BILIONEA WA MA-RANGE, ALIYEACHA KAZI YA POLISI AWE DEREVA, ALIVYOKIMBILIA UINGEREZA, WAZUNGU WAMTII.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 06. 2023

Komentáře • 574

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz Před rokem +37

    Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥

  • @vemmusttraders-kw5sx
    @vemmusttraders-kw5sx Před rokem +28

    Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽

  • @georgeosmund727
    @georgeosmund727 Před rokem +18

    Milard set another interview na huyu blaza iwe exclusive.

  • @angelosambi1087

    Nadhani akili kubwa duniani ni akili ya biashara na uwekezaji maana mazungumzo ya wafanyabiashara na wawekezaji huwa ni ya busara na utulivu kuliko mazungumzo ya wasomi ambayo mengi ni nadhalia. Bado najifunza

  • @tecratzmwakyambomwakyambo7243

    Huyu alitakiwq ahojiwe na mirad Ayo

  • @ericamwkyokile4681

    Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.

  • @almasmanumbu7945

    Mafanikio Ni Siri kubwa Sana ya mtu atasema yote lakini ile secret hawezi sema abadani mtakachoona Ni utajiri wake 😅😅😅

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum Před rokem +4

    Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli

  • @paschalmichael7250

    N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 Před rokem +16

    Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu

  • @josephineotieno2389
    @josephineotieno2389 Před rokem +42

    I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man

  • @festongonyani152
    @festongonyani152 Před rokem +32

    Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA..

  • @Jifunze_Kiswahili1

    Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 Před rokem +16

    Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa

  • @elizabethswai7777

    Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋

  • @EleziaNzowa-el7gi

    Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 Před rokem +5

    Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you

  • @rogersmaokola3147
    @rogersmaokola3147 Před rokem +25

    Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe Před rokem +12

    Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine

  • @mambazizephania
    @mambazizephania Před rokem +14

    Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania