ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 05. 2024
  • ARUSHA YASIMAMA, MKASA WAKUSIKITISHA WA MAMA HUYU MBELE YA RC MAKONDA
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo
  • Zábava

Komentáře • 266

  • @tikitvog
    @tikitvog  Před 2 měsíci +8

    Kutazama Pat 02 bofya link hii 👇👇
    czcams.com/video/X8GdLxSBXOE/video.html

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 2 měsíci +10

    Makonda una kazi ngumu sana kiongozi watu. Mungu akujaalie na akuepushe na majanga

  • @juliethmziray
    @juliethmziray Před 2 měsíci +11

    Daaa walimu ipoh kazi Hongera eana Makonda❤❤❤

  • @user-sp3tm7tv4x
    @user-sp3tm7tv4x Před 2 měsíci +27

    Makonda hata ukingombea uraisi utapata🎉🎉

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před 2 měsíci +9

    NIKUPE NINI MHESHIMIWA MAKONDA NINAKUOMBEA SANA KAKA YANGU MOYO WAKO NI WAKIPEKEE SANA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mch.emmanuelpallangyo9967
    @mch.emmanuelpallangyo9967 Před měsícem +2

    Makonda Mungu akupe maisha marefu akutunze siku zote

  • @rashidmsuya5721
    @rashidmsuya5721 Před 2 měsíci +23

    Magufuli kaacha spirit yake thanks god usimchukue na huyu mapema

  • @jacklineminja2022
    @jacklineminja2022 Před 2 měsíci +9

    Makonda ofs zina madudu hatari Yesu akakufunike kwa damu yake . Amina asante baba kwa upendo wako kwa wananchi

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 Před 2 měsíci +6

    Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana

  • @MageMollel-wb7ms
    @MageMollel-wb7ms Před 2 měsíci +8

    Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa wetu makonda

  • @malakisilas6523
    @malakisilas6523 Před 2 měsíci +5

    Uko vizuri mkuu wa mkoa ,Yan unaacha Alama kubwa.kufichua madudu ya wakadamizaji,Makonda oye,Samia oye.

  • @juliusndiyaine6601
    @juliusndiyaine6601 Před 2 měsíci +7

    Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.

  • @user-gn2gb5ve2b
    @user-gn2gb5ve2b Před 2 měsíci +3

    Asante Mama Samia kwa kumuona Makonda anafaa kutumikia wananchi. Mwenyenzi Mungu awabariki sana.

  • @user-dq1lm2be2u
    @user-dq1lm2be2u Před 2 měsíci +11

    Yaani makonda umekuwa kama Magufuli Mungu akulinde baba wasije wakakuzima tunakuomba sana

  • @souksoukeventsandmarketing653
    @souksoukeventsandmarketing653 Před 2 měsíci +9

    Beatrice beautiful soul she was ahead of me couple of years very bright

  • @jumanesaidi7635
    @jumanesaidi7635 Před 2 měsíci +9

    Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ?
    Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu.
    MASIKINI MAMA TZ !

  • @kingleorpad117
    @kingleorpad117 Před 2 měsíci +6

    Makonda tunakuombea,ww ndio kiongozi tunaekuhitaji,hakika upo vizuri

  • @godwinbenedict4146
    @godwinbenedict4146 Před 2 měsíci +4

    Mwalimu Beatrice Mungu ampiganie, alinifundisha Geography Njiro Secondary

  • @ombeniulime2768
    @ombeniulime2768 Před 2 měsíci +1

    Makonda kazi unayoifanya na Mungu akushindie na akulinde
    Mungu akung’arishe na kukupigania
    Mungu amekuweka kwa wakati wake

  • @LucyNyeura-op6mg
    @LucyNyeura-op6mg Před 2 měsíci +2

    Namuona mpendwa wetu Magufuli, kupitia ww Paul Makonda, Mungu akulinde na kkubariki

  • @ProductionWinderBulyanhulu
    @ProductionWinderBulyanhulu Před 2 měsíci +5

    Piga kazi. Makonda. Watanzania tunakufuatilia kwa karibu sana.

  • @user-hn8wo7fw6d
    @user-hn8wo7fw6d Před 2 měsíci +7

    Kaka Mungu akubariki sana

  • @FadhiliMboyi
    @FadhiliMboyi Před 2 měsíci +3

    Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 2 měsíci +14

    Yaani kila Ofisi kuna uvundo wakutisha Makonda simamia M/Mungu yuko nawe

  • @edwinlyimo5611
    @edwinlyimo5611 Před 2 měsíci +5

    Daa makonda kiboko,kazi nzuri hata ukipewa uenyekiti wa Kijiji kazi unafanya tu

  • @user-ud1hn9gt3j
    @user-ud1hn9gt3j Před 2 měsíci +7

    Bado Makonda Wanambeza Fanya kazi Paul

  • @user-jc1do5gf3w
    @user-jc1do5gf3w Před 2 měsíci +8

    Duuuuuu pole sana mama,sasa haki yako utapata

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 2 měsíci +11

    Arusha imeoza kwa madudu mengi ndio maana Samia akampeleka Makonda komandoo

  • @aishamaulidi7425
    @aishamaulidi7425 Před 2 měsíci +2

    Mungu akulinde makonda. Naakupe umri mrefu kila mwenye shari nawewe na asifanikiwe

  • @CatherineKimoso
    @CatherineKimoso Před 2 měsíci +1

    Makona mungu akulinde.kweli unaponya nafsi za watu walioumizwa.na Kwa hili unaponya nchi. Barikiwa sana uishi miaka 200

  • @AllyMustapha-kq8fs
    @AllyMustapha-kq8fs Před 2 měsíci +4

    Makonda wewe noma sana bigup

  • @AnnaMinja-zp7ti
    @AnnaMinja-zp7ti Před měsícem

    Mungu asikuache. Sijawahi kukuangalia nikaacha kulia. Upendo wako unagusa maisha ya wengi. Big up

  • @lyidiakapapa7679
    @lyidiakapapa7679 Před 2 měsíci +15

    Mungu awe pamoja nawe Makonda , mtetezi wa wanyonge.

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 Před 2 měsíci +2

    Mkuu yaani walimu huku chini tunaonewa sana sana tusaidiwe duh asante Mungu kutuletea Makonda

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 2 měsíci +3

    Makonda Mungu akulinde❤🎉

  • @tsumiduwe1406
    @tsumiduwe1406 Před 2 měsíci +2

    pole sana mama makonda unafanya kazi wew ni mfano wa kuigwa

  • @mussasaidhamad1891
    @mussasaidhamad1891 Před 2 měsíci +1

    Mungu akujalie uingoze Tanzania siku Moja aaaamiin

  • @barakavalencendola1117
    @barakavalencendola1117 Před 2 měsíci +1

    God bless you Mr Makonda

  • @ZurehaMasoud
    @ZurehaMasoud Před 2 měsíci +1

    Wampe stahiki zake dada Yuko smart❤❤❤❤❤❤❤

  • @ngusacharles475
    @ngusacharles475 Před měsícem

    Makonda your future presindent of our country 😮😮😮

  • @AlfredMaingi-mb3ch
    @AlfredMaingi-mb3ch Před 2 měsíci +2

    Muheshimiwa RC unatisha unahitaji pongezi sana MUNGU AKULINDE UNATETEA HAKI ZA WANYONGE

  • @stellaselli6287
    @stellaselli6287 Před 2 měsíci +3

    Mungu akubariki tupo wengi huku

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Před 2 měsíci +6

    Uyo mama atawaumbua mpe haki yake mtumbuka uyo mama jasiri sana

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 2 měsíci

      Jasiri,msimi,anajuwa kujieleza,anajuwa kufuata taratibu yani yupo contented,wataenda nae mbali sana.

  • @nzowemahenge1281
    @nzowemahenge1281 Před 2 měsíci +3

    Ingekuwa ni maamuzi yangu,,mh.makonda angepewa ukuu wa mikoa yote kwa awamu Tanzania nzima apelekwe

  • @winiemajengo1679
    @winiemajengo1679 Před 2 měsíci +2

    Kama hayo mambo ni ya kweli Mkuu wa mkoa anahitaji ulinzi wa kiroho...

  • @user-ou9up7kr9n
    @user-ou9up7kr9n Před 2 měsíci +1

    Pole sana mama ang Mungu atakulipa ty

  • @denismsanzya
    @denismsanzya Před 2 měsíci +1

    mung akubariki Sana Lea Kari nzuri

  • @davidkamando9630
    @davidkamando9630 Před 2 měsíci +1

    Huyu mh Mungu amtangulie kwa kila jambo..... Halmashauri kuna uonevu sana

  • @user-bt1en5fi8g
    @user-bt1en5fi8g Před 2 měsíci +1

    Mi makonda wewe nakukubari saana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 Před měsícem

    Mungu akulinde ndg p makonda na familia yako pia

  • @beatricesamwel6136
    @beatricesamwel6136 Před 2 měsíci +7

    Watu wanaonewa jamani dah!😢😢😢

  • @georgemwapela1654
    @georgemwapela1654 Před 2 měsíci +2

    Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.

  • @mohamedimiraji5495
    @mohamedimiraji5495 Před měsícem

    Very intelligent woman. Excellent

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Před 2 měsíci +3

    Salute madam Teacher....Salute Paul makonda

  • @kigogosmart4121
    @kigogosmart4121 Před 2 měsíci +2

    tunaomba makonda awe mkuu wa wa wakuu wa mikoa Tanzania

  • @eliasmalila
    @eliasmalila Před měsícem

    Mwamba nakuelewa sana Fanya kazi Mungu atakulinda

  • @stevedossa4966
    @stevedossa4966 Před 2 měsíci

    Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya kazi gani??,Makonda your the voice of the voiceless!

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk Před 2 měsíci +6

    Mji huo wawatani zangu sijui nani Ali towa jina lahuo mji mambo yao ya kurusha rusha tu pole sana mkuu

  • @gloryshayo9966
    @gloryshayo9966 Před 2 měsíci +1

    Pole sana mwalimu daah

  • @swaiagnes6696
    @swaiagnes6696 Před 2 měsíci

    Mungu akulinde makonda

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Před 2 měsíci +1

    Hiv wakuu wengine mnajickiaje mwenzenu anapotenda haki hivi

  • @johnmushi8777
    @johnmushi8777 Před 2 měsíci +6

    Hongera mkuu wa mkoa,imefike mahali kila m2 atambue umuhim na thaman ya walimu ktk maisha.Ningekua na mamlaka huyu afisa utumishi angeita maji mma

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 2 měsíci +1

    Makonda wetu Mungu akutunze kuna watu wanavilio vikubwa hawajui wakashitak wapi

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před 2 měsíci +8

    Hawa watu wanadhulumu watu alafu kanisani wapo kiti cha mbele mungu awarehu.

  • @joffmateru9682
    @joffmateru9682 Před měsícem

    Mh. Makonda 🎉

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 Před 2 měsíci +4

    Kazi ya Maghufuli ni kubwa sana.

  • @rabsonmichael9720
    @rabsonmichael9720 Před 2 měsíci +1

    Mama yupo makinu sana.hii nchi ina watu wa hovyo sana,manyanyaso ni mengi mno.kama hayajakukuta huwezi elewa.

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Před 2 měsíci +1

    Hro upo vizuri sana

  • @bahatevagre933
    @bahatevagre933 Před 2 měsíci +1

    No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa

  • @epimackjohn461
    @epimackjohn461 Před 2 měsíci +2

    Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .

  • @elizabethnaih5455
    @elizabethnaih5455 Před 2 měsíci +1

    Waaaa eemungu naomba akili yahali ya juuu kama huyu mama amen

  • @joshuabryson8044
    @joshuabryson8044 Před 2 měsíci +2

    Wangekupa uwaziri mkuu nchi ingetulia wanyonge wangepona

  • @DamariMkindi
    @DamariMkindi Před 2 měsíci

    Makonda Big up

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Před 2 měsíci +2

    Nchi hii haki akuna ata wajane wanazulumiwa na maafisa utumishi .

  • @user-eg2nb1ml7w
    @user-eg2nb1ml7w Před 2 měsíci +1

    MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!

  • @isaacsimon3580
    @isaacsimon3580 Před 2 měsíci

    Part two please😂😂😂😂😂

  • @lilianmungure8374
    @lilianmungure8374 Před 2 měsíci

    Wakati wa Bwana ukifika,adui lazima aaibike,haki ya MTU haipotei,za mwizi Ni 40,Mungu akutunze Mh.Makonda

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 2 měsíci +3

    Kuna watu wa ovyo sana kwenye baadhi ya nafasi hii nchi yetu tanzania.Mungu atupe hofu.

  • @PriscaBarnabas-qg7ex
    @PriscaBarnabas-qg7ex Před 2 měsíci +1

    makonda mama samia huyu jamaa atembee mikoa yote,akitoka hapo arusha aende mkoa mwngne

  • @marthajoseph4928
    @marthajoseph4928 Před 2 měsíci

    Waaaaoooo mkuu wa mkoa uko vizuri

  • @user-gt3dl5ib1y
    @user-gt3dl5ib1y Před měsícem

    Makonda Kila Hatua yako mungu ailinde

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x Před 2 měsíci

    Yani Tanzania 🇹🇿 Nchi ngumu sana kiukweli, roho mbaya tu dah😢

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před 2 měsíci +1

    Madudu ni mengi sana CCM. Watanzania waende wapi kupata msaada?. Upuuzi mtupu

  • @YohanaClement-sd9vx
    @YohanaClement-sd9vx Před 2 měsíci +1

    Hakika makonda wewe nimridhi WA magufuli mungu akutangulie popote pale unapopita

  • @josephatdionisii
    @josephatdionisii Před 2 měsíci +1

    Viongozi ni waajabu hadi shetani anashangaa 😢😢😢😢

  • @barakamunis3983
    @barakamunis3983 Před měsícem

    Niko Kilimanjaro lkn hata jina la mkuu wa mkoa wangu silijui Mungu akulinde makonda

  • @vickgrace4487
    @vickgrace4487 Před 2 měsíci +1

    MUNGU mzuri AKULINDE MTU WA MUNGU.... KWA KILA ENEO

  • @rehemamkude6766
    @rehemamkude6766 Před 2 měsíci

    Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao.
    Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu.
    Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Před 2 měsíci +1

    Nawaonea wivu Arusha, chauma hichooo!

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 Před 2 měsíci

    Hii Nchi hii! Dah!

  • @esthermwikali5403
    @esthermwikali5403 Před měsícem

    Aki sijaona kiongozi kama makonda

  • @vidahnjokaofficial7208
    @vidahnjokaofficial7208 Před 2 měsíci

    Eee Mungu atusaidie sana

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Před 2 měsíci +1

    Huyu mama anajua kujieleza vizuri sana na anajielewa

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Před 2 měsíci +1

      Yupo vizuri na ndo maana hawataki asome masters yake,wanaona atawanyanganya vyeo.

  • @missarepafra3973
    @missarepafra3973 Před měsícem

    Mungu tupatie kina Makonda wengi Tanzania ili haki kuanzia inspotokea ifike inakoenda. Wanyonge wengi wanalia kimyakimya miungu watu wanacheka na kuwacheka. Tukiomba Mungu atatupa kina Makonda kila Kona na nchi itafunguka. Kuna majitu yanakula watu kupitis nyadhifa yalizonazo. Yasagwe tikitiki hadi yaishe

  • @barakafanuel5015
    @barakafanuel5015 Před 2 měsíci +1

    Jiji la Arusha lilikuwa ni shida sana

  • @ChristinaFlorian
    @ChristinaFlorian Před měsícem

    Magufuli umeacha jembe ongela makonda mungu akulinde

  • @lyricszonetogo2502
    @lyricszonetogo2502 Před 2 měsíci

    mungu mlinde sana makonda dhidi ya wote waounda shauri la chuki juu yake na utumishi wake

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub Před 2 měsíci +3

    Serikalini kuna watu wanatakiwa kunyongwa

  • @keffaonchiri7813
    @keffaonchiri7813 Před 2 měsíci +1

    Huyu Kamanda ndio kiboko cha Wanyonge,kutumbua anatumbua kuelekea mbele walae

  • @marykimario5483
    @marykimario5483 Před 2 měsíci +1

    Makonda umekuja kwa wakati baba arusha imeozaaaaaaa