EXCLUSIVE: PART 2: BABA LEVO - Azungumzia maisha yake kiundani zaidi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 297

  • @miracledamian2202
    @miracledamian2202 Před 3 lety +68

    Huyu jamaa ni watu ambao mungu aliwaleta kuja kuwafanya watu muda wote wawe happy brother nice one

  • @msusasandali5833
    @msusasandali5833 Před 2 měsíci +4

    Those who are watching 2024 gather here 🎉🎉🎉

  • @elymsagala
    @elymsagala Před 3 lety +22

    Baba levo ulimpoteza mwanamke wa maana sanaaa aseee kwa usawa huu mwanamke kukupa pesa zaidi ya 10M asee
    Golden chance never come twice

  • @star_guide1
    @star_guide1 Před 3 lety +26

    Baba Levo hachoshi kumsikiliza...asante zama

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 Před 3 lety +16

    Ndugu yangu Zamaradi Asante sana kumleta tena baba Levo. Maana huyu ni zaidi ya komedian. Pia ni msema kweli hanaga uongo kwa anayoyazungumza juu ya maisha yake.

  • @zouzou2849
    @zouzou2849 Před 3 lety +38

    Anaependa interview za babalevo kama mimi jamani nampenda uyu babalevo 🤩🤩🤩eti chawa pro max hahahha

  • @mwananimezipendaasantxaana1516

    Daaaaah,,nimejifunza vitu Ving xaan kupitia bblevo,,me nikuombee kwa allha akufanyie wepes ktk Safari yako 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sawiyaaziz5818
    @sawiyaaziz5818 Před 3 lety +45

    Anatakiwa awe comedian huyu 😂🤣😂i really like this guy

  • @zouzou2849
    @zouzou2849 Před 3 lety +37

    Huyu babalevo kipindi chake zifanywe episode mana tunapenda interview zake sana

    • @ramzy5280
      @ramzy5280 Před 3 lety

      Hilo nalo neno 😂😂😂

  • @zouzou2849
    @zouzou2849 Před 3 lety +41

    Jamani babalevo wewe hunaga kinyongo halafu ujikubali mtaka cha uvunguni lazima ainame wewe ni chawa prox max baba ongera

    • @ajmastory3615
      @ajmastory3615 Před 3 lety

      Jamani naombeni munipe sapoti pia nina youtube channel yangu ambayo nazungumzia habari nyingi za mastaa, asanteni

    • @georgegunda8868
      @georgegunda8868 Před 3 lety

      Namkubali Sana baba levo Sana

  • @Samiaagriculture
    @Samiaagriculture Před 3 lety +16

    Baba Levo endelea kupambana sana 🇰🇪 tunakufuatilia sana

  • @tynnahpaul8639
    @tynnahpaul8639 Před 3 lety +8

    Ni moja kati ya watu wanaonipa raha sanaa siku hz an daaah 😍😍😍😍😍 i love you baba levooooooo uwa unanipa raha sana

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +17

    The biggest thing I like about this guy is he is very honest na msema ukweli, waache waongee waendelee kuyashuhudia mafanikio yake 🙏🏽🙏🏽

  • @LilianMwamwaja
    @LilianMwamwaja Před 3 lety +17

    Waliosikia Nice dress👗😀😀😀
    The man is so much funny

  • @khamisalfazari9544
    @khamisalfazari9544 Před 3 lety +13

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiii mbavu zangu jaman😅😅😅 baba levo ni 🔥🔥🔥🔥🔥nimempenda bure ukikaa nae unainjoi

  • @tizomelele4424
    @tizomelele4424 Před 3 lety +12

    This is one the biggest interview of January, imekiwa inspired sana hongera Zamaradi na baba Levo kwa mawasiliano

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +23

    Congratulations zamaradi your the best presenter, hauna tabia ya kukatisha maelezo ya mtu, huwa unasikiliza tofauti na watu flani 😄,

  • @mathayojkjss8615
    @mathayojkjss8615 Před 3 lety +11

    Ware tunaotaka party 3 Like hapa

  • @alberthelmenglid4824
    @alberthelmenglid4824 Před 3 lety +21

    Mnataka mastory yes niwape mastory yes Daah BabaLevo his so funny 😆

    • @safiaimran712
      @safiaimran712 Před 3 lety

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 Před 3 lety +5

    Baba levo ana vituko jamani nimechekaaa leo.eti likitu wamelishindwa huko wananisukumia mimi🤣🤣🤣🤣🤣

  • @Randm-
    @Randm- Před 3 lety +8

    Anaenda mbweo sana😅😅 punguza beer baba Levo. Unacheuwa ovyo

  • @gg458hhjbglnngtfdws
    @gg458hhjbglnngtfdws Před 3 lety +15

    Babalevo he's so entertaining and humble at the same time,much love from Kenya,more episodes please nimecheka sana..

  • @georgegunda8868
    @georgegunda8868 Před 3 lety +3

    Mimi na uzee wangu ni shabiki mkubwa wa Baba levo, nacheka Sana

  • @ndaganoanastazia2658
    @ndaganoanastazia2658 Před 3 lety +7

    ✌️ & ♥️ from Belgium 🇧🇪 2 Baba Levo Tompoooo Pro max....

  • @mutamapaul7117
    @mutamapaul7117 Před 3 lety +2

    Huyu baba revo anakipaji kikubwa sana damu yake niyakupedwa nabinadamu sana anabwa ushauri mzuri wa bosi wake amuajiri momo kwa moja ampe mkataba hata wa mwaka miwiri amtuzame kipato kitaongezeka sana mujaribu bosse press tunakushawishi asanti sana timu baba revo kutoka dubai

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 Před 3 lety +16

    Kunasiku linijisogeza sogeza kwako ukanichaamba nikasema Alhamdulillah 😂😂😂

  • @lissamsalu12345
    @lissamsalu12345 Před 3 lety +8

    Nampenda Sana baba levo kila siku lazima nimuangalie kutoka Cambodia jaman

  • @ramaaisha887
    @ramaaisha887 Před 3 lety +18

    I love this guy he ez so humble nd funny thou

  • @nasrahsamwely6871
    @nasrahsamwely6871 Před 3 lety +11

    Mungu ambariki Sana Sana jaman his good person 🤣🤣✊✊✊❤️❤️❤️❤️anajua kushukuru mashaallah

  • @eliyazacharia7660
    @eliyazacharia7660 Před 3 lety +4

    Daaa nakupenda sana my kaka, kigoma oyeeeeee

  • @georgesengenge8262
    @georgesengenge8262 Před 3 lety +14

    Wakwanza npe likes zanguu

  • @rosemuba2532
    @rosemuba2532 Před 3 lety +10

    Nampenda baba Levo jamani 😀😀😀😀

  • @happyhema2457
    @happyhema2457 Před 3 lety +2

    Namkubari Sana baba revo his so fun aiseeee😂😂😂😂

  • @sheen2756
    @sheen2756 Před 3 lety +42

    But he talks sense in a crazy way...

  • @janethjustin5256
    @janethjustin5256 Před 3 lety +5

    Babalevo unatisha sana😁😁😁nakupenda sana

  • @jamil1547
    @jamil1547 Před 3 lety +5

    Dada Zamaradi naomba umpe ushauri baba levo ajenge nyumba, tuna enjoy story zake.

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 Před 3 lety +21

    nilikua nasubili kwa hamu part2

  • @ezradaniel4613
    @ezradaniel4613 Před 3 lety +3

    Hongera sn diamond kwa kuwa na moyo wa upendo,Mungu akubariki sn.

  • @salehemfuchu368
    @salehemfuchu368 Před 3 lety +23

    Unajukuta unalia kuliko mke wake 😅😅😅😅😅😅

  • @reubenson8342
    @reubenson8342 Před 3 lety +6

    Mnataka mastory Yess niwape mastory ?yesss baba levo 😂😂😂😂😂

  • @ramastim187
    @ramastim187 Před 3 lety +5

    Dahhhh noma sana baba levo anapenda kupiga punyeto😁😁😁😁

    • @csato9415
      @csato9415 Před 3 lety

      Naona hajui madhara yake 🤦‍♂️🤦‍♂️

  • @dullyseven690
    @dullyseven690 Před 3 lety +10

    B levo mtaalam fundi manyumba, Interview 🔥🔥🔥

  • @peterm7969
    @peterm7969 Před 3 lety +8

    Hahahaha Daah😂😂😂😂😂Baba levo fala ww nimecheka sana.

  • @mahinga
    @mahinga Před 3 lety +4

    Baba Levo nimukweli 👌👌👌

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 3 lety +13

    Huyo mzee aliyeliwa pesa za kamali alicheza zaid ya mesi🤣🤣🤣
    Baba levo tunatufurahisha sana loooh

  • @ibrahimyusuph4908
    @ibrahimyusuph4908 Před 3 lety +5

    Daah aseeh babalevo namkubal san piga kaz babaah usiangalie maneno ya watu aseeh...

  • @kutokaughaibuni
    @kutokaughaibuni Před 3 lety +7

    Latifa Interviews zote za baba levo leo ndo nimeona interview ambayo imenifunza nisikate tamaa hata Kidogo visee love you bro

  • @maggiemuenimueni1627
    @maggiemuenimueni1627 Před 3 lety +2

    Babalevo ni mtu poa Sana keep up for taking care of your kids

  • @syphroseshazala6854
    @syphroseshazala6854 Před 3 lety +7

    Mutch love from Kenya baba levo ,, keep going

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 3 lety +10

    hata mimi nyeto naipenda maana haiombi hela wala kuingia blid na nikikosa sabuni napigia bamia

  • @eastcuisines124
    @eastcuisines124 Před 3 lety +7

    hahahaha baba levo ni mkweli sana

  • @emanueloloo2758
    @emanueloloo2758 Před 8 měsíci

    What I have loved about these guy is being honest about himself, bigup bro.

  • @manyotaskipper5765
    @manyotaskipper5765 Před 3 lety +5

    Hichi KiPINDI au HADITHI zamaradi kabaki Mhh eeeee eeee anaongea yeye tu Baba Levo kama Bar

  • @pickfordjustin3432
    @pickfordjustin3432 Před 3 lety +9

    Mimi ni mrundi zamaradi Tv mnafanya vizuri kuindeleza story ya fundi manyumba. Natamani mumwambie Clayton huku Burundi tunamuitaji

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 Před 3 lety +1

    Yes Baba levo yupo funny sana yaani huchoki kusikiliza interview zake

  • @winfredcanaan582
    @winfredcanaan582 Před 3 lety +5

    Hivyo hivyo Baba Levo... nice dress 👗🤣🤣🤣

  • @hawahassan835
    @hawahassan835 Před 3 lety +5

    Mashaaallah 😘

  • @semysemy4218
    @semysemy4218 Před 3 lety +27

    Hahahhahahha eti Kuna siku nimekuwa najisogeza sogeza kwako zamaradi ukanicamba ... Baba Levo fala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @innat04
      @innat04 Před 3 lety +2

      Yaani kama huna pesa utachambwaa na kila mtu, sasa vile amepanda, aliemchamba amemuhitaji, dunia hii!!!

    • @naamohamed9964
      @naamohamed9964 Před 3 lety

      😃😃😃😃😃

    • @janethjustin5256
      @janethjustin5256 Před 3 lety

      😁😁

  • @mzurzamzam1877
    @mzurzamzam1877 Před rokem +1

    KIGOMA HATOKI FARA..❤❤🇹🇿..WANA USAMAKIN TUJUANE

  • @pritymoraakirera5066
    @pritymoraakirera5066 Před 3 lety +5

    I love these guy

  • @nbmax1405
    @nbmax1405 Před 3 lety +8

    Levo ba mtaalam fundi mnyumba

  • @erickbmaxunga6019
    @erickbmaxunga6019 Před 3 lety +8

    Baba Levo unapiga puchu!!!!!!!!

  • @AfricanNoseBebe
    @AfricanNoseBebe Před 3 lety +5

    He is so relatable, Baba Levo

  • @ashamohamed857
    @ashamohamed857 Před 3 lety +18

    Ninempenda sana Baba Lovo wewe ni mtu mzuri na una toa ya moyoni sio muongo. Ubarikiwe nimecheka sana. Kuhusu mzee na maji machafu.haaaaaaa

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 Před 3 lety +2

    Sijui chawa sijui mende!😅😅😅😅😅😅😅😅 Baba Levo unatuchekesha sana!

  • @salamanauthartanzania6301

    Piga kelele kwa baba Levo akeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @lucymlawa9131
    @lucymlawa9131 Před 3 lety +1

    Baba levo mungu akupe maisha marefu

  • @sundayeyenga4269
    @sundayeyenga4269 Před 3 lety +2

    naomba nikuoe zamaradi.....nakupenda zama

  • @hanifaally4694
    @hanifaally4694 Před 3 lety +7

    Baba Levo 😀🔥❤

  • @isayamayogu8229
    @isayamayogu8229 Před 3 lety +4

    B levo 🔥🔥

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 3 lety +11

    😂😂😂😂😂Nilitaka kushangaa asimtaje Peter Msechu?!!

  • @basamtz8674
    @basamtz8674 Před 3 lety +14

    Nataka nione faida ya kuwahi kwa like zenu

    • @helenakidimwa
      @helenakidimwa Před 3 lety

      Unaburudisha Sana baba Levo

    • @ajmastory3615
      @ajmastory3615 Před 3 lety

      Nimelike lakini hata mimi sijawahi pata like zenu☺️

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 Před 3 lety +1

    baba levo nakukubali sana we chiz

  • @hamenyaanthonympeke5047
    @hamenyaanthonympeke5047 Před 3 lety +4

    Fundi manyumbaaaa

  • @Donrugi
    @Donrugi Před 3 lety +6

    Dakika ya 23:36 baba levo anasema anataka akasomee utangazaji, lakini interview yake ya kwanza I mean party one ya hii interview kasema aliishia darasa la saba. Najaribu kuwaza anasoma chuo kipi na kwa utaratibu upi maana vyuo vyote registered na nacte lazima uwe umemaliza at least form four with awarded certificate sio uwe ulifeli kabisa ukakosa hata devision four.

  • @georgenkini6176
    @georgenkini6176 Před 3 lety +4

    Kupatwa kwa zamaradi

  • @jestinakanji8168
    @jestinakanji8168 Před 3 lety +3

    Unahariiii sn baba levo

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 Před 3 lety +2

    LEVO ni mtu muwazi sana yani kama njano ni njano ananyoosha maelezo ili walimwengu wamsome vizuri na wapate funzo kupiti yeye

  • @esterygeorge2321
    @esterygeorge2321 Před 3 lety +1

    Hahah eti ukiherehere tyu hahah big up sana bilevo mtaalam

  • @mankacharles4559
    @mankacharles4559 Před 2 lety

    Best of the best interview

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Před 3 lety +2

    Leo sauti iko vizuri sana . Bila background noise

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před 3 lety +1

    Hhahaha babalevo anapenda kupiga nyeto kiliko kufanya mapenzi😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @omarkibwanabaluna2410
    @omarkibwanabaluna2410 Před 3 lety +6

    baba levo linapiga nyeto🤣🤣🤣🤣🤣

  • @elizabethsakina9987
    @elizabethsakina9987 Před 3 lety +18

    Nasemaje interview za baba levo si zakukosa🤣😂😂😂😂😂

  • @emmanueljosephati3932
    @emmanueljosephati3932 Před 2 lety +1

    Anapenda nyeeeetoooo 😂😂😂😂

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 3 lety +2

    Eti tutauza daraja😁😂 yani huyu jamaa ni mtambo aisee

  • @medinaji7927
    @medinaji7927 Před 3 lety +5

    Yaaan Zama akimuangalia Baba levo to anacheka🤣🤣🤣🤣

  • @nassorsada213
    @nassorsada213 Před 3 lety +1

    Baba levo unanifanya niwe happy everyday 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np Před 3 lety +5

    Jamani baba levo tena part2 njoni tuceke tena😅😅😅😅

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata3483 Před 3 lety +2

    Sikilizeni pale pa dakika 49:15 baba levo kasema anapenda nyeto hahahhaahaaa daah hata siamini 😂😂😂😂

  • @mr.pilipili5289
    @mr.pilipili5289 Před 3 lety

    Nice dress falaa sana Baba levo dah

  • @esterantapa5041
    @esterantapa5041 Před 3 lety +6

    Mama ana rohoo ngumu kumuacha mtoto

  • @rebecasanya8910
    @rebecasanya8910 Před 3 lety +7

    eti tunaweza kujikuta tunauza daraja🤣🤣

  • @fetysaidsaid708
    @fetysaidsaid708 Před 3 lety

    zam mlete tena kwakweli nimefalijika na story zake pia nimejifunza kitu baba lavo ♥️

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 Před 3 lety +1

    Acha kubeti baba levo MUNGU atakusaidia kubeti ni haramu huenda unajizibia ridhiki

  • @hopechriss8739
    @hopechriss8739 Před 3 lety +1

    Anapenda nn uyu sijamuelewa

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 Před 3 lety +3

    Been waiting

  • @killerbona5018
    @killerbona5018 Před 3 lety +7

    Matangazo weka mwisho

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před rokem

    Kkkk dah babalevo kaniua sana eti anapenda pu

  • @jovinishengoma8060
    @jovinishengoma8060 Před 3 lety +11

    Jamaa inabidi arudi for story zingine za burudani na funzo at the same time😁 ..... Ukikosa/kuishiwa ishiwa watu wa kuwahoji, mrudishe tena jamaa