ISHA MASHAUZI ATAKA KUMTEMBEZEA KICHAPO MPENZI WAKE"AKINISOGELEA NAPASUA MPAKA CAMERA ZENU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
    NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
    TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
    INSTAGRAM @pmtvtz
    TWITTER @Pmtvtz
    TIKTOK @officialpmtv

Komentáře • 69

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před měsícem +4

    Pole sana mdogo angu nimeamini unamisimamo

  • @user-lv2vq5bq2q
    @user-lv2vq5bq2q Před měsícem +1

    Isha msamehee mpezi wk mlipendezaa saaaaaanaaa miii nilikuwa nawafatilia nawapenda❤❤

  • @user-mg9ye1mj7x
    @user-mg9ye1mj7x Před měsícem +3

    basi uliamua kuachana nae sms jamani

  • @irenendutta7100
    @irenendutta7100 Před měsícem +1

    Yaan wanachofeli hawa dada zetu walioyapata maisha mfano ni huyu isha na shilole ni kuwa na mahusiano na vijana wadogo, ambao ndo Kwanza wanaanza mihangaiko ya maisha alafu pia wao hawajui Kama hao wanahitaji size zao za kuanza nao maisha na kuzaa watoto, labda ili wasiteseke wawatafute hao vijana kwa lengo la kuwatoa jasho tu lakini wawaache na future zao hapo watawine

  • @zeyadazeyada8050
    @zeyadazeyada8050 Před měsícem +2

    Msamehee banna isha 😢😢

  • @farajis3dtech306
    @farajis3dtech306 Před měsícem +1

    Kama umeskia sauti isha mashauzi inafana na ya gigi kwa mbali

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před měsícem +1

    Jamaa lazima alie sana tu Jishangazi hilo dah hiyo midude mitamu mabaharia hehehe yaani we wacha tu

  • @christinamsoka
    @christinamsoka Před měsícem

    Nakupenda sana Isha pole kwa mapito .usijali yatapotea nayo

  • @NewNew-ep5dq
    @NewNew-ep5dq Před 26 dny

    Dd isha msamee kashajilekebisha

  • @MajidAlrawahi-p3k
    @MajidAlrawahi-p3k Před 12 dny

    Kwan wew hkoseagii utamkumbukaa ipo sku utamkumbkaa mabango sawa kaonbaa msamh lkn htki ipo siku tu

  • @GloryAmainer
    @GloryAmainer Před měsícem

    Dah Isha msamehe walah wanaume usiwaamin unampiga Leo mchana jion anakwenda kupozwa na mumeo 😅😅😅

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem +1

    Yan mie had nacheka umri huu nikae kuongelea mapenzi duuh mtihan wallah

  • @IshaFereji
    @IshaFereji Před měsícem

    Ingekua sms ingekua inavunja ndoa kusingekua na ndoa au watu wengi wangekua single

  • @sajdatomar6025
    @sajdatomar6025 Před měsícem

    Sms kaachwa watu wanawakuta wanaume zao juu ya vinena wanawashusha wanarudi nao nyumbani maisha yanaenda mi nadhan angemsamehe tu atlist angefumania au angekuta picha za maajab wametumiana lkn sms tu real

  • @AbdulatifAli-ps5bt
    @AbdulatifAli-ps5bt Před 24 dny

    Ww unalengo lako hukua na lengo la mapenzi kwa huyo kaka ww kwani humkosei mungu wako tena chaajabu ww nimuislam please msamee huyo kaka anavyo ongya niwazi anaapenzi ya zati

  • @SaudaOmary-pi9si
    @SaudaOmary-pi9si Před měsícem

    Da Isha naomba msamehe shemeji kwani baadhi ya watu awapendi nyinyi mnavyopendana inawa kawa Kuna mtu kawachezea mchezo ili nyinyi muhachane

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo Před 26 dny

    Ndiyo matatizo ya kuwa mtumzima kupenda wtt wadogo
    Wtt wadogo damu inachemka

  • @mariamibrahim6544
    @mariamibrahim6544 Před měsícem

    Ulikaa sng muda mrefu, bango kakuuza isha

  • @mercydirisha8903
    @mercydirisha8903 Před měsícem

    Isha please mwanangu mahusiano ni safari ndefu tulia usitangaze press be cool natamani nikuone uso kwauso

  • @sadickathuman8068
    @sadickathuman8068 Před 22 dny

    Huna malengo 😂😂😂

  • @DavidDavid-wf5ug
    @DavidDavid-wf5ug Před měsícem

    Mashauzi safari Hii umeniudhi kuzungumuzia mapenzi yenu Kwa media mambo ambayo mngemaliza ndani na mkaachana kimyaa kimyaa Sasa mchele mbele ya kuku WENGI .

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Před měsícem

    Sasa kwani kunandoa?? hata amtaje? Hakuna ulazima

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 Před měsícem

    Ndo shida ya hawa vijana ndugu yangu aisha tafuta pesa tuy wanaume unao wataka watakuja tuy

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr Před měsícem

    Jmn si kijana anasema hata asingekuwepo duniani ungetamani ubaki hata na chat a yake.sema tu mambo yamevurugika.sema kinachokutia hasira ni alivoanza kusema hakuna anachokumbuka kutoka kwako

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 Před měsícem

    Leo ndo nimejuwa kama Ni kiki

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu Před měsícem +1

    Ulimsifia sana kwa muda mfupi tu ulimt angaza kwa sifa zo te na muda mchache tu mnaza lilishana jamani mt ihani sana

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před měsícem

    Mnafundisha watu kuwa wezi wambieni gali haliji kwa jelo

  • @pyraxme
    @pyraxme Před měsícem

    Isha msamehe huyo kaka jamani hawezi rudia tena

  • @mathewjames4325
    @mathewjames4325 Před měsícem

    Kwa nini mahusiono mpaka kwenye vyombo vya habari? Mgeachana polepole maana uwezi jua mkirudiana utakuwa umemaliza maneno kayamalizeni wenyewe kimya kimya huo ndio uungwana

    • @zaidihussein4311
      @zaidihussein4311 Před měsícem

      Uyu ni maharufu watu maharufu ndo maisha Yao haya ata ww ungekua maharufu unge fanya hivyo hivyo

  • @SaidMkome
    @SaidMkome Před měsícem

    Ayo mbona sio maisha uko ccta afu ufanani nayo kabisa yani ccta embu kausha

  • @user-np5rp2fi5t
    @user-np5rp2fi5t Před měsícem

    Ila isha msamehe huyo mmeo jaman mlipendezana wenyew

  • @user-sq6sl3tb3j
    @user-sq6sl3tb3j Před měsícem

    Umezingua😊

  • @KuluthumuMsuwakollo
    @KuluthumuMsuwakollo Před měsícem

    😢😢nilikua nawapenda nyie jmn

  • @AbdulhaamidSoud
    @AbdulhaamidSoud Před měsícem +1

    Sms tu uvunje mahusiano? Bado hujapea unautoto Isha!!!!!!!

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i Před měsícem

      Usionbe yakukute ndogo yategemea na hizo sms 😮

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před měsícem +1

    Kumbe hamna ndoa

    • @QUEENBEEOG
      @QUEENBEEOG Před měsícem

      Kwaiyo

    • @user-dq1lm2be2u
      @user-dq1lm2be2u Před měsícem

      @@QUEENBEEOG asiumize kichwa Mungu kamuonyesha mapema atamletea wa kumuoa

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před měsícem

      Mtu mzima mitandaoni kulilia zinaa lol lasna tu

    • @QUEENBEEOG
      @QUEENBEEOG Před měsícem

      @@user-dq1lm2be2u watarudiana hao tukae hapa

  • @user-gb3fk1yt8n
    @user-gb3fk1yt8n Před měsícem

    Kabis. Dadangu

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před měsícem

    Wewe jieshimu dada iyo niaibu unajizalilisha loo chef

  • @hdbd8187
    @hdbd8187 Před měsícem

    Msamehe dadangu

  • @LevinaMiteo
    @LevinaMiteo Před měsícem

    Snura alikuja na kuacha mziki watu wamapishi waka potea isha nae kaja na jambo lake tumemsahau snura 😂😂😂 bado wengine

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 Před měsícem

    Ah uzinzi tu shetani keshafanya yake

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf Před měsícem

    Da Isha aachana nae mshamba tu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 Před měsícem

    Acheni hiyo dhambi ya kuwachezesha watu kamari nyie Mungu awahukumu kwa dhambi hii.

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před měsícem

      Naliza kwani huyu kaolewa au mwanamme wake tu mbona sielewi na kana mwanamme wake tu kwanini watu wanashadidia zinaa na huyu isha kakosa haya mtumzima mitandaoni anajijashif kwa zinaa tu kishalaanika lol

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z Před měsícem

    Dada msamehe Tu

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před měsícem

    Isha umepooza huna furaha kama ambayo ulikua nayo Wakati upo na mabango

  • @jeremiamwankusye9260
    @jeremiamwankusye9260 Před měsícem

    Style zenu wa DADA WA MJINI ulishamchoka uyo jamaa ulichoķuwa umebakisha n kumtafutia sababu ya kumuacha ( kibaya zaidi uyo jamaa akujua hiyo n tabia yenu wa Dada wa mjini )
    Yan akujua tu ila asingesubu kukupigia sm, kukuongeĺea popote, hatakumuona sura yake tangu ile siku ulivyojitangaza kuwa uko_single
    Hahahaaa...
    Auini abui mtu mzima unautangazia umma kuwa uko_single ili itusaidie nn? Tunataka mziki Dada ayo mengine na MFUGO wako kaa nayo kwako...
    Stupid & weak

  • @zamaliabdulkarim5598
    @zamaliabdulkarim5598 Před měsícem

    Nilicho gundua hii ni kiki

  • @user-so8hh3qo3l
    @user-so8hh3qo3l Před měsícem +3

    Da Isha kiukweli mimi nilikupenda SANA ila nilikuwa sijui nitakupata vipi na bado sijafanikiwa kupata namba yako nikiipata namba yako nitafurahi SANA wewe ni embe dodo I LOVE YOU

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 Před měsícem +2

      Nenda oficni kwake utampata

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před měsícem

      Au ndo nyie vijana wadowezi umpende ili ule ubwabwa wa bure

    • @AbasiJeilani
      @AbasiJeilani Před měsícem

      Kijana unataka Ajira naona😂😂.

    • @user-so8hh3qo3l
      @user-so8hh3qo3l Před měsícem

      @@AbasiJeilani Hapana Kaka mimi nafanya kazi tayari Technogel Italy ahsante shukran ila nimempenda tu kama wewe namba yake unayo nipatie

    • @AbasiJeilani
      @AbasiJeilani Před měsícem

      @@user-so8hh3qo3l Sina namba yake kaka.

  • @ScolaMasanja-fg7hi
    @ScolaMasanja-fg7hi Před 29 dny

    Vitu gan hivyo au n vyahalamu