ISHA MASHAUZI ATAKA KUMTEMBEZEA KICHAPO MPENZI WAKE"AKINISOGELEA NAPASUA MPAKA CAMERA ZENU
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz/en...
NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA TOYOTA HARRIER NA NISSAN X-TRAIL
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtvtz
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @officialpmtv
Pole sana mdogo angu nimeamini unamisimamo
Isha msamehee mpezi wk mlipendezaa saaaaaanaaa miii nilikuwa nawafatilia nawapenda❤❤
basi uliamua kuachana nae sms jamani
Yaan wanachofeli hawa dada zetu walioyapata maisha mfano ni huyu isha na shilole ni kuwa na mahusiano na vijana wadogo, ambao ndo Kwanza wanaanza mihangaiko ya maisha alafu pia wao hawajui Kama hao wanahitaji size zao za kuanza nao maisha na kuzaa watoto, labda ili wasiteseke wawatafute hao vijana kwa lengo la kuwatoa jasho tu lakini wawaache na future zao hapo watawine
Msamehee banna isha 😢😢
Kama umeskia sauti isha mashauzi inafana na ya gigi kwa mbali
Jamaa lazima alie sana tu Jishangazi hilo dah hiyo midude mitamu mabaharia hehehe yaani we wacha tu
Nakupenda sana Isha pole kwa mapito .usijali yatapotea nayo
Dd isha msamee kashajilekebisha
Kwan wew hkoseagii utamkumbukaa ipo sku utamkumbkaa mabango sawa kaonbaa msamh lkn htki ipo siku tu
Dah Isha msamehe walah wanaume usiwaamin unampiga Leo mchana jion anakwenda kupozwa na mumeo 😅😅😅
Yan mie had nacheka umri huu nikae kuongelea mapenzi duuh mtihan wallah
Ingekua sms ingekua inavunja ndoa kusingekua na ndoa au watu wengi wangekua single
Sms kaachwa watu wanawakuta wanaume zao juu ya vinena wanawashusha wanarudi nao nyumbani maisha yanaenda mi nadhan angemsamehe tu atlist angefumania au angekuta picha za maajab wametumiana lkn sms tu real
Ww unalengo lako hukua na lengo la mapenzi kwa huyo kaka ww kwani humkosei mungu wako tena chaajabu ww nimuislam please msamee huyo kaka anavyo ongya niwazi anaapenzi ya zati
Da Isha naomba msamehe shemeji kwani baadhi ya watu awapendi nyinyi mnavyopendana inawa kawa Kuna mtu kawachezea mchezo ili nyinyi muhachane
Ndiyo matatizo ya kuwa mtumzima kupenda wtt wadogo
Wtt wadogo damu inachemka
Ulikaa sng muda mrefu, bango kakuuza isha
Isha please mwanangu mahusiano ni safari ndefu tulia usitangaze press be cool natamani nikuone uso kwauso
Huna malengo 😂😂😂
Mashauzi safari Hii umeniudhi kuzungumuzia mapenzi yenu Kwa media mambo ambayo mngemaliza ndani na mkaachana kimyaa kimyaa Sasa mchele mbele ya kuku WENGI .
Sasa kwani kunandoa?? hata amtaje? Hakuna ulazima
Ndo shida ya hawa vijana ndugu yangu aisha tafuta pesa tuy wanaume unao wataka watakuja tuy
Jmn si kijana anasema hata asingekuwepo duniani ungetamani ubaki hata na chat a yake.sema tu mambo yamevurugika.sema kinachokutia hasira ni alivoanza kusema hakuna anachokumbuka kutoka kwako
Leo ndo nimejuwa kama Ni kiki
Ulimsifia sana kwa muda mfupi tu ulimt angaza kwa sifa zo te na muda mchache tu mnaza lilishana jamani mt ihani sana
Yan wasanii hawaoni tabu kuonekana tupu zao na kila mwanamme
💯👌
Mnafundisha watu kuwa wezi wambieni gali haliji kwa jelo
Isha msamehe huyo kaka jamani hawezi rudia tena
Kwa nini mahusiono mpaka kwenye vyombo vya habari? Mgeachana polepole maana uwezi jua mkirudiana utakuwa umemaliza maneno kayamalizeni wenyewe kimya kimya huo ndio uungwana
Uyu ni maharufu watu maharufu ndo maisha Yao haya ata ww ungekua maharufu unge fanya hivyo hivyo
Ayo mbona sio maisha uko ccta afu ufanani nayo kabisa yani ccta embu kausha
Ila isha msamehe huyo mmeo jaman mlipendezana wenyew
Umezingua😊
😢😢nilikua nawapenda nyie jmn
Sms tu uvunje mahusiano? Bado hujapea unautoto Isha!!!!!!!
Usionbe yakukute ndogo yategemea na hizo sms 😮
Kumbe hamna ndoa
Kwaiyo
@@QUEENBEEOG asiumize kichwa Mungu kamuonyesha mapema atamletea wa kumuoa
Mtu mzima mitandaoni kulilia zinaa lol lasna tu
@@user-dq1lm2be2u watarudiana hao tukae hapa
Kabis. Dadangu
Wewe jieshimu dada iyo niaibu unajizalilisha loo chef
Msamehe dadangu
Snura alikuja na kuacha mziki watu wamapishi waka potea isha nae kaja na jambo lake tumemsahau snura 😂😂😂 bado wengine
Umesahau amisa nae kwa zzk
Ah uzinzi tu shetani keshafanya yake
Da Isha aachana nae mshamba tu
Acheni hiyo dhambi ya kuwachezesha watu kamari nyie Mungu awahukumu kwa dhambi hii.
Naliza kwani huyu kaolewa au mwanamme wake tu mbona sielewi na kana mwanamme wake tu kwanini watu wanashadidia zinaa na huyu isha kakosa haya mtumzima mitandaoni anajijashif kwa zinaa tu kishalaanika lol
Dada msamehe Tu
Isha umepooza huna furaha kama ambayo ulikua nayo Wakati upo na mabango
Style zenu wa DADA WA MJINI ulishamchoka uyo jamaa ulichoķuwa umebakisha n kumtafutia sababu ya kumuacha ( kibaya zaidi uyo jamaa akujua hiyo n tabia yenu wa Dada wa mjini )
Yan akujua tu ila asingesubu kukupigia sm, kukuongeĺea popote, hatakumuona sura yake tangu ile siku ulivyojitangaza kuwa uko_single
Hahahaaa...
Auini abui mtu mzima unautangazia umma kuwa uko_single ili itusaidie nn? Tunataka mziki Dada ayo mengine na MFUGO wako kaa nayo kwako...
Stupid & weak
Nilicho gundua hii ni kiki
Da Isha kiukweli mimi nilikupenda SANA ila nilikuwa sijui nitakupata vipi na bado sijafanikiwa kupata namba yako nikiipata namba yako nitafurahi SANA wewe ni embe dodo I LOVE YOU
Nenda oficni kwake utampata
Au ndo nyie vijana wadowezi umpende ili ule ubwabwa wa bure
Kijana unataka Ajira naona😂😂.
@@AbasiJeilani Hapana Kaka mimi nafanya kazi tayari Technogel Italy ahsante shukran ila nimempenda tu kama wewe namba yake unayo nipatie
@@user-so8hh3qo3l Sina namba yake kaka.
Vitu gan hivyo au n vyahalamu