Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
Isha tumefanya dhambi huyo kaka amekuja omba msamaha kwenye tv da! Kujishusha kupitiliza usikatalie hapo tumia busara tu itikia mkitoka hapo mchunie ,ila hivyo una mwaobisha
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu. Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time. Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢
Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢
Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊
Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
Hata mimi nataka wa kwangu jamani
@@bahathmuro7145hata mimiiiiiii
Cha kwako peke yako kitamu mnoooooo
Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤
Napenda kingereza cha Isha Mashauzi
Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!
Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.
Give him another chance❤😂
Huyu kaka anampenda sana Isha ❤❤
Isha tumefanya dhambi huyo kaka amekuja omba msamaha kwenye tv da! Kujishusha kupitiliza usikatalie hapo tumia busara tu itikia mkitoka hapo mchunie ,ila hivyo una mwaobisha
Ht Isha anaonekana anampenda huyu Kaka alivyoingia kashtuka sana
Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear
Wapo kwakweli msijiendekeze mkisema hawapo mnawapa mibichwa kuvimba🤕🤕🤕
Jidanganye
Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮
@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo
Hayupo kudadek zako
@@heartnsanya1182 Jisemee wewe
😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤
kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana
Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio
Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa
Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ila WASAFI TV BIG UP 🙌
𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜
Isha wetu wee nakpenda bure❤❤
Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊
Kabsaaa mashauz tu kma jina lake
Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂
Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢
😂😂😂 mbona kajizaririsha
@@anastaziambote4574😂😂
Inabidi aitwe kwenye kikao cha wanaume
Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮
Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli
@isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli
Hii imeenda
Uhakikaa inakeraaa
Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio
Jamani
Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda
Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.
Makubwa 🤣🤣
Heeee😂😂😂😂@@mariamizzy2880
Penzi limepata mpendaji😂
@@DeboraNgura😂😂😂😂😂😂
Unatuchekeshaaaa😂
Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi
ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu
Ni udwanzi sana
Kamtolea mahari
Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu
Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe
yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri
Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba
Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband
Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂
@@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas
Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka
Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...
Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤
Kama tulivyokubaliana kwenye kikao chetu cha mwisho❤
@@pendogeorge1813 hahaha 🤣🤣🤣
Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu.
Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time.
Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.
Naungana na wewe, umemaliza yoote❤
@@pendogeorge1813 Ahsante sana my sis ❤
Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani
Wapiga pesa
Sahihi
Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu
Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂
Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket
Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo
Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.
Hawa mashangazi bhana!
Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤
Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢
Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja
Apo Isha kashaloowaaa
Msamehe sanaaa
Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio?
Nawewe mwanaume wadar ukome.
Eti ukome😂😂😂😂😂 nimecheka
Mke wangu, babe 💕
Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢
Ashapata mwengine uyo
Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious
Kabsaaa lazma awe na maringo
Dah! Ufara ndio huo,mwanaume unajidhalilisha
Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo
Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri
Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu
Kaburi tu hamna la kwako itakuja kua mume isha jaman hujawahi ona inatolewa mifupa kwa mwengine anaekwa mwengine 😂😂😂😂😂
Maryam muongo waislam wakike hawaendi mazikoni Isha na wewe mmeona wapi mifupa ikitolewa Kisha kuzikwa mwingine
Uyu ana mpenda ❤❤
Mm hapa wa peke yko
Hii ndio shida mwanaume kutegemea mwanamke mungu kashasema tuishi naona kwa akili
Swadakta
Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu
Nipo hapa isha
Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu
Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪
Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu
Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu
Dida mpambe anavyo ongea 😊😊
Sana
Na yeye tutamuitia yule mme wake waliyeachana,Kumbilamoto😂😂😂😂
Alaf yeye ya kwake hatakag ushaur
Afu dida na kingereza km mbingu na ardhi
Huyu mimi kabisa😂🎉
Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi
Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu
Isha kazaa dada❤❤❤❤
Wanaume tukutane Mwamba katuaibisha HAKUNA KUMPIGIA MWANAMKE MAGOTI 😅😅
Ndiyo wanaume wa dar hao😂😂😂😂😂😂
Apana kk kupiga magoti nikawaida ya kila aliemkosea mwenzie awe mwanamme au mwanamke na wote ni binaadam hao
Utapata Inshaalah
Hao Bado wanapendana
Nipo mm hapa
Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂
😅😅😅 BaBu idi 🇰🇪🇰🇪
Sema wasafi wanazengua..sasa kuchoresha mahusiano ya watu for what now..!??
Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata
Kijana unajidhalolisha mbona
Aisha msamehe mwenzio 😢
Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana
😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..
Ving'ast wanateseka sana namapenz.kujikaza hawawezi nandio mana mashoga wakumwagaa.ss ivi sikudhalilishana daah
Huyo mwenyewe hana hekima tu na wote wahuni wangeoana yasingekuwa hayo wote ni malaya
Wapeke yko niiyupi dada Isha .mama yko bdo tunakuwa wtoto wengi.ztunasema mama ytu.Lapeke yko nikaburiii tu.
Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔
Nipo mm jmn nakusubiri ww
Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌
Wabongo kwa cotent creation mpo vizuri.
😂😂😅
Yaani!! 😂
Isha msamehee please shemeji yetu!
Ww dd mbona huwa hausamehe 😅😮😮😮
Anamkazia mwenzie asamehe😅😅😅
Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika
Kabisa diyaa
Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu
Tatiz wanaum wasasaiv wanatak kutok ndomn wanatak wanawak malf wakiupat bac mwsho wa cku umalf mukiachan bac una potea
Msamehe aisee! Mwanaume akupende hivi hata km anaigiza kiukweli msamehe tu aisee
Ulikuwa humtaki unajiskia utafkiria mzuri
Dada Isha msamehe hatarudia tena
Mnatuektia sio msamaha gani unaombwa hivo mlivotongozana mliita media
Sii lazma uangalie
Heeeh msamaha tena 😢😢😢ila isha usitake kujichafua,fikiria wangapi umepita nao unayemtaka wapeke yako unamtoa wapi,,,unajiharibia bi mkubwa,,,kama uliamua kuwa naye msamehe ila sio kusema unataka wa peke yako,,,endelea kumsubiri wa peke yako
Nyie wazindiki nyie mnavyomuina huruma uyo mabango😂
Msamee jamani
Isha mi nimekupemda bureeeee namna hiyo😂😂😂
Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢
Ila Idris
Wala humpati maisha haya
Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢
Jmn
Jamn msamehe isha atakuwa amejifunza
Yahni mtu unafanya mziki miaka 20 alafu unasema alhamdu lilah
Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊