KAMA NINGEKUWA NA ASMAAH NISINGEHANGAIKA| JUKUMU LA KULEA MTOTO SIYO LA BABA PEKE YAKE
Vložit
- čas přidán 15. 01. 2024
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Sema mwana ukimskiza Yuko sawa sana
Sana
Huyo mama Ruby hakufai, mwanamke ukiachana naye hakuna haja ya kurudiana naye maana hamuendani tayari!
Upo sahihi baba Revo kisheria
Safi babalevo , yani ukiwa na dem mmoja asee uko hatarini
Mie namsapoti baba Levo jmn..mama Ruby hajatulia
Wewe ni mwanaume Wa mfano big up brother wanaume mjifunze hapa
Yes, mwambie na mumeo
@@mrbabadtz9074ndio muache umalaya haujui maumivu ya mwanamke kukukimbia nakwenda kwa mwanaume mwingine
huwa sisi wanaume haitoki moyoni
Ukizaa na Matahira/Majini utakaa na team moja na B Baba Fundi majumba
Baba levo ww ni my role model
Nakukubari sana mwamba.🎉🎉🎉
😏
Mwanaume ukimpeleka polisi mh usimuamini tena hawapendi hzo pigo
Babalevo kampenda mamarubi ndo kinachomtafuna😂😂pole bhana, hisia hazina ushauri
BIG UP BRO.....#SAFIIIII
🤣🤣🤣Baba levo🙌 fanya kitu kinakupa amani ya nafsi yako mapenz hayashauriw jmn
uko sahihi
Ila kumbuka unawatt bb Leo na ni wakike watakuwa watakuta hii
Real Gentleman 😁
Huyo mama watoto hakutulia kataka mwenyewe,kawatupa watoto
baba Levo yeye ataki kuwa kabati😂😂 Yani anazungumuza naisiya kali 😂😂
Baba levo is so smart 😊
Kweli muhahoo
Mapua tulia acha sifa
Bado hujaijua dunia ya wanawake
Ila matatizo ya familia mnaleta mtandaoni😢
Watu wajifunze😅
Aisee hadi baba levo na pua lake lile anagombaniwa asa mimi nikija Dar si ntagombaniwa sana aisee
kaka njoo hela yako tu😂😂
😂😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅
Baba Levo tulikwambiaka ona sasa mengine yana anza
Uko-sawa-tu-baba-levo
Hilijamaa chawa ila linaongeaga ukweli
Huyo mama Ruby ulifanya kosa kumrudisha sio mwanamke poa kabisa
Nakumbuka baba levo alikuwa anaongea Hadi kwenye vyombo vya habar kuwa mke wangu Rudi tulee watoto huyo Dem akagoma baba levo piga chin kudadek
Mama ruby tulia kwa ndoa yako mimi sina kingine cha kukushauri dada
Uyo demu anazingua, ungemuacha tuu ubaki na Asma.
Huyo mwanamke ni mpumbavu sana. Kuna kipindi babalevo alihangaika sana kumrudisha mke wake ili wawalee hao watoto akajifanya kiburi. Hakuna haja ya kuangaika na mwanamke mpumbavu kama huyo. Kama mwanamke anaweza kuondoka na kuacha watoto wadogo pekeyao na baba yao huyo ni zaidi ya mshenzi. Huyo ni mnyama wa kupitiliza achana nae
Hiyo ni kikiiiiii
😂😂😂 oscaosca analeta utani wakat watu wako na mood😂😂
Ila ukimsikiliza Baba levo Ana Point zake kwanini akaamua kua na huyo mchepuko
🥺🥺🥺
Wanaume mbwa tu hawajawaigi kurizik shetan hawa,,,,,,hta ujimanue mbk kiwake unajichosha tu
We paka tu 😂 hamjawai kuwa na akili kilichofanya uyo mzazi mwinzie arudi ni pesa tu lkn alimkimbia na kujiona yeye mzuri na kumwachia watoto jamaa anaongea kwa uchungu coz anajua aliyoyapitia kabla ya kupata pesa Mana alikuwa anadharaulika kwaiyo nanyinyi acheni tamaa wakati wa Mungu ndio wakati sahihi angesubiri leo yasingemkuta , kapelekewa moto mwisho kaona mmh mbona jamaa Kawa mtamu ndio anarudi kiunafki😂 wanawake wote paka tu
Hapo hakuna imani.ila ni kiburi cha ibirisi kimewatala wawili hawa.hakuna kinachoshindkana.
Acha umalaya mapua
Hashtag Mapambano 😆🤣🤣🤣
Jamaa yupo sawa..sema tu hiki kizaz cha haki sawa ndio shida
Nimekupenda kwa kauli yako upo sahihi akina mawazo ya kesho kabisaa
Chefuuu unajickia unavyo ongea me ushauri wng mama Rubi tafuta pesa achana na mapenzi
Kwel hatuna thaman Sasa huyo asmah alikuwa house girl huruma 😢
😂😂😂
Ulevi kitu kibaya sana Oscar auna ushairi baba pili uyo demu wamondi babalevo
Kiki kubwa 😂😂😂🎉
Wanaume kama hawa unawaacha wafanye yao yakishawakuta watarud wenyew na kipind wanarud wanakuwa washachelewa
Utakuwa hujui story yao wew mwanamke kaenda katombwa huko kachoka karudi kuomba msamaha
@MrTop-wj7no
DAH 🤦
UNAMAJIBU KONKI
Amekosea sana mjinga uyu
🤒
Baba level nichukue na Mimi tuwe watatu babu👌
DAH 🤦😳
😂😂😂😂
Pambania kombe mwaya.🤣🤣🤣
Eeeh una taka msereleko
Kumbe uli nubwenge
Fanya kama Sheikh Abdulrazack , Bi fatma na diva 😂😂😂
😂😂😂😂
kaka umetupa mbinu
Hommie boi uko sahh kabsa achana nae by the way ndg yako n watoto wako na xo mwanamke uliezaa nae watt achana nae aende zake hana maana uyo na mwanaume co rahs kumuoa mwanamke ambae tayar amekwisha kuwa na faml kwn nae atajiuliza kwnn aliachana na mwanaume aliewah kuwa naw na kupata nae mtt br lea wanao achanae uyo mama ruby
Huyo Oscar anavuta bangi nini?
😳🤦
Ila baba levoo ww akili zako unazijua mwenyewe ila mama rubi tuliaaa kipenzi Hawa baba zetu hatuwawezi Lea watt wako huyo asma achana nae atakupotezeaa mudaa
ulifikilia kabla ya kuongea iv~
Ni kweli arulie alee watoto maana mwanaume mwenye pesa na asiekuwana hofu ya Mungu ni mateso plus ila ningekuwa mimi ningemsahau huyu baba ndani ya sekunde 0 maana haya ni mateso
@@julianapeason6254kikubwa dua
@@aby.beka1630 nimefikiriaa sana maana hakuna mwanamme anaeroshekaa na mwanamkee mmojaa hata baba ako ujuwee kuwa unamamdogo wako chobingoo
USIPOELEWA HAPA HUTOELEWA TENA CHOCHOTE..MPAKA KIFO CHAKO..
Wanaumee woote mbwa tuu hamlidhiki mbwa nyieeee😂😂😂😂
Fala wew ko hapo unasikia kosa lake nani??
Wewe unayeridhika,una maEx wanganui!?
Aaaaaa AA sio mbwaaa ndioo baba zetu ila nyiee baba zetu muwe mnaridhika
Sasa kama wanaume wote mbwa basi Mama ako alibanduliwa na mbwa na ukazaliwa wewe!sasa hapo jichachagulie mwenyewe kuwa wewe upo kwenye kundi gani kama Baba ako jibwa basi Mama ako atakuwa hana akili nzur anawezaje kuzaa na dog🤔🤔
Mume wangu sio mbwa😂😂
Hahaha pengn hatujaelewana vema alikua. Analeta. Mt. Anapma. Kama. Anaeza. Kulea. Ana pima pimajee
NA HIKI KIREDIO HAKIFAI KUWA KWENYE MITANDAO KINA MAADILI MABOVU SANA HAPO MNAFUNDISHA NN?
Ila bro ww ni malaya😂😂
Unaleta wake tano wote kuwaangalia
😂
Huyo asma ni yule wa Cheka tu au mwingine!!?
Ndio ni yeye
Kosa ulilofnya nikurudiana na huyo mwanamke ambae alishakupeleka mpaka police na huyo mwanamke alivyo ona unamzungu tu basi akajirudisha saabu ulikua na piss kali kushinda yeye ikamuuma na wew babu levo bichwa yako ilivyokua ya kuku ukarudiananae hukujua kua unaleta tatizo ndani ukisha move on bro sahau kuhusu ya nyuma ishi maisha yako
Ndio muoe mke wa2 ugomvi uishe
YEAH 🎉
Wanawake tunawawepanda acheni jaaam
Upendo ni kama umeme ukikata umeme ni sawa na kukakata Umeme
Baba leo yuko sawa kwanza mwanamke ni mwanamke je!!!nikishambulia siku zote 30th itakuwaje
Hata ujitetee vipi? hata uwalee watoto peke yako vipi mwisho wa siku malezi ya mama yao ndio furaha yao acha upumbavu
We NDO mpumbavu
@@rahmaidd8818 Mpumbavu ni mama yako mzazi fala wewe, nimemwambia baba levo sio wewe kilandage
MUJOMBA TULIKUSHAURI UTAPO CHOKOZA WA MUJINI WATAKUSHUGULISHA WAMEKUTEKENYA SASA UMERUKA JIPAMBANIE ILA UMEANZA SAFARI NDEFU NA NDALA JEE ULIJIPANGA?
Baba levo upo sahihi na pmj na yote hongera kwa kutunza watoto wako ushauri kwa wanawake wakishaolewa wawe wavumilivu na utulivu
Navaa viatu vya mke wa baba Revo vinanipwaya.Nimewah kupitia hii hali.Baba Revo kama huwezi kuwaupande wa mkeo hujampenda bado.Mkeo kama amekosea kaa nae chin muongee.Hunifahamu sikufahamu.naomba kaa na mkeo muongee yaìshe.Mlee familiya yenu. kwa upendo.Ni shabiki wako tu lakin nayajuwa madhara yake.Please i beg you on behalf of your children.
Kwahio ulishawahi kumuacha mmeo ukaenda kudanga mwaka mzima au sio😂
hao ndo wanaume bhna,,, hapo inabidi tu wanawake tuwe kama kuku mtetea hawana wivu jogoo anapanda mtetea mbele ya mtetea mwingine ambaye amempanda mda siyo mrefu na wala huyomtetea mwingine hajaliwala nn
Hahahaha umewazaa
Umenichekesha sana😂😂😂😂