UKIKUTA MWANAMKE HANA BIKIRA HUYO SIYO MKE WAKO| DAMU YA BIKIRA NI AGANO LA NDOA, HAKUNA MWENYE MKE.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Zábava

Komentáře • 371

  • @dennismbote4771
    @dennismbote4771 Před 20 dny +17

    Huyu Mzee simkubali hata kidg lakn katika hili yuko sahihi 100% kabisaaaa

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 Před 20 dny +33

    Halafu kwenye hii post nimegundua akina dada ndo wamekuwa wakali sana sijui kwann😂😂😂😂😂😂

    • @user-uj5wg9mm2t
      @user-uj5wg9mm2t Před 20 dny +1

      😂😂😂😂

    • @abuum3760
      @abuum3760 Před 19 dny

      😂😂😂😂

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv Před 18 dny

      😂😂😂😂😂😂

    • @user-id8ys3lg5d
      @user-id8ys3lg5d Před 18 dny

      Janga la wadada wengi 😂😂😂❤

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 17 dny +2

      Sio wakali ila Kwa kuwa hizo bikra hawajitoi wenyewe ,basi pia jamii iwafundishe vijana wakiume kujiheshimu na kuwaheshimu dada zao

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 14 dny +4

    Daah basi mimi sijapata mke wa ujana wangu maana wote ninaokutana nao ni ndoo😂😂😂😂

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 Před 20 dny +30

    Ni kweli kabisa mke wa ujana ni uliyemtoa ubikra. Someni katika kisa cha Amnoni na Tamari.

    • @engineerjuma9876
      @engineerjuma9876 Před 20 dny

      Umetoa bikira bint wa mtu kwa ridhaa ya nani? Ninyi wakilisto hamjui nini ZINAA

    • @blessingcharles-lc1rr
      @blessingcharles-lc1rr Před 20 dny

      Kwahiy waliobakwa na baba zao waolewe nao

    • @AlexAward-gg6lu
      @AlexAward-gg6lu Před 19 dny

      Da a nimejikuta nipo kwenye wakati mgumu baada ya kusikilza habar za Nikita Yan nmevurugwa ngoja npambane mpaka npate Nikita wake Zang wore na wabwaga

    • @vicentmtiro6927
      @vicentmtiro6927 Před 19 dny

      Kwani unadhani walioana??

    • @ELIZABETH-uz6dv
      @ELIZABETH-uz6dv Před 18 dny

      ​@blessingcharles-lc1rr 😂😂😂😂😂

  • @user-eg1mz6vo1d
    @user-eg1mz6vo1d Před 20 dny +10

    Kweli kabisaaa Mzee that's why I appreciate you 🙏 umeongea ukweli mtupu yaaahni umetishaaa sanaaaa

  • @user-wz3ne2kc3o
    @user-wz3ne2kc3o Před 19 dny +5

    Kweli kabisa japo jamii ya sasa haitaki kusikia ukweli huu pongezi kwako na elimu hii irudishwe na iwekwe msimamo kabisa

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před 20 dny +5

    Wadangaji na walioa wasiokuwa bikra wamepanic sana, lakini ata ww unayefurahia kwakuwa bikra usijimalize sema tu Ahsante mungu alafu kausha, maana siku hizi znatengenezwa mtaani

  • @JulianaMaimu
    @JulianaMaimu Před 20 dny +5

    Mmmmh jamani pastor huyo kagusa mahali patam. Nimempenda Sana huyo pastor amenikumbusha jamani tukilelewa na Mama yetu alivyokuwa anatufundisha

  • @DavidNdaha
    @DavidNdaha Před 20 dny +9

    Kiukweli alie towa Bikra nikweli ndo mme wake Ila changamoto

  • @ngoyabaraka8143
    @ngoyabaraka8143 Před 19 dny +3

    Ni sahihi Sasa unakuta mwanaume kaoa mke, bikra kaikosa pia mimba ya kwanza kaikosa, mtoto wa kwanza kamkosa, mechi inanza mbili bila au moja bila ndo wake wetu wa Sasa gen z😅

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e Před 20 dny +5

    Kwahiyo kunawajanja kutoa bikra ndio jazi yao nasisi wengine hatujawahi kktana nabikra basi shida

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před 20 dny +8

    Wasichana wajichunge Bikra zao, ni muhimu.

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 17 dny

      Na wanaume pia ,kwani hao wadada wanajitoa wenyewe hizo bikra?

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m Před 19 dny +1

    Ni kweli mm nilitafuta mke mwenye bikira nilikuwa siamini kuoa mwanamke asiye na bikira atakuwa mke sahihi. Naamini mwanamke uliembikiri hawezi kukusahau maishani kamwe hata mfanyaje

  • @HkidKapinga
    @HkidKapinga Před 20 dny +5

    Ndo maana hata yusuph alitaka kumuacha mariam kwa siri, baada yakugundua mariam mjamzito,akijua bikira imetolewa na mtu nwingine,hadi malaika alipompa go ahead

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 Před 18 dny

      Kama ni hivyo sasa mbna alimuoa..?usidanganywe hayo ni mambo ya kale kabla ya Yesu mwenyewe mfalme wa ulimwengu soma 2Wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

  • @dancemoves4
    @dancemoves4 Před 20 dny +11

    😂😂😂😂Oscar anasema huwenda sisi wengine. Hatujawahi kukutana na watu wenye ujana mnaujua ujana nyie😂😂😂😂

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 19 dny +3

    Ni ukweli ubikira ni agano. Hilo ni kweli. Na kutairi mtoto ni agano moja hatari sana. Mungu tusaidie.
    Wazee wetu walitairi vijana. Sasa tunawapeleka kwa watu tusiowajua wanatairi watoto wanaingia nao maagano. Mungu tusaidie.
    Unashangaa mtoto anakuwa. Na tabia za ajabu.

  • @user-vb7vw2jr7d
    @user-vb7vw2jr7d Před 19 dny +4

    Nisawa shida nikupita gari kubwa halafu wewe upite na bajaji au na pikpiki ndio migogoro inaanzia hapo

  • @Khadija-f7b
    @Khadija-f7b Před 20 dny +5

    Kweli kabisa umeongea mie nashindwa kumsahau mume wangu wa agano keo miaka ishilini ,siko nae lkn namkumbuka mno nitafanya mpango nirusi kwa mume wangu inshallah

    • @AbisaiMwambene-fo9pt
      @AbisaiMwambene-fo9pt Před 19 dny

      Kama huyo aliye kuwa wa kwanza kwako na akaoa Alie bikra ndo anaeishi nae unarudije kwamfano?

  • @djnizoh
    @djnizoh Před 20 dny +11

    For sure

  • @MeshackKamenya
    @MeshackKamenya Před 20 dny +6

    Ni sahihi kabisa mzee wa upako

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 19 dny +2

    Yani hii kitu ya agano achana nayo. Haya issue yakutairi watoto ni agano. Yani watoto walitakiwa watairiwe na wazee wa kanisa. Tunapeleka watoto kutairiwa wanaingia maagano na watu wasiowajua.
    Haya mambo ni magumu sana .

  • @kdloon2030
    @kdloon2030 Před 20 dny +3

    Huyo dada mtangazaji alivyo dakia juu kwa juu na kuseama"Basi yabidi turudiane na ma X wetu"yaelekea bado unamfikiria X wake

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 3 dny

    Ni kweli sana, Bikira ni dhamana, amepewa mwanamke, hivyo atakaye mpa akala huyo ndiyo mumewe.
    Utakapo muoa wewe siku ya kiama ujuwe atadai mke wake na hivyo utamlipa ndiyo uwe naye.

  • @maclean7727
    @maclean7727 Před dnem

    Mzee umeongea hekima sana, lakini, umechelewa tumeshakosea, hatujui tufanyaje, maana hawa wanawake hawatuheshimu kabisa, nao ni vichwa vya familia.

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur

    Huyo mtangazaji wa kike imemuuma sana mpaka kaamua kubadilisha maada maana bikra alitolewa kitambo na jamaa hajamuoa maskini inauma mpaka kaamua kubadilisha maada kaenda kwenye idadi kubwa ya wanawake kwenye makanisa
    Aliyoyaongea Mzee wa Upako Yote kuhusu Bikra, dhambi, Agano la damu yote ni kweli

  • @MagrethMhina
    @MagrethMhina Před 20 dny +2

    Upo sahihi baba sasa inabidi mch kabla hajafungisha ndoa mabint waulizwe na kuwa wakweli kua na bikra wapimwe kama wachumba wanapima hiv barikiwa mabinti wasiwe na vishawishi

  • @rauncesimwaka1320
    @rauncesimwaka1320 Před 18 dny +2

    Mfalme daudi alioa mke wa hulia Kwa hiyo hakua mke

  • @husseinmassawa7186
    @husseinmassawa7186 Před 19 dny +2

    Oscar na baba levo hao wote mliowaowa sio wake zenu, nendeni mkatafute wake zenu😅

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 20 dny +2

    Nakubali baba , iyo ni kwel kabisa🎉😂

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Před 20 dny +3

    Mtumishi yupo sahih kabisa tunaingiliana tuu kaa wanyama..... Tuoe kihalari bikra

  • @user-gv2un4jl3m
    @user-gv2un4jl3m Před 20 dny +4

    Oscar mbona kama kazuubaa hajawahi kukutana na kisiki nini? Kisiki ni BIKRA

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 20 dny +1

    Duh! fact sana hii.!! Umetisha sana Yan mafundusho yako yote haya nmeyaelewa

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 Před 20 dny +7

    Uko sahihi kabisa

  • @98Maktaba
    @98Maktaba Před 20 dny +3

    Alafu mazee yasikuhuzi bila aibu yanatutoza mahali kuuuubwaa bila kuwaza kuwa yanatupatia chocolate kwenye gazeti shame on them and they are daughters

  • @ArobogastMashamba
    @ArobogastMashamba Před 20 dny +2

    Ndo maana kwenye WOKOVU hakuna upenzi/ugirlfriend/uboyfriend...ni uchumba kisha ndoa

  • @davidmangilile3568
    @davidmangilile3568 Před 20 dny +7

    Upo sahihi sana %90 ya wanawake wanaolewa wanakuwa wanawake wa watu kwakuwa wanaolewa wakiwa tayali washatumika😅😅😅

  • @BeatriceBandio-qo6yp
    @BeatriceBandio-qo6yp Před 14 dny

    Ndio baba uo ndio uungu na baraka na nuru ndani ya mwanamke kutoka kwa Mungu

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 19 dny +2

    Imeenda hiyo na wale madada waliojivuavua ndiyo maana ni wakali kwa comment maana mmepigwa na kitu kizito

  • @marcobulili4341
    @marcobulili4341 Před 20 dny +17

    Ila uko sahihi kabisa mchungaji!

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 19 dny +1

    Hii issue ya agano . Hasa kutairi. Siku namtairi mtoto nilizimia. Kutairi ni agano la damu. Sasa wakristo tunatakiwa kufanyaje. Haya mambo magumu

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před 8 dny

    Oscar amehuzunika sana..inaonyesha hajawahi kupata mke Bikra

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi Před 20 dny +4

    Bro, Me ni MANGI na saiv a miaka 25,kwa sasa najiandaa kuoa lakini STAKI KABISA KUOA MWANAMKE ASIYE KUA NA BIKRA maana kwanza ntakua nachukua makombo, napia kwa sisi waktisto kuoa mwanamke ambae amesha ungana na wanaume wengine au mwingine kimwili inamadhara makubwa sana KIROHO,inakufanyA usiwe na nguvu kiroho na pia inaondoa baraka kwa watoto wako.

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi Před 20 dny +2

      Kwahiyo mzee ameongea ukweli 100%

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu Před 20 dny +2

      Upo sawa hizo takataka ambazo hazina bikra weka kushoto Mimi mwenyewe naoa bikra Bora nilipe mahali kubwa lakini nioe bikra

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 17 dny +1

      Basi hakikisha na wewe hufanyi kabla ya ndoa ,Kwa sababu pia ukristo haujaruhusu mwanaume kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi Před 17 dny

      Me ni mkweli kaka, maana ukristo hauturuhusu kusema uongo

    • @TarimoMangi
      @TarimoMangi Před 17 dny

      Amen kaka

  • @shau78
    @shau78 Před 20 dny +3

    ni kweli kabisa mchungaji anavyosema. lakini mimi kama mkristo naamini kwenye kutubu dhambi na kumuomba Mungu abadilishe pale palipokosewa. na Mungu hashindwi kitu. Mwanamke alietunza bikra mpaka akaolewa, kisha akazini baada ya kuolewa hana haki kuliko mwanamke aliekutwa hana bikra (hata kama alikuwa dada poa), lakini akatubu kwa dhati na kutulia na mume wake.

  • @mamawadudu48
    @mamawadudu48 Před 20 dny +2

    The spirit of confusion is loading.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před 20 dny +1

    Mzee uko sawa kwaushahidi huu ndomana vitabu vya M/MUNGU vimekaza kuzini tabia ya kuzini ndoimeleta watu kuowa wasichana wasio bikra

  • @vero57
    @vero57 Před 20 dny +4

    Bwana aliye nitoa bikira sijui yuko wapi ??? Hata siku hiyo ni kama alinibaka maana nilikua sielewi kitu 😂😂😂

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b Před 19 dny +1

    Walio wengi tunaukataa ukweli baada yakujikuta tumekosea ila mzee anaongea ukweli

  • @iddylumbila7399
    @iddylumbila7399 Před 20 dny +1

    Umeongea ukweliofichwa kwa muda mrefu na viongozi wa dini, na ukumbuke ukweli unauma kwahyo tegemea kupata comment za waliomia na waliojifunza, kama umeumia dislike na kama umejifunza hapa chini.

  • @jafethleonard5821
    @jafethleonard5821 Před 20 dny +2

    True

  • @subramsubram4999
    @subramsubram4999 Před 19 dny +1

    Na ndo maana ndoa hazidumu

  • @danieljohn6904
    @danieljohn6904 Před 18 dny

    #Hii ni saa ya kuambiana UKWELI kama Kuna mwenye Hekima mmoja Asome
    2Wakorintho 5:17-19. Na
    Yohana 3:1-7.
    Mtu anadanganya UMA tena kwenye Media kweli waongo wapo na wengi wanawafata nitajie andiko bas hayo Yalimalizwa na Yesu mwenyewe....By Man of God (Taifa kubwa) na waandishi na nyie mnakubali jmn poleni sana#

    • @maclean7727
      @maclean7727 Před dnem

      Huu ni uongo YESU alitukomboa kwenye dhambi, hakuna kubadilisha agano la ndoa. Kama ingekuwa hivyo mabinti wasingekuwa wanazaliwa na bikra.

    • @maclean7727
      @maclean7727 Před dnem

      Hakuja kubadilili agano la ndoa, alikuja kutukomboa na dhambi.

  • @vero57
    @vero57 Před 20 dny +2

    NA NYIE WANAUME JEE??? BIKIRA?????? PANDE MBILI HAPO TUNAOGELEA?????😂😂

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 Před 13 dny

    Huyu mzee kuna kongamano liliandaliwa akakimbia harafu anasema ajibiwe hoja wakati kaalikwa ili aje natuhuma zake juu ya Ukristo akakimbia.
    Sasa ushauri wangu kwenu watangazaji waalikeni na wachungaji wengine waje wa mjibu hoja huyu mzee ambaye Ni mhuni tu asiyeijuwa Biblia

  • @donaldmgunda4970
    @donaldmgunda4970 Před 20 dny

    Weweeeee mzeeer usituvurugee hapa bwanaa😮

  • @iamdisciple_tz
    @iamdisciple_tz Před 20 dny +8

    Bora ata umeongea hii maada nilikua nawambia mmenipambanisha wenyewe wananambia mfungwa achagui gereza. Waludishe tu mahali zangu wachukue Toto rao

  • @Elybwayz
    @Elybwayz Před 20 dny +16

    Na alietoa bikira zaidi ya 1 wote wakezake😅

  • @allykk1459
    @allykk1459 Před 17 dny

    Mara nyingi anasema kweli nimependa sana

  • @jamesraphaelmdima4729

    Kwa mujibu wa Biblia alitakiwa kupigwa mawe hadi kufa.

  • @jonasfrank1758
    @jonasfrank1758 Před 19 dny

    Baba mchungaji kwa mafundisho unayotoa, hiki kituo inabd kifanye arrangement na wewe atleast kila week uwe na dk zako 15-20 kwa ajili ya mafundisho

  • @Mahershalalhashbazi-kf6xi

    Chief Mwantebe leo kasema iliyo kweli

  • @dioclesrweramila7926
    @dioclesrweramila7926 Před 20 dny +1

    Malaki 2:14
    [14]Lakini ninyi mwasema, Ni kwa sababu gani? Ni kwa sababu BWANA amekuwa shahidi kati ya wewe na mke wa ujana wako, uliyemtenda mambo ya hiana, angawa yeye ni mwenzako, na mke wa agano lako.

    • @danieljohn6904
      @danieljohn6904 Před 18 dny

      Ukimgonga mwanamke bikra ndiyo amekuwa mke nakataa huko ni kuzin tena ni dhambi kama dhambi zingine unatakiwa kuelewa soma 2wakorintho5:17-19 na Yohana 3:1-7

    • @edwinmbunda6709
      @edwinmbunda6709 Před 17 dny

      ​@@danieljohn6904Huwezi bishia biblia ndugu....

  • @HamadiMzee-ut9bq
    @HamadiMzee-ut9bq Před 19 dny

    Now days kunamatukio mengi wengine utolew bikla kwa kulazimishwa yan kubakwa achen kashifa nyinyi

  • @vero57
    @vero57 Před 20 dny +1

    Wanaume sasa leo wamepata kichwa, wasio na bikira sio mkeo khaaa hiii kali, kwahivyo wafanywe nini wasio na bikira watupwe ??? Tuta zindi kuzalauriwa 😮😮

  • @gilbertbidimbuka9104
    @gilbertbidimbuka9104 Před 13 dny

    Mimi nasema kuwa huyu mzee siyo Mkristo na haujui Ukristo kabisa niko tayari hata mniite hapo kwenye kipindi nimjibu huyu mzee na hata nisimame naye tujibiane mimi na yeye

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 13 dny

      Umepigwa nini? Kula kiporo hicho hukupata bikira. Mzee yuko vizuri 100%. Hapana cha kujibu hapo Mkristo ni mke mmoja ukiona ushatombwa au ushatomba na zaidi ya mtu mmoja wewe sio Mkristo!

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 Před 20 dny +3

    Hii issue sounds very real. Ndio maana ndoa nyingi hazieleweki. 😅 men tunaishi na wake za watu😂. Nafikiri shetani kafanikiwa sana eneo hili ndio maana tunakubali sote kuwa ndoa za siku hizi miyeyusho. Ukimpata mwanamke wa ujana wako na ukadumu nae, inaheshima sana maana unaujasiri kuwa wewe ndie uliefungua njia hata hisia mbovu mbovu unakuwa huna. 😂😂😂. Leo hii unakuta wapenzi hawapati ladha yenyewe kabisa mara huyu anakibamia mara huyu pana sana, kumbe size tofauti zimepita😂. Sasa men wanaanza kuruka ruka ili kukidhi haja zao, hii sio kwamba shetani kashinda kwenye eneo hili?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 17 dny

      Ikiwa wewe ( men) sio bikra ,unataka upate mke bikra kutoka wapi?

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 Před 17 dny

      Nyie bikra zenu mnazitolea wapi ? Kama ni Kwa hao mabinti basi sahau kupata mke bikra

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 Před 17 dny

      @@emmadora7848 niipate kwako

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 Před 17 dny

      @@emmadora7848 fafanua vizuri bikra ya mwanaume iko vp wakati akibarehe tu na akiota ndoto nyevu anamaliza.!! Bikra inapatikana kwa jinsia ya kike

    • @georgebataze6625
      @georgebataze6625 Před 17 dny

      ​@@emmadora7848ikiwa baba yako alikuonya usifanye ujinga mpaka pale utakapo olewa harafu wewe ukapuuza na ukadanganywa kosa nilanani?

  • @reginaaloyce4055
    @reginaaloyce4055 Před 14 dny

    Nna swali hao wanaotoa hzo bikra ni kina Nan?

  • @UfahamuwaKristo
    @UfahamuwaKristo Před 19 dny +1

    Au ndo maana ndoa nyingi za leo zina migogoro sana

  • @confredsangija
    @confredsangija Před 14 dny

    mzee wa punyeto leo yuko kwenye masuala ya dini,,,,basi si ungeuliza na kuhusu punyeto na chama cha wapiga pu kama kipo kihalali?>

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 Před 13 dny

    Hivi mzee waupako umepatwa nanini?

  • @neemajames5137
    @neemajames5137 Před 20 dny +1

    Jamani msitukane Masihi wa Bwana ndivyo biblia inavyosema.

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 Před 15 dny

    Mzee hapa hekima imajaaa chief

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n Před 16 dny

    Ndo mana tumeambiwa tuowane kabla ya kuingiliana.ndo mana dharau nyingi.

  • @eminenceboy8386
    @eminenceboy8386 Před 16 dny

    Mm huyu mzee waupako naanza kumuelewa kidog kidog😂

  • @user-zn7yp4cp1e
    @user-zn7yp4cp1e Před 16 dny

    Oscar Oscar unapenda story kama izi

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu Před 20 dny

    Walokole wanaongoza kwa uzinzi unakuta kwaya nzima ni wapenzi watupu hovyo sana

  • @user-tu9zm1jh3n
    @user-tu9zm1jh3n Před 13 dny

    Mmmh

  • @bechubechuissa8965
    @bechubechuissa8965 Před 20 dny

    Kweli mzee wa upako

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 20 dny

    MTU anangangana mke wangu mke wangu upuuz tu umemkuta nayo

  • @user-oz8mc7mz7z
    @user-oz8mc7mz7z Před 18 dny

    Zitatengenezwa sana

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s Před 10 dny

    Kama umechanganyikiwa achana naye

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 Před 19 dny

    KWA KWELI MI NISHAKUTANAGA NA BIKRA MMOJA TUU

  • @abdulkilihindi7725
    @abdulkilihindi7725 Před 20 dny

    Hhh,,hili zee kwel somi

  • @deathrow8004
    @deathrow8004 Před dnem

    Kimsingi akili ni moyo..

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Před 19 dny

    Kwhyo mimì frida kaniambia nyumba hii tufame nihame kweli maananyasije yakatokea makubwa

  • @Docantz
    @Docantz Před 16 dny

    Mzee ametusha 🎉

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    IMEEENDAAAA HIYO TAYARI!!!!, BONGE LA SOMO !!!

  • @HalimaMaulidi-sv7le
    @HalimaMaulidi-sv7le Před 20 dny +1

    Na ukikutana na mume co bikira pia ujue co mume wako ( Namaanisha mwanaume pia kuna mtu aliyeanza naye mapenzi wanawake mpoooo!)

    • @maclean7727
      @maclean7727 Před dnem

      Mwanaume mmoja anaweza kutoa bikra hata tano, hao wote ni wake zake kwa mujibu wa agano la damu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 Před dnem

      Lakini mwanamke mmoja hawezi kutolewa bikra na wanaume wawili, ila mmoja tu.

    • @maclean7727
      @maclean7727 Před dnem

      Na hiyo ndo maana kwenye agano la kale wanaume walikuwa wanaoa mke zaidi ya mmoja, lakini kwa mwanamke haikuwezekana.

  • @user-vk4mv8vs7c
    @user-vk4mv8vs7c Před 20 dny

    Hadisi za abunuasi
    Asome alama za nyakati

  • @henrymjema1685
    @henrymjema1685 Před 20 dny +1

    Huu ni ukweli unaouma

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Před 20 dny +1

    Mtumishi umenena

  • @gilliansiara3324
    @gilliansiara3324 Před 15 dny

    Huyo mwanaume yeye ni bikra,

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před 19 dny

    Wengi hawana wake kwa kweli😂😂😂😂

  • @lightforafricatv3122
    @lightforafricatv3122 Před 20 dny

    Sasa mwanaume akiwatoa ubkira wanawake 10 , wote watakuwa wake zake kibiblia pia? Wakiseme wajitokeze kwake itakuwaj?

  • @pastadandan3569
    @pastadandan3569 Před 20 dny +10

    Kuna wengine tangia awe kijana mpaka amezeeka hajawahi kubahatika bikra hata Moja

  • @user-wx9or8rw4n
    @user-wx9or8rw4n Před 16 dny

    Njoo upose ....zipi nyingiiiiiii

  • @RajabuSikabwe-rp1lj
    @RajabuSikabwe-rp1lj Před 17 dny

    Je nauliza wakwako ulimuowa akiwa bikira

  • @kibosniper5219
    @kibosniper5219 Před 20 dny

    Hahahah mimi nimetoa bikira san watot wa watu afu ikawaga nikiwatoa wanapendan na wengin da dini hizi mungu aje tuokoa man tunadanganywa.hata mimi niliamin kumtoa bikr mwanamke ni wangu bt haijawah tokea kwanz akishatolew tu ndo wanakua malaya kisenge

    • @user-cp2do9pd5k
      @user-cp2do9pd5k Před 19 dny +1

      @@kibosniper5219 omba Toba sana ndugu maana utakufa mbaka uone watoto wako wakiumizwa

  • @azorindege2556
    @azorindege2556 Před 20 dny

    IKITOKEA NIMEBIKIRI ZAID YA MMOJA MKE WANGU ANAKUWA YUPI? AU WOTE??

  • @ElizabethWamcha
    @ElizabethWamcha Před 20 dny +3

    Sasa kama alinitoa bikra alishafariki inakuaj

    • @98Maktaba
      @98Maktaba Před 20 dny +1

      Hapo ww ni mjane😅

    • @athumanmsuya2688
      @athumanmsuya2688 Před 20 dny

      Wewe ni mjane

    • @twiserchaki6029
      @twiserchaki6029 Před 20 dny +1

      Kwa haraka mlizikuwa nazo...mnatolewaga na mazombie

    • @OmyJr-hw2nk
      @OmyJr-hw2nk Před 20 dny

      Tafuta bikila

    • @joyce55727
      @joyce55727 Před 20 dny +1

      Niliolewa nikiwa bikra x wangu alifulah sana baada ya mwez mmoja alianza kunisumbua kua sijui mapenz ni alikua akinifundisha ila sikua mwepes wa kuelewa sku moja akaniambia ni bola aludiane na mama mtt wake na pia mm kipindi ananichumbia hakusema kama ana mtt alinichumbia akatoa mahali harus ukafanyika kumbe naolewa na alishababu 😢😢😢 nilikaa nae kwenye ndoa miaka 3 nikaondoka saiz ni miaka 10 tangu tuachane pia ana watot 8 mama zao 6 et sku izi anatuma watu tuludiane nimekataa pia mm nilizaa nae mtoto mmoja

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 20 dny +1

    Na wale ziliotoka kwa baiskel vipi?