MABANGO AVAMIA INTERVIEW YA ISHA MASHAUZI, APIGA MAGOTI KUOMBA MSAMAHA / ISHA ASUSIA INTERVIEW

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 450

  • @dorcasshadrack7757
    @dorcasshadrack7757 Před měsícem +38

    Wanawake tukubaliane chapekeako kipo tena kitamu Atari....wamekua na viburi sana et chapekeako kaburii...😂😂😂 Aweeeeh Isha umecheza vizuri nimependa❤❤❤❤

  • @btylove1870
    @btylove1870 Před 23 dny +6

    Isha msamehe ila akirudia tena muache forever ❤

  • @wennybarny168
    @wennybarny168 Před 27 dny +6

    Napenda kingereza cha Isha Mashauzi
    Kwakweli ana kingereza kizuri sana....!!

  • @OklyKornelio
    @OklyKornelio Před měsícem +10

    Isha Mashauzi naomba msamehe shemeji anakupenda sana yaani nakwambia hutakaa upate mwanamme anayekuoenda kama Mabango please please Isha naomba msamehe shemejj.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před měsícem +9

    Huyu kaka anampenda sana Isha ❤❤

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před měsícem +1

      Isha tumefanya dhambi huyo kaka amekuja omba msamaha kwenye tv da! Kujishusha kupitiliza usikatalie hapo tumia busara tu itikia mkitoka hapo mchunie ,ila hivyo una mwaobisha

    • @mapachawetuamazingflaterna2657
      @mapachawetuamazingflaterna2657 Před 28 dny

      Ht Isha anaonekana anampenda huyu Kaka alivyoingia kashtuka sana

  • @user-wy1yu3gs6n
    @user-wy1yu3gs6n Před měsícem +17

    Da dida Nakupenda sana ❤ allah akutangulie ktk maisha yako yote my dear

  • @defrinepaul7046
    @defrinepaul7046 Před měsícem +85

    Wapo kwakweli msijiendekeze mkisema hawapo mnawapa mibichwa kuvimba🤕🤕🤕

    • @rehemamsambila6820
      @rehemamsambila6820 Před měsícem +3

      Jidanganye

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před měsícem +3

      Halafu sasa wanawake ndio wanadai hakuna wa peke yako 😮😮 at the same wakingundua wanachitiwa wanageuka mbogo 😮😮

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 Před měsícem

      ​@@spreadlove5300wpo sana wanaume anaowaongelea isha ni heshima tu wapo

    • @heartnsanya1182
      @heartnsanya1182 Před měsícem

      Hayupo kudadek zako

    • @spreadlove5300
      @spreadlove5300 Před měsícem

      @@heartnsanya1182 Jisemee wewe

  • @KuluthumuMsuwakollo
    @KuluthumuMsuwakollo Před měsícem +11

    😂😂yan mwenzenu nawapenda hawa watu mungu cmama kati yao Mr and Mrs Mabango❤❤❤

  • @julianapeason6254
    @julianapeason6254 Před měsícem +6

    kuna siku nilisema tuwape muda mabango akasema mimi nina roho mbaya, Isha achana na huyo mtu utautesa moyo wako.Safi sana

  • @MwanahamisNyenzi
    @MwanahamisNyenzi Před měsícem +10

    Watarudiana hao Isha kaona aibu live studio

  • @athumanimanzabay1894
    @athumanimanzabay1894 Před měsícem +16

    Joy and pain all in the game of love ,please Isha msamehe mshkaji mm naimani ameshajifunza kutokana na makosa

  • @georgemajani6600
    @georgemajani6600 Před měsícem +15

    Much love from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @masoudjuma8169
    @masoudjuma8169 Před měsícem +10

    Ila WASAFI TV BIG UP 🙌

    • @modestamodesta3940
      @modestamodesta3940 Před měsícem

      𝑊𝑎𝑛𝑎𝑛𝑖𝑓𝑟𝑎ℎ𝑖𝑠ℎ𝑎𝑔𝑎 𝑚𝑛𝑜𝑜𝑜𝑜

  • @mamuumamuu1871
    @mamuumamuu1871 Před 25 dny +2

    Isha wetu wee nakpenda bure❤❤

  • @EvaWaziri-so3gi
    @EvaWaziri-so3gi Před měsícem +6

    Mashangazi wa mjini wanajua kuigiza sasahapo isha uyo si mwanae uyo😊

  • @mwajumagomera7609
    @mwajumagomera7609 Před měsícem +2

    Isha anampenda sana mabango mbona anaona haya kumtazama apewe muda tu❤maana vita ya kuchokana wewe kwanza uso mbuzi😂😂😂

  • @zamdanamwenje9415
    @zamdanamwenje9415 Před měsícem +13

    Uyo mabango kajua kujidharirisha 😢

  • @wangagirl3508
    @wangagirl3508 Před měsícem +12

    Jamani si kwa ubaya bt huyu dada mzuri bt shida ni muonekano wake ndio siupendi kabisa vipuli vingi vya nini mpaka kwa mdomo nooo anakaa kama danga la mjini 😮😮

    • @isunga1964
      @isunga1964 Před měsícem

      Na tuliambiwa ni msagaji sijui kweli

    • @wangagirl3508
      @wangagirl3508 Před měsícem

      @isunga1964 🤣🤣unajua hii dunia my dear watu wanangalia muonekano wako ndio wanaongea hivyo vipuli hata huyo mume anachoka 🤣🤣anakaa msagaji kweli

    • @janetdunda6331
      @janetdunda6331 Před měsícem

      Hii imeenda

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 27 dny +1

      Uhakikaa inakeraaa

  • @mustafamandindi6434
    @mustafamandindi6434 Před měsícem +8

    Uyo alikua na yake bana kwani hadi mtu anafikia kuomba msamaa amekili kosa sasa aisha anashindwaje kuelewa icya za mwenzake ushauli wangu tu kwa dada amsamee mwenzie kwani amekubali kosa bc yaishe lingine dada angu utambue kua utokako unapajua ila uendako upajui unaweza usifike ludisha moyo dada muendelee kwenda pamoja na mwenzio

    • @jamilahsakina1561
      @jamilahsakina1561 Před měsícem

      Jamani

    • @user-ug3lu2km4c
      @user-ug3lu2km4c Před měsícem +1

      Na mwanaume kuomba msamaha ivo ni ngum hajaigiza uyo kaka wanaume wachache kuomba msamaha ivo na co kwasbabu ya camera akikuomba ameamua,amekupenda

  • @WakiliHaule
    @WakiliHaule Před měsícem +2

    Isha mimi apa wa peke yako... uyo brother man kitambo tu nilikuwa namuona anasafiria nyota yako...Ni muigizaji wa mapenzi kashasahau usanii wewe ndo kipaji chako...aende uko aendako...japo unajuta amepoteza muda wako....Mimi apa ndo wakufa na kuzikana wako...subiria mama nitakufata apo ulipo❤...I love you Isha Mashauzi ...umuhimu wako kwangu kama mwanadamu na pumzi.

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 Před měsícem +11

    Inshaallaah allaah atakuletea omba dua atakuja mbora zaidi

  • @mussarashid6752
    @mussarashid6752 Před měsícem +18

    ipo siku damu itamwagika hapo wasafi maana mnawakutanisha mahasimu

  • @Chelseaboy_1905
    @Chelseaboy_1905 Před měsícem +6

    Hakuna mapenzi ya mwanamke aliyemzidi umri mwanaume yaliowahi kudumu

    • @WelimaAdonias
      @WelimaAdonias Před měsícem

      Yupo sana Rahma na mumewe tatu na mumewe

    • @MariamMrema
      @MariamMrema Před 28 dny

      yapo na yanadumu vizuri kikubwa heshima tyu,mapenzi hayana umri

  • @NuruNgolle
    @NuruNgolle Před měsícem +2

    Nikweli yuko hata mimi sitaki mme wetu nataka wangu kweli nimempata nanikitukanwa na kimada ananifunza kusimama zaidi ktk ndoa isha tulia na mmeo msamehe kweli nakuomba

  • @ahmedsaidi2239
    @ahmedsaidi2239 Před měsícem +12

    Kwa kweli 2po Kama Mim Am My Wife's Husband

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh Před měsícem +2

      Jaza form basi bro pengine utapita kwenye kuchaguliwa😂😂😂

    • @ahmedsaidi2239
      @ahmedsaidi2239 Před měsícem +3

      @@FatimaAli-of4gh nimeshasema Mim ni wa Mke Wangu tuu. Yani Ahmed Wa SumaiyahAhmed khalas

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 Před 27 dny

      ​Huyo Sumaiya cku akipigwa nje utavurugwa sana na kujutia kaka

  • @devotabashome1090
    @devotabashome1090 Před měsícem +5

    Mnahangaika na vijana wadogo ndo tatizo...

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf Před měsícem +2

    Kauli mbiu ndoile ile mwendo wakusonga mbele ❤❤❤

  • @furahayamoyo9193
    @furahayamoyo9193 Před měsícem +2

    Isha is smart, strong, and brave to walk away from him. Don't let a man play with your emotions,.PERIOD! He knew what he was doing, and had nothing to do with "eti yeye binadamu ako na mapungufu" cheating is a choice not mapungufu.
    Once you take a cheater back, chances are he will keep on doing the same shit, and expect you to forgive, and take him back each time.
    Stay strong sis Isha, and may Allah Subhanahu Wa Taa'ala guide, and protect you always, Allaahuma ameen.

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 Před měsícem +44

    Wanaume sikuhizi wanashindwa kujiheshimu wanatembea na kina dada ambao hawana heshima inasababisha wanaanza kudharau mke wa ndani

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 Před měsícem

      Wapiga pesa

    • @ZachariaMwita-bu7rw
      @ZachariaMwita-bu7rw Před měsícem

      Sahihi

    • @robertkisasa1346
      @robertkisasa1346 Před měsícem +1

      Hamna isha mbna anaonekana mdada mzur tu mstaarab na anapenda mtu mmja ni shda kijana tu

    • @edinamhando108
      @edinamhando108 Před měsícem

      Huyu itakuwa kapata mwanaume cyo bure😂😂😂😂

    • @Soudbako
      @Soudbako Před měsícem

      Sisi baadhi ya wanaume ndio hatujielewi tunapenda mteremko na kupenda umaarufu tuache kupenda kitonga huyo mwanamke hana shida mwnamme mwenzetu ndio anajidhalilisha bladbasket

  • @user-cq4lp5rv1l
    @user-cq4lp5rv1l Před měsícem +3

    Mbona saiv haya mambo yamekuwa kama maigizo

  • @saidmnenuka7822
    @saidmnenuka7822 Před měsícem +2

    Achana nae alafu unajizalilisha inawezekana alikuwekea mtego bila kujua anaona mambo yake hayaendi sababu yako umezibia watu wake asiinjoi nao awezi pata mwanaume waivo hayupo na hajazaliwa.

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 Před měsícem +5

    Hawa mashangazi bhana!

  • @rosegodlove1956
    @rosegodlove1956 Před 29 dny

    Me nakupenda sana Isha mashauzi ❤❤

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x Před měsícem +1

    Dada Isha watu ukosea at wew ungekuwa umekosea na ukaomba msamahaa?? Samehe 7x70 Neno la MUNGU linasema .usikue hvoo..hi dunian inapita na mambo yake..aina aja ya kuweka vtu moyon .life is short 😢

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před měsícem

    Wasafi wachonganishi sana Isha karap we mwisho wa siku kakutanishwa na asiye wapenda kaja

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g Před měsícem +7

    Apo Isha kashaloowaaa

  • @PotiRasi
    @PotiRasi Před 13 dny

    Msamehe sanaaa

  • @josej9888
    @josej9888 Před měsícem +6

    Kwan walikutana studio, Hadi muwakutanishe huko studio?
    Nawewe mwanaume wadar ukome.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před měsícem +1

    Mke wangu, babe 💕

  • @mwalagomwanaisha
    @mwalagomwanaisha Před 28 dny +1

    Wamdhalilisha mtoto wa watu msamehe 😢

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před měsícem +2

    Ashapata mwengine uyo

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Před měsícem +2

    Akimkazia anakubali hyu, Isha hawezi kuwa serious

  • @mohamedabdallah6480
    @mohamedabdallah6480 Před měsícem +1

    Dah! Ufara ndio huo,mwanaume unajidhalilisha

  • @dashuu5295
    @dashuu5295 Před měsícem +3

    Bahamad almuacha farhiya patima hataki ukewenza😂😂😂 ata kidyogyooo

    • @aminamzuri9933
      @aminamzuri9933 Před měsícem

      Kitu usichokipenda ukikiweka dhahir ndo vzuri

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před měsícem +1

    Ndio maana siku hizi hunitoi na Crown 👑 kwa ujingabkama huu

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq Před měsícem +4

    Kaburi tu hamna la kwako itakuja kua mume isha jaman hujawahi ona inatolewa mifupa kwa mwengine anaekwa mwengine 😂😂😂😂😂

    • @newforcejv9721
      @newforcejv9721 Před měsícem

      Maryam muongo waislam wakike hawaendi mazikoni Isha na wewe mmeona wapi mifupa ikitolewa Kisha kuzikwa mwingine

  • @user-yt5ue4vj5b
    @user-yt5ue4vj5b Před měsícem

    Uyu ana mpenda ❤❤

  • @HassanHameed-g5e
    @HassanHameed-g5e Před 6 dny

    Mm hapa wa peke yko

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Před měsícem +6

    Hii ndio shida mwanaume kutegemea mwanamke mungu kashasema tuishi naona kwa akili

  • @gracemwailima1780
    @gracemwailima1780 Před měsícem +4

    Msamehe tu dada isha jamani kaka anaonekana mstaraabu

  • @user-su2ie1sz9s
    @user-su2ie1sz9s Před 27 dny

    Nipo hapa isha

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e Před 25 dny

    Inawezekana kuwa na mwanaume wako sema wanaume hamridhiki nyoko zenu na haswaa wanaume wa tz tamaha nyingi na zarau huongo mwingi sana,,mtu mzima hanapo hamua kuwa nawe kijana basi mueshimu ukiwa na michepuko mingi unamzaririsha mwenzio maisha ya sasaiv sio ya kuvurugwa na mwanaume tunavurugwa na kutafuta pesa tu mwanaume hakizingua usimpe nafasi iri akimpata mwingine hamueshimu

  • @raymondlaurent4167
    @raymondlaurent4167 Před 27 dny

    Kweli mapenzi inauma lakin kunae maana kubwa kuitwa mwanaume yoote Tisa kumi usipige magoti kwa mwanamke 💪💪💪

  • @ZainaMshamu-yu8qv
    @ZainaMshamu-yu8qv Před měsícem +1

    Isha akumbuke hii Dunia asimnyanyasw mtu kiivo ajue shetani ananguvu au mungu anampa kalibu gani asamee akuna mkamilifu

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 Před měsícem +1

    Subiri, Bora zimwi likujualo,utakutana nao,labda ufunge kitabu

  • @Mwajumasaid-lv4xf
    @Mwajumasaid-lv4xf Před měsícem +6

    Dida mpambe anavyo ongea 😊😊

  • @SalmaAlly-dg3xn
    @SalmaAlly-dg3xn Před měsícem

    Huyu mimi kabisa😂🎉

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 Před měsícem

    Dada Isha samehe shemeji yetu Mimi napenda mahusiano yenu tafadhali muoneee huruma mwanaume jamani usiwe na hasira isiyoisha Mungu hapendi

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před měsícem +1

    Kwenye wanaume washamba huyu no 1, mwanaume uwezi kuwa pumbu

  • @ashurasharif-ln4nl
    @ashurasharif-ln4nl Před měsícem

    Isha kazaa dada❤❤❤❤

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před měsícem +2

    Wanaume tukutane Mwamba katuaibisha HAKUNA KUMPIGIA MWANAMKE MAGOTI 😅😅

    • @simonmalegesi414
      @simonmalegesi414 Před měsícem

      Ndiyo wanaume wa dar hao😂😂😂😂😂😂

    • @user-pt2nx8ue8s
      @user-pt2nx8ue8s Před 28 dny +1

      Apana kk kupiga magoti nikawaida ya kila aliemkosea mwenzie awe mwanamme au mwanamke na wote ni binaadam hao

  • @rubbymusa1971
    @rubbymusa1971 Před měsícem

    Utapata Inshaalah

  • @honoratusmodest285
    @honoratusmodest285 Před měsícem +1

    Hao Bado wanapendana

  • @Zabl0nx17
    @Zabl0nx17 Před 28 dny

    Nipo mm hapa

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Před měsícem

    Msamehe sana .Ameomba msamaha .akuludia Tena anyongwe😂😂😂

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před měsícem +4

    😅😅😅 BaBu idi 🇰🇪🇰🇪

  • @storytownTv
    @storytownTv Před měsícem +1

    Sema wasafi wanazengua..sasa kuchoresha mahusiano ya watu for what now..!??

  • @user-wu8qe4fv4j
    @user-wu8qe4fv4j Před měsícem

    Inshaallah mwanaume anaombae sory live na unakata

  • @SHUKURUMahiki
    @SHUKURUMahiki Před měsícem +1

    Kijana unajidhalolisha mbona

  • @edgercyprian964
    @edgercyprian964 Před 6 dny

    Aisha msamehe mwenzio 😢

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před měsícem +1

    Huyu kijana mabango anajidhalilisha sana

    • @ZeProDJay
      @ZeProDJay Před měsícem

      😂😂😂😂😂 wanaume wa Dar tatizo sana..

  • @user-vv3nc7pn9x
    @user-vv3nc7pn9x Před měsícem +2

    Ving'ast wanateseka sana namapenz.kujikaza hawawezi nandio mana mashoga wakumwagaa.ss ivi sikudhalilishana daah

  • @HamisBonge-c5s
    @HamisBonge-c5s Před 21 dnem

    Huyo mwenyewe hana hekima tu na wote wahuni wangeoana yasingekuwa hayo wote ni malaya

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před měsícem

    Wapeke yko niiyupi dada Isha .mama yko bdo tunakuwa wtoto wengi.ztunasema mama ytu.Lapeke yko nikaburiii tu.

  • @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI
    @LUCAS_LUMBASI_SIMULIZI Před měsícem

    Huyu jamaa kasahau Rule number 5💔

  • @SalumNdoshi
    @SalumNdoshi Před měsícem +1

    Nipo mm jmn nakusubiri ww

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 Před měsícem

    Nilisoma makala moja kwa idd makengo anatuhasa kuacha kumpost mume au mpenz kwa maana,wapo walokua kama ww mambo ykabadlka wapo wanaotaka wawe kama ww na uyo mume ama mpenz kwaiyo mambo kuharbka n vyepes sana tuwe makin japo napenda mpost mume wang apo nikapata funzo pia,mambo ya dada isha yamehrbka haswa baada y kujulikana hazaran,,ila dadaa nmempentaa anamsimamo kuntu 👌

  • @user-ib3sl7wg5u
    @user-ib3sl7wg5u Před měsícem +1

    Wabongo kwa cotent creation mpo vizuri.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před měsícem

    Isha msamehee please shemeji yetu!

  • @mtoshauri9183
    @mtoshauri9183 Před měsícem +1

    Ww dd mbona huwa hausamehe 😅😮😮😮

  • @roseamon7906
    @roseamon7906 Před měsícem

    Hadi anakuomba msamaha Ivo Bado umekaza shingo hakuna aliekamilika

  • @hanifaa1487
    @hanifaa1487 Před měsícem

    Kabisa diyaa

  • @MwasitiShabani-b7x
    @MwasitiShabani-b7x Před měsícem

    Msamehe jamani. Dada Aisha shemeji yetu

  • @user-xi8ll6ub4j
    @user-xi8ll6ub4j Před měsícem +1

    Tatiz wanaum wasasaiv wanatak kutok ndomn wanatak wanawak malf wakiupat bac mwsho wa cku umalf mukiachan bac una potea

  • @theresiamwandara7990
    @theresiamwandara7990 Před měsícem

    Msamehe aisee! Mwanaume akupende hivi hata km anaigiza kiukweli msamehe tu aisee

  • @user-wp8ip4jn6j
    @user-wp8ip4jn6j Před 28 dny

    Ulikuwa humtaki unajiskia utafkiria mzuri

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 Před 27 dny

    Dada Isha msamehe hatarudia tena

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před měsícem +1

    Mnatuektia sio msamaha gani unaombwa hivo mlivotongozana mliita media

  • @Hapygideon
    @Hapygideon Před měsícem +1

    Heeeh msamaha tena 😢😢😢ila isha usitake kujichafua,fikiria wangapi umepita nao unayemtaka wapeke yako unamtoa wapi,,,unajiharibia bi mkubwa,,,kama uliamua kuwa naye msamehe ila sio kusema unataka wa peke yako,,,endelea kumsubiri wa peke yako

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 Před měsícem +1

    Nyie wazindiki nyie mnavyomuina huruma uyo mabango😂

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t Před 21 dnem

    Msamee jamani

  • @JemimaMdota
    @JemimaMdota Před 27 dny

    Isha mi nimekupemda bureeeee namna hiyo😂😂😂

  • @MwanjiNzala-mo5ni
    @MwanjiNzala-mo5ni Před měsícem

    Yaan.wako ni vile.akikuoa.lkn kuwa na wengine.uwexi kumzuia ukitambua.ww.ni wa mhimu. Inatosha mengine.usifafatilie.vinginevy mwanamke.ukiwa.hivi.utaishia kutangatanga😢😢

  • @Salmaismai
    @Salmaismai Před měsícem +1

    Ila Idris

  • @user-pk8bp7th9e
    @user-pk8bp7th9e Před měsícem

    Wala humpati maisha haya

  • @user-gj5jp7iu1y
    @user-gj5jp7iu1y Před 23 dny

    Achana nae Tu sasa mana umejaribu imeshindikana maybe mungu anakuepusha nakutumia flani or maybe alipata mwanaume mpya jikaze tu mungu atakupa nguvu yakuanza maisha mapya hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho pole sana kaka mm km maanamke nimejiskia vibaya 😢

  • @EsterAgrey
    @EsterAgrey Před 17 dny

    Jmn

  • @MustyNgongo
    @MustyNgongo Před měsícem

    Jamn msamehe isha atakuwa amejifunza

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před měsícem

    Yahni mtu unafanya mziki miaka 20 alafu unasema alhamdu lilah

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji Před měsícem

    Sasa lakini isha nawewe lakini kwanini uangalie simu kawaida yao wanaume wote wapo ivo ukimxhunguza sana hutoweza kumla msamehe tu basi muwe kaka na dada😊