ROSE MUHANDO: ''NIMEPITA PAGUMU SANA, NILIISHI KAMA MTUMWA, NIMEBAKI MIFUPA, BAHATI BUKUKU,WAONGO''

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 01. 2021
  • #Mchezakwao #Rosemuhando #Startv
    Fatilia mahojiano haya yakwake Rose Muhando kupitia kipindi cha Mchezakwao ambapo ameweka wazi mikasa na mazito yote aliyopitia katika maisha yake mpaka hapa leo alipo akiwa amefanikiwa kusimama tena.

Komentáře • 656

  • @costanciamwita7532
    @costanciamwita7532 Před 3 lety +328

    Kama unaamini Rose atainuka mara 7 zaidi gonga like hapa

  • @benjaminchristopher8766
    @benjaminchristopher8766 Před 3 lety +134

    Kama unampenda Mungu wako naunaamini kuwa ndie mtetezi wetu katika magumu yote gonga like hapa👍

  • @jannyrose5367
    @jannyrose5367 Před 3 lety +46

    Tunakupenda Sana Rose
    Hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Před rokem +2

    Asante sana Rose nimebarikiwa sana na maelezo yako kwamba si chini ya miaka miwili ulikaa chini kijifunza neno la Mingu. Ni ukweli kwamba bila kulijua neno la Mungu kwa muimbaji yoyote wa injili si rahisi kujiendesha kwa maana ya kutunga mwenywe na kuimba mwenywe na jumbe nzito. Hongera sana Rose

  • @gipsonmosha1857
    @gipsonmosha1857 Před 3 lety +20

    Ase jamaa ni bonge la mwandishi nimekubali style yako ya kuhoji... Kama umemuelewa mshakj gonga like. Rose ur the best😍💕

  • @goldenbazaars
    @goldenbazaars Před 3 lety +30

    Rose muhando stands in the heart of Kenyans, twampenda Roosi sana sana 😘❤

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 Před 3 lety +22

    Mamamaaaaaaaaaaaa huyu ndie rose muhando nimpendae hajui kumung'unya big up Sana rose ww ni balaa la shetani

  • @steventhomas672
    @steventhomas672 Před 3 lety +10

    Huyu mama hafeki,real woman,real voice,real praise

  • @Edith-ni4dy
    @Edith-ni4dy Před 4 měsíci +1

    Rose nakupenda sana wewe ni mwanamke jasiri sana your my mentor in music ata kama sijawai toa wimbo kipaji ninacho na wakati ukifike nitaimba Mungu akutiie nguvu sana Kwa huduma nitafurahia sana siku Ile nitakupata macho God bless you

  • @claudiaedward3899
    @claudiaedward3899 Před 3 lety +6

    Dada yangu Rose mungu akulinde kwa damu yake iliyomwagika msalaban tuendelee kufanya kazi yake ubarikiwe

  • @bishopjustusngota4417
    @bishopjustusngota4417 Před 3 lety +2

    Nimefurahishwa na mazungumzo ya Rose kutoka ulipo toka kwa uislamu mpaka vile meneja wako alivyo ku tesa . Nafurahishwa vile haukufa moyo na umesimama wima kwa wokovu. Wewe ndiwe mwimbaji mashuhuri wa kike katika Afrika mashariki.Wimbo wako wa uwe macho ulini bariki Sana .Nilikua miongoni mwa watu wa Kwanza kuinunua Kama mkenya.Mungu aku bariki zaidi .

    • @charlottenjangali3363
      @charlottenjangali3363 Před 3 lety

      Nimefurahi sana to know you Rose i loved your music many years ago. Ubarikiwe sana wacthing from Italy

  • @beatriceamagove7592
    @beatriceamagove7592 Před 3 lety +5

    Hello hello nakupenda Sana roce muhando God bless you Niko hapa Kenya nimekupata vinzuri Sana mungu awape nguvu yake

  • @jeps.e4305
    @jeps.e4305 Před 3 lety +20

    I was very happy to see Rose back on her feet..Rose much love from Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪.
    Tunakupenda Maami

  • @rosewanda2484
    @rosewanda2484 Před 3 lety +73

    So sorry Rose 😭. I'm glad I never believed those drug stories and happy that God has restored you. Much love from Kenya

  • @phylisjacob5701
    @phylisjacob5701 Před 3 lety +14

    Hongera mama ulishida vita Kali kweli

  • @shaletmzee9748
    @shaletmzee9748 Před 3 lety +4

    Rose muhando napenda sana nyimbo zako, Mungu akubariki sana na akutangulie kwa kila jambo.

  • @noelolairivan6450
    @noelolairivan6450 Před 3 lety +3

    Kama MUNGU akisema ndiyo nani wakusema siyo? Love so much Rose GOD continue to bless you more and more

  • @hildanyambura8703
    @hildanyambura8703 Před 3 lety +11

    Am so encouraged by Rose. God bless her so much.

  • @rosemuhazi9542
    @rosemuhazi9542 Před 3 lety +10

    Ukweli kabisa my sweetheart uwezi tumikia mabwana wa wali be blessed 🙏

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 Před 3 lety +10

    She is too genius
    Hakika kusudi la Mungu haliwez zuilika, asante Mungu

  • @kerenhappuclamotechmid7843

    Yesu christo aliku chagua zamani tangia mtoto ubarikiwe da Rose❤❤

  • @winniengugi4559
    @winniengugi4559 Před 3 lety +3

    I love this Woman. She is full of wisdom she is called of God. No one can thwart Gods plan in her life. When she was in the hospital here in Kenya l had a burden to pray for her. Moyo wangu uliumia.. kama kanisa la Bwana niliumia... sasa hivi nikona venye amenenepa kweli Mungu ni Mungu! No place for arguement. Winnie Kenya

  • @pastormarymigot1509
    @pastormarymigot1509 Před 3 lety +4

    Songa mbele na injili ya Yesu mama Rose Muhando I am so happy to see that you're back on your feet, may God be glorified forever with love from NBO Kenya

  • @Lee_Stanley
    @Lee_Stanley Před 3 lety +8

    My sister Rose 🌹 you such a gifted singer from God. Your voice whenever I listen to it,my soul feels fresh.Whenever I feel low,your songs encourage me. May God bless you and give you long live for you change many lives🙏

  • @samwellwiza466
    @samwellwiza466 Před 3 lety +8

    Huyu mama ni mnyenyekevu sana na hakika aliamua kufuata Yesu....ukimsikiliza Rose utagundua kuna mambo mengi tuliyoyasikia tumedanganywa sana kuhusu Rose.....

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 Před 3 lety +6

    Barikiwa rose . I love and respect you soo much. Nyimbo zako nilikuwa nasisikiza nikiwa shule ya upili maana maisha yalikuwa mazito mno.. hata kama ulibadilisha roho moja , tayari kubadilisha na kutafuta kondoo mmoja wa Mungu kupitia kwa njia ya uimbaji hio tosha, kama vile mtakatifu Augustina alivyo badili miendo yake kupitia njia ya uimbaji na kusema ,alichelewa kumjua Mungu , zidi kutamba mama..

    • @masungadonard9000
      @masungadonard9000 Před 3 lety

      Rose nakupa axlimia 💯 ubarikiwe sana mungu amtie nguvu

  • @daisykyungu3109
    @daisykyungu3109 Před 3 lety +9

    Rose nakuombea tu kwa Mungu,akuongezee Kibali zaidi kwa Huduma yako,nakupenda sana Rose,na Mungu akuongezee miaka ya kuishi Duniani 😍#TRM

    • @EliMsuya
      @EliMsuya Před 3 lety +2

      #TRM tuko mbele aisee

  • @janewanjy7598
    @janewanjy7598 Před 3 lety +8

    Wow.. sauti ni ile ile. Welcome back Rose Muhando

  • @virginianganga2556
    @virginianganga2556 Před 3 lety +2

    Our God is able, kweli Dada Rose tumemuona Mungu kupitia mapito yako, sisi kama wanadamu hatungekuelewa ni Mungu

  • @moraaontiri4082
    @moraaontiri4082 Před 3 lety +23

    May God bless you dear sister we love you rose from Kenya 🇰🇪

  • @laurianmwita4503
    @laurianmwita4503 Před 3 lety +1

    Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, Rose kuimba umebarikiwa, nyimbo zako zá Kwanza zilkuwa zinabeba ujumbe kuliko nyimbo nyingi na wewe ni Genius kweli sio uongo. God bless you.

  • @elyseebyukusenge2597
    @elyseebyukusenge2597 Před 3 lety +1

    Mungu asifiwe sana kwa kukuwezesha kumtumikia tena. Nguvu zake zikufurike Mtumishi Rose Muhando. Tunakupenda sana na nyimbo zako pia

  • @ashleypetertv5894
    @ashleypetertv5894 Před 3 lety +14

    I enjoyed the interview and learnt alot..God blesss you Rose.

  • @apostlejohnmakhoha3742
    @apostlejohnmakhoha3742 Před 3 lety +1

    I like this rose,nimeupokea ushuhuda wako,unainua imani sana.mungu akubariki zaidi

  • @josephinem4324
    @josephinem4324 Před 3 lety +1

    Safari ya ukristo ina mapito makuu. Maadui wakakuwekea vigogo, ukavivuka, sauti ikabaki ile lie, Asante Mungu. Rose, Mungu hamwachi mja wake, akushike mkono utimize mahitaji yako. Hugs from London.

  • @husseinjohn532
    @husseinjohn532 Před rokem

    Dada Roza MUNGU akubariki unajuwa MUNGU akitaka kuku inuwa lazima upitiye mahisha ya jangwa nahayo ndo yalikuwa mahisha yako ya jangwa .unanibariki sanaaaaaa MUNGU azidi kukuinuwa viwango hadi viwango amen

  • @geofreysenka7091
    @geofreysenka7091 Před 3 lety +7

    Huyu dada nyimbo yake ya kwanza ilinifanya niwe na hofu ya Mungu Sana 2004 nikiwa mitaani ile albam mteule huwa napenda kuisikiliza Sana paka sasa

  • @anjelinamukabane664
    @anjelinamukabane664 Před rokem +1

    Rose mungu anakupenda sana zidi kumutumikia siku zote za maisha yako God bless u all the time 🙏🙏🙏

  • @cuhgds4320
    @cuhgds4320 Před 3 lety +7

    Apostle Dunstan Maboya hello we love you from Kenya of Apostle Mukadi wa Mukadi ameni jameni living in the usa now, hello Rossy amazing sister God bless.

  • @raphaelotieno888
    @raphaelotieno888 Před 3 lety +5

    Glory to God for uplifting Rose's life and restoring her strength and golden voice. May she soar higher in God's ministry. She is back much wiser.

  • @ninayamat8213
    @ninayamat8213 Před 3 lety +3

    Pole sana rose umepita pagumu mnoooo hakika Mungu atukuzwe kwa kukuvusha ktk mapito yako

  • @paulondiek4355
    @paulondiek4355 Před 2 lety +2

    Rose you are just amazing Angel you are my best gospel artist may God continue to uplift you

  • @fredmwanzu9105
    @fredmwanzu9105 Před 3 lety +4

    Angelic voice! Rose Muhando is the best!

  • @mardotakataka3182
    @mardotakataka3182 Před 3 lety +2

    Rosa ubarikiwe sana nyimbo zako zina onya sana miyo zawatu . Mimi apa Congo Kinshasa

  • @paulowiliamusilayo2717
    @paulowiliamusilayo2717 Před 3 lety +3

    YESU yupo ndugu zangu waislamu YESU NI MWANA WA MUNGU mtabisha mpaka lini

    • @dottnatt7110
      @dottnatt7110 Před 3 lety

      Mbona mnatushangaza Yesu ni mungu au mwana wa Mungu?

  • @karimimiriti3827
    @karimimiriti3827 Před 3 lety +2

    Rose muhando nakupeda tuu bure
    Kwaza hiyo album ya kwaza niliisikiliza nakulia kwi kwi kwi 😭😭 nikijiangalia
    Mungu akubariki tena sana

  • @happygamnazi8435
    @happygamnazi8435 Před 3 lety +1

    Maneno ya nguvu
    1.sijawai kukata tamaa
    2.kuangua na kuinuka na kuendelea
    3.karama ya mtu ipo mikononi mwake
    4.hatuishi kwa rumasi tunaishi kwa uharisia
    5.mari upotea sio kupawa💪💪💪
    6.mtu Ni Nani na Mungu Ni Nani🙏🙏
    Nampenda Sana rose jamani mungu ni mwaminifu Sana am in love with u♥️♥️💪🛐

  • @yeremiarichard4755
    @yeremiarichard4755 Před 3 lety +1

    Hongera sana Rose na wale waliokutia nguvu wabarikiwe sana na ubarikiwe sana ulinzi wa Mungu uendelee kuwa juu yako

  • @jamshedpurwambuh9327
    @jamshedpurwambuh9327 Před 3 lety +2

    Rose Muhando may God bless and maintain you. Ata kama madui wanakupiga Mungu yuko.

  • @thomasmuyya7221
    @thomasmuyya7221 Před 3 lety +1

    Rose Mungu akubariki. Chunga sana watu wa Media watakutumia kukuza channels zao. Simamia wito wako wa kumtangaza Mungu kwa Injili ya Wokovu kupitia sanaa ya kuimba. Muziki ni nyenzo wala sio taaluma bali Mungu alikuita, amekutenga kuwa Mtumishi wake. Nadhani sasa mahojiano ya kuchokonoa mapito yako. Hawa walikuwa wamekaa kimya wakati unanyanyaswa. Mungu akupe hekima utumize ahdi. Mambo yako usiwape wanahabari kazi yao kutafuta mambo ya watu. Wasije kukuingiza kwenye mitego ya adui maana hutumia tasnia ya habari. Nashukuru mahojiano haya umesimamia kweli. Nilitamani kukuona tangu 2010 wakati unapita katika majaribu nimebaki kukuombea. Nafurahi Mungu amekuinua. Zidisha muda wako na Bwana Yesu Kristo uihubiri Injili. Omba Injili kama ulivyoanza.

  • @michaelwilliam7313
    @michaelwilliam7313 Před 3 lety +4

    Rosi nakupenda Sana, Mungu aendelee kukuinia juu zaidi, Kama mnaniunga mkono like hapa.

  • @fridahkarimi5510
    @fridahkarimi5510 Před 3 lety +4

    🇰🇪mom we love you keep going you're unstoppable🔥🔥🔥

  • @jmkeys1892
    @jmkeys1892 Před 2 lety +2

    You have encouraged me Rose. Through your testimony I know in my heart how to support my daughter to her God given gift of loving street children and building a home to support them. God has spoken to me in your testimony

  • @GETERI
    @GETERI Před 3 lety +9

    rose muhando my all time favorite artist. since 2005

  • @roselynenzaichama3501
    @roselynenzaichama3501 Před 3 lety +8

    May you live long Rose and continue serving the Living God

  • @lydiangutuku
    @lydiangutuku Před 3 lety +3

    Long life Mama..much love from kenya😍😍

  • @iswinfred8631
    @iswinfred8631 Před 3 lety +5

    Am so sorry Rose for what you went through 😭😭😭May God deal with those evils... I still love your songs till the date much love from 🇰🇪🇰🇪

  • @annmwangi7239
    @annmwangi7239 Před 3 lety +20

    Rose naitwa Ann from Kenya.. Mungu alie Mbinguni akubariki sku zote.. Tunakupenda na hua unatubariki kwa njia zote..

    • @lucymutisya8287
      @lucymutisya8287 Před 3 lety

      Rose mungu atakuinua na akurundishie yote ilikuliwa na nzike

    • @richardomare3764
      @richardomare3764 Před 2 lety

      Rose nakupenda no naked nyimbo na Saudi yahoo
      Kwa heshima niruhusu uje. kwangu

  • @leonardanzurunipombi2499
    @leonardanzurunipombi2499 Před 3 lety +1

    Wooow nakupenda sana Dada rose we ni jeshi kubwa Mungu akulinde dada

  • @joseymanyara6282
    @joseymanyara6282 Před 3 lety +6

    About marriage I concur with her completely.. She is indeed a genius

  • @winfredangastin2117
    @winfredangastin2117 Před 2 lety

    Dada Rose wewe tayari no shujaa wa imani, nashukuru Mungu kwako we shuhuda zako zinabariki zinainua zinatia nguvu, Dada niwakati wako sasa maana umepumilia hayo yote had I yakapita so ni wakati wako sasa Mungu akupanguze machozi, mwaka was 2014 ndio mwaka niliokuona December kwa crusade chini y mtumishi wa Mungu Pius muiru Uhuru park hapa Nairobi na kutoka hapo watoto wangu wakakupenda sana n kupenda kundazi kupitia CD yko y kwanza mteule uwe macho so I wish one day will meet u thanku, I'm Winnie Nairobi Kenya stay calm

  • @amosbarchok3570
    @amosbarchok3570 Před 3 lety +5

    yaani i need to be recharged like you mama.... i like your energy.. God does not give us what we cannot handle... he give us the energy to carry on....its evident that he walked with you all along for you to believe and others to trust in your God... may you be recharged over and over again

    • @goshenuniforms4174
      @goshenuniforms4174 Před 2 lety

      As long uliimba shujaa wa msalaba, 🥰🥰🥰you are heaven legend. God's own. I pit walio kudhulumu. Your battles are Lords. Sit back and just watch at them.

  • @naomijebichii6898
    @naomijebichii6898 Před 3 lety +5

    Lots of love from Kenya

  • @sambonangamasawe5230
    @sambonangamasawe5230 Před 3 lety

    Nimeshukuru sana Rose kwa kueleza kishujaa yaliyokupata. Pole sana. Unayozungumza hapo no ukweli mtupu, endelea kuhubiri na kumshuhudia Kristu mfufuka. Mungu akubariki sana. Nyimbo zako zinanijenga sana kiimani. Keep it up Rose!

  • @moureenChemtaikalenjin
    @moureenChemtaikalenjin Před 3 lety +3

    Mungu Atabaki kuwa mungu, I love you rose

    • @elizabetjulias8315
      @elizabetjulias8315 Před 3 lety

      Kweli tumedanganywa uyu dada wewe ni mtumishi wamungu aswa???? Jifiche mbawani mwa mungu siku zote za maisha yako ninakupenda sna ujamkana mungu wako kabisa ao walio tutenda Ayo yote awajui fimbo ya mungu we subir na uwone

  • @kambuatitus896
    @kambuatitus896 Před 3 lety +6

    Wow! Am blessed and encouraged... From 254....

  • @esperanzawanjiru2435
    @esperanzawanjiru2435 Před 3 lety

    Rose was famous with her gospel so definately shetani hakufurahi no wonder ana mu test. aombe sana na akwamilie kwa neno la Mungu. Thanks to pastor Nganga from kenya for delivering her.

  • @georgemwapela1654
    @georgemwapela1654 Před 3 lety +1

    Nimekupenda Sister Rose 🌹 kwa ujasiri wako...Hata Kama nitaanguka Mara kadhaa lakini nitaamka na kuendelea mbele.

  • @G.S985
    @G.S985 Před 2 lety

    Hongera mwandishi nimependa ulivyo muhoji Da Rose,Mungu endelea kusimama Da Rose watu !

  • @ShikumwariWaMuthamaki
    @ShikumwariWaMuthamaki Před 3 lety

    Nimependa vile Rose amenena.Salute.nimependa hekima iliyo ndani yake na bila Shaka mwenye hana hekima ya Mungu hawezi akaelewa kamwe.Rose,👍👍💪💕

  • @cantcan1644
    @cantcan1644 Před 3 lety +7

    Nakupenda yesuuuuuuu nakupenda sana yesuu wangu

  • @dennismwenje7041
    @dennismwenje7041 Před 3 lety +2

    Nakupenda sana mama yetu Rose muhando Maybe God bless more and more

  • @julietlema5048
    @julietlema5048 Před 3 lety +1

    Hongera Rose-Ufafanuzi wa madhabahu umeeleweka vizuri .Mtu huwezi kutumika mabwana wawili-Songa songa mwanamke songa -sky will be the limit🙏🙏

  • @sheilamunuve1754
    @sheilamunuve1754 Před rokem

    my sis Rose mungu akubariki Sana na hakutie ngufu nakupenda Sana na ninaminia mungu anakupenda zaidi yangu nyimbo zako unibariki Sana . Simba wa kike barikiwa Sana .ni Sheila from kenya

  • @jephtebanza2931
    @jephtebanza2931 Před 3 lety +2

    Je vous dis vraiment j'aime cette sœur. Nampenda kweli uyu dada rose, na mungu ata saidiya nitamuita RDC.

  • @emanuelkikuo9519
    @emanuelkikuo9519 Před 3 lety +1

    Hongera Dada Rose mungu akuinue zaidi na ufike mbali zaidi

  • @wenceslausmapendo8179
    @wenceslausmapendo8179 Před 3 lety +3

    Kwa kweli mazungumzo haya yamenijenga Sana kiimani. Pia nimeweza kuilewa Biblia has a nikimwangalia Mtume Paulo. Aliitwa ktk Huduma kama Rose, alipita magumu mengi, ukianzia sura ya 20 ya Matendo ya Mtume hadi lwisho wake sura ya 28.
    Dada Rose, unayo Huduma kubwa Sana, bado Yesu anahitaji kuona makubwa kutoka kwako. Nakuombea Mungu akupe hekima usimame na ufanye KAZI ya Mungu. Haggai 2:6-9 uwe mstari wako. Ee Mungu umsimamishe mtumishi wako. Kududi lako litimie katika Jina LA Yesu Kristu. Amina

  • @henesysolomon8196
    @henesysolomon8196 Před 3 lety +2

    nakupenda sana dada rose, mungu azidi kukuinua zaidi

  • @annsmall5110
    @annsmall5110 Před rokem +1

    This woman is just blessed... nothing more...God loves her..and we love you

  • @sayunyonah4614
    @sayunyonah4614 Před 3 lety +4

    Da Rose hv unaweza kucheza ule wimbo wa AMINA kweny albam ya Nibebe maana saiv umekuwa kabonge, kipind kile ulikuwa kamodo na ulikuwa unajiachia mpaka raha, na wimbo huo nauangalia sana nikiwa stress, Yote tisa kumi ubarikiwe saana

  • @diannvictoria
    @diannvictoria Před 3 lety

    Sister Rose, Nakuitaga Queen.. Nakupenda Sana.. Ile Album Yako Ya NIMEKUKIMBILIA Ilinifanya Nisiache Kusimama Na Wewe.. Zidi Kuyanyoosha Mapito Mama.. Napenda Uende Mbinguni, Umeweka Kitu Kizuri Kwangu Kwa Jina La YESU Uishi Dada! 💚

  • @florencenanzai3113
    @florencenanzai3113 Před 3 lety +10

    I tap into this healing Rose

  • @esthernduta5112
    @esthernduta5112 Před 3 lety +4

    Thank you so much Rose I didn't know am an altar.My marriage broke but you have given me the answer

  • @electineokoyoh8627
    @electineokoyoh8627 Před 2 lety +4

    Rose wewe si wakawaida napenda unapoimba bibilia tu. Mm napenda wewe sana haijalishi mapito yote hii ndio safari ya wokovu.

  • @graceisasi6348
    @graceisasi6348 Před 3 lety

    Rose uko vizuri dadaangu nimejifunza mengi kutoka kwako Natuzo umezielekeza sehem sahihi Ubarikiwe

  • @BOBJONES-cx2ht
    @BOBJONES-cx2ht Před 3 lety +1

    One thing i know in this world is : 1. God will always be God no matter what, 2. when God wants to use you to touch lives of people no one can stop it, Sister Rose your Testimony is grate may the almighty use you through out the world . we love you and Uganda loves you , East Africa loves you and above all God loves you ........ Amen

  • @dioniztrasis5952
    @dioniztrasis5952 Před 3 lety

    Rose muhando nakupenda sana tena sana katika Bwana Yesu nakuombea Bwana Yesu azidi kukuinua wewe utabaki kuwa simba hatawafanyeje. From Muleba mujini.

  • @joseymanyara6282
    @joseymanyara6282 Před 3 lety +1

    Yaani natamani sana siku moja nikuone rose ..we seat and have a long conversation about God ,your trials and life in general. I love you so much from Kenya

  • @dorryfinebarongo394
    @dorryfinebarongo394 Před rokem +1

    A'm sorry Rose for what you went through 😭 in life.you have encouraged me so much,may God bless 🙏 you sister and keep on in praising God through singing.

  • @ndiritukahoe565
    @ndiritukahoe565 Před 3 lety +4

    Glory to God a new beginning in the name of Jesus u are blessed Rose.

  • @beautyibrahim8428
    @beautyibrahim8428 Před 3 lety +1

    Nimependa apo ulivyoelezea kuhusu wasanii kuhusu kuachana na ndoa zao aiseee umefafanuaaa vizuriii sanaaa wakuelewa ataelewaaa your genious👏👏👏

  • @janemkala1822
    @janemkala1822 Před 3 lety +5

    This is encouraging...Rose when you were hospitalized in Kenya I also really prayed for you dada...God is great!!🙏🙏

  • @christinasylivester5407
    @christinasylivester5407 Před 3 lety +4

    Wagogo wengi wanapenda baba zao Sana hongereni Sana ndugu zangu

  • @meshacknchingo5651
    @meshacknchingo5651 Před rokem

    Rose muhando kiukweli huwa unanibariki mno naposikiliza nyimbo zako mungu was mbinguni akufunike kwa damu take naitwa meshack John Nchingo kutoka Itigi Singida

  • @SJL1v37
    @SJL1v37 Před 3 lety +7

    God bless you Ms Rose. Your Grace and destiny is great.. continue to serve God. ❤💕🎷🎷

    • @winniemueni6928
      @winniemueni6928 Před 3 lety

      You are a living testimony Rose mungu akubariki na akuinue...nyimbo zako huwa zanitia moyo sana.

  • @ruthmosesmasanja6502
    @ruthmosesmasanja6502 Před rokem

    Mti wenye matunda mema hupopolewa mawe, Rose ni mti ulio na matunda mema wakati wote ndiyo maana yalimpata hayo. Mungu hawaachi walio wake, Rose kapaishwa zaidi. Mungu ni mwema. Tuache roho mbaya wanadamu tupendane

  • @annaakoth9974
    @annaakoth9974 Před 3 lety

    So much love from Kenya Rose. May God sustain, uplift and restore you.

  • @yahabibiyahayatiyahayuni7339

    Rose Muhando the Queen of gospel music Mungu akuzidushie nyimbo zako huwa zinatubariki sana

  • @beatricetuei3397
    @beatricetuei3397 Před 3 lety +1

    Imani kubwa Sana ,kubadilika kuwa mkristo na anaendelea kumpenda yesu zaidi,Mungu akuinue uende kiwango kingine ya juu zaidi

    • @adhiamboviolet8723
      @adhiamboviolet8723 Před 3 lety

      Kwani you tube iko aje mara rose aliksakufa mara ako uwai I don't understand but I hope she is a life ithank God

  • @sharonkarikonyi6569
    @sharonkarikonyi6569 Před 3 lety +1

    Hii ni mara ya pili kusikia, Glory to God keep going,🙏🙏🙏,may God lead you.