CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 08. 2022
  • CHRISTINA SHUSHO AJIJUTIA KUOLEWA AKIWA NA MIAKA 19. ASIMULIA MAGUMU NA MAZITO ALIYOPITIA

Komentáře • 508

  • @jekelasimoni8950
    @jekelasimoni8950 Před 3 měsíci +31

    Iko njia ionekanayo njema machon pa watu but ni njia za mauti!!! Mungu tusaidie

  • @carrennyangwara5541
    @carrennyangwara5541 Před 2 měsíci +2

    Christina Shusho..you're a blessing..keep praising God...the eagle doesn't do it's fights on the ground,but high above,where the enemy won't be able to continue fighting,but will definitely give up and the eagle soars higher..the Lord bless your ministry.

  • @MercyKangethe-fz7zo
    @MercyKangethe-fz7zo Před 2 měsíci +2

    This was a most informative message. Christina has brought in a clearer angle of where she is coming from and where she is headed to. She is a woman of God with a clear vision and nothing will stop her. I admire her eloquence and great sense of duty. May God bless you Christina, and may he give you all the comfort and favour you may require to carry on with the Lord's mission. Lots of ❤️ from 🇰🇪.

  • @rhodakerubo2850
    @rhodakerubo2850 Před 2 měsíci +3

    Shida hapa Christina amezungumza kizungu. Angesimulia kwa kiswahili, watanzania wangemuelewa, wasingemhukumu. Mume alishamkataa na kumrudisha kijijini kwa wazazi wake mwaka 2010.
    Christina akarudi Dar akaanza maisha mapya ya kumtumikia Mungu asilimia mia moja, BILA NDOA SABABU MUME AMEMKATAA!
    Miaka yote hiyo tangu 2010 amekaa kimya hamjui maisha yake kiundani. Leo kaamua kutoa ushuhuda jinsi Mungu amemtendea mnamuhukumu! Mungu anajua maisha yake tangu waachane, na anemuinua hiyo miaka yote. Muache mama wa watu aishi maisha yake.
    Christina songa mbele achana na kilele za chura!!! MUNGU MBELE!!!

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před 2 měsíci

      Ndo uwa mnasaidiana kula sadaka za hapo church yenu n yye we ndo unamjua kiundan kaaa kwa tulia kula nyama nyamza ..omba macho ya rohon ujue kaz znazoendleaa ktka ulimwengu huu.utajuwa vizur kwa nn amebadilika ashaurik aambiw .kitu ujui tulia unafkir watu wte wanaongea mbovu kma zako

  • @Kidimaprisca7
    @Kidimaprisca7 Před 2 měsíci +7

    Jaman msipende kuhukumu mtu bila kujua maisha yake kwa undani zaidi kiatu alichokivaa anakijua mwenyewe amjuaye vyema ni Mungu tu na si wanadamu.

  • @SylvesterAmbokile-ur2vd
    @SylvesterAmbokile-ur2vd Před 3 měsíci +11

    Pengine angeolewa baada ya miaka 19 aliyoitaka asingefikia hali ya sasa kwa kuwa aliiniliwa na kupata mafanikio akiwa na John Shusho

  • @vunabandijosney8017
    @vunabandijosney8017 Před 3 měsíci +13

    shusho umeshiba...mutu akishashiba anajiona leo jana yake anaisahau ...
    so unaona hustahili watu waliyokutengeneza
    kuwa wewe jinsi ulivyo leo...ebu kumbuka ulipotoka wapi !!
    tujifunze kushukuru

  • @eliassoingei2046
    @eliassoingei2046 Před 2 měsíci +7

    Ushuhuda ni pale unaposhinda jaribu na siyo kushindwa, hapo kwenye ndoa hajashinda, Mungu amsaidie kwa kweli, najua bado ana nafasi ya kuanza upya, tena Mungu anampenda sana maana ni waimbaji wengi wamevunja ndoa lkn yy ameshambuliwa sana lengo la Mungu ni kumkumbusha chanzo

    • @anajohn8132
      @anajohn8132 Před měsícem

      Ndoa yake sidhani kama alianza na Mungu ndio maana imekuwa hivyo. Kuna ndoa nyingi tu si za Mungu japo zimefungwa kanisani. Hizo ndoa huvunjika na wala wanandoa hawahukumiki sababu Mungu hakuwepo.

  • @user-is9sd4mz9d
    @user-is9sd4mz9d Před 12 dny

    Christina Shusho jua kwamba kuna watu walipitia maisha magum ktk ndoa zao lkn walinyamaza na hawakuvunja ndoa zaid sana walimpa Mungu Utukufu, rudi kwenye ndoa yako tafadhali.

  • @Tg.7_7
    @Tg.7_7 Před 3 měsíci +23

    Ila ni ngumu sana kwake yeye Christina na kwa mumewe pia, kama from the very first place hapakuwahi kua na love it’s very hard….!! Let’s leave this matter to God!!🙏

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Před 2 měsíci +11

    Ni kweli wewe ni mtu wa kijijini pale Congo sehemu inayo hitwa Yungu ndo nyumbani kwenu.
    Sasa wewe Christina mbona ume hahibisha wana wake wote na wana ume wote.
    Pole sana Christina shetani yuko na wewe.

    • @imankasagara9492
      @imankasagara9492 Před 2 měsíci +1

      Unapotoka katika wingu la Mungu usikubali kuendelea katika Hali hiyo geuka Rudi hata kama kwa gharama ya aibu,aibu kwa watu si kitu Bali kurudi katika wingu la utukufu

    • @imankasagara9492
      @imankasagara9492 Před 2 měsíci +1

      Usitumie madhabahu kujitakasa je Leo ndio umegungua hilo au ndo unatangaza kuwa kujaolewa

    • @imankasagara9492
      @imankasagara9492 Před 2 měsíci +1

      Wito wa Mungu tunautazama mwisho wa safari si mwanzo

    • @basilisamsaka8469
      @basilisamsaka8469 Před 2 měsíci

      Kwani wangapi wanaachana na waume zao au wake zao na bado wameokoka

    • @davidnyika4296
      @davidnyika4296 Před 2 měsíci

      Mungu auponye moyo wako

  • @charlesmgonja8689
    @charlesmgonja8689 Před 2 měsíci +10

    Acha kumshirikisha Roho mtakatifu na ukahaba.Eti roho amekushukia utoke ktk ndoa yako.Muogope Mungu.

    • @lrutainurwa
      @lrutainurwa Před 2 měsíci

      Siri ya mtungi aijua kata

    • @kengaswedi3989
      @kengaswedi3989 Před 2 měsíci

      Usihukumu usije nawewe ukahumiwa.Yeye atabeba msalaba wake mwenyewe.

  • @neemachalamila590
    @neemachalamila590 Před 3 měsíci +10

    Ila ulikuwa wa kishua!!!! Hadi ice 🧊 cream ulitengeneza maana yake mlikuwa na fridge, halafu hii kjiongeza ndio usaidizi wenyewe kama mke according to bible, sio mateso , na swala la kupenda sio jukumu la mwanamke ni jukumu la mume,

  • @lucykayombo9987
    @lucykayombo9987 Před 2 měsíci +1

    Hongera dada Christna, ushuhuda mkubwa sana unatia moyo, nakufurahia nakupenda...wewe ni mtumishi Roho mtakatifu aongoze hatua zako

  • @kabulamalima5179
    @kabulamalima5179 Před 2 měsíci +8

    Huyo shusho ndo mumeo na baraka zako zilikuwa mikononi mwako. Mungu akusamehe

  • @sovajulius3870
    @sovajulius3870 Před rokem +3

    Christina Unajua na Kinge kipo on point Bravooooo

  • @zaujatilongo6927
    @zaujatilongo6927 Před 3 měsíci +2

    Mungu akifanyie lililokusudi lake tuuu! Sisi hatujui ila Mungu aonaye sirini anajua yote, Mungu asikuache hadi mwisho wa maisha yako

  • @fredyaled
    @fredyaled Před 3 měsíci +4

    Huyu mda cmrefu..utamskia anamgombania Diamond na naye utadkia ana Mtoto wa diamond. Naongea leo ..lakin 2simsingizie Mungu hapa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 Před 3 měsíci +6

    Ila ni kwanini unaongea yote hayo jamani mambo ya familia.. kama uliamua kuacha ungeacha personal

  • @user-xy9pk2rz8z
    @user-xy9pk2rz8z Před 2 měsíci +2

    Hiki kizazi cha nyoka kwakweli kwani lazima utafute kujiosha ..mlikutana ..mmeachana endelea na maisha yako ..wanaume wasichafuliwe jamani kwa taarifa tuu hao ni wawakilishi wa Mungu ndani ya familia

  • @user-ee6sz5gy4r
    @user-ee6sz5gy4r Před 3 měsíci +7

    Mmewe alimtoa KIGOMA kibirizi hata kiswahili alikuwa hajui vzr Leo anamuita Jamaa duhh hii ndoo dunia tenda wema uende zako, Mungu anakuona

  • @elizabethwambua8797
    @elizabethwambua8797 Před 2 měsíci +1

    Love you mommy.only woman who has such past can understand you.Gods love is with you all through.

  • @janewasilwa8813
    @janewasilwa8813 Před 2 měsíci

    Thank you...of God lives I will.live. If God is able I will succeed

  • @fadhilichristine7734
    @fadhilichristine7734 Před rokem +3

    Much love to you sister Christine may God bless you ❣️

  • @sautiisiyosema
    @sautiisiyosema Před 3 měsíci +6

    Nimeumia sana kumuita mmeo jamaa Mungu na akulipe kulingana na matendo yako. Kumbuka bila huyo jamaa usingekua hivyo ulivyo leo

    • @treasurerussel3422
      @treasurerussel3422 Před 2 měsíci

      Mungu Ndio kataka tina awe hivyo

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před 2 měsíci +1

      Aiseee wanawake wa Africa wakitajirika n umaarufu n kosaa kubwa sana wallah

  • @pastorbakarigeraldwilondja6702
    @pastorbakarigeraldwilondja6702 Před 2 měsíci +3

    MUNGU AKUHURUMIE SANA MAANA WEWE NI MWANAMKE USIOSHUKURU KBS

  • @phoebyadema6675
    @phoebyadema6675 Před rokem +2

    Waah your testimony imenivunja moyo😢,,,tena umeni encourage in this journey of life

  • @janewasilwa8813
    @janewasilwa8813 Před 2 měsíci +1

    God bless you Mama. Someone is encouraged Mama

  • @mynambwambo2072
    @mynambwambo2072 Před 2 měsíci +1

    I can relate hii story na ile ya laban na Jacob.. Jacob alienda kwa laban akiwa na baraka zake kila kilchoendelea ikiwemo mifugo mingi kuzaliwa pale ilikua sababu ya Jacob mwenyewe I can relate hii story na shush huyu mwanamke alikua tayari ameshabarikiwa na Mungu huyo mume wake ilikua ni njia tu Mungu allifanya ili kudhihirisha kilichokua ndani ya shush..

  • @sweetberthawilliam6587
    @sweetberthawilliam6587 Před 3 měsíci +4

    Mshukuru mme wKo alikuoa na kukupa watoto, asingekuwa yeye saa nyingine usingefika hapo kiburi cha pesa

  • @TeresiaMundia-dz8ye
    @TeresiaMundia-dz8ye Před 3 měsíci +2

    May God go ahead of you

  • @peterbarakabugera974
    @peterbarakabugera974 Před rokem +2

    i fallow you very well,may God bless you when ever you will stay working for him!

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před rokem +9

    Kwa kweli dada Christina umekuwa na ushuhuda wa ubinafsi wa kupitiliza!

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 3 měsíci +1

      Yaani utadhani mume wake hana mchango wowote, ubinafsi wa kiwango cha juu mno.

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 2 měsíci +1

      It's her life

  • @savedbygrace3230
    @savedbygrace3230 Před 2 měsíci

    Beautifully intetpreted and blessings to Christina.

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 Před rokem +11

    Nasikitika kama uliachana na mume wako dah mimi nyimbo zako za mwanzo ndo nilizipenda but za sasa dah.

    • @maneno_kairuki
      @maneno_kairuki Před 3 měsíci

      Hata mimi nyimbo za nyuma. Ni kawaida ya wanawake wakifanikiwa lazima awe na kiburi

    • @James-od8gf
      @James-od8gf Před 3 měsíci +1

      Mke wangu angekiwa anaabudu kwako hapo ningempga stop haraka sana mana Mchungaji gani kamuacha mumewe?

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před 2 měsíci

      Ndo anaaribu wanawake wengne

  • @jescamushi7737
    @jescamushi7737 Před 2 měsíci +5

    Kama mkenya sa hii hahhahahaaaaa ila anamaigizo huyu mama😂😂😂😂

  • @ElphasNabule-uj1zi
    @ElphasNabule-uj1zi Před 3 měsíci +3

    christine ,kumbuka yakwamba Ndoa ilianzishwa na Mungu na kwa mpango wa Mungu , Talaka Haikuemo. Soma maandiko vizuri .Nithambi ilileta Mutengano Kati ya Mungu na muana damu ,Vilevile katika ndoa usipo elewa kusudi la Mungu ndaani ya maisha yako na Mungu Utatenda Mapenzi ya shetani .kumbuka Mungu anachukia Talaka haswa zaidi kwa Watumishi wake vilevile Kanisa linaanzia Nyumbani Likiekea kwa Mathabau .christin nina suali kwako utajitetea Aje mbele Ya kiti cha enzi Mbinguni? kwa wanadamu ni raisi Jee, Na kwa MUNGU?

    • @janesuma-is4wc
      @janesuma-is4wc Před měsícem

      Wewe ndio usome mandiko vizuri mmekua watu wa kutafsiri bible vibaya na kwa hisia zenu Acha kuhukumu wewe

  • @user-cr1sj8xw9x
    @user-cr1sj8xw9x Před 2 měsíci +1

    Dunia imeisha yaani watu munapiga makofi kwamba ujumbe huu umetoka kwa Mungu atupe andiko linalo muruhusu kuachana na mume wake sio mawazo yake anapotoa maelezo asimutaje Mungu hayo Ni mawazo yake ,Mungu akikuita kumutumia sijawahi kusikia kwamba iache ndoa yako Mungu akusaidie nimefuatilia Sana maneno yako unataka kuleta elimu mpya kwenye ndoa Za watu kwa mawazo yako Mungu anachukia kuachana pia alichokiunganisha Mungu mwanadamu asikitenganishe hayo umeyapata wapi? Tuonyeshe andiko Hilo sio maneno mengi acha kuudanganya umma ,shusho tulia kwa Bwana majibu yapo

  • @BahatiSunga-yk9qf
    @BahatiSunga-yk9qf Před 2 měsíci +2

    Aminaa Barikiwa

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 2 měsíci +4

    Chukizo la uharibifu limesimama mahali pasipopasa. Huna huduma yoyote, umeitwa kwenye umalaya sio huduma kwenda huko.

  • @nyapetegath409
    @nyapetegath409 Před rokem +6

    you are beautifull and fighter. God bless u

  • @eliwazamakala3897
    @eliwazamakala3897 Před 2 měsíci

    Pole sana dada. Mungu aendelee kukutetea zaid dhidi ya maadui zako. Binadamu huwez waziba midomo. Only God knows.

  • @leakeyochieng9629
    @leakeyochieng9629 Před rokem +2

    Am more than blessed , more grace Christina

  • @stellagwimo3115
    @stellagwimo3115 Před 3 měsíci +7

    Powerful testimony, thanks Christina for sharing you life story with us. God bless.

  • @josephineusui1114
    @josephineusui1114 Před rokem +3

    Congratulations Cristina for realizing your dream.i love you so much.

  • @balancedviewpoint7418
    @balancedviewpoint7418 Před rokem +6

    Waaah! I didn't know this awesome woman of God knows very fluent English and that she can be that bold and assertive in a cloud. Christina, sorry for what befall you I your earlier days of your marriage. When we keep advising you to stick to your marriage, kumbe there is disheartening story behind your life journey. It is well Christina. If you were in Kenya utaolewa na ukae maisha safi sana. Tunakupenda sana Kenya vile dunia yote inakutambua. I love you much you child of God. Keep it up.

  • @consolataconsolata1250
    @consolataconsolata1250 Před 2 měsíci +8

    Huyu dada kukaa kimya kumemfanya aonekane yeye ndio mbaya. Sasa kama mume alimfukuza toka 2010 Leo yeye ndio anaonekana ana kosa? Kama hujui upande wa pili wa story bora kukaa kimya. Wanaume wana tabia ya kufanya vitu halafu wanajifanya wao ndio wameomewa. Mungu ndio anajua ukweli nyie mnaomtukana hamjui ukweli wote. Wanaume wengine hawawezagi kuvumilia mafanikio ya wake zao. Wengine wanaonea wivu wake zao wakifanya vizuri. Mungu anaejua ukweli atamlipa kila mtu sawa sawa na haki yake. Kwanza huyu dada ana hekima sana kama alikaa kimya toka 2010 hakuna mtu alijua kafukuzwa nyumbani kwake..SO SAD

    • @brorichardmusingithe7th11
      @brorichardmusingithe7th11 Před 2 měsíci

      wewe unaujua ukweli wote? wananchi wanaongea yale anayoyafanya hususani ndoa,Hata wewe hururhusiwi kukimbia ndoa na kujisifiakuwa uliacha ndoa ili umtumikie Mungu, Maswali mengi yako hiviii? Je yeye alilyetamka kuwa haukna wa kutenganisha na mvumilie hadi kufa ataruhusu uachane na mme ana uhubiri injili?

    • @thomaschagula3508
      @thomaschagula3508 Před 2 měsíci

      Amina mtumishi. Wewe ndio umeongea la msingi sana. Mungu akubariki sana

    • @Usizoeedhambi
      @Usizoeedhambi Před 2 měsíci

      Huyu mwanamke mwongo sana. Tena adanganya akiwa madhabahuni.
      Alizaliwa 14 Novemba 1974 na kuolewa tar 14 Decemba 1996 akiwa na umri wa miaka 22. Na mwaka huu wa 2024 ana miaka 50. Mzee sasa. Ameolewa kwenye familia ya Kikuhani wamo wachungaji 3 na Baba yao alikuwa Askofu Mkubwa huko Kigoma.Mimi nilikuwa mshirika wake Kanisani kwake Dreamers Centre. Nasema kweli tupu na Mungu anihukumu kama nasema wongo.
      Niliondoka kwa sababu ya tabia zake za ovyo. Alitupa nje ya ofisi meza na vitabu na Biblia za mme wake Askofu nje ya ofisi bila sababu ya msingi Nikaondoka Kanisani hapo.
      Familia ya mme wake wala.hawako.9. wanaume walikuwa 4 na wa 3 walikuwa boarding. College na shule.
      Na alipoolewa alikuja na mdogo wake wa Kike.Vitu vingi anasema hapo uongo tu anachafua madhabahu. Huyu ni devil worshiper ni ajenti wa kuvuruga na kuvunja ndoa makanisani . Yesu alituachia injili ya mapatano. Wewe Mama mwenye Kanisa hilo umechafua madhabahu ya Bwana.Umeharibu ndoa za washirika wako !!! Subiri divorce nyingi baada ya miaka 5 nakuambia . Umebomoa badala ya kujenga.
      Hapo amefuatana na Manager wake ni mwislamu uchafu mtupu .Nuru na giza wapi.na wapi !!!!!

    • @luganomunuwavanu9369
      @luganomunuwavanu9369 Před měsícem +1

      ​@@Usizoeedhambi ndungu umeandika kwa uchungu sana... Unaonekana unajua mengi kuhusu huyu mwanamke

    • @PAULINEWANJIKU-pwm
      @PAULINEWANJIKU-pwm Před 25 dny

      ​@@Usizoeedhambi😢duh

  • @ATHANASLUKEHA-ui7pq
    @ATHANASLUKEHA-ui7pq Před 3 měsíci +3

    Roho ya kuhatibu ndoa za watu unayotumika nayo,iangamie Kwa Kina la Yesu!Christina wewe ni mwongo mkubwa!

    • @user-tt7cu2et1x
      @user-tt7cu2et1x Před 2 měsíci

      Kabsaaa saah uy mathee anatumika na nguvu za giza ndp mana unaona wote.walioachana na mabwana zao wamefungua church ili waendlee kuaribu akil za wanawake wengne wasitii waume zao wakimbie kwa ndoa zao

  • @carolinekajuju4507
    @carolinekajuju4507 Před 3 měsíci +1

    My gal my story. if you made it I will make it

  • @epifaniakavishe9282
    @epifaniakavishe9282 Před 2 měsíci

    Mmh Tinna ...

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 2 měsíci

    Hongera sana Christina Mungu huyu akulinde sana change usiyumbishwe na maneno maovu ya mitandaoni

  • @salomeshadrack8245
    @salomeshadrack8245 Před rokem +3

    I love you dear. You're my role model...hope to meet you one day. May God protect you and preserve you for His own Glory

  • @BanjoMrisho
    @BanjoMrisho Před 2 měsíci +3

    Huyu Christina anaongea pumba kwaiyo kiingereza ndio kinapanda zaii ya kiswahili? Wewe Huna ukristo hata kidogo Acha kuwalisha pumba warundi uanwapotezea muda Huna ushuhuda

  • @elimidakashumba2422
    @elimidakashumba2422 Před rokem +2

    Congratration shusho, indeed you re our influencer.

  • @lucynjengachef709
    @lucynjengachef709 Před 2 měsíci +1

    Your story is qn eye opener ....

  • @doulosjohngamba8985
    @doulosjohngamba8985 Před rokem +4

    I will be your Prayer Partner always.

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 Před 2 měsíci

    The pain was to take u to another level mti mwema hupurwa mawe lakini pesa zikakupa kiburi ukamsahau Mungu wako. Tubu Christina umrudie Mungu.

  • @marlenekhakoni1404
    @marlenekhakoni1404 Před rokem +1

    Kwa Mara ya kwanza kabisa,nimeiskia kwa ufupi ushuhuda wa ma Christina, nimekupenda zaidi

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 Před 3 měsíci +10

    Mungu nifundishe kunyamaza maana sielewi

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Před 3 měsíci

      😂😂😂😂

    • @heriethsamwel7190
      @heriethsamwel7190 Před 3 měsíci

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 Před 3 měsíci +2

      hahahaha kina christina wengi huwa wako hivyo sijui kwa nini nimeona more than 4 christina wanaacha waume zao,labdaa maana ya christina na mwanamke kumuacha mumewe

    • @user-nb2jw4km6f
      @user-nb2jw4km6f Před 2 měsíci +1

      Hata mimi sielewi kwakweli sijui ni comfidence yakupitiliza au nini?

    • @lilianurio9781
      @lilianurio9781 Před 2 měsíci +1

      Me too

  • @phoebyadema6675
    @phoebyadema6675 Před rokem +2

    Congrats my mentor I love you so much❤

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před 3 měsíci +3

    Duniani huwezi kupata vyote, shukuru hata kwa mema uliyopata

  • @user-lm3gd8pw7z
    @user-lm3gd8pw7z Před 2 měsíci +6

    Asha kusema Jina La Mungu na Wewe ni muwasi mukubwa Wewe. Gisi Congo tulikuwa na nakupenda ivi zero kabisa akuna u christu ndani yako Wewe dada

  • @merrybahati9882
    @merrybahati9882 Před rokem

    Amen

  • @RebeccaGeorge-qu9kc
    @RebeccaGeorge-qu9kc Před 3 měsíci +2

    Powerful testmony my sister christina shusho God bless you

  • @susannyamu2024
    @susannyamu2024 Před 2 měsíci +1

    Lots of ❤,🇰🇪

  • @givenessdavid3743
    @givenessdavid3743 Před 2 měsíci

    It's time to be on Top Tina.....

  • @FocusMahagara
    @FocusMahagara Před 3 měsíci +1

    Roho wa Mungu,atusaidie

  • @pamelaayieta6071
    @pamelaayieta6071 Před 3 měsíci +1

    She is a good actress,is she the first one to shine in east Africa.You are behaving like a juvenile.

    • @Kakwasi
      @Kakwasi Před 3 měsíci

      I love her whatever

  • @florencenzyuko2121
    @florencenzyuko2121 Před 2 měsíci

    Christina God is faithful & you're a seed of God

  • @rahabnjeri510
    @rahabnjeri510 Před 2 měsíci

    Shusho mungu anakuona ulianza kwa roho na unamaliza na mwiili😢😢😢😢😢 you need God deliverance

  • @joycenaftal-cr2er
    @joycenaftal-cr2er Před rokem

    Ameeen

  • @felixbitange8115
    @felixbitange8115 Před rokem

    The English is top

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 Před rokem +6

    Ina Maana mz Shusho Hana hata mchango mdogo katika huduma yako kiasi hujagusia Chochote Katka ushuhuda wako?

  • @gideonleonceelias5423
    @gideonleonceelias5423 Před rokem +2

    Hii testimony imenitia nguvu sana, I think its time to work out

  • @anajohn8132
    @anajohn8132 Před 2 měsíci +1

    Sasa naelewa kumbe mume ndiye alimuacha nakumrudisha Kwao kijijini kwa wazazi wake na watoto wakagawanwa. Sasa lawama ziko kwake kivipi tena

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Před 2 měsíci +2

    Wote wanaomsema vibaya Christina mmamwonea wivu,na alivyo mzuri kwa sabb hakuna andiko linalomruhusu mtu kumtukana mwenzie,eti unasahau dhambi zako nyingi kuliko za shusho.

  • @shavonnawemadavid2998
    @shavonnawemadavid2998 Před rokem +1

    Waoow so touching, you were not stupid, you were naive, like other many girls. But God sow you through.

    • @pamelaayieta6071
      @pamelaayieta6071 Před 3 měsíci

      Every woman was married young especially in Africa,so whatever she is telling us isn't knews but just normal especially in Africa.What is strange there?if all women put their story everywhere,she was even mature,some get married at , thirteen or fifteen.

    • @enosdominick3485
      @enosdominick3485 Před 3 měsíci

      Mrudie Mmeo acha kiburi cha uzima.
      Utapotea zaidi ya hapo Wewe Christina!

  • @annapeter8526
    @annapeter8526 Před rokem +1

    poweful testmony maaam

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 Před 3 měsíci

    Shusho una sauti nzuri sana ya kumtumikia Mungu sema dah!

  • @timemwamasage4058
    @timemwamasage4058 Před 2 měsíci +6

    Mpuuzi sana .. ndoa za zamani wanaume na wanawake walikua na upendo...walikua wanaishi na ndugu zao ukiolewa ukakuta familia ina maisha yao uliyoyakuta usuwabadulishe wawe unavyotaka ww,labda kama unawasaidia kukua kiuchumi kuwapekeka shule na kazi au biashara lkn sio nature ya maisha yao...huyu anatafuta kujitetea lkn hakuna kitu...mpuuzi

    • @neemamasala7167
      @neemamasala7167 Před 2 měsíci +1

      Ulikuepo hyo zamanii😢

    • @Kidotii
      @Kidotii Před 2 měsíci +1

      In first place ndoa haikuwa, na upendo, ila ni convenience ya wazazi eti asijeakaharibikia nyumban😢 wanaume kasiriken mtukaneni ila wanawqke wasiku hizi are not fools ukizingua tunasepaaa!

  • @VeronicaKamau-np2si
    @VeronicaKamau-np2si Před 2 měsíci

    😢😢😢😢😢😢wow!!such a testimony

  • @jabezjedidiah1429
    @jabezjedidiah1429 Před 2 měsíci +2

    Yote uliyoyasema hujatoa hoja mwafaka kwa nini ikaikimbia ndoa. Kado na kumdhalilisha mmeo na familia yake. Hukuteswa, sio adultery... kazi ya nyumba kila mwanamke hufanya. Kwangu naona ni fame na pesa zilikukausha shingo. God is nor author of confusion but of love and unity in Christ Jesus hivyo usisingizie wito ndio ukakutoa kwako. Hujaweka mfano mwema kwa wakristo.

  • @jeanbaraka1008
    @jeanbaraka1008 Před 3 měsíci +2

    BULUNGO kwanini tumuachilie dada hivi, amepotoka huyu, sifa ime mchanganya , Baba Mcheleca mukowapi dada BIBI ametuzalilisha tumuokeo...

  • @DosianaLulakuze-bv7fg
    @DosianaLulakuze-bv7fg Před 2 měsíci +2

    Nakuelewa acha wakupige vita ambaye hajapitia Hajui

  • @EDETRAUDHUNGU
    @EDETRAUDHUNGU Před 2 měsíci +1

    mkarimali hongera Sana nimependa

  • @gracegathoni7088
    @gracegathoni7088 Před rokem +1

    Powerful testimony my sister Christina shusho God bless you 🙏🙏

  • @gracepatric4371
    @gracepatric4371 Před rokem +6

    Translator nikama monica wa masanja

  • @EsterBenson-vj8vy
    @EsterBenson-vj8vy Před 2 měsíci

    😅daaa haya mambo mazito ,pole dada Christina tuko pamoja imba Sana

  • @esterkimath1214
    @esterkimath1214 Před 2 měsíci +1

    Mbona mnavituko nyie watu rose ,martha ,na bukuku mnascandles😢😢😢

    • @tumwendeekihongosi6802
      @tumwendeekihongosi6802 Před 2 měsíci

      Bukuku aliachwa dada hakuacha.yeye aliachwa kwasababu ya tatizo la watoto kufa baada tu ya kuzaliwa.

  • @ruthjeruto1716
    @ruthjeruto1716 Před 3 měsíci

    Role model to many❤

  • @florenceLema-ou4my
    @florenceLema-ou4my Před 3 měsíci +2

    tamaa ikochikua mimba uzaa dhambi dhambi lkikomaa uzaa mauti

  • @frederickmeshack3848
    @frederickmeshack3848 Před 2 měsíci +2

    We have seen many jumping into gospel reem but soon they mixup them themselves off the go and forgotten for ever, 19 years old ni umri halali usilaumu

    • @faustinerukiko2933
      @faustinerukiko2933 Před 2 měsíci

      Unaruhusiwa kabisa na serikali yetu

    • @faustinerukiko2933
      @faustinerukiko2933 Před 2 měsíci +1

      Story ya upande mmoja.....anajikanyagakanyaga tu naona

    • @sambutilacurtainbedroomsol7431
      @sambutilacurtainbedroomsol7431 Před 2 měsíci

      Wenzie at that age tulikuwa tunafanya kazi serikalini na kulea wadogo zangu,Sasa yeye anasemaje alikuwa aliolewa akiwa mdogo?mtoto kwa Tz ni 17 yrs to 0

  • @absalomkibanda
    @absalomkibanda Před 3 měsíci

    What a lesson?! Its bitter, sour and sweet. A victim, unsung hero. Life is a fight

  • @omegamathew2399
    @omegamathew2399 Před 2 měsíci

    Hongera Mungu amekuheshimisha watu ni wabaya mno Kama hujapitia huwezi jua

    • @ezekielshija9251
      @ezekielshija9251 Před 2 měsíci

      Mume wake ndo mbaya?maana hapo anamuongelea mume wake tu.

  • @gracekapisha838
    @gracekapisha838 Před rokem +4

    Majaribu ni mtaji, acha kulia Mwanamke unayepitia majaribu simama mtazame yesu anakusaidi.

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 2 měsíci

    Vizuri sana Mungu ni mkubwa sana Christina songa mbele watu wasikutishe

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 Před rokem +1

    Ukiwa karemy au tz.???

  • @maneno_kairuki
    @maneno_kairuki Před 3 měsíci +5

    No where she appreciates the support from his husband. Wanawake Bwana😢

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Před 3 měsíci

      Women!

    • @YasintaMpanduji
      @YasintaMpanduji Před 3 měsíci

      Wakati anamsapoti ulikuwepo?, binadamu Bhana kazi mnayo

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 Před 3 měsíci +1

      @@YasintaMpanduji yeye mwenyewe alishuhudia jinsi kipawa chake kilivoinuka,na kujulikana.

    • @YasintaMpanduji
      @YasintaMpanduji Před 3 měsíci

      @@odilomwemeziernest646 ni kweli, yeye ndyo shahidi, Kuna watu wapo kwenye ndoa lakini hawapewi support na wenza wao, wanaume Kwa wanawake

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 3 měsíci

      Mbinafsi sana, huu ushuhuda una mapungufu mengi na makubwa sana.

  • @norbertharumukiza6574
    @norbertharumukiza6574 Před 2 měsíci +1

    Unatalajia kurudi kijijini, ukitoka kwa uwepo wa Mungu ujiandae kurudi huko

  • @Usizoeedhambi
    @Usizoeedhambi Před 3 měsíci +14

    Hana shukurani huyu.Muilizeni MBC Hot Media ( Mr Forgen ) awaambie jinsi mume wake alivyomsaidia .
    GOSPEL is the good news of reconciliation not damaging like this.
    Mumewe amemsomesha hata hako ka Kingereza ni kazi ya mume wake !!!!

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 Před 3 měsíci +1

      Ndiyo shukrani za wanawake, amesahau yote

    • @mgswahili3993
      @mgswahili3993 Před 3 měsíci

      What is your whatsapp number nataka kushare kitu na wewe. Imenigusa hii text yako.

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 3 měsíci +1

      @@edsonnelson4464 washenzi sana hawa viumbe

    • @AnneHarold
      @AnneHarold Před 3 měsíci +4

      ​@@sautikuu212jamani sio wooteeee sema baadhi ya wanawake

    • @user-cu6tp2bh7b
      @user-cu6tp2bh7b Před 3 měsíci +3

      Msomeshe kiingereza akitumie kukutukana😂😂