TUNAPIMA DNA KWASABABU WANAWAKE WETU SIO WAAMINIFU/HAKUNA MIMBA YA BAHATI MBAYA/TUWE MAKINI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 06. 2023
  • www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 76

  • @nishimwejames83
    @nishimwejames83 Před rokem +14

    Siku zote Uwa Baba love anaongea ukwli😂😂😂

  • @kevinkundy1338
    @kevinkundy1338 Před rokem +7

    😂😂baba levo nakukubali sana Mzee baba.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +6

    Mzagamuo ukaendelea khaa🤣🤣🤣🤣 baba levo umeshindikana walaah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣❤

  • @tosh7671
    @tosh7671 Před rokem +5

    Huu ugomvi ameumaliza dada Adela. Mwanamke ndio anayeamua kuzaa sio mwanaume. Kama hataki hakuna mimba kama anataka Huna ujanja na mwanamke ambaye hataki mimba mimba haikui kuwa mtoto

  • @Mina.15
    @Mina.15 Před rokem +6

    ATI mzagamuo ukaendelea 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @user-ju4cd8nz7v
    @user-ju4cd8nz7v Před rokem +2

    Baba levo apo kweny kahaba umetisha gud mfano

  • @jwakoofficial1560
    @jwakoofficial1560 Před měsícem

    Nakubari sana baba revo

  • @gugumasterthemanhimself2939

    Nasimama na Baba Levo ktk hili
    Mwanaume wa kutembea na Mwanamke kwa kinga ndani ya game 5 hajazaliwa

  • @uzungupoint
    @uzungupoint Před 10 měsíci +1

    Hapa ndipo nimeamini kauli yangu kuwa "NDOA" sio kitu cha thamani tena, suala la kupata mtoto linajadiliwa nje ya kuwa kwenye NDOA. Tunapoelekea NDOA haitakuwa kitu tena, ukitaka kuamini angalia single mothers mtaani.

  • @zaidiissa3714
    @zaidiissa3714 Před rokem +1

    Mwanyezi mungu ndio maana katutaka sisi waisilamu tuzikwe kwajina la mama maana mandio anaemjua baba wamtoto siwote tunaowata babazetu haruna uhakika hatakama tume zaliwa kwenyendoa kwadunia tunayoihi Mimi nashaulitu hatakama unamuamini mkeo kama unauwezo nivizuri kufanya DNA

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 Před rokem +3

    Baba levo kaongea kweli

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před rokem +2

    Baba levo mzuefu SN wa kuchukua makahaba na KUKATAA kondomu mbona kipengere hicho umekielezea vizuri sn

  • @user-hl9xu4vo1q
    @user-hl9xu4vo1q Před 9 měsíci +1

    Baba levo yuko sahihi sana

  • @hamadimatano4503
    @hamadimatano4503 Před rokem +2

    ukweli ukitembea na mwanamke na kondom mara tatu tu unavua mwenyewe kondom unazagamua live 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hashimsalehe7087
    @hashimsalehe7087 Před rokem +1

    yn Osca anajifanya km ayupo na wenzake kbs wkt ata yy mzee wa kujiachia kwny minazi mwanzo mwisho atar sn

  • @deboramartin8111
    @deboramartin8111 Před rokem +3

    😂😂😂😂baba levo bhana

  • @singidaone5628
    @singidaone5628 Před rokem +4

    Baba levo ni mkweli

  • @brightontheogenes5093

    kwel bhanaaa Baba levo kaptia mengiii bhanaaa

  • @jamesswai1683
    @jamesswai1683 Před rokem +3

    Njia iliyo salama ..ni kujifunza kukojoa nje...

  • @jumaneejumannesaidi2055
    @jumaneejumannesaidi2055 Před rokem +4

    Ukumbuke kwamba mtoto ni mpaka mwanamke atake kama hataki hutapata kamwe

  • @sylivestermwasile4203
    @sylivestermwasile4203 Před rokem +1

    Kwelii sku ya kwanza. Na yapili Kinga lkn sku zinazoendelea ni kavu kavuu

  • @nicodemusbura7669
    @nicodemusbura7669 Před měsícem

    O na oscar wako vizuri

  • @daudamos3400
    @daudamos3400 Před 11 měsíci

    Baba levo Leo nakuelewa sana Osca Osca ni mshamba tu kwa hili

  • @JoseHaule-tx7lu
    @JoseHaule-tx7lu Před měsícem

    Aaaaaah wajemeni 40 bado baba levo ungesema hata 50 bado

  • @jumaneejumannesaidi2055
    @jumaneejumannesaidi2055 Před rokem +1

    Apo sio ote wanaume bwana baba levo uyo Adela SI mwanamke

  • @imanimatutu3124
    @imanimatutu3124 Před rokem

    Baba levo uko sawa

  • @MusaHamis-oz2rg
    @MusaHamis-oz2rg Před rokem +2

    Et tukapiga mzagamuo duuuuu!!!😂😂😂

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před rokem +1

    Uongo ni kwako MZEEE

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Před rokem +2

    Ha ha ha Bab levo

  • @jacksonkatana5152
    @jacksonkatana5152 Před 6 měsíci

    Kwa hapa baba levo ako sahihi isipokua wanawake wanapanga uzazi

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 Před rokem

    Mshaurini na mama Dangote wakapime DNA ya Diamond na mzee Abdul

  • @allysudi4429
    @allysudi4429 Před měsícem

    Kwanza siku ya kwanza iyoiyo unaomba mungu unachapa dry mpira wa nn??

  • @f2abooksuppliers122
    @f2abooksuppliers122 Před rokem +2

    Kitabu cha baba levo kuuza ni ngumu maana soko la sasa watu hawanunui historia za watu

  • @ivvansiwiti9085
    @ivvansiwiti9085 Před rokem +4

    Kila mwanaume amefanya mazur na mabaya shida wakina Edo wanajifanya hawajapitia machaf baba levo uko pw

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Před rokem

    Mwanaume aache nyama..subutu. zagamuo..

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 Před rokem

    Huyo baba Levo ni mzinzi anaokotaokota wanawake c aoe

  • @bestman8182
    @bestman8182 Před rokem

    Dada kasema ukweli, mwanaume anawezajidai yupo makini lkn mwanamke akamtegeshea. Speaking from first hand experience

  • @mkingageorge2641
    @mkingageorge2641 Před rokem +1

    Baba levo kwny kalenda umedanganya

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Před rokem +1

    M kondom na vaaga kwenye kidole kikubwa

  • @guccij6236
    @guccij6236 Před rokem

    Ivi uyo Dem ameolewa?

  • @emmanicko1535
    @emmanicko1535 Před 11 měsíci +1

    SICHOKI KUWASIKILIZA WAPUMBAVU NYIE 😂

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 Před rokem

    Anaewafanya wasiwe waaminifu ni ninyi wanaume mnatabia mbaya ni wazinzi sn hamheshimu ndoa zenu mnawachosha sn wanawake

  • @amriramadhani2529
    @amriramadhani2529 Před rokem

    Uongo uongoo uongoooo😂😂bblv

  • @yasintamichael-bg9fk
    @yasintamichael-bg9fk Před rokem

    Kweli anachoongea baba levo Kwanza mara ya Kwanza ata ukimwambia mwaga nje anamwaka lakin kadiri siku zinavyogyokwenda anakwambia nimenogewa

  • @mecksonjoseph2522
    @mecksonjoseph2522 Před rokem +1

    Oska ukijui kichwa cha mboo Kiki simama lazima kifos kingi

  • @Andrewnchenge-il7ij
    @Andrewnchenge-il7ij Před rokem

    Kama MTU humpendi achana nae nenda kwa unaemkbari,kwann umpe mtoto wa mwanamke mwenzio MZIGO wa kumzalia Taifa lisilo lake

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem

    Baba levo kuywa soda kwa magi naja kulipa

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Před rokem

    Mwanamke awezi cheat mume anaejua KUTOMBA VIZURI

  • @daudamos3400
    @daudamos3400 Před 11 měsíci

    Mm ni mwanaume kamili lakini huwezi kutembea na mwanamke kwa kondomu mala 20

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 Před rokem

    Eddo ni kichwa sna kwenye hiyo mada

  • @jumaneejumannesaidi2055

    Hapan wanawake Wengi wanaotumia majira hawana karenda nzuli ya mwezi wao

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Před rokem

    Wanaa dada. Wawe makn. Tusje. Tukalaumiana

  • @guccij6236
    @guccij6236 Před rokem

    😅

  • @AndrewPaul-wy6qq
    @AndrewPaul-wy6qq Před rokem

    Oscaroscar👊

  • @makameibrahim5086
    @makameibrahim5086 Před 10 měsíci +1

    Baba levo hapo kwa condom point ☝️

  • @Ngwegwe-TV
    @Ngwegwe-TV Před rokem

    Acha uwongo

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Před rokem

    baba levo mkweli mkwel

  • @lawmaina78
    @lawmaina78 Před 11 měsíci

    Huyo Oscar anaongea kiredio, baba Levo yuko sahihi tuache kudanganyana.
    Asilimia kubwa ya wanaume hauwezi kutembea na mwanamke mmoja zaidi ya mara kumi kwa condom.

  • @brightontheogenes5093

    Kipimo cha DNA huwa ni bei ganii

  • @dismaspaul9004
    @dismaspaul9004 Před rokem

    ni uongo kabisaa😂😂😂

  • @user-dz4ob1xj8g
    @user-dz4ob1xj8g Před 10 měsíci

    Yaani ... mtu anasifia zinaa KWENYE MIKE YA CHOMBO CHA HABARI .... YAANI HII NCHI ITAFIKA LAKINI TUTACHELEWA

  • @pvkanyorota264
    @pvkanyorota264 Před rokem

    Mimba umempima vvu je

  • @user-of1gi9bf2n
    @user-of1gi9bf2n Před 11 měsíci

    😂😂😂😂

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +1

    Yote hayo ni kwa sababu ya zinaa watoto wa nje ya ndoa kama ndoa ya halali hakuna hayo tuache zinaa

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před rokem +1

    Huyu baba levo mi muongo sana.. yaani eti alikumbuka kumpima demu kama ana ujauzito au hana ili tu afanye bila silaha.. lakini mbona hukumpima afya yake kama kaathirika au hajaathirika? Hili jamaa huwa lina fix sana.. 😂😂😂😂