EXCLUSIVE: KIKEKE AFUNGUKA SABABU ZA KUONDOKA BBC “HAKUNA HAKIKISHO LA MAISHA BORA ULAYA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 11. 2023

Komentáře • 516

  • @Rmkh88
    @Rmkh88 Před 7 měsíci +5

    Amejitahidi sana awe hazungumzib kwa kutumia maneno ya Kiingereza, na akitamka neno kwa Kiingereza basi amesahau maana yake kwa lugha ya Kiswahili. This is fantastic, tofauti na watu wetu wengi, Kiingereza kingi na hawakijui

  • @user-oo7vr4cb7r
    @user-oo7vr4cb7r Před 8 měsíci +11

    Siku zote mkataa kwao no mtumwa Mimi nakuku Bali Sana Kaka Salim like mungu akulinde nafitna za wanadam karbu nyumbani kk

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja4032 Před 8 měsíci +18

    Presenter apewe maua yake, fantastic interview 🔥🔥🙌💯

  • @athmanmzee7144
    @athmanmzee7144 Před 8 měsíci +9

    He is one of the best swahili broadcaster in the swahili region.....Great love from Kenya.

  • @EliahParpulisEvalyneMkulati
    @EliahParpulisEvalyneMkulati Před 8 měsíci +25

    Wewe ni mtangazaji nguli sana! Kongole kwa kazi ambazo unafanya! Mungu akupe heri na kukufanikishia yote! Big up sana Salim Kikeke Umeonyesha uzalendo kurudi nyumbani kurudisha na kuchangia katika taifa lako!! Pongezi sana kuonyesha muhimu na dhamani ya kazi yako. Kuwepo nyumbani tu inaonyesha na pia inawapa nguvu wale ambao wanadharau kazi kama yako!! nenda na msimamo huo wa kuonesha na kuelimisha jamii na wengine kuhusu dhamani ya kazi yako na pia mabadiliko ya mwajiri na mwajiliwa. Karibu sana nyumbani.

  • @alhabibsudi7997
    @alhabibsudi7997 Před 8 měsíci +17

    “Voluntary Redundancy” kwa muda aliotumikia BBC kuna malipo ambayo mwajiri anamlipa mwajiriwa au unalipwa pale tu mwajiri anapokubali ombi lako.
    Na malipo yanategemea na umri wako na muda uliotumikia, kwa Iyo Kikeke hajarudi mtupu kuna Maokoto yake mfukoni yanamsogeza sogeza katika muda huu alioamua kuja kupambana nyumbani,
    Well done Kikeke

  • @Babuu200
    @Babuu200 Před 8 měsíci +30

    Nyie huyu Jamaa anayemhoji Kikeke Anajua 🔥🔥

    • @ndayisengaamissi6102
      @ndayisengaamissi6102 Před 8 měsíci +1

      anajua na anajua tena😊

    • @cosmasjulius
      @cosmasjulius Před 8 měsíci

      AyoTv inshort ipo vizuri kila sehem anzia kwa wafanyakaz wake, (chunguza)

  • @malimachacha4500
    @malimachacha4500 Před 8 měsíci +11

    Huyu dada aliyeweka sauti at the beginning yuko vizuri, Vijana wa kileo wanatumia lugha ya kwamba apewe maua yake

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Před 8 měsíci +9

    Nakupongeza sana Mr Salimu Kikeke kwa uamuzi wa kurudi nyumbani. Wengine hudharau kwao kwamba Ulaya ni bora. Wewe ni mfano wa kuigwa. Karibu sana Tanzania tujenge wote nchi yetu.

    • @banguha
      @banguha Před 8 měsíci

      Wajat sijaja ulaya nilimuomba Mungu sana nipate kazi uku ila tangu nifike ulaya namuomba Mungu sana nilud Tanzania sema mkataba unanibana Yan ndugu zangu wote kila siku nawambia jmni Tanzania ni kuzur mno maisha ya uku ni magumu cjawah kufurahia kuish uku

  • @JilbertDanifordMathayo-sn2gy
    @JilbertDanifordMathayo-sn2gy Před 8 měsíci +7

    Kaka SALIMU BBC uliifanya ing'are na hasa kwapenda KISWAHILI. Karibu tunakupenda. MAGUFULI alisema nyumbani kumenoga. Mungu amhifadhi salama.

  • @melkizedeckelsonmbise4424
    @melkizedeckelsonmbise4424 Před 8 měsíci +7

    One of the best interview..
    Yametemwa madini Sana, nmependa ubunifu, kuanzia kwenye intro ya uyo dada, ilo beat na utulivu wa show...Kikeke toka aondoke BBC sifatilii tena Dira ya Dunia.

  • @user-pj1tb5xz1t
    @user-pj1tb5xz1t Před 8 měsíci +17

    Mimi ni mpenzi wa Dira ya Dunia kuodoka kwa S.K kumenifanya niache kuisikiliza.Mungu ampe maisha marefu aweze kutumia kipaji chake kujenga Tanzania.

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před 8 měsíci +8

    Hongera Bwana Kikeke kwa interview iliyojaa weredi na mvuto wa kipeke. Nimefurahi kusikia kwamba mkono (5) unakuhusu!

  • @barakafundo9208
    @barakafundo9208 Před 8 měsíci +11

    One of the coolest interviews
    Big up mwandishi

  • @mohamedmacha
    @mohamedmacha Před 8 měsíci +4

    Hongera sana Salim Kikeke.
    Kazi nzuri mtangazaji, mahojiano mazuri.

  • @flm1530
    @flm1530 Před 8 měsíci +262

    Yani mwanadamu ukiwa Africa unapachoka ukienda ulaya unapachoka ukila sana ni shida, ukiwa na njaa ni shida ,,,raha pekee na amani na tulizo lipo ndani ya YESU KRISTO tu

  • @stevenvictor437
    @stevenvictor437 Před 8 měsíci +12

    Mm ni mmoja wa watu ambao nakukubali sana Salim kikeke, endelea kuchapa kazi hata hapa tz tutaendelea kuwa nyuma Yako.

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 8 měsíci +4

    Milard Ayo una watangazaji professional ' Huyu kaka ni mtangazaji wa Kimataifa' Yani ni 🔥🔥🔥

    • @dreamboy5674
      @dreamboy5674 Před 8 měsíci +1

      Huoni anaiga sauti ya zuhura yunis

  • @EstherKisandu
    @EstherKisandu Před 8 měsíci +6

    Huyu anayehoji hapa ni genius 🙌

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 8 měsíci +9

    Amekaa Uingereza miaka 20 anaongea kiswahili murwaa. Kutana sasa na wabongo movie😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 8 měsíci +10

    MashaAllah 🎉🎉🎉huyu kaka is very well spoken.
    No wonder tunampenda,

  • @martinsntonyo8537
    @martinsntonyo8537 Před 8 měsíci +9

    Kaka Salimu you are a great man mtu wa mfano long live ila nilianza kuchukia dira ya dunia ulivoondoka ndo hvyo hvyo nimeanza tena upya

  • @gasperymisungwi960
    @gasperymisungwi960 Před 8 měsíci +8

    Kikeke is a star, inspirational and talented

  • @lusekelogerald4714
    @lusekelogerald4714 Před 8 měsíci +14

    one of the best interview in this year🔥🔥🔥

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni6801 Před 8 měsíci +9

    very professional interview congrats🎉

  • @user-to9ci3ng3z
    @user-to9ci3ng3z Před 8 měsíci +2

    Karibu nyumbani. Naipenda nchi yangu. Nami ni mmoja wa wake wanaopenda nyumbani. Hata hapa Tz maisha mazuri yanapatikana na furaha na mengine mengi Mungu aliyotupatia au kutupendelea sisi wakushi. Mungu fundi. Mungu ibariki Mungu ibariki Tanzania. Usiogope maisha yanaenda tuuuu

  • @nobody07241
    @nobody07241 Před 8 měsíci +20

    Interview imetulia sana big up kwa mtangazaji

  • @ephrahimmasiko9873
    @ephrahimmasiko9873 Před 8 měsíci +37

    Wasanii na watu mashuhuri kuna cha kujifunza hapa; Salim licha ya kukaa Uingereza miaka 20 bado anatumia lugha moja kwenye mazungumzo. Sijasikia popote akichanganya Lugha ya Kiswahili na Kiingereza.
    Kuna kubwa la kujifunza hapa. Hongera Salim.

    • @waltergilbert3967
      @waltergilbert3967 Před 8 měsíci +1

      kaangalie akiwa anatangaza vitu vya utalii anavyoongea english tupu

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před 8 měsíci +5

      ​@@waltergilbert3967hio ni utalii umeshasema😅

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 8 měsíci +2

      @@waltergilbert3967 umeshasema, " UTALII" af hapo anahojiwa ni tofauti na kutangaza

    • @ireneseth
      @ireneseth Před 8 měsíci +2

      Hapo tungesikia yes yu nooo nyoko nyoko

    • @paulalove1223
      @paulalove1223 Před 8 měsíci

      ​@@irenesethmara actually usually ndo kingereza chao😂

  • @bezalelmbijima8182
    @bezalelmbijima8182 Před 8 měsíci +3

    Vizuri sana Salim, kuna vitu viwili kwetu vinatupa utambulisho mbaya sana sana kwa watu wengine
    1.Kujali
    2.Kuthamini
    Washahili yapaswa tujizoeze kuja muda, kuja makubaliano, kujali fulsa.
    Pia kuthamini kitu cha mtu, kuthamini utu wa mtu, kuthamini chako na cha mwenzako.
    Mwisho kutambua!

  • @aciamwinyi3991
    @aciamwinyi3991 Před 8 měsíci +3

    Mashaallah Mwenyezi Mungu akujalie kila kheli nakuona mbali sana, Umuhimu wako Unajulika ni jambo la muda tu.

  • @ztvonline2523
    @ztvonline2523 Před 8 měsíci +1

    Interview Bora sana Broh Rama #TZA umetulia sana maswali ya ukika pia Salim saf sana .....Bonge moja la Interview 🔥🔥🔥

  • @lelomellowtz
    @lelomellowtz Před 8 měsíci +14

    • Tanzania ni pazuri kama una hela, ila kama hauna utazunguka tu mwishowe bado utakua na upweke wa Umaskini.

    • @kautharyhamza6731
      @kautharyhamza6731 Před 8 měsíci +1

      Well said

    • @mandalorian_4.11
      @mandalorian_4.11 Před 8 měsíci +1

      Well said, lakini kumbuka kupuuzia mipango mingi ya kupata pesa wakati huna kazi ya kueleweka! Kwakufanya hivyo utafurahia sana maisha ya Nyumbani Tanzania.

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Před 8 měsíci

      Sio kweli jamaa unasema Tanzania ũkĩwa huna hela unakuwa mpweke? Nakataa sasa si watanzania wengi si wangekuwa wapweke sana? Kinacholeta upweke mkubwa tz ni watu kutaka kuishi maisha ya kupita uwezo au viwango vyao,mfano hapa dar watu wengi wanaishi kwa upweke sana maana wanapenda kushindana kwenye nyanja Za maisha ,kutaka maisha ya juu na kuishi Kuliko kipato chako ni sababu kuu ya upweke.lakini ukisema kukosa hela sio kweli maana asilimia 80 ya watanzania wanategemea Kilimo na Kilimo kuna MUda wa kusubiri ilĩ mazao yakomae sasa unadhani inakuwaje

  • @OteshaTime_Services
    @OteshaTime_Services Před 8 měsíci +2

    Vijana jifunzeni kutulia katika maisha kupitia kwa Bro Salim Kikeke... karibuni

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 8 měsíci +4

    Anzisha kampuni yako handsome boy wa Taifa Africa mashariki na kati😍😍😍

  • @VicentMark
    @VicentMark Před 8 měsíci

    Namkubali sana Mr Kikeke, ur really an inspiration, Unastahii heshima, U have it all brother

  • @anthonygenge4366
    @anthonygenge4366 Před 8 měsíci +6

    Upo vizuri sana kaka salim, binafc nmeanza kukuckiliza Redion ukitangaza ktk idhaa ya BBC, ulinifanya nikawa siachi kutembea na karedio kadogooo, ilimlad tu nikuckilize ukitangaza mpira wa wingereza, pongezi sana kaka🎉

  • @monicasimpilu6257
    @monicasimpilu6257 Před 8 měsíci +24

    Nyumbani ni nyumbani karibu Mbeya. Tunafurahi kurudi home. ❤

    • @winnerjudith2007
      @winnerjudith2007 Před 8 měsíci

      ni mtu wa mbeya?

    • @monicasimpilu6257
      @monicasimpilu6257 Před 8 měsíci

      @@winnerjudith2007 sina hakika sana japo kuna kipindi alikua anahojiwa akasema Mbeya ameishi

    • @MrNdanguza
      @MrNdanguza Před 8 měsíci

      ​@@monicasimpilu6257hamna bana huyu mwamba mpemba zanzibar.

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Před 8 měsíci

      ​@@winnerjudith2007sidhani asee kama hichi Chuma cha mbeya

  • @Stan-103
    @Stan-103 Před 8 měsíci +4

    Millard, nunua wireless microphone, unawachosha watu mikono, sikuhz interview hatufanyi na mic za kushika mkononi😅

  • @JackobGalish-ky3no
    @JackobGalish-ky3no Před 8 měsíci +6

    A very good interview

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 Před 8 měsíci +2

    Além de kikeke gostei também de postura de apresentador coloca bem as questões 🇲🇿

  • @emilysanga7662
    @emilysanga7662 Před 8 měsíci +3

    Yuko vizuri sana mkataa kwao mtumwa namkubali sana Salim sana

  • @hassanabuu6
    @hassanabuu6 Před 8 měsíci +1

    Awesome interview ❤

  • @user-hq9jf5gs5w
    @user-hq9jf5gs5w Před 8 měsíci +2

    Kikeke nakukubali sana katika kazi zako mungu azidi kukubari

  • @robertlinuma6051
    @robertlinuma6051 Před 8 měsíci +9

    Sababu sio za msingi sana .ila kwa kuwa kaamuwa .kila pahala watu wanaish life style yao kila eneo dunian.maisha ya ulaya na marekan kama unapata kaz utakiw kuwa mvivu..maana muda wa kupumzika n mdogo sana ..na BILLS za kutosha .hakuna kukwepa kwepa kama huku .

    • @joshck4117
      @joshck4117 Před 7 měsíci

      kwake ni sababu za msingi

    • @lydiabandio9416
      @lydiabandio9416 Před 7 měsíci

      Kwako wewe ni hivyo Kwa mwingine sio, so sababu alizozitoa ni sa msingi upweke sio kitu kizuri kabisa.

  • @JacoboleKampuni-px9rd
    @JacoboleKampuni-px9rd Před 8 měsíci +7

    Legendary

  • @user-fc3og1eo3x
    @user-fc3og1eo3x Před 8 měsíci

    Salim kikeke interview yako iko makini na ina somo kubwa salute bro

  • @wahapahapa3279
    @wahapahapa3279 Před 8 měsíci +5

    Yani ningekua nimeshakusanya ela nyingi ningerudi Tanzania maisha ya ulaya no ya upweke sana, kikubwa ningebaki tu na Access ya kwenda na kurudi tu kwa ajiri ya kutibiwa tu na vacations

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před 8 měsíci +3

    Ukimwambia mtu aliyeko afrika kwamba ulaya kuna upweke anaona unaongea nini wewe??mi napata pesa yangu nzuri sina muda kuwaza upweke😂😂😂😂😂😂usilolijua ni kama usiku wa giza

  • @user-hq8fo4ph4p
    @user-hq8fo4ph4p Před 8 měsíci +6

    Kheri zaidi mtu kuenda nje kwa ajili kupata msingi wa kipato na mabalozi wanastahiki kuwa saidia wananchi wa tanzania wanapokwenda nje ya nchi kuwasimamia kupata ajira kwa wale ambao wanapata tabu ktk suala la ajira ili unapofika mda wa kurudi baada miaka wawe wameshapata misingi ya kimaisha kama mzee kikeke apo na wengneo

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Před 8 měsíci +18

    😊😊😊 nimechoka maisha ya hapa Denmark wa 12 narudi Tanzania

    • @abelianraphili5150
      @abelianraphili5150 Před 8 měsíci +2

      ,,,,,😂😂😂😂 mtu uko Mbagala ...tu hapo labda uwende Moshi ... December ukaesabiwe

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 Před 8 měsíci +2

      Njoo upauke pumbu

    • @edwinkinyamagoha1228
      @edwinkinyamagoha1228 Před 8 měsíci +1

      IGA ufeee 😅😅😅

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 8 měsíci +1

      Uzuri wa ulaya hata kama huna pesa unabidilisha wasenge hii kitu mimi ndiyo maana naipenda.

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před 8 měsíci +2

    Genius man🎉

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 8 měsíci +6

    Salim Kikeke ❤️

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před 8 měsíci +1

    Hii intaview angemuoji mirad ayo ingekuwa bonge moja la intaview ila siyo mbaya kijana upo vizuri🎉❤❤❤

    • @user-xq4en6qt7e
      @user-xq4en6qt7e Před 8 měsíci

      Huwezi kujua baada ya interview hii kijana atakuwa wapi
      sio kila kitu afanye Milard maana kuna Vidox nae alikuwa poa saiz kala shavu Clouds Media

  • @AziziMapunda-vt4nv
    @AziziMapunda-vt4nv Před 13 dny

    Ongela Sana mungu akubaliki🎉🎉🎉🎉

  • @pceodhc
    @pceodhc Před 8 měsíci +7

    Great interview! 👏🏾

  • @godfreychaula3969
    @godfreychaula3969 Před 8 měsíci +14

    interview nzuri na location nzuri ila MILLARD izo wired mike ni very local,itashusha taasisi kwann msingeweka meza na avae wireless mike?,,lifanyieni kazi hilo sio mtangazaji mkubwa ashike maiki mkononi mwanzo mwisho,mmemkosea

    • @joelsamwel2580
      @joelsamwel2580 Před 8 měsíci

      Mbona zipo izo fatilia interview za Millard ayo

  • @veniciacharles8851
    @veniciacharles8851 Před 8 měsíci +2

    Interview nzuri nimeipenda,

  • @user-di8me2wb7p
    @user-di8me2wb7p Před 8 měsíci +1

    Masha ALLAH

  • @victoriaowen909
    @victoriaowen909 Před 8 měsíci +5

    Role model💕🥰

  • @medardsotta5211
    @medardsotta5211 Před 8 měsíci +2

    Legendary Kikeke!

  • @user-qf3so2qk6l
    @user-qf3so2qk6l Před 8 měsíci +4

    Mungu akubariki sana kikeke kwa maamuzi Yako binafsi yenye hekima na busara

  • @amibeamibe7261
    @amibeamibe7261 Před 8 měsíci +1

    hongera sana mtangazaji unayehoji maswali, hakika unauliza maswali kwa umakini na utulivu sanaaa. hakika una utulivu wa kiuandishi. fanya hivyo kwa wengine hadi kwa makamu wa raisi.

  • @elishasamwely8712
    @elishasamwely8712 Před 8 měsíci +1

    Hongera sana kaka nakukubali

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 8 měsíci

    Pongezi kwake Salmu Kikeke ❤❤❤❤ mkataa kwao ni mtumwaa .hongera.kaka

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před 8 měsíci +6

    Nampendaga sana kikeke

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 Před 8 měsíci +2

    Umenifubua Cho my brother Salam zangu kutoka USA I'm coming back home Africa zanzibar

  • @WorshippersofGodarmy-ot1mk
    @WorshippersofGodarmy-ot1mk Před 8 měsíci

    Hongera rafiki yangu, katk radio

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 Před 8 měsíci +48

    Hata mimi nimechoka sana maisha ya Ulaya. Baada ya miaka 27 Denmark nataka kurudi Tanzania.

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Před 8 měsíci +7

      Mimi miaka 23 USA 🇺🇸 I miss home

    • @chibunews5642
      @chibunews5642 Před 8 měsíci +4

      Kaka usitamani huku sisi tunatamani kuja huko njia hakuna

    • @khamisjuma8501
      @khamisjuma8501 Před 8 měsíci

      @@chibunews5642 Sasa tuelewane niko dollars laki bili kwenye bank huku tunalipa ma bili nduguzagu Tanzania

    • @kdloon2030
      @kdloon2030 Před 8 měsíci +2

      ​@@chibunews5642😂😂😂😂Ukifika huku ndiyo,utafeel hayo tunayo yapitia!

    • @mpwaguzipwagu3199
      @mpwaguzipwagu3199 Před 8 měsíci

      😂😂😂

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před 8 měsíci +5

    Mansha Allah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před 8 měsíci +3

    Very sad..
    We.missed
    Night News!!!!!.
    Kila la kheri...

  • @salminasalim5630
    @salminasalim5630 Před 8 měsíci +4

    Kwanza Mr Salim Kikeke wewe ni mfano wa kuingwa na unaroho nzuri sana unaroho ya kusaidia wenzako na Allah Subhanallahu wa Taala anakuwezesha tunamshukuru kwa kutunuku hilo na tunamuomba aendelee kukujalia kila la kheri. Na wa Tanzania viongozi wa juu tambueni umuhimu wa huyu mtu muhimu kwetu aweze kupata nafasi ya kudumu ya juu hapa kwetu aweze kuwezesha watoto/wajukuu wetu kupata alicho nacho

  • @barakajonas3209
    @barakajonas3209 Před 8 měsíci +1

    Karibu sana nyumbani Arusha

  • @DoreenMwakibinga
    @DoreenMwakibinga Před 8 měsíci +2

    Umetumia akili kurudi ili kuinteract earlier na Jamii waone ulichonacho hukusubiri na hukusita Big up

  • @NuelyAlphonce-ts2dx
    @NuelyAlphonce-ts2dx Před 8 měsíci +1

    Namkubar sana salim kikeke noma kweli

  • @user-fb9tp8ol1s
    @user-fb9tp8ol1s Před 8 měsíci +3

    Mwenyewe niliishi pale Sheffield ila siku ya mwisho nikarudi nyumbani

  • @MustymediaTv
    @MustymediaTv Před 8 měsíci

    Interview bora sana

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Před 8 měsíci +2

    Ila suala kutunza ahadi wageni wengi hulalamika juu ya Wtz kutokutunza ahadi pindi wanapo ahid kukutana na mtu mwingine, lingine ambalo bovu ni customer care ni mbovu mno

  • @helenarhobi1250
    @helenarhobi1250 Před 8 měsíci +1

    Safi Kikeke ila mandevu hayo hayapendezi kabisa yanachukiza sana. Hebu naomba uyakate kisha hiyo canter uiweke kichwani kwenye nywele. Ni ushauri wangu kakangu nakupenda sana hasa ulivyokuwa ukitangaza big up!

    • @j4amas5
      @j4amas5 Před 8 měsíci

      Sunnah hiyo

    • @mustavic7750
      @mustavic7750 Před 8 měsíci

      Facial hair ni pambo zuri kwa wanaume na ni sunnah pia kwa sisi waislamu, kila mtu ana mitazamo tofauti

    • @user-ee6st5bo5t
      @user-ee6st5bo5t Před 22 dny

      huyo ni muislam shika adabu yako

  • @samwelnaal7952
    @samwelnaal7952 Před 8 měsíci +9

    Nimechoka maisha ya hapa JORODOM, narudi nyumbani Tanzania

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 8 měsíci

      Hahaha wapo huko...au chini ya mlima hannangw

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před 3 měsíci

      ​@@josephlorri431😂😂😂😂😂😂

  • @boscoerasto5148
    @boscoerasto5148 Před 8 měsíci +1

    Nakukubari sana kaka

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 8 měsíci +1

    ❤🧡

  • @TheboyTz1-yf3xl
    @TheboyTz1-yf3xl Před 8 měsíci +2

    Tanzania ukiwa mgenii utaonekana mzuriii wakikuchoka unakuwa hovyooooo hongera kwa kurudii bong kwetu

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před měsícem

    Najikuta navizia maswali ya muulizaji..dah huyu anajitaidi sana. Alafu ametulia anapomuuliza Salim..safi sana

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Před 8 měsíci +3

    Millard Umetisha sana Huyu dada anayeongea Voice Over yuko vyema sana, nadhani maskio yangu ndio mara ya kwanza namsikia Mwanamke akireport katika Media yako. Kongole sana

  • @norbert_nganzi
    @norbert_nganzi Před 8 měsíci +1

    That is

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Před 8 měsíci +4

    Nmechoka kukaa bongo miaka 27 bado cjafankiwa au ndo bongo bahati mbaya??? Nataman niende ulaya nkaishi maisha ya kipweke kuliko hiz shobo zero

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 8 měsíci +3

    Ni interview lakini kama Dira ya Dunia mpaka Raha🤗

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 Před 8 měsíci

    Daaah noma

  • @mweusisimba7185
    @mweusisimba7185 Před 8 měsíci +1

    Mama ampe kazi tu ata akiongezeka kwenye habari akiwa msemaji mtangazaji wa serikali sio mbaya

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 8 měsíci +4

    Walikupenda na pia kuna kitu kipo ndani yako ndomana walikua wanakung'ang'ania. Hongera sana.

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Před 8 měsíci +1

    Ongera saana salim kikeke

  • @pmoshy2466
    @pmoshy2466 Před 8 měsíci

    SMART

  • @ibrahimkisua8439
    @ibrahimkisua8439 Před 8 měsíci

    very genius

  • @mwanad4595
    @mwanad4595 Před 8 měsíci

    Legend

  • @rabanphotostudionyakanazi_4115

    Eheee,jamani

  • @elsonkingtz4506
    @elsonkingtz4506 Před 8 měsíci +5

    😂😂, salm twambie ukwel, sema hivi nimefanya kaz kwa muda mrefu kila nikitaman kua mtu mkubwa mwenye pesa nashindwa nikaamua Nije Tanzania kutoka na kias cha pesa nilicho nacho nikirud tz ni pesa ya kutosha😂😂😂😂😂

    • @ndayisengaamissi6102
      @ndayisengaamissi6102 Před 8 měsíci +1

      ​@DENISDIGITAL😂😂😂eti:"sawa Salimu."😂😂😂😂😂

  • @ibrahimkasim922
    @ibrahimkasim922 Před 8 měsíci +2

    Interview mzur

  • @barakarobertmochungu
    @barakarobertmochungu Před 8 měsíci +15

    Mwana habari nguri zaidi na mfano wa kuigwa kwa wengine Salim kikeke

    • @vt-kn6qf
      @vt-kn6qf Před 8 měsíci

      Sio nguri Brother ni nguli ok

  • @musaallyhusseinmzeebaba7874
    @musaallyhusseinmzeebaba7874 Před 8 měsíci

    it's very wonderful podcast, very inspiring however improve on your podcast gadgets such as mic, why holding a mic for over 30 minutes? it does'nt look more professional.

  • @egbertcharles
    @egbertcharles Před 8 měsíci +18

    Upweke au maisha ya Upweke nimoja ya sabau zinazo sumbua sana watu wanao ishi mbali na nchi zao. Maisha bila kuwa karibu na familia au ndugu zako pamoja na marafiki wako nivigumu kufurahia kuishi nje ya nchi. Kuongea na ndugu au marafiki zako kupitia simu haitoshi, kuna muda unaitaji ata salamu ya kugusa mtu kwa mkono, kukaa na kuongea na marafiki zako ana kwa ana. Nimeishi nje/ China wakati wa corona Upweke kidogo unifanye kicha. Maisha Bora na ya furaha yako hapo hapo ulipo nyumbani kijijini kwenu kuliko kwenye nchi za watu.
    Mungu akutangulie S.Kikeke tunajivunia watu kama wewe. Wale tunao ishi nje ya nchi tukkumbuke kuwa nchi yetu inaitaji msaada wetu ili kuendelea na kutoa maisha ya kiwango cha juu kama maisha tunayo kimbilia kutafuta kwenye nchi za watu.
    Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.