EXCLUSIVE: MASTER JAY - kwa mara ya kwanza afunguka kuvunjika kwa Ndoa yake/ mahusiano yake na SHAA
Vložit
- čas přidán 7. 09. 2024
- Hii ni sehemu ya kwanza ya Interview yetu ambayo ameongea mambo mengi sana sana kuhusiana na maisha yake binafsi ambayo hakuwahi kuyaongea popote na mengineyo, uchaguzi alioshiriki wa ubunge na mengi mengineyo
kuna sehemu ya pili ambayo ameongelea mengi itakayokujia hivi punde
Kwa nini master j asiwe mwenyekit wa basata embu nipen like zangu
Anaweza kwel!!
I think mtu akiongea kwa utulivu anakuwa real na unamjua mwenyewe halisi.Master ur a gentleman.
MJ is such a gentleman. Natamani wanaume wote wawe kama yeye. You just love your family a lot na hujataka ugomvi wenu na your ex wife watoto waathirike psychologically may God bless you for that
Master J umezidi kua young en handsome. BG up Mtu wangu .
Master your so Genius 🙌 Maproducer wanamaisha magumu sanaa fanya Uwasaidie maana master wewe ni msomii najua Unawezaa
Hongera sana master J kua na msimamo kwenye mahusiano yako Shaah ndie mkeo halisi mungu awasimamie muweze kufunga ndoa hongera yake shaa kwa uvumilivu mkubwa mungu mungu awasimamie inshaallah
Excellence interview, I like the way the man is answering the question, it is professional
Nc
Interview ni nzuri, japo sauti ya host Zamaradi ipo chini, ni kama unanong'oneza, kuna mpishano mkubwa kati ya mtangazaji na Master Jay.
Kama anatongozwa bwana🤣🤣🤣
Hongera sana Zama hasa kutoa ile back sound ilokuwa inapugwa yani ilikuwa inaharibu sana maana interview ilikuwa hasikiki kabisa, sasa hivi tunakia mazungumzo yenu vizuri sana kama tuko sitting room wow. Good job
Nakukubali Sana Kaka kuna mijanaume ikiachana na mkewe anamfukuza na watoto anawatelekexa yeye anabaki ndani na mke mwingine watoto wanabki wanaangaik
Bravoooo...ucfe moyo penye uhai mbele ya safari naamini utawakilisha InshaAllah
Wewe ni baba bora Wa kwanza nimekuona hasa kujali familiya
Unasikiliza Interview had unatamani isiishe siyo wale wengine.......
Halaf wametupunja muda dk46🤔
Naogopa
Zamarad umependeza sana sana.naomba uwe hv kila cku..sio yale mapodoz ya cku za nyuma kw kweli hapana .Wewe ni mrembo sana Chunga sana uvaaji wako..na huyu aliekupamba Leo shkamoo yke ,hongera sana.sisi mashabik wako tunakupenda tukuone hvi kila cku hutuangush.
Yani kipindi kizuri sana ila zamaradi unanong'ona sana unae muoji anatoa sauti wew upo chini sana
Zama pls huyu aliyokuremba ndio kaupatia haswa mshikilie huyo awe anakutemba kila siku,
Yaani make up imekaa vizuri sana
Umeonaeeeh
Kapendeza sana leo
Nikweli kabisaa amemremba vizuri sana
Ata mm nmeona
Hay ndio mamb tunayatak unawalet wakin uchebe hawajuw hat kujibu maswali ila hap tunaenjoy kabisa
🤣🤣🤣🤣
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@@beatricetenywa4367 si kweli ila kitu anamuaachia allah sasa alikuja kufanya nin
@@najmakikula4929 😂😂😂😂dah
UtasemA hana mdomo
Exactly umoja ni nguvu, powerful words Master J
Hahaha Master umenifurahisha sana et nimebaki na kipara changu dah hahahah
Hahahaha
Hahahaaa
🤣🤣
Master daah hakika Mungu ndio kila kituuuu
Pole poppppppplopppppppppppppppppppppppppppppppppppp
Tume enjoy na *Master J* c haba one love 👍
Dada jamani sauti inasumbua hebu jaribu kulifanyia kazi Dada, I'm watching you from Reunion island, Amejielezea vizuri sana kuna mengi ya kujifunza ila sauti yako iko chini na sauti ya upande wa pili iko juu sana❤
Nice interview. Sasa hawa ndio watu wa kuwahoji...ukimalza kuona una gained MADINI
Zama uwashe hata feni basi ama sehem iwe na AC au kaupepo..... Wageni wako wanajifuta sana jasho, na kaglas kamaji kawepo piaa
Kabisa.. maana Master J anaonekana kuteseka kila saa anajifuta uso sjui ndo mapoz yake ya kuongea
@@janemhagama1925 sio mapozi yake hata, angalia hata interview ya Lukamba atlist alikua na tissue anajifuta jasho. Nadhan Zama aliangalie hilo kwa wageni wajao....
Hasomagi comments naona
Labda ipo
Yanii kuhusuu maji tissue kashauriwa sana sjui hasomi comment
Master J big up bro🥂👏🏽👏🏽
Wow shaa umebahatika masha Allah mufunge ndoa tu ndio nawaombea
ila we ni Mwanaume 🙌
Umeongea point. Ndoa ikiwa na ugomvi ni bora mmoja aondoke.. Inaharibu hata watoto
umependaza sana zile rasta zilikua zinakuzeesha
Kweli
Kapendeza sana pia
Best interview..master Jay ww ni mwanaume na nusu..hukupenda familia iteseke
Master J amependeza sn,Grey Suit with Raba,so smart,
Wow, interview nzuri kama kawa
Enterview km hizi ndo tunataka sio zakina harmorapa iseee.
Zama watu kaa uchebe usituletee ten tunapenda watu wanaojielewa maan ya intev
Umeongea 100%hajui mana ya intv kma muhuni wa manzese mamae
Kabisa yaan umeongea point dear
Hahaha yan wewe
Grate father hongera Sana
Supa interview. Usilolijua ni Sawa na usiku wa give. Baba anajielewa Sana huyu. Big up. Zama husikiki kabisa
Master J .. we met at the airport in Dar 20 years back and you are still the same.
Nampenda Master Jay sana na huyo Shaa.
Anaongea vizuri, Interview iko poa sana.
Fanya namna umhoji Salama na Lea Mwendamseke plse!.
Ľ
🔥🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧 master J ❤️
Dada zama tunaomba , interview nyingine uongeze sauti yako ,ni ndogo Sana hatusikii
Yani hapo umeongea, na tushukuru hata ametoa ile back sound walokuwa wanapiga wakati wanaongea
Mama works with the UNDP
Dah.....upo vizurii jamanii unamuamini Mungu safi sana!!
Zamaradi ongeza sauti kwenye interview zako
Woooow
Wanaume wa kichaga ni kaka zang na baba zangu wanajua kupenda sana especially familia zao sisem wengine hawajui sijui upande wa wengine lakin wanaume wa kichaga kweny familia zao
Zama jitahidi kua unapandisha sauti yako kidogo
Kweli kabisa zama kwenye Sauti unaboa sana my jitahidi kwahilo ukitaka kumckia vizur uvae foni
Nikadhani labda simu yangu
Madai yake.. yuko sex and romantic.. mxiuuu
Jamani naweza kupata number ya master j, for construction business
🔥😂😂🔥huyo mwanamke anakupenda bdo ndo maana alikuwa atak umpe talaka leo ndo nimepata jibu kwann mmekaa na shaaa mda mrefu kwenye mahusiano usingeweza kumuoq shaaa wakat hujampa talaka mke wako
Unajua kujibu maswali sana
I really enjoy the show
Nimependa Sana ulivyomtaja mungu kuwa nguzo wengine wangetaja RICKROSE, DAVIDO, NICKMINAJ
Master Jay
Master J, anapendeza zaidi hivi sanaaa.
Kuliko Rasta..
Brother unatufaa pale Basata kabisaaa..
Ila sisi vijana wabunifu ndo tunaumia drone cameras tunalipia, CZcams tunalipia..
Daaaahhh😢😢
Hii ni Tanzania Tu..
Sauti ya tangazo iko good ila ya kwako sasa hm?!
Master jay Ur the best babaaa
Aliyemsikia Master J anasema amebaki tu na KIPARA CHAKE, agonge "like" hapa. Hahahaaaa.
Kumbe master j,unaekima ivyo
Nice interview 👏👏
Katika watu niliowahi kuwaona wana rasta Master J pekee zilikuwa zinampendeza wengine naonaga vituko tu. Nimesikitika alivyozikata jamani
Best interview
Dd zama (dada wakazi vp mbona kimny
Hongera mpendwa MUNGU Akutunze.
sijui kwanini, vipindi vyote vya TV afrika havina sauti ya kutosha, wamelogwa??
Nakupenda dada zamarad
I just love this interview
Master you talk madiniii
cheeefu kukunja nne iyo vpi mnakera
Zama asante kumleta master pia nakushauri utuletee na wajasiliamali walioanzia from scratch
Nice interview
Very honest man.
Master j na p funk ndo ma legendary wa huu mziki
Boresha kipindi chako sana, yaani najikuta nafoward
Sauti,sijui na camera man wako...mara tunaona miguu tu...
Kwa kweli Zama wewe husikikikabisa sauti ndogo
Body language mikono imefungwa Zamaradi...` open yourself up watu wa nchi za nje wana angalia hii shoo sio wabongo tu
Nasubiri sehemu ya pili
Interview tamu hii jamani
Yani zama sikuizi interview zako ata siangalii kwajili ya sauti jaribu kurekebisha hilo jamani 😢
Inaonekana chumba anachofanyia interview hakina vitu vingi sauti inajirudi ndani
anaboa kweli sauti anabana
Master saut inasikika lkn huyo zama kam anatongozwa vile kisaut cha hiniiiiii
Zama una host vizuri Sana dia
Sauti da zama,sauti ndogo sana
Sauti yako Zama ipo chini sanaaaa
Lovely interview, big up sana Zama ila kama mmeikatisha sana. To Mj, ubarikiwe, unahekima sana.. continue with the good work.
Nice interview..zamaradi solve sauti
Master very Genius
Big up Zama bonge la Interview
Sauti ndgo Yani bila earphones uenjoy
Kosa sana kuachana, na MUNGU BABA hapendi na hajawahi kupenda, kunakutolea hesabu. Hakuna jambo lisilokuwa na toba au msamaha! Kuweni makini.
Imekuwa kubwa
Kweli kabisa watu wanaiga mambo ya dunia na kuona n kitu cha kawaida
Yani anaakili uyu interview hadi raha
Zama ur voice is too low jmn , Master J anasikika vzr sn
Kweli haskiki
Kama anamtongoza bana
Kabsa,bora kumove on
Furaha ya mtu ndio muhimu Leo hii nashangaa kina chuchu Hans wadhalilika kwaajili ya kitoto kimoja tu
Master nakubali sana
Duh Yan zamarad anaongea sauti ya mahaba Sana duh unazingua sister toa saut sister utasema kipind Cha mahaba.
I think u have same history like me and wife
Dread na Rasta wht is different?
The interview title ingesema pia kwamba inahusu his life story or having a producers front, and that was a very interesting part as well, not making it as if the whole interview is about his love life.
Da zama fen pls,sio kwa kujifuta jasho
The best interview..love from Kenya 🇰🇪
Wajumbe wabaya sana 🤣🤣
Dah broh you just talking fact
Mishono ya vitenge MAHARUSI nk
Bonyeza link pia usisahau kusubscribe
czcams.com/video/XJhHfxDpRdQ/video.html
Uko juu baba
Safi