KAMA NINGEKUWA NA ASMAAH NISINGEHANGAIKA| JUKUMU LA KULEA MTOTO SIYO LA BABA PEKE YAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 01. 2024
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 115

  • @richarddominick3172
    @richarddominick3172 Před 5 měsíci +20

    Sema mwana ukimskiza Yuko sawa sana

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před 5 měsíci +5

    Huyo mama Ruby hakufai, mwanamke ukiachana naye hakuna haja ya kurudiana naye maana hamuendani tayari!

  • @wilbatnyato4679
    @wilbatnyato4679 Před 5 měsíci +4

    Upo sahihi baba Revo kisheria

  • @thescop1003
    @thescop1003 Před 5 měsíci +8

    Safi babalevo , yani ukiwa na dem mmoja asee uko hatarini

  • @wandemanonimanoni-jg5vi
    @wandemanonimanoni-jg5vi Před 5 měsíci +3

    Mie namsapoti baba Levo jmn..mama Ruby hajatulia

  • @rosejeremy9484
    @rosejeremy9484 Před 5 měsíci +19

    Wewe ni mwanaume Wa mfano big up brother wanaume mjifunze hapa

    • @mrbabadtz9074
      @mrbabadtz9074 Před 5 měsíci

      Yes, mwambie na mumeo

    • @aftapat5365
      @aftapat5365 Před 5 měsíci

      @@mrbabadtz9074ndio muache umalaya haujui maumivu ya mwanamke kukukimbia nakwenda kwa mwanaume mwingine
      huwa sisi wanaume haitoki moyoni

    • @BabaFarzan-ml4er
      @BabaFarzan-ml4er Před 5 měsíci

      Ukizaa na Matahira/Majini utakaa na team moja na B Baba Fundi majumba

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 5 měsíci +4

    Baba levo ww ni my role model
    Nakukubari sana mwamba.🎉🎉🎉

  • @EsterMkini-es7zh
    @EsterMkini-es7zh Před 5 měsíci +3

    Mwanaume ukimpeleka polisi mh usimuamini tena hawapendi hzo pigo

  • @Iampanther_
    @Iampanther_ Před 5 měsíci +2

    Babalevo kampenda mamarubi ndo kinachomtafuna😂😂pole bhana, hisia hazina ushauri

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Před 5 měsíci

    BIG UP BRO.....#SAFIIIII

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 Před 5 měsíci +7

    🤣🤣🤣Baba levo🙌 fanya kitu kinakupa amani ya nafsi yako mapenz hayashauriw jmn

  • @zainabumsafir1182
    @zainabumsafir1182 Před 5 měsíci +5

    Ila kumbuka unawatt bb Leo na ni wakike watakuwa watakuta hii

  • @elibarikilukasimakala5534
    @elibarikilukasimakala5534 Před 5 měsíci +1

    Real Gentleman 😁

  • @alhabsi6430
    @alhabsi6430 Před 5 měsíci +1

    Huyo mama watoto hakutulia kataka mwenyewe,kawatupa watoto

  • @lydi791
    @lydi791 Před 5 měsíci +6

    baba Levo yeye ataki kuwa kabati😂😂 Yani anazungumuza naisiya kali 😂😂

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Před 5 měsíci

    Baba levo is so smart 😊

  • @sanndyberg645
    @sanndyberg645 Před 5 měsíci +1

    Kweli muhahoo

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 Před 5 měsíci +5

    Mapua tulia acha sifa

  • @mwananganzi
    @mwananganzi Před 5 měsíci +2

    Bado hujaijua dunia ya wanawake

  • @isaya43.12
    @isaya43.12 Před 5 měsíci +5

    Ila matatizo ya familia mnaleta mtandaoni😢

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 Před 5 měsíci +2

    Aisee hadi baba levo na pua lake lile anagombaniwa asa mimi nikija Dar si ntagombaniwa sana aisee

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel Před 5 měsíci +2

    Baba Levo tulikwambiaka ona sasa mengine yana anza

  • @juliusmkopekwa336
    @juliusmkopekwa336 Před 5 měsíci +1

    Uko-sawa-tu-baba-levo

  • @salama1113
    @salama1113 Před 5 měsíci +3

    Hilijamaa chawa ila linaongeaga ukweli

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 5 měsíci +3

    Huyo mama Ruby ulifanya kosa kumrudisha sio mwanamke poa kabisa

  • @rajabrwambow9660
    @rajabrwambow9660 Před 5 měsíci +1

    Nakumbuka baba levo alikuwa anaongea Hadi kwenye vyombo vya habar kuwa mke wangu Rudi tulee watoto huyo Dem akagoma baba levo piga chin kudadek

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před 5 měsíci +1

    Mama ruby tulia kwa ndoa yako mimi sina kingine cha kukushauri dada

  • @jurmainezaidi739
    @jurmainezaidi739 Před 5 měsíci +1

    Uyo demu anazingua, ungemuacha tuu ubaki na Asma.

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking Před 5 měsíci +1

    Huyo mwanamke ni mpumbavu sana. Kuna kipindi babalevo alihangaika sana kumrudisha mke wake ili wawalee hao watoto akajifanya kiburi. Hakuna haja ya kuangaika na mwanamke mpumbavu kama huyo. Kama mwanamke anaweza kuondoka na kuacha watoto wadogo pekeyao na baba yao huyo ni zaidi ya mshenzi. Huyo ni mnyama wa kupitiliza achana nae

  • @khadija5761
    @khadija5761 Před 5 měsíci

    Hiyo ni kikiiiiii

  • @user-zv6tn7qf9b
    @user-zv6tn7qf9b Před 5 měsíci +1

    😂😂😂 oscaosca analeta utani wakat watu wako na mood😂😂

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 Před 5 měsíci +1

    Ila ukimsikiliza Baba levo Ana Point zake kwanini akaamua kua na huyo mchepuko

  • @chany9950
    @chany9950 Před 5 měsíci

    🥺🥺🥺

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Před 5 měsíci +2

    Wanaume mbwa tu hawajawaigi kurizik shetan hawa,,,,,,hta ujimanue mbk kiwake unajichosha tu

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Před 5 měsíci

      We paka tu 😂 hamjawai kuwa na akili kilichofanya uyo mzazi mwinzie arudi ni pesa tu lkn alimkimbia na kujiona yeye mzuri na kumwachia watoto jamaa anaongea kwa uchungu coz anajua aliyoyapitia kabla ya kupata pesa Mana alikuwa anadharaulika kwaiyo nanyinyi acheni tamaa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi angesubiri leo yasingemkuta , kapelekewa moto mwisho kaona mmh mbona jamaa Kawa mtamu ndio anarudi kiunafki😂 wanawake wote paka tu

  • @tagx_boe
    @tagx_boe Před 5 měsíci

    Hapo hakuna imani.ila ni kiburi cha ibirisi kimewatala wawili hawa.hakuna kinachoshindkana.

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Před 5 měsíci

    Acha umalaya mapua

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Před 5 měsíci

    Hashtag Mapambano 😆🤣🤣🤣

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 5 měsíci

    Jamaa yupo sawa..sema tu hiki kizaz cha haki sawa ndio shida

    • @khamysamursally5932
      @khamysamursally5932 Před 5 měsíci

      Nimekupenda kwa kauli yako upo sahihi akina mawazo ya kesho kabisaa

  • @user-tk5yy6vj3b
    @user-tk5yy6vj3b Před 5 měsíci

    Chefuuu unajickia unavyo ongea me ushauri wng mama Rubi tafuta pesa achana na mapenzi

  • @lisamandela9987
    @lisamandela9987 Před 5 měsíci

    Kwel hatuna thaman Sasa huyo asmah alikuwa house girl huruma 😢

  • @kelvinnyunza-us9jj
    @kelvinnyunza-us9jj Před 5 měsíci +2

    😂😂😂

  • @ibrahimmbilizi1726
    @ibrahimmbilizi1726 Před 5 měsíci

    Ulevi kitu kibaya sana Oscar auna ushairi baba pili uyo demu wamondi babalevo

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 5 měsíci

    Kiki kubwa 😂😂😂🎉

  • @user-mr7gl5ox6u
    @user-mr7gl5ox6u Před 5 měsíci +2

    Wanaume kama hawa unawaacha wafanye yao yakishawakuta watarud wenyew na kipind wanarud wanakuwa washachelewa

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no Před 5 měsíci +4

      Utakuwa hujui story yao wew mwanamke kaenda katombwa huko kachoka karudi kuomba msamaha

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci

      ​@MrTop-wj7no
      DAH 🤦
      UNAMAJIBU KONKI

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před 5 měsíci

    Amekosea sana mjinga uyu

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 Před 5 měsíci

    🤒

  • @WitnessShamba-wm4tq
    @WitnessShamba-wm4tq Před 5 měsíci +1

    Baba level nichukue na Mimi tuwe watatu babu👌

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 Před 5 měsíci

    Kumbe uli nubwenge

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Před 5 měsíci +2

    Fanya kama Sheikh Abdulrazack , Bi fatma na diva 😂😂😂

    • @lydi791
      @lydi791 Před 5 měsíci

      😂😂😂😂

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před 5 měsíci +1

    kaka umetupa mbinu

  • @ashrafadam4629
    @ashrafadam4629 Před 5 měsíci

    Hommie boi uko sahh kabsa achana nae by the way ndg yako n watoto wako na xo mwanamke uliezaa nae watt achana nae aende zake hana maana uyo na mwanaume co rahs kumuoa mwanamke ambae tayar amekwisha kuwa na faml kwn nae atajiuliza kwnn aliachana na mwanaume aliewah kuwa naw na kupata nae mtt br lea wanao achanae uyo mama ruby

  • @abbasnassib9532
    @abbasnassib9532 Před 5 měsíci +4

    Huyo Oscar anavuta bangi nini?

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 Před 5 měsíci +19

    Ila baba levoo ww akili zako unazijua mwenyewe ila mama rubi tuliaaa kipenzi Hawa baba zetu hatuwawezi Lea watt wako huyo asma achana nae atakupotezeaa mudaa

    • @aby.beka1630
      @aby.beka1630 Před 5 měsíci +1

      ulifikilia kabla ya kuongea iv~

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 Před 5 měsíci

      Ni kweli arulie alee watoto maana mwanaume mwenye pesa na asiekuwana hofu ya Mungu ni mateso plus ila ningekuwa mimi ningemsahau huyu baba ndani ya sekunde 0 maana haya ni mateso

    • @NasraNasibu
      @NasraNasibu Před 5 měsíci

      ​@@julianapeason6254kikubwa dua

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 5 měsíci

      @@aby.beka1630 nimefikiriaa sana maana hakuna mwanamme anaeroshekaa na mwanamkee mmojaa hata baba ako ujuwee kuwa unamamdogo wako chobingoo

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Před 5 měsíci

    USIPOELEWA HAPA HUTOELEWA TENA CHOCHOTE..MPAKA KIFO CHAKO..

  • @Shadia544
    @Shadia544 Před 5 měsíci +5

    Wanaumee woote mbwa tuu hamlidhiki mbwa nyieeee😂😂😂😂

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no Před 5 měsíci

      Fala wew ko hapo unasikia kosa lake nani??

    • @abbasnassib9532
      @abbasnassib9532 Před 5 měsíci

      Wewe unayeridhika,una maEx wanganui!?

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 Před 5 měsíci

      Aaaaaa AA sio mbwaaa ndioo baba zetu ila nyiee baba zetu muwe mnaridhika

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Před 5 měsíci

      Sasa kama wanaume wote mbwa basi Mama ako alibanduliwa na mbwa na ukazaliwa wewe!sasa hapo jichachagulie mwenyewe kuwa wewe upo kwenye kundi gani kama Baba ako jibwa basi Mama ako atakuwa hana akili nzur anawezaje kuzaa na dog🤔🤔

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Před 5 měsíci

      Mume wangu sio mbwa😂😂

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Před 5 měsíci

    Hahaha pengn hatujaelewana vema alikua. Analeta. Mt. Anapma. Kama. Anaeza. Kulea. Ana pima pimajee

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 5 měsíci

    NA HIKI KIREDIO HAKIFAI KUWA KWENYE MITANDAO KINA MAADILI MABOVU SANA HAPO MNAFUNDISHA NN?

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Před 5 měsíci +4

    Ila bro ww ni malaya😂😂
    Unaleta wake tano wote kuwaangalia

  • @mellahcoffee
    @mellahcoffee Před 5 měsíci

    😂

  • @RamadhaniMaarifa
    @RamadhaniMaarifa Před 5 měsíci

    Huyo asma ni yule wa Cheka tu au mwingine!!?

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 Před 5 měsíci

    Kosa ulilofnya nikurudiana na huyo mwanamke ambae alishakupeleka mpaka police na huyo mwanamke alivyo ona unamzungu tu basi akajirudisha saabu ulikua na piss kali kushinda yeye ikamuuma na wew babu levo bichwa yako ilivyokua ya kuku ukarudiananae hukujua kua unaleta tatizo ndani ukisha move on bro sahau kuhusu ya nyuma ishi maisha yako

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Před 5 měsíci +2

    Ndio muoe mke wa2 ugomvi uishe

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 5 měsíci

      YEAH 🎉

    • @mandelamushi2527
      @mandelamushi2527 Před 5 měsíci

      Wanawake tunawawepanda acheni jaaam

    • @mandelamushi2527
      @mandelamushi2527 Před 5 měsíci

      Upendo ni kama umeme ukikata umeme ni sawa na kukakata Umeme

    • @mandelamushi2527
      @mandelamushi2527 Před 5 měsíci

      Baba leo yuko sawa kwanza mwanamke ni mwanamke je!!!nikishambulia siku zote 30th itakuwaje

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Před 5 měsíci +1

    Hata ujitetee vipi? hata uwalee watoto peke yako vipi mwisho wa siku malezi ya mama yao ndio furaha yao acha upumbavu

    • @rahmaidd8818
      @rahmaidd8818 Před 5 měsíci +1

      We NDO mpumbavu

    • @yusternyirenda7231
      @yusternyirenda7231 Před 5 měsíci

      @@rahmaidd8818 Mpumbavu ni mama yako mzazi fala wewe, nimemwambia baba levo sio wewe kilandage

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc Před 5 měsíci

    MUJOMBA TULIKUSHAURI UTAPO CHOKOZA WA MUJINI WATAKUSHUGULISHA WAMEKUTEKENYA SASA UMERUKA JIPAMBANIE ILA UMEANZA SAFARI NDEFU NA NDALA JEE ULIJIPANGA?

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Před 5 měsíci +1

    Baba levo upo sahihi na pmj na yote hongera kwa kutunza watoto wako ushauri kwa wanawake wakishaolewa wawe wavumilivu na utulivu

  • @patriciousnjau7792
    @patriciousnjau7792 Před 5 měsíci

    Navaa viatu vya mke wa baba Revo vinanipwaya.Nimewah kupitia hii hali.Baba Revo kama huwezi kuwaupande wa mkeo hujampenda bado.Mkeo kama amekosea kaa nae chin muongee.Hunifahamu sikufahamu.naomba kaa na mkeo muongee yaìshe.Mlee familiya yenu. kwa upendo.Ni shabiki wako tu lakin nayajuwa madhara yake.Please i beg you on behalf of your children.

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 Před 5 měsíci

      Kwahio ulishawahi kumuacha mmeo ukaenda kudanga mwaka mzima au sio😂

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 Před 5 měsíci

    hao ndo wanaume bhna,,, hapo inabidi tu wanawake tuwe kama kuku mtetea hawana wivu jogoo anapanda mtetea mbele ya mtetea mwingine ambaye amempanda mda siyo mrefu na wala huyomtetea mwingine hajaliwala nn