ISHA MASHAUZI kuachana na Muziki wa Taarab mazima?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 02. 2024
  • SABRA MACHANO Arudishwa tena mtaani. Don't miss it!. • Breaking news: SABRA M...
    BREAKING NEWS: Aliekuwa Mkurugenzi ZSSF Sabra Machano Apokea Barua ya kusimamishwa kazi tena na kuuhabarisha uma taarifa hiyo mnamo tarehe 20 FEB 2024.
    .
    .
    .
    Queen of the best Melodies ISHA MASHAUZI afunguka na kuweka bayana shutuma za yeye kuupiga chini muziki wa Taarab na kuelekeza nguvu zake upande wa pili.
    English translated:
    Queen of the best Melodies ISHA MASHAUZI opens up and explains the accusations of which she dumped Taarab Music and directing her energies to the other side.
    NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 066 - SINIA ''Isha Mashauzi''
    ''NG'ARI NG'ARI 2022 SEASON - Epsd 066 - ''SINIA'' Aired on Cloudstv on 17 February 2024.
    Producer: Sakina Lyoka. @sakinalyoka_
    Camera: Juma Katunda @jumakatunda
    Editor: Junior Syaary @Juniorsyaary
    Tazama Kipindi cha NG'ARING'ARI Clouds Tv kila Siku ya JUMAMOSI Saa 3 Kamili Usiku (09:00pm).
    Marudio: Jumapili saa 12 Jioni (06:00pm) & Jumatano saa 7 Mchana (01:00pm).
    Angalia Cloudstv kupitia:
    ⎮ Azam channel no. 403 ⎮ Dstv no. 387 ⎮ Startimes no. 109 / Antenna 497
    #ishamashauzi #sinia #ngaringari

Komentáře • 52

  • @fatmaabdalla1641
    @fatmaabdalla1641 Před 4 měsíci +11

    Hongera dadaaaa tafta pesa kwa njia zuri mziki c mzuri akhera weeee waachie apo wanaozeeka majukwaan ata kupanda ngazi mpk washikwe

    • @baimarrajahbuayan6237
      @baimarrajahbuayan6237 Před 4 měsíci +1

      😅😅😅😅

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 4 měsíci

      Good job my sister love you ❤

    • @sholanjelu7692
      @sholanjelu7692 Před 4 měsíci

      Mh! Kwa hyo mziki ni dhambi ndo nakusikia wew, hii Kali ya mwaka

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před 4 měsíci

      @@sholanjelu7692 ww unahisi mziki ni ibada au

    • @SamiraameirSamira-qt9yn
      @SamiraameirSamira-qt9yn Před 4 měsíci

      ​@@sholanjelu7692duh Pole sn kwahio ww unajua km mzki ni thawabu au duh Pole tn Pole sn umeniahangaza kusema hujui hatar ya mwaka hii pia tuseme innalillah wanna ilah rajiun

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 4 měsíci +5

    Mashaallah 🎉

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Před 13 dny

    Aisha❤❤❤🎉🎉

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Před 4 měsíci +5

    Nawapenda sana Sakina na Isha❤

  • @nizwaoman8378
    @nizwaoman8378 Před 4 měsíci +4

    Dada aisha umenikumbusha mbali nakupenda sana napenda unavyo imba Big up

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 4 měsíci +2

    Masha Allah Nawapenda wote🎉

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl Před 4 měsíci +2

    Allhamdulilla maashaallah. Jitahidi kujiifadhi nduguyangu katikaiiman

  • @ibrahimmusamohamed773
    @ibrahimmusamohamed773 Před 4 měsíci +1

    Dada Mashauzi PLZ Endelea happy Umefika mmi nipo Mombasa Namiza MATEEE

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před 4 měsíci +1

    Insha aliniimbia kwa harus yangu❤❤❤❤NAMPENDA na sakina lyoka

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q Před 4 měsíci +1

    Dada nakupenda sana

  • @mishiabdul2834
    @mishiabdul2834 Před 4 měsíci +1

    Mashalla asha mashauzi ❤❤❤

  • @user-mi7cd8ch1b
    @user-mi7cd8ch1b Před 4 měsíci +1

    I love you my sister's nyie ni wapambanaji❤❤❤

  • @user-up7hg9fs9u
    @user-up7hg9fs9u Před 4 měsíci

    Isha pika pika nakuimba pia imbaaa❤❤❤❤❤

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx Před 4 měsíci +1

    Maashwaalhwaaa napendaa sauti yakooo

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 Před 4 měsíci +3

    Hapo ndo utapata mwanaume wakikuona maana wanaume wanapenda mwanamke anaehangaika namavyakula maana wanajua unakuwa nahela kila saa wanaume wanapenda vyaubwede ili nae awe anakula

  • @user-dl7ny9jr9r
    @user-dl7ny9jr9r Před 4 měsíci +3

    Da isha naomba kazi hapo kwako plz najua kupika vyakula mbalimbali india food na arabu food

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci +1

      TUPO KINONDON STUDIO KARIBU NA kANISA LA PINDA(mtaa SHENTEMBAA)
      📲0627292298(kwamaelezo zaidi)
      TUPOWAZ SAA2:00ASUBUH -6:00USIKU.

  • @user-sn9ip6qr3l
    @user-sn9ip6qr3l Před 4 měsíci +1

    Nyieeee sakinaaaaaaaa eti nione jina fungua password

  • @sharifamgumiro-zs4ph
    @sharifamgumiro-zs4ph Před 4 měsíci

    Muombe Allah akuongoz

  • @lightnessseifu5983
    @lightnessseifu5983 Před 4 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤ nyingi kwenu mmwaaaa

  • @omanoman4313
    @omanoman4313 Před 4 měsíci +2

    Mimi. Ni. Shabiki. Wako. Isha. Nataka. Ajila. Ht. Ya. Kuosha. Vyombo

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci

      TUPO KINONDON STUDIO KARIBU NA kANISA LA PINDA(mtaa SHENTEMBAA)
      📲0627292298(kwamaelezo zaidi)
      TUPOWAZ SAA2:00ASUBUH -6:00USIKU.

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 Před 4 měsíci +2

    Hapo utapata mwanaume wakukuoa

  • @nerryabel7512
    @nerryabel7512 Před 4 měsíci +1

    Dada Aisha mbona kama ana mimba,ama macho yangu hayaoni vzr 😂😂

  • @alsam4881
    @alsam4881 Před 3 měsíci

    Mtu akishajichora matattoo hanivutii kabisa hata awe mrembo vipi .

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před 4 měsíci

    Toa vipini

  • @MohamedSarahani-gk6jx
    @MohamedSarahani-gk6jx Před 4 měsíci +2

    Unapatikanaa wapi ili the kukuungaa mkono tupee maeleko na nambaa ya simu

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci

      ISHA MASHAUZI anapatikana Kinondoni Studio '' Mashauzi Tam Tam Food Point '' namba yake ni 0627292298 C.E.O. @mashauzitamtam_foodpoint

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci

      TUPO KINONDON STUDIO KARIBU NA kANISA LA PINDA(mtaa SHENTEMBAA)
      📲0627292298(kwamaelezo zaidi)
      TUPOWAZ SAA2:00ASUBUH -6:00USIKU.

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci

      instagram.com/mashauzitamtam_foodpoint/

    • @ngaringari
      @ngaringari  Před 4 měsíci

      TUPO KINONDON STUDIO KARIBU NA kANISA LA PINDA(mtaa SHENTEMBAA)
      📲0627292298(kwamaelezo zaidi)
      TUPOWAZ SAA2:00ASUBUH -6:00USIKU.

  • @omarfauz1877
    @omarfauz1877 Před 4 měsíci

    Ache 2 taraab hajui ata kuimba taarab ina wenyewe

    • @sholanjelu7692
      @sholanjelu7692 Před 4 měsíci +1

      We hyu anaimba bhana

    • @sharifamgumiro-zs4ph
      @sharifamgumiro-zs4ph Před 4 měsíci +1

      Masha Allah kwakuw ushaamua kutok uk muombe Allah akuongz usiridi tena na ufany ibada kwa sana

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 4 měsíci +1

      Huyu kaanza kuimba ht ww hujabalehe kwa hiyo tulia na ana mashabiki balaa 😮😮

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Před 4 měsíci

      @@ruqaiamohammed345 🤣🤣🤣🤣

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 Před 4 měsíci

      @@fathiyahmuzney7367 😆😆😆hana akili 😆😆