LILIAN MWASHA;KWA MARA YA KWANZA AJIBU KUHUSU KUIBA MUME WA MTU/NAUMIA/WATU BADO HAWANIAMINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2022
  • #CoffeeNight #Wasafi #diamondplatnumz #cloudstv #lilianmwasha #fmjmedia

Komentáře • 96

  • @reginaringia7080
    @reginaringia7080 Před 2 lety +13

    Hongera sana Lilian Mungu akutunze aasnte kwa kkufanyika kuwa baraka katika maisha yetu.Natamani kukuina siku moja.Unanibariki Sana mpendwa

  • @rayahnaz162
    @rayahnaz162 Před rokem +7

    I LOVE YO LILIAN MWASHA MY ROLE MODEL WA TANZANIA

  • @Nicholas12061974
    @Nicholas12061974 Před rokem +5

    Am glad someone is talking about our boys,it has been my dream

  • @rehemakajabu1317
    @rehemakajabu1317 Před rokem +2

    NAKUPENDA SANA DADA LILIAN UMEKUWA BARAKA SANA KWANGU,NAKUFATILIA SANA

  • @namelockmaasailady8002
    @namelockmaasailady8002 Před 2 lety +3

    Nice interview jmn,Asante dada lilian na suzi pia

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před 2 lety +8

    Awapi alilolipanga mungu mwanadamu hawezi kulijua unakuta mwingine walikutana pasipo mpango mungu wakaleteana shida kila mtu anahaki ya kwenda kuanza maisha mpya .

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu2509 Před 2 lety +11

    Da Liliane ni mrembo pia intelligence 🥰👏🏾

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Před rokem +4

    Nakupenda sana dada Lillian

  • @josephchuwa1285
    @josephchuwa1285 Před rokem +7

    Lilian usijalaumu kwa kuolewa hukukosea na hakuna mwanaume anayestahili kuwa single
    Huo ni uoga wa maamuzi ukiamua pambania maamuzi yako as long as uko sahihi màana mlishadivorce what next don't be hard on yourself
    Na kwa wengine out there msiogope ukweli na uongo upe muda

  • @mwanrique
    @mwanrique Před rokem +2

    I love you Suzette, keep doing you!

  • @suzanakesmil
    @suzanakesmil Před rokem +4

    Nakupenda dada mwasha

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 Před rokem +6

    Lilian Sasa ukisema uogope watu wanaowatazama na ujikute unaumia Sana utajijaza tuuu??? Tafakari kumhusu Osinachi mydear.... But km uko na Furaha na hukwaziki ni sawa

  • @judythasiko8648
    @judythasiko8648 Před 2 lety +11

    Love this woman ❤️

  • @tinamon7913
    @tinamon7913 Před 2 lety +6

    Huyo Dada unaemuhoji nampenda ananiponyaga sana maneno yake.

  • @hellenmawere9284
    @hellenmawere9284 Před rokem +3

    Mungu atusaidie daLilly.. usijihukumu tuu, furahia familia yako mpenzi. 🥰🥰🥰

  • @angelinamwakilufi8881
    @angelinamwakilufi8881 Před 2 lety +3

    I love you Lilian!

  • @leahchalresi5632
    @leahchalresi5632 Před 2 lety +2

    Nakupenda sana dada liliani

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 Před rokem

    Girl i love you, Lilian Mwasha i see my self in you. We don't have to be selfish as women. God bless you.

  • @AggiesVine
    @AggiesVine Před rokem +1

    I'm taking quite a liking to this lady Lilian Mwasha. Great points.

  • @beatrice3671
    @beatrice3671 Před rokem +1

    She's touched my heart ❤ natamani kukuona one time lily

  • @mundelejudith3940
    @mundelejudith3940 Před rokem +2

    Nakupenda sana dada

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Před 2 lety +1

    Mm nampenda sana Lilian

  • @christinamwakibolwa3000
    @christinamwakibolwa3000 Před rokem +4

    Lilian unaponya Moyo na nafsi yangu

  • @rosemsemwa2226
    @rosemsemwa2226 Před rokem +1

    Kiukweli nampenda da Lily na sauti yake😘

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před rokem +3

    Hapana akitokea naolewa tu aiseee kila mtu na bahati yake siwezi acha bahati yangu kisa alishawahi kuoa labda Mungu ndio njia aliyo mpangia apite ili akutane namm

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +1

    Mwanamke ndio sababu ya kumkandamiza mwanamke. Kwn huyu kaka ni mtoto kuibiwa na wengi wanaosema hizi kauli ni wanawake wenzetu. I wonder why? Tukubali upo wakati mapenzi yakiisha kati ya wawili waachwe wakatafute maisha mengine. Kwnn si mwanamke katiba mwanamke wa watu? Tuache kujikandamiza
    Lili nakupenda sana dada

  • @fridakaishaza1032
    @fridakaishaza1032 Před rokem

    Much love ❤️

  • @vailetheanyambilile9749

    Duuuh Hongera Sana mtumushi liliani mwasha

  • @gimbanantavyo5217
    @gimbanantavyo5217 Před rokem

    You are such an amazing lady, receive a bunch of love.

  • @saidaramadhan2099
    @saidaramadhan2099 Před 2 lety +6

    Ukiamini mwenyewe inatosha ukisibili watu utakesha

  • @chosentv742
    @chosentv742 Před rokem

    Waooo I love the host🥰

  • @joycekimario4542
    @joycekimario4542 Před rokem

    Nimependa sana ujumbe

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi Před měsícem

    Aleluya 🧎🏾‍♀️🙇🏽‍♀️👏🏾

  • @lucyemichael7814
    @lucyemichael7814 Před rokem

    👏🏼

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Před rokem +1

    Kweli tena unaitwa baby 🤣🤣 namuelewa huyu dada 😍

  • @bintisayuni6634
    @bintisayuni6634 Před rokem +1

    Real

  • @priscaphedrick5970
    @priscaphedrick5970 Před rokem

    Nakupenda dada wewe Lilian yaani hatasijielewi kabisa nakupenda tu

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 Před rokem +2

    Kwani wakiristo wanaachana?

  • @jacklinemwita4173
    @jacklinemwita4173 Před rokem +1

    Hiyo Hofu ikutoke kwa jina la Yesu

  • @irenechobaliko9599
    @irenechobaliko9599 Před rokem +3

    Your story could be different, but most men will lie that it’s not working and blame the woman or say we processing a divorce & blah blah blah, yet he is just a womaniser 😢😢😢. Ladies be careful

  • @tunsumegideonmwamboneke9639

    “hakuna kitu mume wangu atafanya kinifanye nimuache “ haya maneno sio sahihi kwa mwanamke kusema mbele ya hadhara. Its a reason why wanawake wengi wanakufa kwa kuuwawa na waume zao. Ni sababu tu hauna kitu cha kukufanya uondoke, real?!

    • @esthermwambene6975
      @esthermwambene6975 Před rokem

      Lakini kama umemsikiliza vzr kasema mwanamke usikae kwende ndo ya mateso kupigwa nk so pengine hayo yote yeye hayapitiii

  • @zuhuraally4146
    @zuhuraally4146 Před 2 lety

    Nakupenda sana dada mwasha

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před rokem +1

    Me hata nilikua cjui kama luvanda alikua kaoaga nalili alikua kaolewaga

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před rokem

    Dada lili nakupenda ila kwanini unachanganya na kingeresa

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Před 4 měsíci

    Kwanini asiitwe Lilian Luvanda?

  • @jareengeorge5478
    @jareengeorge5478 Před rokem +2

    Nawapenda Sana Hawa wadada jamani.

    • @verasikawa6382
      @verasikawa6382 Před rokem

      Animekupenda sana kwa hekima yako Liliani mungu akubariki pamoja na uzao wako.

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Před 2 měsíci

    dada lili punguza misifa punguza uperfect

  • @florencebudoya3814
    @florencebudoya3814 Před rokem +1

    Halafu Isack alimwambia mwanae Essau na si Yakobo. Sema Rebecca akamwambia Jacob jinsi Isack anavyowish kumbariki mwanae wa kwanza kutoka" Mind you that Jacob na Essau walikuwa mapacha "Yacob akajiwahi na akafanya yaliyotakiwa kufanywa na Essau. Jacob akajifanya Essau na akapata baraka. Essau alivyokuja it was too late baraka zilikuwa zimeenda kwa Jacob.Ingawa huko mbeleni baada ya Jacob kwenda kwa mjomba wake na kuoa Leah na Rahel na mpaka kuzaa na vijakazi wake,alirudi na kumuomba msamaha Essau.

  • @Bestssy
    @Bestssy Před rokem

    Jaman nipate no yke

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před 2 lety

    Mimi mwenyewe yamenikuta !

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před rokem

    Umeongea ukweli kabisa wanawake wa siku hizi hawana hofu ya Mungu wakina Christina shusho wanaachika na kuacha watoto wao kisha makanisa jaman hmmm

    • @jackmacha6057
      @jackmacha6057 Před rokem

      Kwan shusho alishaachika

    • @esterpaul3146
      @esterpaul3146 Před rokem

      @@jackmacha6057 ndio

    • @veeJesus
      @veeJesus Před rokem +2

      Kuongea ya shusho ni rahis ila hujui chochote kuhusu ndoa ya shusho
      Alafu aliekuambia kuwa na hofu ya Mungu ni kukaa kwenye ndoa??

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund7964 Před 2 lety

    Best interview

  • @ndugutv5417
    @ndugutv5417 Před rokem

    Giza unaliogopa alafu roho Mtakatifu Humwogopi?
    Hivi vitu sielewagi

  • @evangelistmcsarahmvungi3626

    Wewe ni mrembo na unaponya wengi

  • @iddaadams7351
    @iddaadams7351 Před rokem

    Lilian kama Lilian.......

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 Před rokem

    Anajionanga mtakatifu huyu dada,

  • @zeinababdi4757
    @zeinababdi4757 Před rokem +10

    Wabongo wananishangaza sana, are you really doing boy child because you want to shine and make money or you are really passionate about that cause...it is all about you and your family just using poor children from acutely poor background

    • @sharewithhope1229
      @sharewithhope1229 Před rokem +6

      It takes caurage kufanya hicho anavhokufanya kama ingekuwa rahisi kila mtu angefanya ,it's time tuwapigie makofi wengine pale wanapojaribu kufanya kwa ajiri ya wengine huku na sisi tukijitafuta tufanye nn na vile Mungu ametubariki navyo

    • @lydiathomas2905
      @lydiathomas2905 Před rokem

      Don't judge if you have no evidence, this is why people afreid doing good things. Be positive my dear it will do you good, trust me.

    • @tukuswigaikasu5227
      @tukuswigaikasu5227 Před rokem

      Acha makasiliko jamani..

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Mhhh kumbe walewale tuu kkk

  • @silviagustavo416
    @silviagustavo416 Před rokem

    Kingereza cha nn 😏😏

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 Před rokem

    Dada jifunike

  • @fridahiminza8659
    @fridahiminza8659 Před rokem +2

    If the first marriage didn't work,second ,third , won't work,there is this spirit called, spirit of divorce that is tormenting people.read ?malachi 2:13 kuendelea,the wife/husband of your youth. 😭

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Před 2 lety +4

    Na komaa ata waseme nimechukua ! Walipeana taraka miaka 2 nimeingia kwenye mausiano hyo naambiwa Mimi nimeiba mmewamtu

    • @yukundapeter8200
      @yukundapeter8200 Před 2 lety +1

      Olewa mwaya dada! Km lipaka limeachika,mume aache Kuoa? Uliiba alikuwa ni gunia?endelea kuishi na mumeo,Mapaka yackusumbue.

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 Před rokem

      @@yukundapeter8200 umeonaeee yani kwenye dunia hii ukitaka kufurahisha watu utachelewa

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem +1

      Hakuna mume wa MTU endelea my

    • @nolimittvonline6822
      @nolimittvonline6822 Před rokem

      @@jescajulius8023 nasonga mbele my

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem

      @@nolimittvonline6822 haya mpenzi

  • @sakinanaftali7929
    @sakinanaftali7929 Před rokem

    #TUNAMWAMINI KARIBUNI KUITAZAMA
    czcams.com/video/ZhY-T8wk4Do/video.html

  • @malkiarosemuhando3310
    @malkiarosemuhando3310 Před 2 lety +6

    Khaaà Yakobo tena??? Sio isaka aliyemwambia Esau aende nyikani akawinde mnyama, amfanyie chakula kizuri ili apate kula AMBARIKI,

  • @Mundi-oz7os
    @Mundi-oz7os Před 3 měsíci

    Learn to cover your legs PLEASE

  • @ummukuothumndakize
    @ummukuothumndakize Před rokem

    Nakupenda sana lilian