ISHA MASHAUZI - ''NILIKUWA SINA URAFIKI na MAMA, WATU WANASEMA NAVUTA BANGI'' | MPAKA HOME
Vložit
- čas přidán 31. 01. 2023
- ISHA MASHAUZI - ''NILIKUWA SINA URAFIKI na MAMA, WATU WANASEMA NAVUTA BANGI'' | MPAKA HOME
MPAKA HOME ya Global TV imefika nyumbani kwa mwanamuziki mkongwe wa Taarab Bongo, Isha Mashauzi ambaye amefunguka mengi ikiwemo sababu za kuvunjika kwa ndoa zake mbili...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Napenda sana watanzania ni wakarimu sana isha kila interview ana maneno ya hekima sana nampenda sana isha
Isha ni mzuri ni kweli haringi mkarimu sana nakumbuka wakati nikiwa dar nikienda mango garden hana maringo
Mashallah wajina nimependa sana mavazi ya mtoto wako ya kiheshima sana anajihifadhi ongera mwaya marezi bora
Huo mziki kwa nyuma unakera sana badala ya tusikie interview vizuri, lakini tunasikia kelele ya mziki tu.
Yani kirasiku ni makelele za muziki yani anakera sana
@@juliennenzeyimana3274 Hawana elimu ya uandishi wa habari vizuri na Ndiyo maana wanafanya vitu bila hata ya kufikiri kama ni sawa au la?
uyu dada uwa anamoyo mzuri mno🥰🥰
Hongera sana dada yangu mpenzi😍😍Allah akuzidishie 😍😍
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Ukiwa unamuoji mtu punguza hi sautiyamziki
Mashaallah Aysha mashauzi penda sana
Nimependa life yako lssa mashauz
Kwakweli hongera Dada yanguhatashilole mwanae kafanya vizurihongereni sana
Sawa kabisa endelea kuwahivyohivyo Dada yangu
Marshals dada nyumba nzuri feniture nzuri nawewe mzuri sauti nzuri
Mtangazaji mziki huo unaboa sana🎉🎉🎉❤❤❤❤
Maishallah wajina allah akuzidishie
Mashaa Allah hongera mtoto analelewa vzr naako na stara
Hicho kibukta cha maua unakipenda sana ww, interview siwezi kuwatch mziki uko juu sipendi kelele
Ni vizuri kutokuwa na Freund salam salam inatosha misifa unaenda harusi anaekuchangia unamchanganya Avoid to have Freund nivuri sana
Asante sana mama, ustaa hauzi kukuzika 💪❤️
Gabi miaka 15 kwenye ndoa hongera sana Gabi du
Mambo ya gold dada wyangu jipende maisha mafupi
Aisee nimeejoy kweli
Ila nikweli uongo unauma kuliko ukweli
Maa Shaa Allah ❤️
Hongera Dada 😍😍🔥
Nakubar isha from Mozambique 🇲🇿
Hongera Isha
Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Dada lsha Uko very normal kumbe ulianza na mzee Yusuf
Safi sana isha❤❤❤👍👍👍🙏🙏
MASHA ALLAH🙏
Upo vizuri
Mashallah sister nakupenda malez yako baby
Interview nzuri lakini background music punguza kidogo.
Ameen🤗🤗🤗🤗 daar mkubwa 🤗🤗
Igogo moja jamani
Safi dada
Kabinti.kazurii smart
vidole kama ndizi za kuchoma
Dada asili yako mweusi km mwanao huo mkorogo tunakukumbuka ulivoanza kuimba
Sorry lnshalah mashauzi
Mie yle sijamnyima mtt kashindwa kulea
🎉🎉🎉
Kweli kabisa Dada yangu
🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Hizo kelele zimezidi ata zinakera.
Una stress lala tuu ndugu yangu
Mtoto wa Aisha ni mpole sana na ana jistili Tena nimuogo hata kamera anaogopa da! Kwanza sio mtoto wa mitandao, ila mtoto wa kajala uwii! Kakubuhu muda mno
Da
🙌🙌🙌🙌👌👌👌❤️❤️waau
Kwakweli Dada yangu nimekufahia unachoongea nikweli
Kwakweli kujiamini Ni muhimu
Una Baby facedada yangu
Gaby umeenda Asubh San Duuh piga chai
Hahaha
Minakupenda isha huna kisran jmn mda wote unatabasam
Hongera kumbe Hadi wasanii wanatumiaga majagi ya
Plastiki navikarai vya alfu moja
Sikasema apo yeye anaishi maisha yoyoteyale aishi kisanii
Sasa atumie chombo cha sh ngap mwee nimecheka
Gabby pia napenda lnterview zako uliza ujinga ujinga kila kitu cha huakika
Kipindi kizuri ila hujui kutangaza
Kwakweli
Punguzeni sauti ya mziki. Interview ina kelele
Ukimbi km duka la mapambo
...
Ulishaanza kuona supi dadayangu😀😄
Sjakuelew nielekeze vizur umesem nimuulzaje?
Toka siku gani muislam akaombea chakula hivo.
Ndio utujuze mnaombeaje maana wengine hatujui tunaona sawa
Ndani kuchafu mashauzi yote mfyuuuu
Makasiliko
Njo udeki mwy naupange vzr
Asubuh jaman watu ndio wametoka kuamka wako na pilikapilika
Mhmh makasiriko
@@estermahenge5972 ndio we unaonaje
Kwakweli