Ndugu yangu Zamaradi Asante sana kumleta tena baba Levo. Maana huyu ni zaidi ya komedian. Pia ni msema kweli hanaga uongo kwa anayoyazungumza juu ya maisha yake.
Huyu baba revo anakipaji kikubwa sana damu yake niyakupedwa nabinadamu sana anabwa ushauri mzuri wa bosi wake amuajiri momo kwa moja ampe mkataba hata wa mwaka miwiri amtuzame kipato kitaongezeka sana mujaribu bosse press tunakushawishi asanti sana timu baba revo kutoka dubai
Dakika ya 23:36 baba levo anasema anataka akasomee utangazaji, lakini interview yake ya kwanza I mean party one ya hii interview kasema aliishia darasa la saba. Najaribu kuwaza anasoma chuo kipi na kwa utaratibu upi maana vyuo vyote registered na nacte lazima uwe umemaliza at least form four with awarded certificate sio uwe ulifeli kabisa ukakosa hata devision four.
Huyu jamaa ni watu ambao mungu aliwaleta kuja kuwafanya watu muda wote wawe happy brother nice one
Those who are watching 2024 gather here 🎉🎉🎉
Baba levo ulimpoteza mwanamke wa maana sanaaa aseee kwa usawa huu mwanamke kukupa pesa zaidi ya 10M asee
Golden chance never come twice
hakika mkuu
Baba Levo hachoshi kumsikiliza...asante zama
Ndugu yangu Zamaradi Asante sana kumleta tena baba Levo. Maana huyu ni zaidi ya komedian. Pia ni msema kweli hanaga uongo kwa anayoyazungumza juu ya maisha yake.
Anaependa interview za babalevo kama mimi jamani nampenda uyu babalevo 🤩🤩🤩eti chawa pro max hahahha
Daaaaah,,nimejifunza vitu Ving xaan kupitia bblevo,,me nikuombee kwa allha akufanyie wepes ktk Safari yako 🙏🙏🙏🙏🙏
Anatakiwa awe comedian huyu 😂🤣😂i really like this guy
Sure sure
@@janethjustin5256
Ee
T3wm3 kelw.2je
Tk me
3w
Huyu babalevo kipindi chake zifanywe episode mana tunapenda interview zake sana
Hilo nalo neno 😂😂😂
Jamani babalevo wewe hunaga kinyongo halafu ujikubali mtaka cha uvunguni lazima ainame wewe ni chawa prox max baba ongera
Jamani naombeni munipe sapoti pia nina youtube channel yangu ambayo nazungumzia habari nyingi za mastaa, asanteni
Namkubali Sana baba levo Sana
Baba Levo endelea kupambana sana 🇰🇪 tunakufuatilia sana
Ni moja kati ya watu wanaonipa raha sanaa siku hz an daaah 😍😍😍😍😍 i love you baba levooooooo uwa unanipa raha sana
The biggest thing I like about this guy is he is very honest na msema ukweli, waache waongee waendelee kuyashuhudia mafanikio yake 🙏🏽🙏🏽
Waliosikia Nice dress👗😀😀😀
The man is so much funny
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiii mbavu zangu jaman😅😅😅 baba levo ni 🔥🔥🔥🔥🔥nimempenda bure ukikaa nae unainjoi
This is one the biggest interview of January, imekiwa inspired sana hongera Zamaradi na baba Levo kwa mawasiliano
Congratulations zamaradi your the best presenter, hauna tabia ya kukatisha maelezo ya mtu, huwa unasikiliza tofauti na watu flani 😄,
😃😃😃
Ware tunaotaka party 3 Like hapa
Mnataka mastory yes niwape mastory yes Daah BabaLevo his so funny 😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo ana vituko jamani nimechekaaa leo.eti likitu wamelishindwa huko wananisukumia mimi🤣🤣🤣🤣🤣
Anaenda mbweo sana😅😅 punguza beer baba Levo. Unacheuwa ovyo
Babalevo he's so entertaining and humble at the same time,much love from Kenya,more episodes please nimecheka sana..
Mimi na uzee wangu ni shabiki mkubwa wa Baba levo, nacheka Sana
✌️ & ♥️ from Belgium 🇧🇪 2 Baba Levo Tompoooo Pro max....
Huyu baba revo anakipaji kikubwa sana damu yake niyakupedwa nabinadamu sana anabwa ushauri mzuri wa bosi wake amuajiri momo kwa moja ampe mkataba hata wa mwaka miwiri amtuzame kipato kitaongezeka sana mujaribu bosse press tunakushawishi asanti sana timu baba revo kutoka dubai
Kunasiku linijisogeza sogeza kwako ukanichaamba nikasema Alhamdulillah 😂😂😂
Nampenda Sana baba levo kila siku lazima nimuangalie kutoka Cambodia jaman
Lissa mamboo
Naomba namba yako ya what's up
cambodia tena😳...c tulikubaliana mwisho kenya?
Hi Lisa
I love this guy he ez so humble nd funny thou
Mungu ambariki Sana Sana jaman his good person 🤣🤣✊✊✊❤️❤️❤️❤️anajua kushukuru mashaallah
ndo mn huyu anafanikiwa kwa wa2 na rahic wa kujua kosa na kuomba msamaha
@@zuleikhakhamis3303 anajua kuishi na Watu
Daaa nakupenda sana my kaka, kigoma oyeeeeee
Oyeeeeee 💃
Wakwanza npe likes zanguu
Nampenda baba Levo jamani 😀😀😀😀
Namkubari Sana baba revo his so fun aiseeee😂😂😂😂
But he talks sense in a crazy way...
exactly
True
Babalevo unatisha sana😁😁😁nakupenda sana
Dada Zamaradi naomba umpe ushauri baba levo ajenge nyumba, tuna enjoy story zake.
nilikua nasubili kwa hamu part2
Hongera sn diamond kwa kuwa na moyo wa upendo,Mungu akubariki sn.
Unajukuta unalia kuliko mke wake 😅😅😅😅😅😅
Mnataka mastory Yess niwape mastory ?yesss baba levo 😂😂😂😂😂
Dahhhh noma sana baba levo anapenda kupiga punyeto😁😁😁😁
Naona hajui madhara yake 🤦♂️🤦♂️
B levo mtaalam fundi manyumba, Interview 🔥🔥🔥
Hahahaha Daah😂😂😂😂😂Baba levo fala ww nimecheka sana.
Baba Levo nimukweli 👌👌👌
Huyo mzee aliyeliwa pesa za kamali alicheza zaid ya mesi🤣🤣🤣
Baba levo tunatufurahisha sana loooh
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daah aseeh babalevo namkubal san piga kaz babaah usiangalie maneno ya watu aseeh...
Latifa Interviews zote za baba levo leo ndo nimeona interview ambayo imenifunza nisikate tamaa hata Kidogo visee love you bro
Babalevo ni mtu poa Sana keep up for taking care of your kids
Mutch love from Kenya baba levo ,, keep going
hata mimi nyeto naipenda maana haiombi hela wala kuingia blid na nikikosa sabuni napigia bamia
hahahaha baba levo ni mkweli sana
What I have loved about these guy is being honest about himself, bigup bro.
Hichi KiPINDI au HADITHI zamaradi kabaki Mhh eeeee eeee anaongea yeye tu Baba Levo kama Bar
Mimi ni mrundi zamaradi Tv mnafanya vizuri kuindeleza story ya fundi manyumba. Natamani mumwambie Clayton huku Burundi tunamuitaji
Pickford Justin
Yes Baba levo yupo funny sana yaani huchoki kusikiliza interview zake
Hivyo hivyo Baba Levo... nice dress 👗🤣🤣🤣
Mashaaallah 😘
Hahahhahahha eti Kuna siku nimekuwa najisogeza sogeza kwako zamaradi ukanicamba ... Baba Levo fala sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani kama huna pesa utachambwaa na kila mtu, sasa vile amepanda, aliemchamba amemuhitaji, dunia hii!!!
😃😃😃😃😃
😁😁
KIGOMA HATOKI FARA..❤❤🇹🇿..WANA USAMAKIN TUJUANE
I love these guy
Levo ba mtaalam fundi mnyumba
Baba Levo unapiga puchu!!!!!!!!
He is so relatable, Baba Levo
Ninempenda sana Baba Lovo wewe ni mtu mzuri na una toa ya moyoni sio muongo. Ubarikiwe nimecheka sana. Kuhusu mzee na maji machafu.haaaaaaa
Sijui chawa sijui mende!😅😅😅😅😅😅😅😅 Baba Levo unatuchekesha sana!
Piga kelele kwa baba Levo akeeeeeeeeeeeeeeeeee
Baba levo mungu akupe maisha marefu
naomba nikuoe zamaradi.....nakupenda zama
Baba Levo 😀🔥❤
B levo 🔥🔥
😂😂😂😂😂Nilitaka kushangaa asimtaje Peter Msechu?!!
Nataka nione faida ya kuwahi kwa like zenu
Unaburudisha Sana baba Levo
Nimelike lakini hata mimi sijawahi pata like zenu☺️
baba levo nakukubali sana we chiz
Fundi manyumbaaaa
Dakika ya 23:36 baba levo anasema anataka akasomee utangazaji, lakini interview yake ya kwanza I mean party one ya hii interview kasema aliishia darasa la saba. Najaribu kuwaza anasoma chuo kipi na kwa utaratibu upi maana vyuo vyote registered na nacte lazima uwe umemaliza at least form four with awarded certificate sio uwe ulifeli kabisa ukakosa hata devision four.
Ataenda formation
Atasoma course fupi fupi
Kupatwa kwa zamaradi
Unahariiii sn baba levo
LEVO ni mtu muwazi sana yani kama njano ni njano ananyoosha maelezo ili walimwengu wamsome vizuri na wapate funzo kupiti yeye
Hahah eti ukiherehere tyu hahah big up sana bilevo mtaalam
Best of the best interview
Leo sauti iko vizuri sana . Bila background noise
Hhahaha babalevo anapenda kupiga nyeto kiliko kufanya mapenzi😂😂😂😂😂😂😂😂
baba levo linapiga nyeto🤣🤣🤣🤣🤣
Nasemaje interview za baba levo si zakukosa🤣😂😂😂😂😂
Exactly
Anapenda nyeeeetoooo 😂😂😂😂
Eti tutauza daraja😁😂 yani huyu jamaa ni mtambo aisee
Yaaan Zama akimuangalia Baba levo to anacheka🤣🤣🤣🤣
Baba levo unanifanya niwe happy everyday 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Jamani baba levo tena part2 njoni tuceke tena😅😅😅😅
Tuseke chane chane
Sikilizeni pale pa dakika 49:15 baba levo kasema anapenda nyeto hahahhaahaaa daah hata siamini 😂😂😂😂
Nice dress falaa sana Baba levo dah
Mama ana rohoo ngumu kumuacha mtoto
Ni shetan kbs
eti tunaweza kujikuta tunauza daraja🤣🤣
zam mlete tena kwakweli nimefalijika na story zake pia nimejifunza kitu baba lavo ♥️
Acha kubeti baba levo MUNGU atakusaidia kubeti ni haramu huenda unajizibia ridhiki
Anapenda nn uyu sijamuelewa
Been waiting
Matangazo weka mwisho
Kkkk dah babalevo kaniua sana eti anapenda pu
Jamaa inabidi arudi for story zingine za burudani na funzo at the same time😁 ..... Ukikosa/kuishiwa ishiwa watu wa kuwahoji, mrudishe tena jamaa