Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Baba johniii ndo alfanya nikawa na sikiliza XXL ikiisha nazima radio big up kwa baba la baba mchomv
Woohf big up Sana 💪 kwenu du Adam Ni mnoma
Jaman hii Mchomvu ni wengi mm kaka angu ameoa hiyo familia jina la Mchomvi nao ni Wapare pia
Hii nguvu sna miaka 14 unaonjwa tu kama mboga😂😂😂😂😂
😂😂😂nimecheka sana leo wakat nackiliza xxl
waagwan rastaman 💞💞💞adam
Huyu ndio Q chief aliniamwambia Adam wazee wanamlia mzigo ngumi zikaanza 😂
😂😂😂😅
Mhhh wee muongo uliskia??
Kwa mpare mbn kawaida
Mrembo kweli
Wow! beautiful 😅
Oooh kumbe Adam kaka angu kabsaaa w Same, Mimi mwenywe mchomvu kaka...
❤❤❤❤
Hahaha 🤣🤣🤣 nimeona
Jamaa kapita na MISHIKAKI yote kakaribishwa nae kakaribisha
Atar mchovuu
Anaongea kama Salma Dakotta
Hata kufanana wamefanana kdg
Ni pisi 🎉
Dada mzuri ila Adam mchomvu sio mume Bora kwako atakupeleka Jehanamu unakubali kuolewa na mvuta bangi🤓🤓🤓🤓🤓
Kwani yeye hsvuti? Mnywa pombe yeyote ni mlevi wa kila kitu.
Mwanaume Bora kwake hajawahi kucheat
Kwahyo ni Bora kuolewa na mwanaume Malaya atakaeleta magonjwa ndani na kutelekeza familia kuliko mtu anaevuta bangi na kutulia zake,,,
Mjinga sana, bangi ina shida gani?
😂😂😂eti bangi inashida gn, Kwn ulimshuhudia akivuta hy bangi na ww
Hahaha bongo movie
Mtoto kiooo buana
Nani ameona amejikuna kwapa akajifanya anacheka kumbe ananusa
😂😂😂
Nilijua nimeona peke yangu, yan sijui kwa nini watu wanakuwa na kasumba hiyo ya kunusa hiyo kitu....
🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha licha ya janja janja ... wahuni mmeijua ioo
Kumbe Adam n mpare
Lkn mama yake nahis ni mu Arusha...
Mchomvu ni wapare
Kubwa zima kuongea halijui
Sio Kila mtu anaweza kuongea mbele ya camera
Ila naww unakili fupi
Ww unajua kuongea tukupe maua yk
Baba johniii ndo alfanya nikawa na sikiliza XXL ikiisha nazima radio big up kwa baba la baba mchomv
Woohf big up Sana 💪 kwenu du Adam Ni mnoma
Jaman hii Mchomvu ni wengi mm kaka angu ameoa hiyo familia jina la Mchomvi nao ni Wapare pia
Hii nguvu sna miaka 14 unaonjwa tu kama mboga😂😂😂😂😂
😂😂😂nimecheka sana leo wakat nackiliza xxl
waagwan rastaman 💞💞💞adam
Huyu ndio Q chief aliniamwambia Adam wazee wanamlia mzigo ngumi zikaanza 😂
😂😂😂😅
Mhhh wee muongo uliskia??
Kwa mpare mbn kawaida
Mrembo kweli
Wow! beautiful 😅
Oooh kumbe Adam kaka angu kabsaaa w Same, Mimi mwenywe mchomvu kaka...
❤❤❤❤
Hahaha 🤣🤣🤣 nimeona
Jamaa kapita na MISHIKAKI yote kakaribishwa nae kakaribisha
Atar mchovuu
Anaongea kama Salma Dakotta
Hata kufanana wamefanana kdg
Ni pisi 🎉
Dada mzuri ila Adam mchomvu sio mume Bora kwako atakupeleka Jehanamu unakubali kuolewa na mvuta bangi🤓🤓🤓🤓🤓
Kwani yeye hsvuti? Mnywa pombe yeyote ni mlevi wa kila kitu.
Mwanaume Bora kwake hajawahi kucheat
Kwahyo ni Bora kuolewa na mwanaume Malaya atakaeleta magonjwa ndani na kutelekeza familia kuliko mtu anaevuta bangi na kutulia zake,,,
Mjinga sana, bangi ina shida gani?
😂😂😂eti bangi inashida gn, Kwn ulimshuhudia akivuta hy bangi na ww
Hahaha bongo movie
Mtoto kiooo buana
Nani ameona amejikuna kwapa akajifanya anacheka kumbe ananusa
😂😂😂
Nilijua nimeona peke yangu, yan sijui kwa nini watu wanakuwa na kasumba hiyo ya kunusa hiyo kitu....
😂😂😂
🙄🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha licha ya janja janja ... wahuni mmeijua ioo
Kumbe Adam n mpare
Lkn mama yake nahis ni mu Arusha...
Mchomvu ni wapare
😂😂😂
Kubwa zima kuongea halijui
Sio Kila mtu anaweza kuongea mbele ya camera
Ila naww unakili fupi
Ww unajua kuongea tukupe maua yk