TUNAPIMA DNA KWASABABU WANAWAKE WETU SIO WAAMINIFU/HAKUNA MIMBA YA BAHATI MBAYA/TUWE MAKINI
Vložit
- čas přidán 12. 06. 2023
- www.youtube.com/@Wasafi_Media...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - Zábava
Siku zote Uwa Baba love anaongea ukwli😂😂😂
😂😂baba levo nakukubali sana Mzee baba.
Mzagamuo ukaendelea khaa🤣🤣🤣🤣 baba levo umeshindikana walaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤
Huu ugomvi ameumaliza dada Adela. Mwanamke ndio anayeamua kuzaa sio mwanaume. Kama hataki hakuna mimba kama anataka Huna ujanja na mwanamke ambaye hataki mimba mimba haikui kuwa mtoto
ATI mzagamuo ukaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣
Baba levo apo kweny kahaba umetisha gud mfano
Nakubari sana baba revo
Nasimama na Baba Levo ktk hili
Mwanaume wa kutembea na Mwanamke kwa kinga ndani ya game 5 hajazaliwa
Hapa ndipo nimeamini kauli yangu kuwa "NDOA" sio kitu cha thamani tena, suala la kupata mtoto linajadiliwa nje ya kuwa kwenye NDOA. Tunapoelekea NDOA haitakuwa kitu tena, ukitaka kuamini angalia single mothers mtaani.
Mwanyezi mungu ndio maana katutaka sisi waisilamu tuzikwe kwajina la mama maana mandio anaemjua baba wamtoto siwote tunaowata babazetu haruna uhakika hatakama tume zaliwa kwenyendoa kwadunia tunayoihi Mimi nashaulitu hatakama unamuamini mkeo kama unauwezo nivizuri kufanya DNA
Baba levo kaongea kweli
Baba levo mzuefu SN wa kuchukua makahaba na KUKATAA kondomu mbona kipengere hicho umekielezea vizuri sn
Baba levo yuko sahihi sana
ukweli ukitembea na mwanamke na kondom mara tatu tu unavua mwenyewe kondom unazagamua live 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
yn Osca anajifanya km ayupo na wenzake kbs wkt ata yy mzee wa kujiachia kwny minazi mwanzo mwisho atar sn
😂😂😂😂baba levo bhana
Baba levo ni mkweli
kwel bhanaaa Baba levo kaptia mengiii bhanaaa
Njia iliyo salama ..ni kujifunza kukojoa nje...
Ukumbuke kwamba mtoto ni mpaka mwanamke atake kama hataki hutapata kamwe
kweli kabisa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
💯 %true hii inatufundisha wanawake tujitambue
Wewe bado wanawake wakupata kwa bahati mbaya wapo tena wengi
Kwelii sku ya kwanza. Na yapili Kinga lkn sku zinazoendelea ni kavu kavuu
O na oscar wako vizuri
Baba levo Leo nakuelewa sana Osca Osca ni mshamba tu kwa hili
Aaaaaah wajemeni 40 bado baba levo ungesema hata 50 bado
Apo sio ote wanaume bwana baba levo uyo Adela SI mwanamke
Baba levo uko sawa
Et tukapiga mzagamuo duuuuu!!!😂😂😂
Uongo ni kwako MZEEE
Ha ha ha Bab levo
Kwa hapa baba levo ako sahihi isipokua wanawake wanapanga uzazi
Mshaurini na mama Dangote wakapime DNA ya Diamond na mzee Abdul
Kwanza siku ya kwanza iyoiyo unaomba mungu unachapa dry mpira wa nn??
Kitabu cha baba levo kuuza ni ngumu maana soko la sasa watu hawanunui historia za watu
😂😂😂😂😂😂😂
🤦♂️ Unamaanisha nni mkuu
@@uwimana6533 😄🤣
@@alliymohamedalliy6524 jamaa wakimjaza nae akakimbilia kutoa kitabu atakisoma yeye na mke wake au we utanunua?
Kila mwanaume amefanya mazur na mabaya shida wakina Edo wanajifanya hawajapitia machaf baba levo uko pw
Mwanaume aache nyama..subutu. zagamuo..
Huyo baba Levo ni mzinzi anaokotaokota wanawake c aoe
Dada kasema ukweli, mwanaume anawezajidai yupo makini lkn mwanamke akamtegeshea. Speaking from first hand experience
Baba levo kwny kalenda umedanganya
M kondom na vaaga kwenye kidole kikubwa
Ivi uyo Dem ameolewa?
SICHOKI KUWASIKILIZA WAPUMBAVU NYIE 😂
Anaewafanya wasiwe waaminifu ni ninyi wanaume mnatabia mbaya ni wazinzi sn hamheshimu ndoa zenu mnawachosha sn wanawake
Uongo uongoo uongoooo😂😂bblv
Kweli anachoongea baba levo Kwanza mara ya Kwanza ata ukimwambia mwaga nje anamwaka lakin kadiri siku zinavyogyokwenda anakwambia nimenogewa
Oska ukijui kichwa cha mboo Kiki simama lazima kifos kingi
Kama MTU humpendi achana nae nenda kwa unaemkbari,kwann umpe mtoto wa mwanamke mwenzio MZIGO wa kumzalia Taifa lisilo lake
Baba levo kuywa soda kwa magi naja kulipa
Mwanamke awezi cheat mume anaejua KUTOMBA VIZURI
Mm ni mwanaume kamili lakini huwezi kutembea na mwanamke kwa kondomu mala 20
Eddo ni kichwa sna kwenye hiyo mada
Hapan wanawake Wengi wanaotumia majira hawana karenda nzuli ya mwezi wao
Wanaa dada. Wawe makn. Tusje. Tukalaumiana
😅
Oscaroscar👊
Baba levo hapo kwa condom point ☝️
Acha uwongo
baba levo mkweli mkwel
Huyo Oscar anaongea kiredio, baba Levo yuko sahihi tuache kudanganyana.
Asilimia kubwa ya wanaume hauwezi kutembea na mwanamke mmoja zaidi ya mara kumi kwa condom.
Kipimo cha DNA huwa ni bei ganii
ni uongo kabisaa😂😂😂
Yaani ... mtu anasifia zinaa KWENYE MIKE YA CHOMBO CHA HABARI .... YAANI HII NCHI ITAFIKA LAKINI TUTACHELEWA
Utachoka wewe
Mimba umempima vvu je
😂😂😂😂
Yote hayo ni kwa sababu ya zinaa watoto wa nje ya ndoa kama ndoa ya halali hakuna hayo tuache zinaa
Huyu baba levo mi muongo sana.. yaani eti alikumbuka kumpima demu kama ana ujauzito au hana ili tu afanye bila silaha.. lakini mbona hukumpima afya yake kama kaathirika au hajaathirika? Hili jamaa huwa lina fix sana.. 😂😂😂😂
Jaman mhhh
❤