OUR LOVE STORY W/ BSS S13 WINNER- ASAGWILE (WA NYIMBO YA NDOA) AND JACKLINE | EP 07
Vložit
- čas přidán 2. 07. 2024
- Our Love story Podcast is a love genre chat podcast where two love birds chitchat on ho they met and their journey so far, including how they made each other in love
Leo ndo nimegundua kua ASAGWILE ni muhuni alieokoka😂😂🙌❤️
😅😅😅😅
Ila Asagwile 😂😂😂😂😂😂
So muhuni aliye okoka ni muhuni aliyeoa
HHahahahha
@@FreeGod368 😅😅
Nimeziwatch hizi interview lakini humu kuna utamu flani ambao siwez kusema....kweli nimependa sana 🔥🔥
Her Smile is CONTAGIOUS🥰🥰🥰🥰
Aliyetengeneza hiyo background beat ni nomaa
😂😂😂😂😂Kwenye Interview zote hii nimeipendaa snaa❤
hujaangalia ya Mwijaku wewe
Keep close this wife she is the best May God protect you against evil
This love story is so sweet….the girl is wow ❤❤❤mdumu adi mdumu tenaaa plus this season is very hot😊😊😊
Kweli mwanaume akikupenda anakutengeneza😊uwe kma anavyotaka na mkafika mbali Seim to women akikupenda atakuvumilia tu na lazima mfike mbaliiii🌹❤️🥰😍love is beauty thing this interview imenijenga pakubwa sanaaaaa😢😢😢😊🎉❤ Mungu awalinde mfike mbali zaidi
Kutengeneza ni swala lingine , na anae tengenezwa kukubari kutengenezwa/ kubadilika
awesome mungu awape maisha yenye furaha tele
Kila aliye muomba Mungu, Mungu hajaacha kumjibu😍😍
Wow Mungu anipe wakufanana nae kama hawa inavutia kwakweli MUNGU awalinde na kuwatunza muendelee kufurahia maisha yenu ya ndoa
I wish to be here someday
For sure thiz couple iz amazing ❤😍
Mdada anaongea kwa hisia kutoka deep from heart yani alafu mwana nae yuko na vibe daah its so interesting ❤
I really love this audition❤❤❤
Kabsaa ukicheat neema inaondok na kuitudishaa ni muda mrefu snaa
Moment moment moment moment moments.... mmh moments
= NA MAMOMENT😁😁
😂
😂😂😂😂
Neno" Moment" mtaanza kuitolea ada sasa mumeitumia sanaa aisee
But it's a good story ,so inspiring ❤
😂
😂
Lovely story wallahi ❤️
Kijana usijisahau sana mmpendesana mungu nakumtegemea yeyetu maana mungu ndio mtoa uhai mtoa afya mtoa rizki pia mnyan'gaji wa rizki nayeye pekeyake ndio anajua atakuhifazi wapi siku utakayo kufa na kufufuliwa yeye ndio anajua kwamba utaenda peponi au motoni yeye pekeyake ndie atahukumu wewe na viumbevyake vyote wakiwemo malaika na mitume yake kwahiyo waaminitu tume wake na malaikazake ila usiwaabudu. walakuwategemea kwa chochote kwaniwao niviumbe kama wewe ila waami kwayele waliokuletea kutoka kwa mola wao hapo utauna ufalme wa Mungu kupitia wao yesu sio mungu wala sio mtoto wa Mungu. Mungu hazai wala hakuzaliwa wala hana anaefanananae hata mmoja yeye pekee ndio wakuombwa na kuabudiwa na kutegemewa na viumbe vyake vyote. Wabilahi taufiq assalamualaikum.🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿
Am Elias from +257 Watching from +27 hilo swali la kucheat kajibu vizuri sana siyo eti amesema hakuachi nop but trust alionayo juu yako na anavyojua jinsi mnavyo mtanguliza MUNGU hivyo anaamini unahofu ya MUNGU na ukicheat basi utakuwa umaharibu kila kitu coz mnaishi kwa Neema ya yule utakuwa umeenda kinyume nae hakika umebarikiwa mke mwema amenifanya niendelee kuwa sahabiki yako and now ntakuwa shabiki wa familia yako siyo Asangwile wa BSS stay safe and blessed
Upo mji Gani SA Elias
May Almighty God lead this couple towards nice and favourable days❤🌹🥰
Beautiful Love Story indeed 🥰
Mshike sana huyu mdada anahekima ya kiungu ❤
Tuletee pastor rose na mumewe
This is the best one
Lovely story ❤
Duh ! Neno moment alipie Kodi huyu jamaa
Nimependa sana memories zenu
Mashallah wanapendana na wanafanana pia
hii nimeisubiria kwa hamu aisee...hatimaeee😊😊😊😊
😂😂😂 Qmmakeee zenuu Vijana Naona mmeamua kunimalizia Bando ila sema Asagwilee wee nyoko sana kijnaa😂😂😂🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥
I like it❤
Misuse of the word moments 😂😂anyways all the best
Mungu awatunze na kuwabariki sana
Lovely
Aloooo huyu mwamba anapenda shoo hatari 😂😂😂😂
So nice ❤
Napendag hiy couple kwakwel❤❤❤
Nawapenda sana🎉
Unafeel the vibe😂😂😂
Moment hii
Nimejua asagwile hawezi cheat❤️💯
❤❤❤❤❤leo
You can tell huyu dada ni mke haswa 👌😍
Daa hongelen mmetoka mbali mngu awabariki mfike salama
god bless you uuuu❤❤❤❤❤❤
Mwenyezi Mungu awatunze
Jamani mpaka raha ❤❤❤❤
Next year ntaiswa na babe wangu😂😂
Unamsifia mwanamke watakuchulia wahuni😂
Waooh
Good story but never call your mpenzi au mke wako “Baby” Never!!
Why??
duuuh koo kila siku waitane mke na mume tu
Kiukweli Na mimi nataman Niitwe kwenye hii podcast Mimi na my wangu
Ata Mimi
Sema jamaa linajua kuimba bhana
Dadeki hadi mnashawishi nioleke😅😅
Hii inakuja spotify lini??
Kipaji chako kikawe baraka na faraja kwetu.
Situmi tena neno moment limesha pitwa na wakat 😂
Watumie nn mwambie bas watumie neno gan🤔🤔
Daa alikua kijana wa ovyo😂😂😂
Nimeipenda sanaa hii I like it ❤️❤️🌟🌟⭐️⭐️💕💕😻😻👍👍
🔥🔥
Haka kadada ni kazuri ❤
Sanaa
Kameumbika 🌹🌹
Saana
hahahaha😂😂😂 Alooh anauwivu huyu kaka
Vina mudaaaaa# Kama Cristina
Nice
2letee bestking na edith❤❤🎉
Wote walikuwa wa hovyo
🙌🏽🙌🏽 ❤️💯
❤❤❤❤❤
CHEMISTRY MATTERS
Exactly
Asee naoa 😂😂
I love everything about it...but one thing i have learned about it is your wife's biggest fear is you cheating on her....
Hawa mbwa ukiwOmba hela wanaona unashida nazo 😂😂😂tunataka kujua je nikikwama mama mtu utanisapoti 😂😂😊
Mamoment na manini
kuogaaaa aaahhh😊😊😊
😂😂
Asagwile moment 🤣
😂😂😂😂 na vibes 😂
Muinjilisti aliye changamkaa😂😂😂
Nimeamini kwakweli mwanaume asipokupenda atakuomba hela 😂😂😂😂😂shindwa kwa jina la Yesu
Nyie amuombi hela??? Acha ukichaa kenda wew
🤣🤣🤣🤣
@@IdarousPossy I rebuke you in Jesus name
@@sarahtaste2876 kwendraaaaaaaa na huyo yesu
@@sarahtaste2876 jesus jesus kwendraaaaàaaaaaaaaa..laan tulwah.
❤❤
❤❤❤❤❤❤
Iyo code ya kuoga ibaki ivyo asiikuingilie😂😂😂
😂😂😂😂
@@mangindule 😂😂😂
❤❤❤❤
Walete wolper na mitindo awamu ijayo tena tuwasikie
Sasa ume okoko ila unava nguo nusu uchi 😢 matakonjenje🤔
Amepata mwanamke anahekima sana
Dada mjanja sana huyuuuu😂😂😂😂
Nimecheka sanaa jmn eti toka pepo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nimemuisabia neno MOMENT Kalisema mara 156
😂😂😂😂
😂😂dah
😂
🎉🎉🎉🎉
❤
Dah hii interview 😊😢🙌mng angekua anaitikia na kitutendea papo Kwa papo Leo ningeomba mume kama hyu anijie maishan mwang🕊️😎
👆
Usijal dear anasikia atakupa wako mzuri usiache kumuomba
Mmnyakyusa ni mnyakyusa tu
Duuuh😢
53:53-54:53 only psychopath will understand
Maneno magumu
Muhuni kajilipua humuuuuuu😂😂😂
mtumishi alikua anapenda kufunua mathayo😂🤣
Na wakorintootoo
Hapo kwenye mzima mzima sasa ndo inatutesa wengi😂😂
MUNGU awabsliki sana
I love it ❤
God bless us too