri, na mpaka leo kila wimbo ambao anaachia ni wa moto, tukisema namba moja nadhani namba zake pia zinasema hivyo za kila sehemu, hakuna chumvi yoyote ndani yake.
    Vipi sasa anaweza ku maintain hii schedule yake ilojaa mambo kuanzia asubuhi mpaka usiku? Kutoka Jumatatu mpaka Jumapili? Je ana muda kwaajili yake? Ana mpenzi? Mipango yake je? Endelevu? Vipi hizi title ambazo tunampa anazichukuliaje? Kuna pressure yoyote? Na kuhusu familia je? Kuna pressure yoyote kwenye baadhi ya mambo na maamuzi? Na kwenye label nako? Watu na furaha na kazi yake?
    Kwa kuanzia msimu wetu wa TANO nadhani introduction ya Ms Zuchu inatufaa sana na yangu matumaini uta enjoy pia.
    Asante kwa support ya toka siku ya kwanza ulipoanza kutupa macho na masikio yako.
    You’re the best, nakukumbusha tu kwamba mengi yajayo yatakufurahisha In Shaa Allah maana kazi ndo kwaanza imeanza.
    Love,
    Salama
  • Zábava

Komentáře • 239

  • @kanyamaladembelesacko2812

    Zuchu kuolewa na Simba ni inshu Kali Sana kwasababu zuchu anaakili kdg, anaweza kuongea anaweza kuelezea in shot anajitaidi Sana anafaa kuwa mke wa boss, blessed.

  • @yakobomsafiri692
    @yakobomsafiri692 Před rokem +24

    Salama mungu akubariki na akutie nguvu katika kazi yako bado uturetee daimond platnumz

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 Před rokem +19

    Mimi nakupa SHADA LA MAUA na pongezi nyingi ukiwa hai kwa kazi nzuri.Naomba umlete Harmonize,Roma na Stamina

  • @salajohn6633
    @salajohn6633 Před rokem +23

    Amazing interview..Zuchu anaongea vzur sana n yuko real yaan

  • @janethmihayo6337
    @janethmihayo6337 Před rokem +17

    Nimekupendq zuchu wew mara ya kwanza leo❤️❤️❤️❤️Nakupenda

  • @charliestyles5535
    @charliestyles5535 Před rokem +21

    Bonge la interview! Please we also need interview ya salama na sky tanzania,itakuwa balaa 🙌

  • @fathiyaomar9009
    @fathiyaomar9009 Před rokem +29

    Omar aliumwa sana na alikuwa rafikiyangu sana na mara ya mwisho aliimba gofu lakini alikuwa tayari anaumwa mwenyezi mungu amsameh makosa yake na sisi pia amin

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před rokem +6

      Marehemu anasamehewaje jamani kama hakutubu angali hai ndiyo basi tena ila sisi tulio hai ndio twapaswa kutubu makosa yetu na Mungu mwenye rehema atatusamehe🤲

    • @ukhtyzainab7254
      @ukhtyzainab7254 Před rokem +1

      Aamiin

    • @alwatansharyf9294
      @alwatansharyf9294 Před rokem +3

      @@rosemahenge9071 sisi waislamu tunayo nafasi ya kuwaombea dua watu wetu waliokwishaondoka duniani ni zawadi pekee Mola wetu alotujaalia kuwatunuku watu wetu

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 Před rokem

      @@alwatansharyf9294 Kumbe!!

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před rokem +1

      @@alwatansharyf9294 kabisaa na ndiyo maana uwa wanasomewa dua marehemu

  • @yustayusuph9101
    @yustayusuph9101 Před rokem +10

    Daaa! hadi mimi nimelia story ya omari 😭😭

  • @AfiSoul103
    @AfiSoul103 Před rokem +6

    Nampenda Salama jamani.. she's natural

  • @sarahlondo7597
    @sarahlondo7597 Před rokem +27

    Was really waiting for this one😂😂❤️‍🔥❤️‍🔥

  • @diva_20162
    @diva_20162 Před 2 měsíci +1

    I like her voice jaman Mungu fundi asee ❤❤

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před rokem +3

    Huyu mtoto namkumbuka toka akiwa mdogo anakuja na MAMA yake Ushirika Club Mtwara 93.Zuchu anaimba vibaya sana.👍👍👍😁😁😁

  • @jamaalsaleem2926
    @jamaalsaleem2926 Před rokem +6

    Wakwanza kucoment🔥🔥

  • @victoriamkumbo5866
    @victoriamkumbo5866 Před rokem +1

    Zuchu nakupenda sana kwani uko lmakini hakiwewe mtotowa mtani usiyumbishwe nakupenda asante mwanangu

  • @sifasiraji2903
    @sifasiraji2903 Před rokem +10

    Zuchu kama Zuchu❤️

  • @athumanahmadramadhan9220

    Natamani napenda na nataka sana siku moja umlete Alhaji Dr Sule kwenye interview hii nzuri inayonipa elimu pia ktk maisha haya

  • @somaliandnorway
    @somaliandnorway Před rokem +16

    Zuchu i understand your pain my grand ma dies and i was not told and i was also in bording school..it hapoened the same to me and now i lost my mum 4 months ago …death is painful😢😢😢

  • @theodoreconstantine2565
    @theodoreconstantine2565 Před rokem +2

    Huyo ndo salama banna lazima akulize alaf akuchekeshe you are the best salamaa I appreciate your work .

  • @ibrahimhumanamicroscopic6515

    First time to listen zuchu voice 🥰🥰 that's was nice

  • @sporttv9449
    @sporttv9449 Před rokem +5

    Hapo pa "aaaahaa mimba".hiyo nimeipenda ha ha ha

  • @niyonkurufadhoulillah4916

    You know what ? Mimi nazani wawekezaji wawekeze kwenye club ya ma star iwe VIP yani isiw fasi ya show no iwe fasi yao ya ku enjoy tu afu kingilia kiwe ju sana kwa watu wasio kuwa marufu so then wa sani munaweza kua muna enjoy maisha yale munayo ya miss kama watu wangine wote sababu sizani kama msani kama msani ni rahisi kutoka kwenda club ao kwenye migahawa

  • @wakisawakisa5455
    @wakisawakisa5455 Před rokem +2

    ckutegemea kama Zuchu angezungumza vzr namna hii, kuna vitu vya msingi ktk tasnia yetu ya muziki na maisha kwa ujumla amevizungumza cjui kama watu wamevinote...anyways, asilimia kubwa ya wanaokuja hapo huwa wanafanya hvyo ila kuna muda hutegemei sana kwa mtu huyo but hii imenifurahisha coz ckutegemea, it's good...Love u Zuu

    • @kantai737
      @kantai737 Před rokem +1

      Zuchu is very intelligent na mature, listen to all her interviews and u will be impressed, it’s only that she has a bubbly personality and petite body so ppl think she is childish.

  • @kantai737
    @kantai737 Před rokem +12

    Finally was really waiting for this

  • @joysarah
    @joysarah Před rokem +33

    You can't get tired listening to her interviews..our smart queen 🔥🔥

  • @shuu62
    @shuu62 Před rokem +21

    Finally, it's here‼️ Keep up the great work girls 😊

  • @edgardevis8152
    @edgardevis8152 Před rokem +4

    🙌🙌🙌👌👌👌👌🙏 aunt salama respect Sana naomba umlete na marioo plz

  • @mwasitihamisi8421
    @mwasitihamisi8421 Před rokem +5

    Ur my best interviewer ❤

  • @supertal2943
    @supertal2943 Před rokem +13

    Awesome interview ever👌

  • @princessiyalicious4185
    @princessiyalicious4185 Před rokem +8

    Salama unafnya kaz nzur sna....

  • @melangachikubati9253
    @melangachikubati9253 Před rokem +4

    Salama please, if posible find time for sky worker a real jita man with wonderful voice ever, i am watching all the way from Ukerewe the sunshine ground.

  • @irenevicky4656
    @irenevicky4656 Před rokem +2

    Zuchu you are 👌👍a star lots of love❤❤❤💖💖

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před rokem +30

    Lovely interview and it's wonderful to get to know zuchu closer. Salama wewe ni bigwa wa watangazaji unajua ivyo sio? All the best 🥰

  • @emanuelkiwanuka578
    @emanuelkiwanuka578 Před rokem +6

    Asanteni nimeisubili kwa Hamu sana hii

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před rokem +13

    Big up salama. Nime enjoy interview mzuri kiswahili safi. Safi zuchu.

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir9 Před rokem +8

    Niliisumbilia sana 💋🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿♦️❤️😍

  • @mwabiawahadi6247
    @mwabiawahadi6247 Před rokem +6

    Nakukubali Sana Zuch

  • @SultanDean
    @SultanDean Před rokem +15

    I love your interviews. They are so deep and informational

  • @browngennestone5979
    @browngennestone5979 Před rokem +7

    GOOD WORK

  • @radjabreezy5564
    @radjabreezy5564 Před rokem

    🇷🇼🇷🇼🇷🇼Salama asante kwaku tuletea Mzee wetu 🇷🇼Sheikh Kipozeo Asante kwa elimu 😊😊😊 ila sijapenda huja mkirimu Sheikh sijapenda lol tumependa kipindi next Time tutapenda kumuona Sheikh Mazinge mbele ya camera love from Rwanda🇷🇼

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 Před rokem +13

    Amevaa viatu gani jamani huyu binti 😂😂😂

    • @fortunatemushi4943
      @fortunatemushi4943 Před rokem

      Yaani mpaka nimecheka! Hayo maviatu hapana hata kama fashion mmh mi hapana

  • @remybuyenzi1856
    @remybuyenzi1856 Před rokem +11

    ❤❤❤❤❤❤ nimekua naisubiri kwa ham kubwa

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 Před rokem +11

    Nimefurahi sana aisee!!🔥❤👊

  • @maliamjuma9376
    @maliamjuma9376 Před 8 měsíci +1

    nawapenda sana munguawabariki lnshallah

  • @hildahwangari4337
    @hildahwangari4337 Před rokem +1

    She is doing good congrats

  • @samilaamlli3474
    @samilaamlli3474 Před rokem +9

    ilove you zuchu

  • @florencekaranja8736
    @florencekaranja8736 Před rokem +9

    Everyday I was checking on this interview en now here it is

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před rokem +3

    Nakupenda sana salama na zuchu

  • @aishambise6529
    @aishambise6529 Před rokem +3

    Nawapenda sanaas ❤❤❤❤🙏🏻

  • @piusphilip307
    @piusphilip307 Před rokem +2

    You are really cofident, yaani huigizi, I like you

  • @chaneldici4083
    @chaneldici4083 Před rokem +6

    My salama jabir❤❤ from🇧🇮

  • @paulonjozi1638
    @paulonjozi1638 Před rokem +7

    Naitaman nakuisubr salama na young killer msodok

  • @eliassanga6907
    @eliassanga6907 Před rokem +7

    Joelnanauka na MaxRioba fanya ivi vichwa vidondoke studio vina madini

  • @marymsaid3540
    @marymsaid3540 Před rokem +7

    Nampenda sana zuchu ❤❤

    • @foodbasiccourt2028
      @foodbasiccourt2028 Před rokem +1

      Hata mimi ila kuwa na mahusiano na kiruka njia diamond i am worried for her career

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před rokem +2

    Interview nzuri sana

  • @mahfoudh.official7318

    Wa zanzibar 2 🎤🌍

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +8

    Tuli kata tamaaa kabisa eeh🙄🙄🙄😢😢

  • @jamilamasoud3800
    @jamilamasoud3800 Před rokem +10

    Baada yakuisubiri kwa muda mrefu

  • @vanessakiwia7890
    @vanessakiwia7890 Před rokem +7

    Zuchu we comedian ila ujijui wallay 🤣🤣🤣 yani mwanzo mwisho nacheka wallay

  • @mochakeno9123
    @mochakeno9123 Před rokem +7

    My own girl

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 Před rokem +7

    Hahaha ila Zuchu na ucomedian anao🤣🤣

  • @zizahissa8642
    @zizahissa8642 Před rokem +12

    I was really waiting for loooooog 🙌🙌🙌🙌❤️❤️❤️

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před rokem +6

    Mlete Diamond

    • @wardatkhamis3703
      @wardatkhamis3703 Před rokem

      Mtihani eti mungu jaman kweny balaa hili pia mung anashirikishwa??? Au ni bilisi ndio mwenyw jmn

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem +5

    Zuchu💓💓💓💓

  • @conaddaud9502
    @conaddaud9502 Před rokem +4

    🔥🔥

  • @yasintadavid1296
    @yasintadavid1296 Před rokem +1

    Thanks

  • @stevennyondo2215
    @stevennyondo2215 Před rokem +5

    Kweli mlikuwa closer hadi unamwambia kaka nimevunja ungo!!😂

  • @evanathings9554
    @evanathings9554 Před rokem +12

    I love Zuchu ❤

  • @rogersodero3897
    @rogersodero3897 Před rokem +3

    Pls bring Esha Buheti

  • @esthermusanga8118
    @esthermusanga8118 Před rokem +2

    Hongera zuchu kazi smart

  • @SAVPTVOnline
    @SAVPTVOnline Před rokem +1

    good girl

  • @jokhaaliy3720
    @jokhaaliy3720 Před rokem +2

    Music na law bora dhambi kubwa ipi

  • @winfridangoloke1916
    @winfridangoloke1916 Před rokem +5

    Hatimaeeeeee

  • @japhtv9858
    @japhtv9858 Před rokem +4

    Oya kingereza kingi bhana

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 Před rokem +3

    Tuulisubiriii sana😍😘

  • @loganpoul
    @loganpoul Před rokem +5

    Salama lakini wajua nakupenda Sana?mamangu pia anaitwa salama so nikikuona naburudika Sana kama namuona mamangu,

  • @hamisamsimbe4613
    @hamisamsimbe4613 Před rokem

    Mm mwenyewe nilimpenda sana omary kopo mungu amsamehe dhambi zake

  • @RuzoOwzy
    @RuzoOwzy Před rokem +1

    00:50
    Subira yavuta kheri.
    Haraka haraka haina baraka.
    Hizi si zinashabihiana, ziko fresh tu.
    Au kachanganya na
    Ngoja ngoja huumiza matumbo!!!

  • @mammymammy997
    @mammymammy997 Před měsícem

    Zuchu Allah amubariki nampenda sana

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Před rokem

    Go for it girl. elimu haikomi hata kina Kardashian wanafanya urembo na kasoma Sheria juu yake. Music ni era inafika mahali inaisha.

  • @user-ki9le1jy8e
    @user-ki9le1jy8e Před dnem

    Wanao uliza kuhusu uvaaj miwan sjui nguo sjui viatu jmn hili swal muwaulize mafundi huko viwandan najua wanajua walichokifanya mpk kutengez nasisi kukubali jmn wat mjaj maisha yenu mkuta wengin mnataman kupat alivyo navyo lkn ndo hivyo 😅😅

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +5

    Au bi kikalala au mzeee kikalala tuomba

  • @judithjulius5993
    @judithjulius5993 Před rokem +3

    Hivi watu wanaosemaga zuchu ana sura mbaya Wana Nini! Mbona Binti mrembo hivi

  • @modysaid8439
    @modysaid8439 Před rokem +34

    Hy zuu Mimi ni fan wako but kuna kitu naomba urekebishe,ukiwa Kwa interview usionge wakati unaulizwa swali just wait untill swali liishe ulielewe coz sio Kila interviewer ni anakupenda so anaweza kutumia weakness yako ya ku interrupt swali na ku kufanya ujibu kitu ambacho sio sawa so jaribu kuwa calm coz your a superstar my dear

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před rokem +5

    Si aongee kiswahili tu..

  • @shaluuanthony1836
    @shaluuanthony1836 Před rokem +3

    Our zuchu

  • @mwanatumusalim1558
    @mwanatumusalim1558 Před rokem +4

    Kiatu sasa zuchu 😁😁😁

  • @yusraramadhan8203
    @yusraramadhan8203 Před rokem +2

    😍👏🏿👏🏿

  • @iradukundalvs4423
    @iradukundalvs4423 Před rokem

    Vma sana

  • @mwasity2348
    @mwasity2348 Před rokem +2

    💕♥️💕💕♥️

  • @abenawemubaraka6681
    @abenawemubaraka6681 Před rokem

    Zucu y Lev u 2 am mubaraka from kanpara

  • @edwinmbugua7738
    @edwinmbugua7738 Před rokem +3

    Tnaomba Lavalava pia

  • @aishadotto3640
    @aishadotto3640 Před rokem

    Pole Zuchu

  • @chimamyatu4124
    @chimamyatu4124 Před rokem +2

    ♥️♥️♥️♥️

  • @farajavilla2379
    @farajavilla2379 Před rokem +1

    Mziki sio masiharaaa na hanstone kapewa uo mtihani wa kustahmili lkn umemshinda

  • @isihaqkerdehaqker1403
    @isihaqkerdehaqker1403 Před rokem +5

    Sauti km mama yake

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před rokem +7

    Viatu vya zuchu sijui V inatokaga kiwanda gain Ahahahahaaaa Salama mulize zuchu Na kuhusu viatu

  • @iddmohammed1086
    @iddmohammed1086 Před rokem +2

    Lafudh tamu mno ya kizanzibari baina ya wazanzibari hawa wawili.

  • @basilmwalongo6149
    @basilmwalongo6149 Před rokem

    Zuchu♥️♥️♥️

  • @jacintabati6238
    @jacintabati6238 Před rokem +10

    I LOVE ZUCHU SO MUCH.....I THINK AM OBSESSED WITH HER 😍🥰😘🤩❤❤❤

    • @robionaire
      @robionaire Před rokem +3

      Zuchu is way above Diamond league. She is gorgeous, smart and well educated. Diamond amwachie kina Hamisa na Zari. You deserve so much better Zuchu. Someone at your level.

    • @waridirose8734
      @waridirose8734 Před rokem +1

      @@robionaire I my thoughts too. Zuchu has everything to get a higher quality man. Awachane na diamond alee watoto

    • @eysherqdout8361
      @eysherqdout8361 Před rokem +1

      Same🥰

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před rokem +5

    Zuchu namkubali miaka buku... great soul, great mind I love you to death and eternity ❤️ ♥️ 💗 💓 💕