PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
Vložit
- čas přidán 6. 09. 2022
- PART 1: BAHATI BUKUKU ATAJA SIFA ZA MWANAUME ANAYEKUPENDA NA ASIYEKUPENDA | HARD TALK..
HII ni sehemu ya kwanza ya mahojiano ya Mtumishi wa Mungu Lilian Mwasha na mwimbaji wa injili, Bahati Bukuku, kwenye kipindi cha Hard Talk..
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
Love you Bahati bukuku from Nairobi Kenya
can't get tired listening to this women of God, woow... More love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️❤️❤️
Nakupenda sana Dada yangu Bahati Bukuku, nyimbo zako zote ni nzuri, na una sauti nzuri Sana! Mungu akubariki sana! na akujalie maisha marefu yenye neema na baraka tele
Mafundisho mazuri mama Bahati may God bless you more and more kutoka Kenya
Dada mimi nakupenda bure vile ulivyo na kuombea maisha marefu 🙏🙏
Haya maongezi ya Leo Kuna watu wenye ufahamu mdogo watasema Bahati Bukuku hayuko rohoni ila Mimi nimekuelewa Sana hasa hapo kwenye kulindana na kuteteana kwa wanandoa
Na sauti ya dada bahati kama mshikaji fulani hivi
❤umenijenga mimi pia ni mtumishi wa mungu sipendwi na watu ni nini Huwa kinaendelea pale
Hakika dada bahati umenena " urafiki una viwango" Exactly 👍✍🏿
Yani uko sawa
Nakupenda sana dadangu natamani unishike mkono nitoe nyimbo zangu
Mungu wangu nampenda saaana Bahati bukuku asante saaana Liliane Mwasha
Nakupenda bahati ulinifanya nipende Mungu Kwa wimbo wa Estar.
Mungu akubariki sana dada bahati kwa mafundisho mazuri
Nakupenda sana dada bahati natamani siku moja nikushike hata mkono unanitia moyo sana
Mimi ni ni Lilian jebiwott from Eldoret Kenya nasikiliza wimbo zako sana hii Niko Saudi niobee mama najuwa baba nanny mwaitekeasante Kwa maombi zenu ndani ya Kristo.
You are my favorite, my sister Bukuku you are always my mentor woman of God. Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love for both of you..very mature women full of wisdom
Sasa ninyi nyote mbona mnasauti nzur jmn nawapenda nyote 🥰🥰🥰🥰♥️♥️♥️♥️
Amen 🙏 Neema ipo Asante Sanaa bahati bukuku
Bahati bado watanzania tunakuitaji, cjawah kukuona Ila nna ndoto za kukuona bahati bukuku
Higher IQ by GOD wisdom Mama BAHATI i love you so much, this is the best interview ever by advice and wisdom...
Powerful wisdom
Amen dada Bahati kwa mafundisho yako
Asante sana watumishi was mungu maneno yenu inanigusa moyoni😭😭🇨🇩
Bahati ameeleza kabisa jinsi Lilian yuko. She's a special child. Nilianza kuangalia hiki kipindi hivi karibuni na nina penda ninacho kiona na kusikia. I love this special show with a passion. Mungu aendelee kukuongezea hekima dada Mwasha.
Mungu hakika anao watu anaojivunia nanyi ni miongoni mwao
Ubarikiwe mtumushi wangu Mungu ulicho kisema ni kweli Adui warafiki yangu ni Adui yangu
Asante Sana watumishi wa Mungu, dada Bahati ubarikiwe, mtu anayekupenda atakulinda🤚
Mbarikiwe sana wapendwa nimefurahi hii hapa hela kaongeze libwata
Nakupenda Mama yangu bahati bukuku❤️❤️❤️ na nakupenda mama yangu Lilian.. Mungu wa mbinguni awatunze.🙏🙏🙏
amen
Huyu Dada kwani kila kitu a naongea kwa ndimi? Bahati is wise I love her
❤❤❤Bahat unaimba dada❤❤wimbo wako. unapojaribiwa usitende dhambi❤❤❤❤❤❤❤❤
Wow leta huyu mwanadada mara na mara tena. Mafunzo yake ni mazuri sana 😍🙏
Dada bahati nakupenda sana
Mungu tu akubariki dadayangu bahati bukuku nakupenda sana ila naamini tu sikumoja nitakuona ubarikiwe na Bwana.
Mm kama ndugu yangu hawongeyi na wew hata mm siwongeyi na wew kabisa 💯💯💯💯💯💯💯💯💯🤲🤝🙏
Nabarikiwa sna&nyimbo za huyu dada Bahat Bukuku nikiwa&mawazo,uchungu majonz huwa napenda kuckiliza nyimbo zke
Kabisa yani nyimbo zake zinabariki mno mimi hizi interview narudia rudia maana nikiwa na mawazo tuu huaga nakuja kumsikiliza bahati bukuku moyo unarudi sawa
Asante Dada bahati nimejifunza kitu hapo nashukuru sanaaa mungu akutunze🙏
🥰🥰🥰 Da Lily tuletee Christina Shusho
Mungu akubaliki Mama Bahati.
Mafundisho haya ni 🔥🔥🔥
Nyimbo zako nisababu mimi kutafuta mungu hadi sasa.Barikiwa sana kutoka 254.
Yes kweli kabisa
kiukweli mama Bahati nyimbo zako zinanifulahisha sana.sauti yako basi kila akusikilizae lazima aipend🙏🙏mungu azid kukubaliki sana.
Mungu akubariki sana dada bahati
Nashukuru sana mafundisho mazuri nikiwa 🇰🇪
Amina wadada wamama wazur tunarabikiwa mno
Natamani hii iwafikie wanaume wote na marafiki wote
Mafundisho mazur saana dada yangu Nimekuelewa Ahsante Mungu akuzidishie
Dada bahati nimejua juzi juzi tu kumbe mdogo wangu ata kama ni mwaka mmoja nampitia bado ni mdogo wangu, ila nampenda adi basi nyimbo zake karibu zote nimeziloard kwanza wimbo unao nibamba zaidi ni ule (lazima usamehe) wapili ni (Mungu hana mshauri), duuu hizi nyimbo mbili aseee😌😌😌😌
Ni kweli kabisa atakuwa kakuchoka.Nimependa
Nimeumizwa pia.. Nimepokea isee Nina stori kubwa juu ya maisha yngu
Wau l love this your a woman of God
Nakupeda sana bi bahati Kwa mawaitha yako mema huwa yananijenga sana,,Kutoka Kenya
Limbwata.akaboresha....Gumzo tamu. Kweli lenye mafunzo.... Love you mtumish Bahati.. From Mombasa...Kenya
Nashukuru sana kwa mafundisho muhimu na yakupendeza na karibuni sana Mombasa
i love this woman of God... much love from Kenya
AMEN AMEN AMEN
Asante sana
Amen !! Watumishi wa Mungu!! Mnayonena ni kweli
Mashaallah mafundisho mazuri
Naupenda sana ushauri wako dada bahati bukuku
Mama bahati nashukuru kwa mafundisho mazuri....kutoka kenya
Ameen imenijenga sana iyo ya hasira uwa Mungu anakutaka iache....na iyo ya aduhi ni mtu wako wa karibu kweli
Watumishi niliowahi kuwasikia wakihojiwa na wakajibu kwa ufahamu na maarifa ya juu baadhi ni hawa
- josephat gwajima ( ufufuo na uzima)
- bahati bukuku
- christopher mwakasege( huduma ya mana)
- Dionis mtalemwa( ECG)
- TD jakes
kweli,kuna mwengine Josephat Mwingira wa Efatha nae kichwa.
Mtalemwa mmm
@@cmaxfrans4654 Josephat Mwigira kuna sehemu anatumia mabavu
Umemsahau na Rozi mhando.
Kweli
Mubarikiwe sana watumishi wa mungu nimelewa sana mafudisho yenu
Barikiwa sana mamaangu nakupenda sana oh!🙏🙏🙏🇨🇩
Sema kweli Dadaangu. Semaaaaa
Cjawah kukuchoka bahati❤️❤️❤️mungu amekuwekea karama ya ajabu🥂
Umeongea kweli da Bahati ,tatizo wanaume wengi hawana kauli
Mungu akubariki Dada bahat nakupenda sana
Nabarikiwa na mwandishi anapo nena kwa lunga!!!
Admired u all dearly sisters; najifunza vingi sana kwenu
Ndah nimebarikiwa Sana jaman
Can't be tired of u guys.God bless you
Dada lilian mungu akubaliki pia nakupenda pia
Daaaah Dada Bahati💞💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕
Much love from Mombasa Kenya ❤️ mamangu Bahati.. we love you very very much
Mama nyimbo zako zimenbariki ba kunifundisha mungu akueke mahali ulipojichagulia😭😩 kutoka kenya
Nyimbo zako n nzuri sana na mafunzo nkiongezea sauti tamu mungu akuzidishie
Dada Lilian Mwasha kipekee nakukubali alafu nakupenda kitu kingine ngoja niache mda huu ntakufata dm
Nimekuelewa da bahati sana kuna mahali nilipita kwajili ya rafikiangu kuwa na urafiki na adui wangu badaye rafiki naye akawa adui
Nakupenda dada bahati kwa moyo wangu wote.
Powerful women of God🙏🙏
Amina
Nice one, really a hard talk. Bravoo
Ipo sawa kabisa
I love this woman
Bahati napenda sana sana wimbo wako wa Waraka wa Hamani.
Huwa sichoki kuusikiliza.
Nimeipenda, barikiwa Sana dada
Nashukuru sana dadaangu mzuri nmejifunza kitu kutoka kwako
You both r blessed ooh my God.
Barikiwa pastor Bahati Bukuku 🌹🌹
Congratulations ak umenipigisha hatua nyengine dada mungu akubariki ungekuwa wa maana sana
Mwasha sister, unatuwezea
Sijawai sikiliza hiki kipnd kwmda wote huu ndokwamz leo😍😍😍😍
I love u dada mwasha jamani❤️
I needed this .. aki am really blessed
Asante San
Bahati Bukuku uko na very intelligent,
Bahati bukuku my favorite 🇰🇪🇰🇪
Nawapenda san mungu awabalikii san 🥰🥰🥰🥰🙏🤲🤝✍
Bahati bukuku you are so clever be blessed
Love you Bahati
Napenda sauti ya bahati 🤩🤩
sana saaanaaa!!!sauti yake ilinifanya awe muimbaji wa kwanza niliempenda sana.
@@nsengumuremyisylvester4950 umeona eeeh Yani dada sauti alibarikiwa na mungu aisee!!
Love u sister bahati,,,,,,ila mazagazaga ya yezebeli hayo yatakutupia jehanum ata kama umehudumia watu wengi
Mbarikiwe sana nawapenda❤