Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana
Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.
Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ? Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu. MASIKINI MAMA TZ !
Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro
Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.
No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa
Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!
Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao. Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu. Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.
Mungu tupatie kina Makonda wengi Tanzania ili haki kuanzia inspotokea ifike inakoenda. Wanyonge wengi wanalia kimyakimya miungu watu wanacheka na kuwacheka. Tukiomba Mungu atatupa kina Makonda kila Kona na nchi itafunguka. Kuna majitu yanakula watu kupitis nyadhifa yalizonazo. Yasagwe tikitiki hadi yaishe
Kutazama Pat 02 bofya link hii 👇👇
czcams.com/video/X8GdLxSBXOE/video.html
Ba0
Makonda una kazi ngumu sana kiongozi watu. Mungu akujaalie na akuepushe na majanga
Daaa walimu ipoh kazi Hongera eana Makonda❤❤❤
Makonda hata ukingombea uraisi utapata🎉🎉
NIKUPE NINI MHESHIMIWA MAKONDA NINAKUOMBEA SANA KAKA YANGU MOYO WAKO NI WAKIPEKEE SANA.❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Makonda Mungu akupe maisha marefu akutunze siku zote
Magufuli kaacha spirit yake thanks god usimchukue na huyu mapema
Amina tumwombeee sana
Mh Makonda rudi dar utuokoe kuna Madudu huku
Makonda ofs zina madudu hatari Yesu akakufunike kwa damu yake . Amina asante baba kwa upendo wako kwa wananchi
Hii nchi inamengi makonda nakuombea kwa Mungu akulinde sana umetumwa na Mungu nahakuna atakaekutoa kwenye nafasi yako utakua Rais wa Tanzania cku moja Mungu akuinue nakukulinda sana
Mungu akubariki mheshimiwa mkuu wa mkoa wetu makonda
Uko vizuri mkuu wa mkoa ,Yan unaacha Alama kubwa.kufichua madudu ya wakadamizaji,Makonda oye,Samia oye.
Umeigusa Moyo wangu na ya wanyonge wengi wanaopitia fadhila kama huyo Mwalimu. Hongera sana kiongozi. Mungu akupe maisha marefu akupe afya, nguvu na spirit hiyo hiyo ya kusaidia wanaonewa kupata haki yao. Nakuona ukiwa sauti ya Mungu iko ndani yako nimekupenda sana kiongozi wangu.
Asante Mama Samia kwa kumuona Makonda anafaa kutumikia wananchi. Mwenyenzi Mungu awabariki sana.
Yaani makonda umekuwa kama Magufuli Mungu akulinde baba wasije wakakuzima tunakuomba sana
Beatrice beautiful soul she was ahead of me couple of years very bright
Mambo ni mengi, (yanatisha), Makonda ni mmoja, nchi ni kubwa, dhuluma, wizi, uyang'anyanyi, na ufisadi vinazidi kila kona ! Peke yake ataviweza ?
Bora uwepo mfumo wa kuikabili hali hii, isingoje utashi wa mtu, au karibu na uchaguzi mkuu.
MASIKINI MAMA TZ !
MAKONDA UTACHOKA SANA. BUT KEEP GOING
Makonda tunakuombea,ww ndio kiongozi tunaekuhitaji,hakika upo vizuri
Mwalimu Beatrice Mungu ampiganie, alinifundisha Geography Njiro Secondary
Makonda kazi unayoifanya na Mungu akushindie na akulinde
Mungu akung’arishe na kukupigania
Mungu amekuweka kwa wakati wake
Namuona mpendwa wetu Magufuli, kupitia ww Paul Makonda, Mungu akulinde na kkubariki
Piga kazi. Makonda. Watanzania tunakufuatilia kwa karibu sana.
Kaka Mungu akubariki sana
Katika watumishi wa hii nchi Kwa muda wote Kwa kipindi cha magufuli na huyu mama..hakika makonda n mtu na nusu...kaka makonda wewe n magufuli wa pili hii nchi,hongera bro
Yaani kila Ofisi kuna uvundo wakutisha Makonda simamia M/Mungu yuko nawe
Daa makonda kiboko,kazi nzuri hata ukipewa uenyekiti wa Kijiji kazi unafanya tu
Bado Makonda Wanambeza Fanya kazi Paul
Duuuuuu pole sana mama,sasa haki yako utapata
Arusha imeoza kwa madudu mengi ndio maana Samia akampeleka Makonda komandoo
Mungu akulinde makonda. Naakupe umri mrefu kila mwenye shari nawewe na asifanikiwe
Makona mungu akulinde.kweli unaponya nafsi za watu walioumizwa.na Kwa hili unaponya nchi. Barikiwa sana uishi miaka 200
Makonda wewe noma sana bigup
Mungu asikuache. Sijawahi kukuangalia nikaacha kulia. Upendo wako unagusa maisha ya wengi. Big up
Mungu awe pamoja nawe Makonda , mtetezi wa wanyonge.
AMEEN
Mkuu yaani walimu huku chini tunaonewa sana sana tusaidiwe duh asante Mungu kutuletea Makonda
Makonda Mungu akulinde❤🎉
pole sana mama makonda unafanya kazi wew ni mfano wa kuigwa
Mungu akujalie uingoze Tanzania siku Moja aaaamiin
God bless you Mr Makonda
Wampe stahiki zake dada Yuko smart❤❤❤❤❤❤❤
Makonda your future presindent of our country 😮😮😮
Muheshimiwa RC unatisha unahitaji pongezi sana MUNGU AKULINDE UNATETEA HAKI ZA WANYONGE
Mungu akubariki tupo wengi huku
Uyo mama atawaumbua mpe haki yake mtumbuka uyo mama jasiri sana
Jasiri,msimi,anajuwa kujieleza,anajuwa kufuata taratibu yani yupo contented,wataenda nae mbali sana.
Ingekuwa ni maamuzi yangu,,mh.makonda angepewa ukuu wa mikoa yote kwa awamu Tanzania nzima apelekwe
Kama hayo mambo ni ya kweli Mkuu wa mkoa anahitaji ulinzi wa kiroho...
Pole sana mama ang Mungu atakulipa ty
mung akubariki Sana Lea Kari nzuri
Huyu mh Mungu amtangulie kwa kila jambo..... Halmashauri kuna uonevu sana
Mi makonda wewe nakukubari saana 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akulinde ndg p makonda na familia yako pia
Watu wanaonewa jamani dah!😢😢😢
Dhuluma dhuluma. Utafikiri hizo pesa ni zao
Haya Mambo yanayolingana nami.Nchi hii Ina watendaji wanaotumia nafasi kunyanyasa watumishi wa umma.Nilitolewa kwenye Payroll na wenye madaraka mpaka Sasa Mimi na familia yangu hatupo sawa kimaisha.
Pole sana kiongozi
Very intelligent woman. Excellent
Salute madam Teacher....Salute Paul makonda
tunaomba makonda awe mkuu wa wa wakuu wa mikoa Tanzania
Mwamba nakuelewa sana Fanya kazi Mungu atakulinda
Hivi wakuu wa mikoa wengine wanafanya kazi gani??,Makonda your the voice of the voiceless!
Mji huo wawatani zangu sijui nani Ali towa jina lahuo mji mambo yao ya kurusha rusha tu pole sana mkuu
Pole sana mwalimu daah
Mungu akulinde makonda
Hiv wakuu wengine mnajickiaje mwenzenu anapotenda haki hivi
Hongera mkuu wa mkoa,imefike mahali kila m2 atambue umuhim na thaman ya walimu ktk maisha.Ningekua na mamlaka huyu afisa utumishi angeita maji mma
Makonda wetu Mungu akutunze kuna watu wanavilio vikubwa hawajui wakashitak wapi
Hawa watu wanadhulumu watu alafu kanisani wapo kiti cha mbele mungu awarehu.
Yani na sadaka kubwakubwa
Mh. Makonda 🎉
Kazi ya Maghufuli ni kubwa sana.
Mama yupo makinu sana.hii nchi ina watu wa hovyo sana,manyanyaso ni mengi mno.kama hayajakukuta huwezi elewa.
Hro upo vizuri sana
No comments mama apewe hakim yake,yaani tunaiabisha Tanzania sasa kama mtumishi anafanyiwa hivyo na ameajiriwa na serikali sisi part time siukilalama utafungwa
Hapa RC wa ARUSHA MAKONDA Anaonyesha KUSUDIO lake la kutetea haki za wanyonge ! Utendaji huu ungeagizwa ufanyike kote nchini na WAKUU wote husika uonevu uishe haki itawale watu wawajibike kuchapa kazi kwa furaha na AMANI .
Waaaa eemungu naomba akili yahali ya juuu kama huyu mama amen
Wangekupa uwaziri mkuu nchi ingetulia wanyonge wangepona
Makonda Big up
Nchi hii haki akuna ata wajane wanazulumiwa na maafisa utumishi .
MHE. MAKONDA HESHIMA KWAKO! HAKIKA UNASTAHILI KUWA RAIS WA TANZANIA! TAFADHALI CHUKUA FOMU YA KUGOMBEA NAFASI YA URAIS TANZANIA 2025! TUTAKUPA KURA ZOOOOTE!! TUNAKUOMBEA SANA MWENYEZI MUNGU AKUPE AFYA NJEMA NA AKULINDE!
Part two please😂😂😂😂😂
Wakati wa Bwana ukifika,adui lazima aaibike,haki ya MTU haipotei,za mwizi Ni 40,Mungu akutunze Mh.Makonda
Kuna watu wa ovyo sana kwenye baadhi ya nafasi hii nchi yetu tanzania.Mungu atupe hofu.
makonda mama samia huyu jamaa atembee mikoa yote,akitoka hapo arusha aende mkoa mwngne
Waaaaoooo mkuu wa mkoa uko vizuri
Makonda Kila Hatua yako mungu ailinde
Yani Tanzania 🇹🇿 Nchi ngumu sana kiukweli, roho mbaya tu dah😢
Madudu ni mengi sana CCM. Watanzania waende wapi kupata msaada?. Upuuzi mtupu
Hakika makonda wewe nimridhi WA magufuli mungu akutangulie popote pale unapopita
Viongozi ni waajabu hadi shetani anashangaa 😢😢😢😢
Niko Kilimanjaro lkn hata jina la mkuu wa mkoa wangu silijui Mungu akulinde makonda
MUNGU mzuri AKULINDE MTU WA MUNGU.... KWA KILA ENEO
Mh. Makonda! Baadhi ya Wanawake watumishi wa Umma Wazuri, wanaojipenda, au Ni wafanyaji kazi ki ukweli, wengi wao wanapitia haya kwa namna tofauti. kesi za kupandikiziwa za Rushwa,Uzembe n.k Mafaili yao ya siri ni Makubwa kuliko mwonekano wao.
Ndio maana tunaomba Viongozi wengine watenge Muda wao Kwa Mungu awaongoze kusikiliza watu.
Narudia tena, baadhi ya maafisa utumishi wanatesa sn wenzao, Wanachukua nafasi ya Mungu kiaina ya kwamba bila yeye "hautoki" au "hautoboi" Wanaumiza sn Familia za wenzao, hakuna maendeleo,hata kama ulijiendeleza kwa kunyima familia mkate wao ukitegemea mchumiajuani lkn wapi wanakushikiria shingoni unaendelea kua chini na miaka inaenda.
Nawaonea wivu Arusha, chauma hichooo!
Hii Nchi hii! Dah!
Aki sijaona kiongozi kama makonda
Eee Mungu atusaidie sana
Huyu mama anajua kujieleza vizuri sana na anajielewa
Yupo vizuri na ndo maana hawataki asome masters yake,wanaona atawanyanganya vyeo.
Mungu tupatie kina Makonda wengi Tanzania ili haki kuanzia inspotokea ifike inakoenda. Wanyonge wengi wanalia kimyakimya miungu watu wanacheka na kuwacheka. Tukiomba Mungu atatupa kina Makonda kila Kona na nchi itafunguka. Kuna majitu yanakula watu kupitis nyadhifa yalizonazo. Yasagwe tikitiki hadi yaishe
Jiji la Arusha lilikuwa ni shida sana
Magufuli umeacha jembe ongela makonda mungu akulinde
mungu mlinde sana makonda dhidi ya wote waounda shauri la chuki juu yake na utumishi wake
Serikalini kuna watu wanatakiwa kunyongwa
Huyu Kamanda ndio kiboko cha Wanyonge,kutumbua anatumbua kuelekea mbele walae
Makonda umekuja kwa wakati baba arusha imeozaaaaaaa