Nadhani akili kubwa duniani ni akili ya biashara na uwekezaji maana mazungumzo ya wafanyabiashara na wawekezaji huwa ni ya busara na utulivu kuliko mazungumzo ya wasomi ambayo mengi ni nadhalia. Bado najifunza
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
Waliokulia isanga mbeya hamna garasa tujuane hapa Kwa like watoto wa green city💥💥
Mzee wa Ndugu zanguni ndani ya Millard ayo tv 😂 huyu baba ananispire sana mm kama kijana siku moja na mm nitafika alipo inshallaAllah🙏🏽
Milard set another interview na huyu blaza iwe exclusive.
Nadhani akili kubwa duniani ni akili ya biashara na uwekezaji maana mazungumzo ya wafanyabiashara na wawekezaji huwa ni ya busara na utulivu kuliko mazungumzo ya wasomi ambayo mengi ni nadhalia. Bado najifunza
Huyu alitakiwq ahojiwe na mirad Ayo
Hongera sana kaka yangu Chris.Nafurahia uwepo wako.ulivyokuwa zamani ndivyo ulivyo hujabadirila.mcheshi,mpenda watu,mwenye huruma.Ngwembe kama Ngwembe Mungu akutunze.
Mafanikio Ni Siri kubwa Sana ya mtu atasema yote lakini ile secret hawezi sema abadani mtakachoona Ni utajiri wake 😅😅😅
Niliagiza Gari kwake 2018 na Likanifikia kwa Wakati huyu Jamaa yuko Humble sana. Jamaa Hana Baya kiukweli
N.B kwenye biashara yoyote kuwa competative ws bei, wanaofanikiwaa sana ni wale wanaokusanya faida ndogo ndogo pesa izunguke
Kweli kabisa. Ukifanya kazi huwezi kushindwa kutoboa. Tatizo wabongo tunataka tuanze na mtaji wa mamilionina hatuna uvumilivu wa kuanzia chini tukainuka taratibu
I must say meet him in person he’s such a good person and an inspiration n a serious man
Yes...mnyalu mwenye akili nyingi, HONGERA SANA KAKA..
Kama ukikomaa, sehemu yoyote, ukikomaa. Lazima utatoboa tuu. Asante sana @Chriss
Hongera sana fighter nakubali sana kupiga kaz hasa biashara utumishi wa kuajiliwa serikalin siukubali kabisa
Anne Njeje njoo humu Kuna kk yako wa Isanga Mbeya,akipe Range Mokooo💃💃💃💋
Hii ni big up kwa kweli safi nimependa upambanaji wake kuacha kazi na kufanya biashara watu huwa wanaona kama ajabu, kitu nikuamua tu safi sana kaka umeniongezea sivi ya kuendelea kupambana waoo
Hongera kwakutambua kaziya uporisi Niya unyanyasaji mungu Aibariki kaziyako go bress you
Kaka hii interview imenipa elimu kubwa sana, na imefanya niwejasiri zaidi nitakapopitia changamoto Big up sana bro kwa kujibu maswali Kwa uzuri sana
Kutoka nje kufanya kazi hakikisha unajinyima na Kujifunza Kwa watu wengine
Hongera kaka Mungu aendelee kukutetea na kukupigania